Mafundisho ya dini yanabainisha kuwa njia moja ya kuipata pepo ni kuwa na huruma kwa wanyama. Basi kijana Kassim Yussuf na wenzake wanaufuata mfano huo kwa kuwahurumia paka wengi waishio katika mitaa ya Stone Town Zanzibar, kwa kuwapa chakula na matibabu. Je, wewe unaweza kufanya hisani kama hiyo? #Kurunzi.
- Күн бұрын
Vijana Zanzibar wajitolea kuwatunza paka wa mtaani
- Рет қаралды 14,295
Пікірлер: 24