Kaona maovu yote yanayokemewa hayakua maovu.... kiongozi mithili ya msigwa ni maslahi binafsi kwanza...haki,uhuru wa watu, demokrasia na maendeleo ya watu kwake haikua kipaumbele n its so sad! 😢
@SaidAlly-uh4qw
2 күн бұрын
Chadema imeoza haina mvuto tena
@SaidAlly-uh4qw
2 күн бұрын
Chama cha mbowe hatuwezi kuwaachia hii nchi hata muandamane hapa hadi marekani mtaishia kupiga kelele msigwa kafanya maamuzi sahihi... Ccm oyeee
@eunho9529
3 күн бұрын
miongoni mwa wanasiasa niliokuwa nikiwapenda binafsi ni msigwa, lakini kanisikitisha kwa kitendo chake cha kuamia ccm, kwa maana hiyo msigwa anaenda kula matapishi yake mwenyewe. sioni kama ana impact kubwa kwa chadema. kumzidi alivyokuwa Dr. Slaa.
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
3 күн бұрын
MUSIGWA tamaaa imekuponza ndiyo kwisha yako kisiasa
Пікірлер: 6