Hongera sana Waziri,unajua kazi yako vema,Mwenyezi Mungu akulinde na kukufadhili kwa kutenda haki,tena kisheria si kwa mawazo yako na ushirikishaji kwa walalamikaji na walakamikiwa.
@KassimHanga-xr7rb
3 ай бұрын
Tunahitaji viongozi kama Hawa Mungu wanusuru na awalinde Amin
@seemanishekiao
3 ай бұрын
Ameen
@user-bq5pr5rk3j
2 ай бұрын
Mashallah viongozi kama Hawa ni wachache sana , mungu amlinde , ampe afya njema na ambariki katika kazi yake na atimize malengo yake
@rosehaule6765
3 ай бұрын
Mungu akutunze waziri wngu mpedwa nakuombea afya njema na kila la her kaka
@annamwakibinga527
2 ай бұрын
Duh mpaka umezeeka mbunge wangu. Mungu akusimamie
@sein.208
3 ай бұрын
Mtangazaji upo vizuri brother keep it up 💪
@MikidadiChande-wh4ur
3 ай бұрын
Afande anatingsha kichwa kuonyesha anaelewa 😂
@JK-uq1tv
3 ай бұрын
Hii wizara mpaka imemfanya Silaa awe Mzee
@ilakozasembumende1975
3 ай бұрын
😂😂
@salama2625
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂na kazeeka kweli
@helencyprian8745
3 ай бұрын
Kabisa
@user-vh7ll3vp7w
3 ай бұрын
KabsA,
@rehemakanyere4188
3 ай бұрын
Anatumia akili yake saana.Ni mzalendo wa kweli
@wilbardvalerian6556
3 ай бұрын
Mh Rais SSS,Mh waziri wa Ardhi,J. Silaha (mb),namuombea aongezewe ulinzi,anafanya kazi nzuri Sana kwlkwl ❤ 0:44
@abdullahannabhaniy2283
3 ай бұрын
U r wright, kuna wasioridhika naye kwa kuwazuia na dhulma zao
@Josephineexsuper
3 ай бұрын
Safiii. Hii kesi ilikaa sana..mbunge alipapata hapo kiujanjaujanja
@jakayajuma9867
3 ай бұрын
Katika kesi zimeamuliwa vizur hii ni ya kwanza dunian
@rasheedmbaraka7199
3 ай бұрын
Kuna afande kule nyuma yy anatikisa kichwa tu..haha
@rehemakanyere4188
3 ай бұрын
Anaona anachozungumza ni haki
@innocentsisti9556
3 ай бұрын
Akili ya huyu mwamba it's extra ordinary
@FatnaAlly-go7yt
2 ай бұрын
Ooh Allah wajaalie kila wenye haki zao wapate haki zao hakika ya dunia ni mengi na yanachosha
@user-hs7vq1jo2q
3 ай бұрын
Mungu akubariki sana wewe baba
@ttss7716
3 ай бұрын
Kenya ndo kitu kinaendelea kudhulumu watu we yetu walikuwa waona hatuna kakitu wakituangalia walishanga fery walibaki mdomo wazi kweli kabsa mkionekana hamna lolote ndo wana wadhumu thulma haidumu😢😢😢
@RoseMshana-pm8op
3 ай бұрын
Huyu waziri anafanya kazi nzuri sanaaaa , mungu akulinde
@CristinLyanga
2 ай бұрын
Katika watu ninaowakubali kwa kuchapa kazi na kutenda haki ni Waziri Jery silaa,Makonda,Msukuma na Kishimba only wengine bad mnazingua.
@user-wu1oo1ro3k
3 ай бұрын
very good
@karimjuma4019
3 ай бұрын
Jengo hili mussa ndio ttzo hapa yule jamaa muuza viatu ndio aliesababisha nyumba kuuzwa ,ila mungu amjibu maombi yao
@georgejokimos625
2 ай бұрын
Mbona viongozi wengine hawatembelei wananchi jmn, hivi ndivyo mawaziri wanatakiwa kuwa
@lionofjudahtv8796
3 ай бұрын
Huyu sauli ni dhulumati sana jengo la Zambezi mbeya
@samwelnaal7952
3 ай бұрын
Silaa tangu awe waziri wa hii wizara mpaka nywele zimebadilika rangi😂😂
@miriamdavis3893
3 ай бұрын
Chezea ardhi wewe
@alfredymalata269
2 ай бұрын
HUKU MAKONDA KULE SILAA 🔥🔥🔥
@michaelbwoma2760
3 ай бұрын
Safii kabisaaa aisee
@DamasAmos-ue2gh
26 күн бұрын
Wazili slaa mungu akupe myaka 100
@KUPAZAVOICE-uc8ko
3 ай бұрын
SASA PAMOJA NA PONGEZI NYINGI SANA KWA MH SLAA, NAWAIBIA SIRI TU HAYA MADUDU YAPO KWENYE MAMBO TOFAUTI NCHI NZIMA MAWAZIRI WOTE WANGEINGIA FRONT KAMA HUYU AU KAMA HAWA (MAKONDA) NCHI INGEKUWA SAFI SANA. MUNGU ATUONGOZE VYEMA KWENYE KUTEKELEZA MAJUKUMU HAYA.
@safiaothman5175
25 күн бұрын
Mh.Jerry Slaa amgeendelea kuwepo Wizara ya Ardhi na c wizara yoyote nyingine.
@user-ky7mz7qh1o
3 ай бұрын
Uyuu slaaa ni hatari mungu amtunzee😊
@awadhally1052
3 ай бұрын
Amiin
@rehemakanyere4188
3 ай бұрын
Aminaaa
@user-eu6ql9zl7n
Ай бұрын
Amina kubwaa
@mlwalegeofrey5792
3 ай бұрын
Mungu amupe maisha marefu
@aboudasilver6541
3 ай бұрын
Huyo jamaa ni zaidi ya kiongozi yup vizur sana
@ngambikomsu64
2 ай бұрын
Si ndio utamaduni wa serikali ya CCM au wanezuiwa haki yao na CHADEMA wanatengeneza migogoro wenyewe na watendaji wake alafu mnashangilia pyuuuuu
@jakayajuma9867
3 ай бұрын
Very good job lakin mambo ya kubomoa nyumba za watu mm sikuyapenda kabisa
@mussamussa9446
3 ай бұрын
We umependa wanavyodhulumu maeneo ya watu sio
@agapemunyi2095
3 ай бұрын
Mzee kuna sehem jibu lilonyooka ni kubomoa kinachowagombanisha ,hzo ni zege Tu kama hakuna Aman
@HussainMaula-wr5co
3 ай бұрын
Maaskari kama hawa wanafaa sana anamsikiliza kwa umakini mh waziri kamanda apewe maua yake
@IbrahimShan-qu3um
2 ай бұрын
Mungu aku2nze sana mkuu🙏
@sumakibonde5152
3 ай бұрын
Jamani, Nampataje waziri huyu, kuna tajiri amekalia plot yangu kwa nguvu huko Dodoma?
@alumonkisinda4574
2 ай бұрын
mtafute Kwa simu direct
@maidimples8236
3 ай бұрын
Huyu SH amon ni amezidi na kwenye kesi haji anadharau hatari
@paschalpaul3862
3 ай бұрын
Hivi akina lukuvi na yule mama anajihita dokta macula walikuwa wanafanya kazi gani
@hadijamandanje6189
3 ай бұрын
Kwa kweli
@awadhally1052
3 ай бұрын
Hao walikuwa wez tuu
@dancerboy2686
3 ай бұрын
Lukuvi alkua nyumbu tu yule
@elijuskikoto392
3 ай бұрын
Walikuwa mijizi. Tu
@salumally663
3 ай бұрын
Ile wapiga madilii...
@JumaOmar-ku6cr
3 ай бұрын
Mtangazaji unazingua wacha tusikie wenyewe
@FredMwamgogwa-td6ni
3 ай бұрын
Huyu ndio waziri bora na waziri mkuu na biteko wengine wanadimba tuu
@aminaramdan3283
3 ай бұрын
Umemsahau na Waziri ngwajima
@LaizerLogoloi
2 ай бұрын
Waoow uko powa wasiri
@mudhihirissa274
2 ай бұрын
Waziri wa maji mh:Awaso muige huyu j slaa wizara imejaa hujuma hasa huku mbezi malamba mawili sehem nyingi maji hakuna
@user-to4ki3db3j
3 ай бұрын
Toka na sauti lako bhana hapa 😢😢😢😢😢
@Chaku-wu4ix
3 ай бұрын
Kizuri kipongeze ndg yng
@avitusmichael5
3 ай бұрын
Nyoko
@user-wu1oo1ro3k
3 ай бұрын
❤
@marthaswai1185
2 ай бұрын
Hongera Waziri. Uko vizuri mno
@braitonilomo1635
3 ай бұрын
ukovzr mweshimiwaa
@Bilioneabichwa331
2 ай бұрын
Mbunge wa zamani
@husseinkonz5192
3 ай бұрын
Hasara ya kuuza ndio hii
@LusajoKabuka
3 ай бұрын
Ndo wamebaki na makonda na silaha kwani uongo kazi Yao tunaiona hata iweje ccm acha kuchongea
@AbuuFarhaan-ri2yj
3 ай бұрын
Mzee wa white tshirt
@frankvianey2438
2 ай бұрын
Miaka 26?
@user-ny2fu8bu2u
2 ай бұрын
Ongela sana baba mwanangu mungu atakusimamiya mana akuna aneyekysema mabaya
@hajihassan5433
2 ай бұрын
Hivi haya pia mnafanyiwa na Wazanzibar?
@uredmwasembo8579
3 ай бұрын
Katika teuzi bola za mama bola ukimtoa makonda anaye fwata ni wazili uyu Yani awa wawili wanafanya kazi nzuli sana
@allymohamed4764
2 ай бұрын
Makonda namba mbili baada ya slaa .
@abdul-azeezmagram4973
2 ай бұрын
Kama umrona askari anamuelewa waziri tujuane😊
@amosmahona433
2 ай бұрын
Nazidi kujifunza.sijutii kuweka bando langu kutazama videohii
@ip_header
3 ай бұрын
Kodus Mh Wazir Slaa
@user-tm3jl4yx9f
3 ай бұрын
Mawazir wa vtengo vngne wanasubili nnnnnnnn hau hawapo?
@johnmichaellukindo21
3 ай бұрын
1/7 na 6/7 ndio vipi? Nifahamishe i
@user-bl4sy5ei1k
2 ай бұрын
Mjinga ni mjinga tu hao wakipewa hilo jengo watauza muda sio mre´fu ninawapa miezi sita baada ya kupewa
Mnavamia nyumbaza watu wezi nyie na lazima tubakie nyumba ni yetu
@user-wu1oo1ro3k
3 ай бұрын
very good
@user-kr2qr8vx1x
3 ай бұрын
Nikushukuru wazili sraa Kwa hekima Yako...ujamuonea mtu..umempa heshima mzee na mzee sauri pia...mungu akusaidie kwani Dunia inapita...sisi kama waamgaikaji tumetoka mbali na sauri Kwa kusaidia watu kiajira...na mzee nae najua kasaidia kasaidia wengi...mungu awafanyie njia hata pasipo njia...bigap sana wazili Kwa hekima...mungu atakulipa Kwa kutenda haki bila kumwasili mtu.
Пікірлер: 95