Mayahudi na Manaswara ni watu waliopigwa mihuri abadani hawawezi kuacha hila na unafiki Mungu alishawadhaliliaha haki kwao ni batili na batili kwao ni haki huku wakijinadi wanafata kitabu rudi kwenye historia waliwauwa mitume na maswahaba kwa hila licha ya wao kupewa haki zote na uhuru waliwageuka,rudi ktk kuporoka Ottoman Empire licha busara lkn hawakuicha hila iliopo ktk damu zao.
@zahornassor5420
7 күн бұрын
Piga mashoga mpaka waache kupumuliwa pumzi za kichogo...free Palestine 🇵🇸
@SabihaibrahimRajabu
7 күн бұрын
😂😂😂
@HassanJaphari-rx7jy
5 күн бұрын
😅😅😅
@Znz-news
6 күн бұрын
Ningependelea uwepo wa taifa kama la Iran Afrika lenye nguvu na misimamo
@MussaMuhandeni
6 күн бұрын
@@Znz-news Uwepo wa John Magufuli 😭 ilikuwa unatupeleka huku ,japo wametuwahi na wangetuwahi tu.Ni Bora huko, AFRIKA haiwezi kuthubutu kufanya hivyo hata kidogo ,itajikuta ndani ya UKOLONI walazima,,,hili ni shamba lao Mzee
@Znz-news
6 күн бұрын
@@MussaMuhandeni hujasikia kuna jamaa watatu Burkina Faso Mali Niger wamejiunga na umoja wa brics ndio mwanzo huo
@AllySibila
5 күн бұрын
Mimi hii Afrika nitakuja kuitawala yote kua nchi moja wallah comment yangu iwe kumbukumbu@@MussaMuhandeni
@hamoudabdullah5497
6 күн бұрын
Wamagharibi hawaaminiki kwasababu ya tabia yao ya unafiki
@AmaniKizinga-ew9mk
7 күн бұрын
Waongo hao
@MussaMuhandeni
6 күн бұрын
Hakika ni Waongo ,,Iran wawe na tahadhari kubwa !!!
@SADICKITHOMAS
6 күн бұрын
Waajemi washawasoma akili zao awa devil wenye mambo mengi ya kumkufuru i Mungu wizi uonevu mfn sauzi makaburu waliua sana ndugu zetu na hadi sasa wanatutawala Africa hawataki vijana tuwe hata na small business cz wanajua tutapiga hatua vipengele kibao kwa govt za Africa daily Zina crush biashara za vijana badala ya kuwasapoti dah 🙉🙉
@mtulivu-ir1nq
7 күн бұрын
Wanaumwa sana Yani wanaona Raha kuuwa wao tu ila wao kuuwa wauwe mbona hawajakaa na Israel kumzuia na mauwaji anayoyafanya
@hamadsuleiman5177
6 күн бұрын
Kwanza waziwache Syria, Lebanon, na Yemen Mbwa wale (Israel) na kila siku wanafanya mauaji na hakuna anasema....Waacheni Mayahudi waonje nyota ya jiwe sasa
@samuelnthia8858
3 күн бұрын
Wee muongo, Israel itaangamiza ran ngojatu utaona,wakisa muhafaka.
@AfzalShah-gp5oj
7 күн бұрын
Duuuh baada ya kuweka vikwazo muda mrefu
@MaryamIssa-y7v
6 күн бұрын
Damu zao zinathamani sn kwann wasiingilie kati ikiwa raia wasio ata na jiwe mkononi wakichinjwa kila leo tokea 1948 na kunyang'anywa ardhi zao huku wakicheki kama vile wanaangalia katuni,iweje ww watake amani kwako huku wakiangalia muvi za mauwaji za watu wasio na ulinzi wala silaha.
@ChukuMrido
6 күн бұрын
Nice
@mussamabawa2973
7 күн бұрын
MashaAllah
@MussaMuhandeni
6 күн бұрын
Naionea Huruma sana Iran ,, ,, hao watu siwakuwapa muda wa Mazungunzo .Irani itapigwana Israel baada ya lugha laini kutoka kwa hao MASHETANI
@martinisadru9899
6 күн бұрын
Sio kweli hakuna jambo baya litalo malizwa kwa mtutu wa bunduki,,, bali mazungumzo ya haki na kweli, ndipo amani huja.
@MussaMuhandeni
6 күн бұрын
@@martinisadru9899 Elewa Israel inatoa maandiko ya Mussa na Joshua wakimaanisha kuwa wao ndio wenye uhalali wakuwepo ENEO lote Lile..Hivi unaamini miaka 20 elf iliyopita ni sahihi kutumia ramani yake Leo.Msikilize vizuri Netanyahoo utajua nn upuuzi wa Israel!!!
@martinisadru9899
6 күн бұрын
@@MussaMuhandeni kama sio sahihi kutumia ramani asili na za kale! Kwanini hua mnaenda kuhiji maca? Wakati ibrahimu aliijenga zaidi ya miaka 100000 ilio pita. Hivo na wao lazima wafuate asili ya inchi yao.
@MussaMuhandeni
6 күн бұрын
@@martinisadru9899 shida ni Ibrahim na Ibrahim ni wawote .Elewa hata hiyo Makkah uliyoitaja wanaihitaji wanadai wanahaki nayo.Wewe TAFAKARI Wewe ni Muafrika usijazwe upepo na Mazayuni hawana mpango na Wewe zaidi ya kutaka chakwako !!!
@Aziz-p6s
6 күн бұрын
Huwezi kukomboa watu kwa kuua watu huo ni upumbavu
@AllySibila
5 күн бұрын
Vita vinavyoendelea ni baina ya uislam na ukafiri uislam una mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu wanademocrasia wanalijua hilo ndo mana hawataki kuacha Vita ktk mashariki ya kati
@KilimbikeHaji-iy2fm
7 күн бұрын
Makhalibi upo bega Kwa bega na izziraili kwani lengo lao kubwa na kueneza ushoga tu duniani hilo ndio kusudio laoo kubwa
@KhalidHashim-y4n
6 күн бұрын
Israel ni mlango wa kuingia mashariki ya kati kwasababu nchi nyingi za bara Arabu wanawapinga
@MaryamIssa-y7v
6 күн бұрын
Hao ni madhwalim wanachohitaji wao ni mali ulionayo sio amani kauli zao matendo yao haviendani siku zote,Dunia ndio pepo yao.
@azizmiraji2610
6 күн бұрын
Shenzi kabisa mpaka wamekubali wenyewe
@SadaHasimu
7 күн бұрын
Netanyau kalanika na damu za.watu wasiyokuwa na khatiya Mungu ipo siku atajibu roho zote zilizofosiwa kutolewa hapa duniani kiguvu
@andersonyona9004
6 күн бұрын
Siku alifanya ndio mwwisho wake Ile nchi ni ndogo sana muajemi akishusha mizigo mikubwa ni hatari rejea ukubwa wa Israel na Iran ndio utajua kwanini Israel hataki vita na Iran
@Karimu-kz4hu
6 күн бұрын
assalaam alaykum dada sada.
@Karimu-kz4hu
6 күн бұрын
assalaam alaykum
@Karimu-kz4hu
6 күн бұрын
assalam alaykum dada sada hashim.
@shadrackjuliuskaboya5239
6 күн бұрын
*irani kuna mafuta*
@aediayumgo8546
7 күн бұрын
Donald Trump anakuja hma deal hapo😅😅
@GabrielMathaw
7 күн бұрын
Wauwane tu
@Mumewangu
7 күн бұрын
Ulaya wanafiki tu kesho watabadilika na kuanza tena kumuwekea vikwazo
@ismailmasoud6001
5 күн бұрын
Lazma iwe hivyo, maana mtoto wao Mzayuni kapewa kipigo cha MBWA KOKO..!
@AmaniMathod
6 күн бұрын
Israel wapo wachache sana kwaiyo wameon Iran Wana nguvu kubwa SANA ya jeshi
@samuelnthia8858
3 күн бұрын
Jua Israel ni nyumba ya Mungu.
@Herson-yw6cn
7 күн бұрын
Irani awe makini hawa jamaa hawaishi utapeli
@SeifMassoud
7 күн бұрын
Anawaelewa vizuri hawaamini hata chembe
@makengomambo7310
7 күн бұрын
Wale n wanja, wanamfubaza ili wampige kisawasawa, Hanna mazungumzo ya maana
@dicksonmbuta6700
6 күн бұрын
UZURI IRANI UKIMPIGA NAE ANAKUGONGA VIZURI TU
@KilimbikeHaji-iy2fm
7 күн бұрын
Haoo wamakhalibi nisawa na mashoga tu kwani haoo ndio wanao mfazili muizziraili
@hassanthabit3726
7 күн бұрын
WAONGO SANA WAMAREKANI NA ISZRAEL
@IsmaiylMujaahid
6 күн бұрын
Asikubali hao ni wanafiq wanataka kujipanga vizuri wamalizwe kabisa
@MussaMuhandeni
6 күн бұрын
Sahihi Wanataka muda wakujipanga,, ,, mbona Lebanon wanaipiga Kila siku wanajifanya hawaoni ,,, MUNGU yupo atatia nafasi tu kwa Lebanon
@kwisa4899
6 күн бұрын
Wananua Russia na china pamoja na kiduku wapo nyuma yake
@nassoromfumya7319
7 күн бұрын
Uzuri mrusi saivi yupo pale, ujasusi wa rusi unafanya kazi pale defence forces iko pale so utapeli walioufanya wakati wanamuua Nasrallah kwa kuitisha kikao cha cease fir, now hawawezi tena
@AbdallahSalim-is3db
7 күн бұрын
Any wairan kumbukeni kuwa wanataka amani kwa sababu washajua kua mshawashinda...pindi wangekushindeni nyinyi basi wasingetaka mazungumzo wala ahadi. Nakuombeni piganeni nao hadi wakulipeni kodi na gharama za silaha zenu mlizo zitumia.
@PetroMpunga-rt7hv
6 күн бұрын
Wanawapumbaza tu, hakuna amani hapo
@RaibebeBebe
6 күн бұрын
Netanhaho hapigani na jeshi yeye anaua raia ,damu iliomwaga kama ni nchi nyingine ingeshavamiwa na wamagaribi ila wao ndio wanamtuma Kwa maslahi yao
@nassorsharifu9837
6 күн бұрын
Kweli kabisa
@SamweliJacob-bm2ij
6 күн бұрын
Wea mashalik ya kati anayeaumbua ni izarael sio iran wafanye mazungumzo na izarael bwana vp hawa iran awez kumalisz migogolo ya mashalik yakat inamaana wanataka wazungumze nn kwamba wakipigwa na izarael wasiwe wanajibu au? Waongee na izarael anayepigana na rebanoun iran yemen gaza hezboller inch moja inapigana na inch 4 af unaongea nn na iran wakat mtotowako umemshindwa kumlekebisha tabia unataka ukamlekebishe tabia babayako wakt mwanao kakushinD mbn netanyau amekataa kusitish vita je atasitish iran AF IRAN IWE MAKINI KATIKA HILI HUU MCHEZO HUU
@HassanJaphari-rx7jy
5 күн бұрын
Daah! We jamaa inaonekana unauwezo mkubwa wa kufikiri
@MariamRamadan-tp7ce
7 күн бұрын
Yani Iran 🇮🇷 ilitakiwa ikatae ili wamalize vita kwanza ya Lebanon Na palestinian
@mohammedalishamis9405
6 күн бұрын
Hayo mazungumzo atatoa masharti yake Iran kazi itabakia kwao wayakubali au wayakatae
@babazizu1255
6 күн бұрын
Ewaaaaà hapo mtafanya la maana ss co kuleta upuzi wenu muwe mnaitetea Israel wakati wao ndyo wagomvi namba moja
@RaymondPaul-bs7su
7 күн бұрын
Kwa sasa Irani Isiamini kinachosemwa na Marekani they are not really
@adamlikati3364
7 күн бұрын
Shenzi kabisa baada ya kuona mitambo yao imefeli sio
@MOSESIMCHUNGUZI
7 күн бұрын
ACHA UJINGA HIZI NI PRAPOGANDA ZA KIVITA, SUBIRI UONE IRAN ATAKACHOFAYWA
@SabihaibrahimRajabu
7 күн бұрын
@MOSEnyooSIMCHUNGUZI
@AzizihFarijala
7 күн бұрын
Kama yeye atalipiza Israel na Iran naye atajibu na hiyo itakuwa vita ya nyukria.mungu atuepusha na hilo tusishabikie vita Ile ni mbaya saaana siyo ya m23 na Kongo Ile shauri ingene Dunia inaweza kukaa hawa wakianza kupigana Israel na mme wake marekani wanapanga.jinsi ya kujibu . Mungu atuepushe na balaa hili Amina
@mayanmlingwa4250
6 күн бұрын
@@MOSESIMCHUNGUZIkwani mwezi wa 4 huyo shoga yako Israel alilipiza??tuanzie hapo kwanza(hivi mchokozi ni nani) yaani inawezekana vp Tanzania tukapiga bomu Uganda ili kumtafuta SATIVA,,,alafu Uganda akiongea na kulipa kisasi anaonekana mbaya.
@HaniaAbdoul
6 күн бұрын
Una amini kwamba kuna kiongozi duniani leo anae iamini marekani???@@MOSESIMCHUNGUZI
@RamlaMburi
7 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Isack-b9k
7 күн бұрын
NY is hamjielewi I've kwel wazngu wanaweza kuomba poo kwa Iran? Vfo viongoz wa Hezbollah , Hamas qasim Suleiman na milipuko wakat wa kuazmisha life cake hampat jib TV ya upumbafu iliyokosa utafiti
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
7 күн бұрын
Wew Nimjinga usie jielewa unajua umhimu wa iran au unaongea unajua mafuta yote ya middle east yana pita iran
@omaryjumas6327
7 күн бұрын
Iran ni kidume, dunia yote inaendeshwa na mashariki ya kati kirasilimali, na hata mitume wa Mungu wote wametoka hapo.
Пікірлер: 87