😢😢 ee Mwenyezi Mungu nakuomba uwalipe kwa kipimo walichomtendea kijana huyo Eeh Mungu naomba uwalipe wao na vizazi vyao wakose amani,wateseke sana maisha yao yawe dhiki na ukiwa Amen.
@richardamina9810
5 ай бұрын
Amina😂😂😂😂
@NeemaSamson-ti8pc
5 ай бұрын
Amina
@hosea7919
5 ай бұрын
??
@hosea7919
5 ай бұрын
Hiz emoj usipokua makini utaonekana kituko kwenye jambo zito kama hili
@user-vo1pi4ol2w
5 ай бұрын
Amina
@zainabjuma7460
5 ай бұрын
Mengine fanyeni stara kwa marehem . Mnapohojiwa punguzeni ukali wa maneno jamani. MUNGU atupe mwisho mwema. 🙏
@husseinmaingo5009
5 ай бұрын
Ni kwel na uyo anayehojiwa ni baba ake mdgo alafu anaongea upumbavu badala awe na stara kwa marehem
@Mundi-oz7os
5 ай бұрын
Nakubaliana na hoja hizi Kwa kweli dunia sasa hivi uwazi umezidi sana. Vitu kama hivi sio vya kuongea hadharani. Kwa jamii yenye staha haya yanatakiwa yawe kama rumours tu za mitaani zisizo na uthibitisho lakini kutoa ufafanuzi wote huo ni kumdhalilisha sana marhum na familia kwa ujumla. Huu ni utamaduni wa ajabu sana tena unaotakiwa kulaaniwa vikali.
@fridamuss922
5 ай бұрын
Yan ananiudhi
@joycemkeka3769
5 ай бұрын
Simama mwenyewe bwana kumuuwa aitoshi mbaka kumzalilisha ivo 😭😭😭😭
@teddyndungurusabnu4792
5 ай бұрын
damu ya mtu haiwezi kupotea bule ipo siku tu watapatikana tena kwa kuweweseka 🙏🙏😪
@sophiakimaro5174
5 ай бұрын
Mungu wa mbinguni uonae sirini using asinyamaze Baba.naumia ni kama vile kaka yangu.unyama wote huu na bado mumuuwe mtu kweli?hii dunia wanyama wana utu kuliko binadamu haki.Poleni jamani.
@martinbruno9071
5 ай бұрын
We acha tuy,dunia hii ni nzito sana
@fatmaabdallah7709
5 ай бұрын
Huyo mkewe atakuwa ana fununu mbaneni atasema tu mbona mnamuacha uraiani?! Hii inaonekana ni kisasi cha kugombania mwanamke sio kwa mateso hayo!
@irhamseif
5 ай бұрын
Yani mkavu hana hata maumiv kashindwa hata na mtoto mdogo
@fatmaabdallah7709
5 ай бұрын
@@irhamseif kabisa ndugu akamatwe ataje na hao watu waliompigia simu kumuuliza marehemu karudi anaosema ni rafiki zake. Itakuwaje yeye yuko arusha na marehemu yuko moshi wampigie yeye kumuuliza km karudi nyumbani na muda huo aliopigiwa ndio time marehemu katoka nyumbani kwa babake hapo huyo mwanamke anajua kilichokuwa kinaendelea!
@user-br4tl7jv9j
5 ай бұрын
Inaumiza sana mwisho wa siku uyo mtoto anakuja kulipa kisasi kwa kaka ake au kwa ajil ya baba ake Mtasema kakosea 😢😢😢😢auae kwa upanga nae atakufa kwa upanga polen familia 🙌🙌
@aisharamadhani1948
5 ай бұрын
Subhanallah ila wanandugu punguzeni ukali wa maneno inauma mungu awaadhibu wote waliofanya tukio hilo
@pendomushi6351
5 ай бұрын
Mungu awalaani hao walio fanya hvyo kumuua kaka wa watu kifo cha kikatili namna hiyo kweli binadamu wamekuwa zaidi ya chui 😢😢
@StellaJohn-dz6gv
5 ай бұрын
Kinachoniuma Zaid ni Baba wa marehem atakuwa ameumia sana,Mungu amtie nguvu 😢😢😢😢Hii dunia ni ngumu sana
@shersaid7988
5 ай бұрын
Binadamu tunakoelekea ni kubaya unyama gani huu turudini kwa Allah .Kuna kufa na hesabu.Arusha kunahitajika maombi ziada😢
@Niabebewamor413
5 ай бұрын
Innallillah wainna llillah rajun daaaa binadam tumekua makatili walai 😢😢😢Subhannallah mungu fanya jambo dam ya mtu haipotei bule walai kafa kifo cha kateso walai 😢😢
@rehemakawia2828
5 ай бұрын
Polen Sanaa wanafamilia .... Inaumiza sana😭😭😭
@user-nm5ff3ri8k
5 ай бұрын
Da mwenyezi Mungu amlaze maala pema peponi Amina
@edrickniwamanya5665
5 ай бұрын
Hawataishi milele walaaniwe wao na uzao wao😭😭😭😭😭😭
@ruqaiamohammed345
5 ай бұрын
Ameen 🤲🤲🤲😭😭😭
@pendo8082
5 ай бұрын
😢😢
@sonicaghendewa9886
5 ай бұрын
😢
@JoyceMichael-bm9yw
5 ай бұрын
Amen
@vero57
5 ай бұрын
Poleni sana family, huyo mtu aliye fanya hayoo , jicho la MUNGU halilali ni mda tuu ukifika utakamatikaaa tuuu
@MwanahamisNsila-sz1kr
5 ай бұрын
Daaaah Mungu wangu nmeumia sana Mungu wa mbingu na nchi najua hulali waliofanya kitendo hiki walaani mpaka kizaz chao chote😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@RosemaryLema
5 ай бұрын
Familia ilie na Mungu tu atajibu wote waliofanya hvyo Mungu awaangamize
@user-vn5mv6gn2b
3 ай бұрын
Nimeumia sana.. tumuachie mungu.. ashuulike nao..
@ruqaiamohammed345
5 ай бұрын
Polen wafiwa😭😭ila damu ya mtu haipotei bure mungu yupo atajibu 😢😢
@marthamungure1777
5 ай бұрын
😭😭😭 Kwa kweli wamemtesa kupita kiasi. Hao waliotumwa na Ibilisi watafutwe na kukutana na sheria. Mungu awajalie toba. Poleni sana
@EmanuelLaizer-pt5nx
5 ай бұрын
Poleni Sana Mungu awape faraja wanafamilia hao na marafiki kwa kipindi hiki kigumu
@GraceMadondola
5 ай бұрын
Dah nimelia mimi hii taarifa
@nyemowanyotanjemaudm4360
5 ай бұрын
Polen Sana family.pole Sana mtoto MUNGU akupe ujasl mdogo wangu
@steramwanakira7183
5 ай бұрын
Prayers can move the mountains. They will find who did terribly incidents
Dar mungu wangu kwann watu hatuna iman na hofu ya mungu
@zenobiagenuine537
5 ай бұрын
Nothing to say,but neno limesema auaye kwa upanga atakufa kwa upanga,ipo siku tena ipo karibu watasema yote waliyoyafanya katika giza Mungu hafichiwi dhambi.Poleni familia na ndugu wote , Mwenyezi Mungu amfanyie msamaha na kumpa pumziko jema
@AminaLibisa
5 ай бұрын
Subhanna Allah 😭😭😭
@azzaalhabsi1505
5 ай бұрын
Polen wafiwa wote mungu awape subira kubwa. Mungu ampumzishe kwa amani.
@mwantumjaff1602
5 ай бұрын
Mungu atalipa hili hatuna na shaka ktk kumtegemea yeye 😢😢
@norahmike7643
5 ай бұрын
Dah! Mungu yupo jamaniii, atawaumbua
@oliviahill7891
5 ай бұрын
🥲🥲🥲💔💔💔 mungu mwenyewe ndiye atakayetoa adhabu kwa waliofanya hili tukio🥲🥲🥲
@user-ue4qx1ne6e
5 ай бұрын
Mungu wetu unaeona yote yanayofanyika kwa siri uonekane katika haki ya Baba huyu aliepoteza maisha kwa unyama aliotendewa , wote waliohusika au yeyote alietenda haya ukawafichue🙏
@khaijakadija2082
5 ай бұрын
Subhana Allah😢
@andrewkalinga5409
5 ай бұрын
Poleni Sana Ndugu zetu
@aminatanzanya7475
5 ай бұрын
Pole kaka 😢 watajulikan tuu damu yake haitaend bure
@user-xx8jx6tb7d
5 ай бұрын
Yaan hao waliomfanyia hvyo hayo machoz Mungu atayatolea majib na hawana mda watapatikana,
@paterinishayo-ef4sx
5 ай бұрын
Duh polen sana ndugu na familia kwa ujumla tuwape mda mamlaka inshallah watatenda haki
@user-gv1op1oh2c
5 ай бұрын
Huyo mtoto yupo kwenye wakati mgumu sana 😢😢😢😢
@raymond5175
5 ай бұрын
Mungu atalipa
@user-hq5mo3dx7l
5 ай бұрын
Kwanini mnatoa siri za marehemu? Kwanini msiseme tu kauwawa kikatili basi hii kitu sio nzuri jmn
@Mundi-oz7os
5 ай бұрын
Kweli kabisa wanamdhalilisha sana marehemu
@user-uo8xw9kr4b
5 ай бұрын
Anasema kwa uchungu tu maskin ata asiposema wengne watasema.
@user-ky2ch5rl7i
5 ай бұрын
Mungu wa mbinguni..Wewe wajua kutoa hukumu.😢😢
@StevenGendo-vx9jo
5 ай бұрын
Daaa! Inauma sana
@angelavayinga914
5 ай бұрын
Watanzania tumefika huku kweli 😢😢😢😢😢
@hadijauledi6995
5 ай бұрын
Jamani nini hichi daah😭😭😭😭😭😭😭mungu awalaani mlio mfanyia unyama huu 😭😭
@merrynancesimon1562
5 ай бұрын
Jamani poleni sana EeMungu wa mbinguni usiliache hili yeyote aliyofanya mabaya juu yake asiishi na afe vibaya Mara mbili yake
@fridamuss922
5 ай бұрын
Sema huyu mzee anamdhalilisha sana marehemu
@jacklinekivo1353
5 ай бұрын
Binadamu kuuuona ufalme wa mbinguni ni shida sana mungu amlaze mahali pema
@Lily-rn6xc
5 ай бұрын
Mungu ailaze roho ya marehem mahal pema pepon🙏
@amadally5837
5 ай бұрын
Hii laana haitawaacha salama Waliolitenda hili
@elishaelishaedward9454
5 ай бұрын
Poleni Sana Ndugu Najua Wakati Mnaopitia
@user-zx8fw3rx5l
5 ай бұрын
Arusha roho ya kuuana imekuwa kawaida siju hawa watu vip
@lightismail4728
5 ай бұрын
Mtoto analia kwa uchungu mkubwa 😢Mungu tusaidie tuwe na utu na hofu yako
@bazillawerism2581
5 ай бұрын
Hadi naogopa jamani,,, 🙆 Tz tuna nn jaman mbona kumekua na matukio Hv, eeh Mungu tusaidie
@shuwenaghandi9253
4 ай бұрын
Subhanallah
@happinessmushi8962
5 ай бұрын
Eeeh mungu dunia 2naelekea wap jmn😢😭😭😭😭wanadamu 2mefikia huku🙆😥😭alikosa nn kikubwa hvyo mpa akastahil adhabu kubwa namna hii😥😭😭😭😭😭😭😭😭
@EmmanuelMalisa-eo1do
5 ай бұрын
Yule mwanamke anajua akamatwe
@user-ih4kw5eb3d
5 ай бұрын
Hii nistoria ya wazi nikisasi hichi hawa waliomuuwa wamefanyakisasi kama sio chakutetea mwanamke basi chunguzeni lkn waliosababisha muko nao karibu sana
@doreengomes3489
5 ай бұрын
Attn: Ayo TV...Please advise the family with a police report to request the phone service provider to locate the deceased mobile phone and any other movement since the night of the murder. Also the deceased estranged wife's location must be traced/tracked on the night of the gruesome murder. I am sure you'll get all the required answers.
@kizittohescary1213
5 ай бұрын
Ofcoz as a lawyer of the high court I demand the family to work on it or else they know the murder
@godfreymillardayoripota3002
5 ай бұрын
Ok
@doreengomes3489
5 ай бұрын
@@godfreymillardayoripota3002 thank you. Good luck and God bless.
@steramwanakira7183
5 ай бұрын
Ohh thanks mie nilifikiri amepigwaa ukoo kiseriani juu site yangu iko kiseriani najenga
@saniaidrisa3920
5 ай бұрын
Tulipofikia kwa Sasa ndg zangu usimuamini mtu yeyote maana yeyeote anaweza kufanya chochote kwako watu wamekua wabinafsi Sana chanzo Cha haya yote ni ubinafsi na husda
@hassanferej8553
5 ай бұрын
Heeh mtihani awape nguvu familia na polisi kuweza kuwatia mikononi washtumiwa ikumbukwe dam haiyendi bure😢😢😢
@happinnesspius9854
5 ай бұрын
Mungu aisyelala atawaainisha kwa viwango vyajuu
@user-je7wf9ms5i
5 ай бұрын
Polen sana
@user-zk8jy4zz4f
5 ай бұрын
Allah akbar
@user-fy7dr5cr9m
5 ай бұрын
Mungu lipa kwa hilo
@user-yk8em1bh8g
5 ай бұрын
Innallillah wainnaillah rajoon pole kwa family yake. MUNGU awape knachostahik kwa Hao wahucka kifo kkal Sana kaka wa wa2 kafa huku anaona 😢😢😢😢
@user-zt3nj5yj2j
5 ай бұрын
Wafanye kazi yao lini nawapi embu jitaidi wanafamilia kwenda kwa makonda alipo au kwenda kwa mkuu wa mkoa maan kumfikia rais nikazi ngumu sana
@khadijazungu8627
5 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢 INNALILLAHI WAINNAILAYHI RAJIOUN tuwaombee watoto wetu wanapotoka nyumbani 😢😢😢😢😢😢😢 inauma na huwenda ni mambo ya kupenda tu ndo kalipwa hivyo Marehemuuu 😢😢😢😢
@user-yk8em1bh8g
5 ай бұрын
Yaan kama Co wivu wa maendeleo bhac n mapenz maskn kateseka.
@NeemaSamson-ti8pc
5 ай бұрын
Kateseka sana sana
@ShedrackBishaza-qd4vq
5 ай бұрын
Inauma san
@chimamilion
5 ай бұрын
Hii nchi tujitaid2025 aongoze mwanaume uyu Samia hawamwogopi atkidgo cjui kwakuwa anazulula ovyo atasijui
@ramadhaniayubu6103
5 ай бұрын
Daaaaaaah tuliko fika unaona ni bora ukaishi tu kwenye mbuga za wanyama kuliko kuishi na binadamu wenye roho mbaya zakikatiri kama awa walio Fanya kitendo hiki
@Carolina-sm5zt
5 ай бұрын
Huruma mtoto wa watu sijui aliwakosea nini,Mungu mwenyezi turehemu na utufunike kwa Damu yako takatifu mabaya yote yatuepuke
@tztanzania2262
5 ай бұрын
First to watch
@SalamaAkilimali-ly3bu
5 ай бұрын
,😭😭 Polen wafiwa muachie M mungu ndiye hakimu wa kila kitu
@ShanayaLeah2023
5 ай бұрын
Ingengekuwa ni wewe ungemwachia mungu peke yake
@marthamungure1777
5 ай бұрын
Inabidi polisi wafanye uchunguzi hadi wawapate wahusika
@SalamaAkilimali-ly3bu
5 ай бұрын
Uko Sawa police wap sasa kuna wazuri wabaya ndio wamejaa watawakamati utasikiwa tunafanya uchuguzi na wakati ndio wauwaji siku mbili wameachiwa hakuna ushahidi
@NeemaSamson-ti8pc
5 ай бұрын
Mimi na hasira nilizonazo ata kwa waganga ningeenda na waliofanya hivi ningewapata tu na nisingewaua bali ningewatesa mateso makali siku zote za maisha yao tena zaidi ya mateso waliyompa ndugu yangu inauma sana ingawa kisasi ni cha mungu
@SalamaAkilimali-ly3bu
5 ай бұрын
Inauma kweli tena Sana ukiwa na Imani lazima uumie M Mungu anisamehe makosa yake amlaze Pema peponi
@amysahal104
5 ай бұрын
Mungu awalaani hao watu,binadam tunakoelekea ni wap jmn😭😭
@maresianantibakazi-yh4qd
5 ай бұрын
Kila tukio arusha.apumuzike kwa aman
@estakapufi7582
5 ай бұрын
Mungu atajibu kwa wakati sahihi maana binadamu wengine wamekuwa wakatili sana 😢
@shakilamasoud2983
5 ай бұрын
Huo unyama uliyopitiliza kabisa. Hawataishi kwa amani hapa chini ya jua. Mungu ni wetu sote, ipo siku yao.
@jareengeorge5478
5 ай бұрын
Mkewake akamatwe.yeye anajua ukweli.kutokana na maelezo yake.
@charlesmnuo3292
5 ай бұрын
Muuaji ajulikane asijulikane nayeye atakufa tu siku moja
@japhetkyoma5093
5 ай бұрын
Ngumu mnooo Ila kwa kweli Binanadamu tumekuwa kama wanyama kwa kweli😢
@Oman-nu2kc
5 ай бұрын
Mulizeni vzr hyo mwanamke atakua anajua
@maryamm7765
5 ай бұрын
😢😢Mungu Watawaadhibu
@user-qg7fw7si5i
5 ай бұрын
Mungu awalaani
@youngkhajjizzo7731
5 ай бұрын
Mungu atalipa😭😭😭😭😭😭
@HadijaZabroni-pu1lt
5 ай бұрын
Munguwangu jamani 😭💔😭😔
@EnockMushi
5 ай бұрын
Polen sana ndugu mungu yupo pamoja nanyi ktk kipindi Hiki kigumu
@hawaomary96
5 ай бұрын
Sasaiv bora kuishi porin na wanyama wakali kuliko kuishi na binadamu 😢😢😢😢
@user-fe7kc1nj5n
5 ай бұрын
Serikali inachelewesha,uchunguzi utafika hata miaka kumi
@user-xn3vq1gq3p
5 ай бұрын
Bwana wetu, utumbie mioyo ya nyama.mioyo hii ya mawe ife.
@bebebebe5677
5 ай бұрын
Wana family Mi Naomba mngeanza na mke wa marehemu mana maelezo yake ya Hawali yana utata
@ziadasalimu1730
5 ай бұрын
Jamani huyo mtoto hapo kanalia mno aaaa! Mungu walio fanya hicho kitendo wasi twakuwachia wewe hukumu mana mungu wewe Huwa ni mtenda haki ha! Nimeumia mno mama Samia ingilia kati mama
@elizabethwilliam5008
5 ай бұрын
😢😢😢😢😮😢
@maryamabdullah9169
5 ай бұрын
Innalillahi Wainna Ilayhii Rajiuun
@vaikaayagadiel520
5 ай бұрын
Machozi ya hawa watoti Mungu atawalipia
@suzanbegas4139
5 ай бұрын
😭😭😭
@NeemaSamson-ti8pc
5 ай бұрын
Iseeee kuna watu makatili duniani hakika kaka umekufa kifo cha mateso pumzika kwa amani
@aishaalbalushaishabalush8291
5 ай бұрын
hivi samia kashindwa kabsa kuzuiya haya matukio machafu mbona magu hayakuepo haya jaman kilakukicha matukuio na jinai sasa kuna haja gani nchi kua na rais ambae hana uchungu na wana nnchi wanauwawa hovyo maji shida umeme shida chakula shida kazi hamna matukio kilasiku mauwaji kilasiku moto kilasiku kwenye masoko ya masikin jaman si mjue tu tanzania hamna rais kwa sasa
@NeemaSamson-ti8pc
5 ай бұрын
Bora we umesema mi mwenyewe nashangaa maana ni sawa hatuna Raisi
@stewartdyamvunye-wz6rn
5 ай бұрын
Kweli kabisa mwanangu ulicho ongea ni sahihi. Mbona wakati wa Magu haya hayakuwepo? Ni kwamba watu wamesha baini kwamba nchi haina uongozi thabiti, vyombo vya dolla - rushwa tupu ukiwalambisha hela, uchunguzi utaendelea "milele." Poleni sana wafiwa. H'hivyo msiache kwenda polisi. Wamechunguza hawakuchuguza nyie mtakuwa mmetekeleza wajibu wenu. Amina.
@aishaalbalushaishabalush8291
5 ай бұрын
@@stewartdyamvunye-wz6rn inauma sana majizi yapo yanazidi ifilisi nnchi raiya wema ndio wanauwawa na kuteseka Mungu amuone huyo mama anaejiita rais kwa macho yote
Пікірлер: 189