Tatizo watalii watembea uchi. Tena Hadi mitaani mwetu wanatembea wakiwa ng'ande. Cjui up utamaduni wa Mzanzibari tunauhifadhi vp😌😌??
@MAPETEE
10 күн бұрын
Ujinga huo si tatizo kuja hawo lakin wasifanye mambo machafu na kuvaa uchi
@mariyamgharib940
11 күн бұрын
Waboreshe pale immigration wako very slowly sana na room zao za huduma zipo chache mtu unapanga quuee mpaka miguu inaingiya ndani kwa kusimama till umfiliye huyo officer na kwenye malipo ya visa vilevile wako very slowly
@user-qe9ot4kl9u
10 күн бұрын
Mm nimesema hapo juu 👆🏽 wamenitusi wakasema ni Mkenya ila ttzo watu wetu bado wana ujinga mwingi Airport Zanzibar haina hata sehemu ya kuswalia ya kueleweka wasafiri wanaswali kwenye koridoo 😮
@AbdulmajidkhamisMakame
10 күн бұрын
Acha uongo unaijuwa vizuri hiyo Airport ya Zanzibar au unaporoja tuh . Sehemu màalumu za kuswalia zipo tena ni Kwa wanaume na wanawake. Acha kusema vitu Kwa chuki Fanya utafiti kabla ya kuongea.
@user-qe9ot4kl9u
11 күн бұрын
Uwanja mdogo, mbaya, huduma mbovu, ukiingia google flight kwenye map hakuna uwanja unaojulikana Zanzibar aibu tu na siasa mingi 😅😂
@kuntaalkinte5415
11 күн бұрын
mjinga wewe pumbavu zako
@rayisadesigns2646
11 күн бұрын
@@kuntaalkinte5415 MKENYA NYOKO HUYO KAKA WALA ASIKUSUMBUE, WAKISIKIA CHOCHOTE CHA MAENDELEO YETU WANAUMIA SANA. BADALA YA KUTULIZA FUJO KWAO HUKO KENYA WANAHANGAIKA NA KUTUNANGA KTK MITANDAO WAPUUZI WAKUBWA HAO.
@user-qe9ot4kl9u
10 күн бұрын
Mukianza kusafiri pengine mutaelewa bado muko na ujinga kwa vichwa zenu
@MahmoudDouchi
10 күн бұрын
Kajifunze kiswahili vizuri kwanza halafu uje kuweka comment yako. Naona uko mashamba mmejazana wakenya mkijifanya ni masai wa Arusha Fala wewe
@hatibbaraka3956
9 күн бұрын
Tunafanana sana,kama kusafiri na sisi si haba tumesafiri na kama kuona tumeona pia. Hizo ndege zenu KQ zi mara kibao delay au zisije kabisa,badala yake munatumia Precision air! Na KQ ikitua mara nyingi hamna ndege kubwa tena labda Discover Wing au Condor.
Пікірлер: 22