Bwana Muhoha ni mfugaji lakini tofauti na wafugaji wengi tuliowazoea; Huyu bwana yeye anafuga samaki na maisha yake anayaendesha kwa kutegemea shughuli hii ya ufugaji wa samaki.
Kati ya sekta za uchumi tulizo nazo hapa nchini Tanzania, ufugaji wa samaki inaweza ikawa ni sekta ambayo watu hawajaitizama kwa karibu sana hata kufahamu fursa zake na kuzihangaikia. Katika video hii Mr. Muhoha anaeleza kwa kina namna gani alianza kufuga, amepata faida ganai na hizi anawashauri nini watu wanaopenda kuanza kujishughulisha na ufugaji wa samaki.
Негізгі бет #VIJANA
Пікірлер: 5