Hawa ndio ndugu zetu Viva Russia🇷🇺 viva Tanzania🇹🇿
@nuruworldinsight2957
Жыл бұрын
WeweMzigo wa Kongo huo , undugu huo unatoka wapi 🤣🤣🤣🤣🤣
@salehwaziri5062
Жыл бұрын
@@nuruworldinsight2957 kwanini hakutiananga Kenya aunchi nyingine
@danielonyango7234
Жыл бұрын
Safi sana mama Samia, maneno machache lakini kazi ni kubwa na yenye kuonekana. Bandari ya Tanga ni Muhimu sana kwa biashara ya nchi za Afrika Mashariki.
@hamishatibu699
Жыл бұрын
Mabolesho yalianza awamu ya 5 chini ya JPM we miaka miwili na pesa zilishategwa ,Hayati Mfugale alisema.
@mimiraia2531
Жыл бұрын
Ondoa upuuzi wako. KILA kazi za Magufuli, hawa take kuzisema, nafisi zao zinawasuta
@danielonyango7234
Жыл бұрын
Ndugu zangu msiwe na jazba, serikali ni kupokezana, pale alipoachia mpendwa wetu hayati Magufuli (Mungu amlaze mahala pema peponi) ndipo alipoanzia Mh. Rais Samia. Samia angelegeza haya yote yangeishia hewani, ukizingatia watu wengi walijipanga kumuangusha ili ionekane nchi imemshida. Hata bwawa la Nyerere lilipingwa sana na wahuni baada ya kifo cha Magufuli, lakini mama Samia alisema TUTAJENGA, na kazi tunaiona.
@valenakomba9218
Жыл бұрын
Sema kikwete.
@mudighurayra
Жыл бұрын
@@hamishatibu699 kama unalijua ilo mbna kwenye treni muna mlaumu mama wakat kama kila kitu kilisha pangwa
@allysimu6856
Жыл бұрын
Mungu ibaliki Tanzania
@rajabuissa4013
Жыл бұрын
Mama tunaomba tujiunge na BRIKIS 🙏🙏🙏huko ndio kwenye uhuru wa kweli na penye faida kwetu
@nuruworldinsight2957
Жыл бұрын
Acha UKIHIYO wako wewe hakuna kitu kinaitwa BRIKIS 🤣🤣🤣🤣🤣
@shaurimtanda8285
Жыл бұрын
BRICS
@emanuelchrisant8221
Жыл бұрын
Marakani na Mashoga wenzake hatuwataki tumewachoka Urusi ndiye Baba lao.
@franciscassian
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@ndukulusudikucho_
Жыл бұрын
Hawa jamaa walitusaidia bara la Africa kupata uhuru, Mungu ibarik Tanzania, Mungu ibarik Taifa la Urusi , sisi hatufungamani na yeyote , wote wakija tunawasikiliza
@meshajohn8713
Жыл бұрын
Umejua kinifuraisha mwambaa
@youth.in_focus
Жыл бұрын
SAFI SANA MAMA SAMIA. MUNGU AKUBARIKI SANAA...🤠
@ndukulusudikucho_
Жыл бұрын
Mwenyezi zidi kumpa nguvu SSH, maana hii minyoosho sio ya kawaida, wanaosubiri kuona atashindwa dah waseme lingine, wengine hatuna la zaid ya maombi tu
@KhalidKhan-ud9cz
9 ай бұрын
Tanzania Tanga mzuri Sana kweli nakupenda sana kweli 💖💕💖💕💖
@eaglecrown6470
Жыл бұрын
Asante Sana baba Putin 🇹🇿🙏🏿🤔
@rosemuhandoofficial5676
Жыл бұрын
Shine MAMA!!!!!
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
utanuzi wa hiyo bandari ulifanywa na Magu , ukweli lutabaki kuwa ukweli hata kama uliye fanikisha huo utanuzi hamupendi kumpa sifa yake
@jitihadimtindi1774
Жыл бұрын
@@whatisthetruth.8793 Acha Makasiriko! Mama kupewa sifa pia inakuuma?
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
@@jitihadimtindi1774 anapewa sifa sizizo zake ,. vipi mwizi akivunja nyumba yako na kuiba , vipi utamsifia ? wacha afanye kazi yake tumsifie asiwe mwizi wa fadhilia
@veelmng7746
Жыл бұрын
safi sana kuona meli za Urusi zinafika Tanzania. Lakini wafaidika wa mzigo dr congo. Watanzania wanahitaji mafuta ya bei raisi toka Urusi. Serikali yetu ina policy ya kutofungamana na update wowote. Tunaitaji kufanya biashara ya mafuta na Urusi. India na China wamefaidika sana na Urusi. Tuache kupokea mikopo yenye masheriti ya kutofanya biashara na Urusi
@joramkimario9321
Жыл бұрын
Wataogopa kuwekewa vikwazo na marekan
@nakalikyumile3234
Жыл бұрын
Twende Tanzania, tusipangiwe marafiki, Russia sio magaidi
@ishmaelswai432
Жыл бұрын
Viva samia viva sanaaa
@lemausontz3513
Жыл бұрын
Meneja bandar Tanga ulichokiongea nimekielewa sana Aise unajua sana
@jamirually893
Жыл бұрын
God bless tanzania,bless russia
@nuruworldinsight2957
Жыл бұрын
Acha uboya wewe huo mzigo ni Kongo sio wa Tanzania 🤣🤣🤣🤣🤣
@fidahusseinkassim9778
Жыл бұрын
Bado mafuta bado mafuta❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇷🇺🇷🇺🇷🇺
@nuruworldinsight2957
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 Mihemko mihemko mihemko 😂😂😂😂😂
@fidahusseinkassim9778
Жыл бұрын
@@nuruworldinsight2957 🤣🤣🤣🤣 sio mihemko. Serikali waangalie tatizo tunafaidika vipi na hiyo vita yao. M naamini Afrika tunaweza pindua meza kwa kutumia nafasi hii. Ni kufikiria nje ya boksi tu Bro. Wametunyonya na kutugombanisha na kututenganisha sana. Ni nafasi yetu sisi wa Afrika kuunganisha dola zetu.
@fidahusseinkassim9778
Жыл бұрын
The great dictator ni funzi tosha kwa ulimwengu. Dunia ni tajiri kwa kila 1 wetu.
@African511
Жыл бұрын
Welcome BRICKS
@johnrimoy1613
Жыл бұрын
Hongerani sana ,kwa speed ya kupakua Kwa muda mfupi, uchumi utakua kwa kasi.
@ommyregga5829
Жыл бұрын
Urus sio wanyonyaji kama marekani
@nuruworldinsight2957
Жыл бұрын
Hujitambui ww 🤣🤣🤣🤣🤣
@saidsuleiman1753
Жыл бұрын
Safi sana ila msianze ukiritimba wa Dar es salaam
@jambiajuma7199
Жыл бұрын
Safi sana kwahilo mama nakupa tano
@yahayaallytv2852
Жыл бұрын
Serikali ilete mafuta kutoka urusi n bei rahisi
@joramkimario9321
Жыл бұрын
Wataogopa kuwekewa vikwazo na marekan
@nuruworldinsight2957
Жыл бұрын
Sisi WENYEWE tuna mafuta na gesi. Tafuta ExonMobile , PetroGas , Norpl , Shell and others what are sucking in Tanzanian shores from the era of 4th government 🤣🤣🤣🤣🤣
@mekyjbakry8261
Жыл бұрын
Mama naomba tujiunge na BRIkS
@duvaboy
Жыл бұрын
😂😂😂
@kingwandeinvestment8002
Жыл бұрын
Mama mama mama mama mamaa tuleteeee mafuta kutoka urusi
@nuruworldinsight2957
Жыл бұрын
@@kingwandeinvestment8002 Sisi pia tuna mafuta na gesi pia. Yaani sis kwa KILA RASILIMALI tuliokuwa nayo MWENYEZI MUNGU angewapa viongozi wetu NYWELE kama za WAZUNGU na rangi ya mwili kama yao hapa usingeongea UTOPOLO kama huo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona uwanja wa mkapa muhasisi anasifiwa .Vipi Sasa Yani mmeamua kumzika baba na vitu vyake. Mungu atalipa hapa hapa Duniani.Walitumia muda mwingi kujenga Uturuki hapo Mungu akafanya yake dakika tu .Uzuri wate ulikwisha . inshallah Kama tunajisaulisha basi sawa.
@alhudhaify7810
Жыл бұрын
Tanga inaenda kufunguka
@charlesmhindi2817
Жыл бұрын
Kutokana na ukpanuzi wa miumdombonu ya bandari ma ujio wa meli kubwa iwe ndio sababu kubwa ya kupunguza gharama mbalimbali ,a kiserikali
@emanuelchrisant8221
Жыл бұрын
Hapo mama unatakiwa uwe na msimamo Maana Tanzania Hatufungamani na upande wowote Nabado Tunamuitaji Mrusi kwaajili ya maendeleo ya Nchi yetu.
@nuruworldinsight2957
Жыл бұрын
Tatizo urusi YENYEWE ni maskini inajitafuta 🤣🤣🤣🤣🤣
@user-cr4ku8jh4d
Жыл бұрын
Masha Allah
@habibukitwana1552
Жыл бұрын
Magufuli ndy kajenga bandari siyo uwekezaji wa awamu ya sita
@rahmajaffar794
Жыл бұрын
Sawa lakini sio yeye wa kwanza wala sio wa mwisho kujenga bandari hata maraisi wa zamani walijenga na alizikuuta na akazitumia na yeye akafanya aliyojaaliwa kufanya na watakaokuja watafanya pia. Hivo ni vitu vya kawaida kwa viongozi.Cha msingi msingi tuiombee amani, upendo na maendeleo nchi yetu na Mungu atuepushe na chuki na ubinafsi baina ya wananchi.Tudumishe uhusiano wetu kimataifa kwa njia zilizo sahihi
@kennethoffice9308
Жыл бұрын
Brickst itapendeza
@husseinmaula4965
Жыл бұрын
Bandari mnajenga sawa ila hakuna uafazali wa ushuru ktk bandari zetu pia tunadaiwa ushuru hata ukipita na gemu za kuchezea watoto unaambiwa uilipie sasa kuna Faida ipi ya kua na bandari nzuri sheria zilizopo na watendaji ni hovyo .
@muhammedsuleyman6501
Жыл бұрын
🇷🇺❤️🇹🇿
@msukumamnywamaziwa2785
Жыл бұрын
safi sanaaaa,RUSSIA
@abc-en3em
Жыл бұрын
Rip magufuli
@marykayuya4889
Жыл бұрын
Ila kumbukumbu zangu zinaonyesha baba magufuli ndio alie anzisha hilo kwani ukimsifu na baba kuna shidah
@MrTop-wj7no
Жыл бұрын
Ni ajabu kaka
@ibba8082
Жыл бұрын
Wa Lweba Fizi D R Congo,Kazi ya JPJM
@timothymoshi5800
Жыл бұрын
Congratulations Russia, Congratulations Putin, our President.
@maftuhihassan3114
Жыл бұрын
Safi nimeipenda hiyo
@ishipalemypasco2567
Жыл бұрын
Hakuna kuleteana vitisho hapa eti tusishilikiane na russia.pumbavu marekan na magharibi wote.
@meshackmlaki2066
Жыл бұрын
Nyinyi amjaelewa urusi vikwazo vyake aviusiani na nafaka ni mafuta na gas
@arafatinguku7494
Жыл бұрын
Muangilieenaushuru musiwabanesana wakakimbia
@raymaakijangwa3347
Жыл бұрын
Huyu meneha wa bandari tanga hatumuelewi mwaka jana alisema ujenzi utakamilika mwaka huu mwezi wa tatu leo tena anasema ujenzi utakamilika mwezi wa nne mama anakusikia tambua
@salummzee9739
Жыл бұрын
Safi sana
@vibetz9991
Жыл бұрын
Ohoooo🏃♀️🏃♀️🏃🏃♂️
@muhammedsuleyman6501
Жыл бұрын
Kesho tutaona chokochoko za marekani
@raphaelmatinda1059
Жыл бұрын
Uraaaaaa.
@deusisindwa616
Жыл бұрын
Safi sn sisi na Urus ni ndugu Hao mashoga wastupagie marafiki,,viva Putin 🇷🇺🇷🇺💪💪
@fathermore9772
Жыл бұрын
Usikute nisilaha za kwenda kuwamaliza wakongomani wazungu wanambinu chafu sana
@swabryna4524
Жыл бұрын
Kumbe ni kweli bandari ya Tanga ndio inakina kirefu zaid Tz
@elijiemili7462
Жыл бұрын
Magufuli alikuwa kichwa
@zezeshort
Жыл бұрын
Kabisa mongers sana dr John bira yeye mambo yange kuwa mabaya sana Tanganyika
@zezeshort
Жыл бұрын
Hongera dr John I.mean
@rashidmollel529
Жыл бұрын
Hongera sana juhudi za mama hizooo!!!!
@faridi4760
Жыл бұрын
Mh
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
juhudi gani hizo wakati utanuzi wa hiyo bandari uliufanya Magu
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
juhudi gani hizo wakati utanuzi wa. bandari uliufanya Magu lakini sifa anapewa bata kiwete samia
@allandavid752
Жыл бұрын
Hivi wakiongea lazima waseme chini ya serekali?? Kwan si tunafahamu kua tunaongozwa na serekali?? Na pia mnyonge mnyongeni haki yake apewe ...Magu ndie aliyepambana na hiyo bandari
@madawamchuwa8253
Жыл бұрын
Wasituletee balaa jamani wenyewe tunavita ya njaa
@stephanomoses7694
Жыл бұрын
Acha woga wa ki fikra. Jiamini jikomboe na kifungo cha akili
@nuruworldinsight2957
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@basumaadam2686
Жыл бұрын
Sawa , ila tukae tukijua kuwa Putin hataki unafiki sio Leo tupo na Putin kesho tupo marekani , yan tutapigwa kama ngoma , kama hatuwezi kuacha unafiki basi hao watu weupe tuache ubia nao
@pascalndege9749
Жыл бұрын
Hehehe shehena ya mbolea kwa ajili ya madini
@amanlenatus9067
Жыл бұрын
Watuletee na mabomu ya kula na ya kuvaa
@jumahassan273
Жыл бұрын
Mmh
@mawazoaliselemani8909
10 ай бұрын
mnatoa siri za mizigo ya watu
@oscarkasalile3966
Жыл бұрын
Hakika Russia ni wajamaa. Sio Wamarekani matapeli
@musonobari2560
Жыл бұрын
Oya tutagongwa sanctions na wenye dunia yao. Hayaaa. mie yangu macho kudadeki 👀
@amosiabdulallh7965
Жыл бұрын
Nikweli ila tufanyeje , mashoga bwana!!!
@jonfredkewe3451
Жыл бұрын
Mwamba njoo tazania
@ramygichero1016
Жыл бұрын
Marekani amesha angushwa na Urusi
@ommyregga5829
Жыл бұрын
Marekani wanataka watu wauwane tu
@issayasosolo6033
Жыл бұрын
Hiyo Ni meli yenu mlinunua lini? Acha ujinga wako wewe zungumza Jambo siyo kutafuta Kiki!
@duvaboy
Жыл бұрын
😂😂😂
@murtazantimba4270
Жыл бұрын
Unateka sana
@felixmkagila6048
Жыл бұрын
Hahaha wabongo kwakuongea hawajambo lakn maarifa kichwan hakuna waulize wanaosifia hio meri wameandaa mzgo gan wakuondoka nao kusud watumiaj wa ushoroba wa Tanga wafurahie wakja Tanga na mzgo hawachomi mafuta kurud tupu
@basumaadam2686
Жыл бұрын
Huo mzigo tulioletewa utazaa mara dufu Hadi wakiondoka nchi itakuwa nyeupeeee🤣🤣🤣
@stephanomoses7694
Жыл бұрын
Viva WAGNER viva 🇷🇺🇷🇺
@emmanuelmkama3000
Жыл бұрын
Uwekezaji wa uboreshaji mkubwa wa Bandari za Tanga, Dar, na Mtwara tunamfahamu vizuri msitundanganye. Sasa mnakubali kuwa ile Bandari ya Bagamoyo ingeua ya Tanga, Dar na Mtwara.
@abdullahomar4236
Жыл бұрын
Dhu
@Abuu_Mundhiri
Жыл бұрын
Putin, mwenyewe yumo
@stn4873
Жыл бұрын
DRAFT and LOA
@saidasimba9979
Жыл бұрын
Haha mnajieleza mapema et mzigo sio wenu ili waliotuoa wasikie
@josephjulio6112
Жыл бұрын
Mbolea yA madini
@cavinjohn-9648
Жыл бұрын
Sio meli yetu. Meli ya Russia bro
@mashashpastory7467
Жыл бұрын
Upanizi wa bandari za Tanga na Mtwara ni mkakati wa akili Sana ambapo JPM aliona mbali Ila siyo ule mradi wa bandari ya Bagamoyo.
@hasanimkamba8377
Жыл бұрын
nibora tushilikiane na urusi kuliko marekani
@khelefomary4486
Жыл бұрын
Him eti meli yetu hii.jamani
@juliusjoseph6320
Жыл бұрын
Mama haogopi vikwazo vya marekani
@nuruworldinsight2957
Жыл бұрын
Mama mwenyewe ni Mmarekani ndio maana we unamuonaje kwanza 😘😘🤣🤣🤣🤣
@berthatz
Жыл бұрын
Kama nawaona Marekani wanavyo zoom hii habari🤣🤣🤣🤣🤣
@marthageorge5043
Жыл бұрын
Wasije tu kulipulia tanga yetu🤣🤣🤣
@husseintalent
Жыл бұрын
@@marthageorge5043 😄😄😄😄😄😄
@jacksonmartin8485
Жыл бұрын
Viva Russia 🇷🇺
@mimiraia2531
Жыл бұрын
Hawa WAPWANI si wana bandari yao ya kifisadi, iliyowekewa jiwe la msingi kabla ya mkataba kusainiwa. HIZI ni kazi za mzalendo Magufuli
@ngumbosanga5359
Жыл бұрын
Watuletee na makobora ya kujihami manaa tumechoka na propaganda za malekani
@Awatee
Жыл бұрын
😃😃😃
@dancerboy2686
Жыл бұрын
tz ijiunge na bricks tu
@vickytorry100
Жыл бұрын
Malekani? Ndo nchi gani?
@gideongosbert3120
Жыл бұрын
Mtajuta shauli yenu
@berthatz
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@khatibuabdallah46
Жыл бұрын
Sumu hyo ndg zangu wezetu South wamegoma kupitsha
@uwimana6533
Жыл бұрын
Chizi mkubwa
@valenakomba9218
Жыл бұрын
Ongea maneno machache yenye umuhimu tuu. Siyo blaa,blaa. Waachie na wacongo nao wakaongee.
@stanleybupambambogo3334
Жыл бұрын
Kwa uelewa wangu kiini cha mazungumzo hapa ni ujio wa Meli kubwa kwenye BANDARI YA TANGA nchini mwetu, Tanzania. Ni dhahiri, ni WaTZ tutakaokuwa waongeaji zaidi ya wengine kuhusu bandari yetu ya Tanga na utuaji nanga wa hiyo meli ya kutoka Urusi. Sasa madai ya tukawaachie nao Wakongo (Wacongo) wakaongelee bandari ya Tanga zaidi yetu sisi WaTZ, hiyo bandari ni ya wao!!??
@edwinalexander1170
Жыл бұрын
Ni meli yetu au ni meli ya Urusi ????
@ramadhanmongi-mj2eb
Жыл бұрын
Apo uwakika
@mafurumatijo8803
Жыл бұрын
Warusi duh! 😭😭😭
@gideongosbert3120
Жыл бұрын
Mtajuta shauli yenu
@gessanabuu2099
Жыл бұрын
Mnaogopa binadam wenzenu kuliko hta mnavyomuogopa muumba wenu, ovyooo!
@richshayo4924
Жыл бұрын
Mmesema meli ya nani tena ngoja nimstue Biden 😀
@davidcurtis175
Жыл бұрын
Biden kichaa tu yeye yupo kama kivuli anaendesha nchi ni mwengine
@sbboymkaliofficial9108
Жыл бұрын
Biden ni shoga tu Putin ndo mwanaume 🇷🇺💪🇹🇿
@rajabuissa4013
Жыл бұрын
Au sio
@abdallahibrahim13
Жыл бұрын
🤣🤣🤣mstue namimi na mstua putin
@mayco-channel__1
Жыл бұрын
Nafs ya kuagiza ki2. Ila bei ya tozo ikawa ndefu 😂
@msetikebwasi7270
Жыл бұрын
6609 x 1000 = kilo ????
@chesterbrand6723
Жыл бұрын
Lete mafuta tz
@JerubaalXerxes
Жыл бұрын
Mi nashauri tungejiunga brics kama umoja wa afrika mashariki na sio nchi moja moja tutakwepa shida nyingi sana na mabeberu na ule kutofungamana kutakua na maana zaidi.... tunafurahi kuona marafiki zetu wakongwe wa ukombozi duniani wakiendeleza uhusiano mzuri na nchi zetu za afrika tangu miaka hiyo ya ukombozi hatujasahau na hatutasahau.
@nuruworldinsight2957
Жыл бұрын
Eti brickis 🤣🤣🤣🤣🤣 ndio nini 🤣🤣🤣🤣🤣
@nuruworldinsight2957
Жыл бұрын
Eti brickis 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Unaelewa kirefu chake au unajiandikia PUMBA tu humu mitandaoni 🤣🤣🤣🤣🤣
@JerubaalXerxes
Жыл бұрын
@@nuruworldinsight2957 man hapa ni youtube unauliza nini man. Si uandike hapo brics utaelewa
@BarakerZeonlist
Жыл бұрын
I LOVE RUSSIA
@babuloliondo74
Жыл бұрын
Kwa sisi wapandaji meri tunaita iyo ni kidigidigi kuna meri kubwa zipo sio hiyo meri kubwa tunaita buruuuuki
Пікірлер: 174