Mwenyezi Mungu akulinde akuongezee Mika mingi Kwa kusema ukweli ,hata kifo cha Magu ulisema wakakubishia badaye ilithihirika kuwa wewe ndie ulikua unasema kweli.
@lucaspaulo5371
Жыл бұрын
Nafurahi sana nikiona sahii tu mmeshaanza kumkumbuka Magufuli sawasawa na neno lake akisema najua siku moja mtanikumbuka si kwa mabaya ni kwa mazuri sababu nimesakrifais maisha yangu kwa ajili ya watanzania masikini.
@lilydickson740
Жыл бұрын
Yaani Acha tu, inaumiza sana Mungu atusaidie
@sonnyr1899
Жыл бұрын
Hawa ni wanafki sana walimpinga Magu sana katika kila jambo alilofanya. Sasa Leo wanaanza kujitekenya wenyewe. Yule ndio alikua makini na kutosaini mikataba tata.
@abelmbilinyi1262
Жыл бұрын
😮❤
@hannahharis6210
Жыл бұрын
Yeah wanafiki vile hawajagaiwa pesa na wao !wangekua wamegawana wote wangekaa kimya
@musarajymusa2649
Жыл бұрын
Asante xana Kwa kuweka ukweli ndani ya huo mkataba maana walituzuga sana bila kuelewa 🔥🔥 xana man
@clemenceparokola
Жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu kaka
@queenraphaher7736
Жыл бұрын
Huyu ni mwanasheria tunakusikiliza kwa makini.
@salehkhamis9994
Жыл бұрын
Mwanasheria kwako tu lissu anasapoti mapenzi ya jinsia moja ushoga hizo Sheria za lissu utazisikiliza ww tu
@evodirudo4813
Жыл бұрын
Safii Sana Kaka Lisu Mungu akujalie afya tele skuzote za uhai wako. Naomba kw msaada wa watu wachini ambao hawajui kingereza mfanye utaratibu wa kuutafsiri, kuuchapa huo mkataba Kwa lugha ya kiswahili na muusambaze kwenye mitandao yotee ya kijana watu wasome wote.
@omaryhabibu2746
Жыл бұрын
Ccm 2025 hakuna kupitia kwanza huyu mama hafai kabisa kuwa raisi mwizi tuu
@kamanapomo7029
Жыл бұрын
@@omaryhabibu2746 zezeta mkubwa fatakumbo, hiv unajua unacho simamia pumbuv wew, unajiingiza katka mtego wa ngiri kwann! Kama hujui kitu kaakimy
@officialfredoo3549
Жыл бұрын
@@kamanapomo7029kuma la mama ako
@karimhgau9020
Жыл бұрын
Tembea inchi nzima kutuelimisha zaidi ulipokua inje ya inchi nilikua sikuelewi lakini sasa wanainchi wengi tumeanza kukuelewa kabisa.
@kefajoseph158
Жыл бұрын
Tutasumbuana kichwa bure Tanzania hakuna bunge Wala rais tuna nguruwe bungeni kule hamna wabunge zile ni nguruwe na mashetani
@@lightnessmushi8137 mkataba kwanza mengine baadae
@chomasongidion6047
Жыл бұрын
Wote watakufa mungu amesikia
@kamanapomo7029
Жыл бұрын
@@lilykarim8968kwani mkataba unasemaje? na nikifungu gan chenye utata au ndio bendera fuata upepo! ebu acheni ujinga
@nelsonmgaya1490
Жыл бұрын
Nipo ITIKADI tofauti, lakini kwa hili tupo pamoja saaaana!!
@onesmojustice2348
Жыл бұрын
Kabisa kiongoz ata Mimi tundulisu sio type yangu lakini hapa Niko nae kwenye ili😂😂
@user-ep2cm5xo3k
Жыл бұрын
Tuungane tutokomeze maharamia.
@levinaernest4364
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@zuenahamoud1532
Жыл бұрын
Magufulication forever mtanikumbuka
@SilaKayagwa-gt7zg
Жыл бұрын
Mungu awalinde watu kama hawa Jesus name
@omaryramdhani9823
Жыл бұрын
MUNGU HALINDI MIJITU YA HOVYO HOVYO KAMA HUYO NA ANAE MUUNGA MKONO
@mayalakatema2576
Жыл бұрын
@@omaryramdhani9823 unaongea ukiwa wapi ? Ukweli ni kwamba huna akili ata kidogo ata kama ww ni CCM hapa umechemka
@barakamalanga4977
Жыл бұрын
Ashamlinda Sana tu,na baado ataendelea kumlinda🙏🙏
@ramadonehp18
Жыл бұрын
@@omaryramdhani9823sasa mungu kaweza mlinda asiuwawe kwa lisasi 16 mwilini mwake ilikuwaje hapo
@trillhappybeautypoint9874
Жыл бұрын
Aiseee hapanaaaaaa vidonda visivyopona🙌 Rest in peace dady Magufuli 😪
@maduhuboniphace3474
Жыл бұрын
Kweli magufuri hakupenda mambo hayaaa
@rashidsalim7078
Жыл бұрын
Lkn pia hakuruhusu ujinga km huu 😂😂
@user-qo2nf6vm7k
Жыл бұрын
Huyu mchambawima atuachie nchi yetu
@rosetreffert6727
Жыл бұрын
Kabisaa
@kalutalumenge5260
Жыл бұрын
Mtanikumbuka kwa mazuri na sio kwa mabaya. RIP Mfalme JPM.
@del-mohaa7527
Жыл бұрын
Nakwambiaje haya anayoyaongea mukishampatia kura ile kuja kuwatesa huyu mtu mutashangaa anaongozwa na mabeberu na siku zote mabeberu hawapendi kuona africa wakienuka sasa huyu ndie kaja kumaliza tanzania mutanikumbuka RIP JPM.
@yassinhamza1969
Жыл бұрын
Lissu kaongea point sana
@user-ic6js4sc8u
Жыл бұрын
Walaaaniwe wote wanaotaka kuteketeza nchi eee baba wa mbinguni wewe ndio uliumba kila kitu mpaka binadamu na mawazo yake nakuomba ,, teketezaa kila binadamu mwenye Nia na mawazo mbaya na nchi ya Tanzania wafeee wotee uitee nchi Amen
@kefajoseph158
Жыл бұрын
Kweli bhana MUNGU ATUSAIDIE
@menshitunze
Жыл бұрын
Mungu atatusaidia,maadam ameamua kuwa wazi.
@omaryramdhani9823
Жыл бұрын
HAKUNA CHA BABA WA MBINGUNI WALA ARDHINI KUCHUKIA KWENU WAARABU HAIWEZI KUA SABABU YA KUACHA KUPEWA BANDARI.KUFENI NA MACHUNGU YENU
@omaryramdhani9823
Жыл бұрын
@@kefajoseph158MUNGU HASAIDII MIJITU YA HOVYOHOVYO
We hear you @Lisu This is for the Nation and the generations to Generations - Our greatest Nyerere could sell the whole Nation to whoever - But he has Heart/Brain and Love to not only Tanzanians but the rest of African people.... Africans we should keep our heads ups.
@machintangachibwena5922
Жыл бұрын
Nyerere alikuwa kibaraka tuu naye
@alanusrespicius1796
Жыл бұрын
Mimi nikiikamata hii nchi, nafuta bunge maana halifai hata kidogo.
@ikouwasi7644
Жыл бұрын
jeuri huna
@salehkhamis9994
Жыл бұрын
Kumbe ukiikamata.. ndoto za mchana hazifai unaota unajenga angani we kweli chizi
@mauadumba7842
Жыл бұрын
🤣😂 hii nchi
@jamalmbaraka6180
Жыл бұрын
Wenye kuelewa wameelewa maana mambo ambayo ayafafanuliwi Kwa kina ni mengi
@user-xb2mq5mz7t
Жыл бұрын
Mungu akurinde tund lis do maana mungu alikutetea
@RoseNoah-rz3jh
Жыл бұрын
Barikiwa sana mama nchi imemshinda mungu atusaidie
@alirama1897
Жыл бұрын
Acha ujinga huo vv nahao hamwezi ata kuuku acheni kupotosha wanaume
@yesunialamayakiama.9013
Жыл бұрын
@@alirama1897 Ungeweka angalau hoja moja ya kuonesha wanavyopotosha!
@user-yq2ov9rx7k
Жыл бұрын
@@yesunialamayakiama.9013yaah iyo ndo point
@maikomatayo2794
Жыл бұрын
Kwakwel mungu akupe maisha marefu yenye baraka na Aman tundu lissu
@abdallahally842
Жыл бұрын
Mungu amdhalilishe Kwa uhaini
@jeffhard5773
Жыл бұрын
@@abdallahally842aanze na wewe kwa upofu wa macho
@kamanapomo7029
Жыл бұрын
@@abdallahally842 😁😁😁😁
@prosperjohn2047
Жыл бұрын
@@jeffhard5773Mzanzibar ww
@regansaid9784
Жыл бұрын
Watanzania wenzangu tuletewe malaika wa aina gan atueleweshe jaman
@youngsachafurniture5482
Жыл бұрын
Acha tuu aiseee
@shinipapaya846
Жыл бұрын
Huna akili hata chembe 😂😂
@jafariomari3552
Жыл бұрын
Nakumbuka ndugai alisema nchi itapigwa maana yake ndoo hii....ukishindwa kulipa deni unalipa ulichonacho
@YonaMjema-ci4gv
Жыл бұрын
Alipoongea Ndugai walisema amebugi lkn alikuwa anajua
@mariammalendeja370
Жыл бұрын
hyu jamaa nae akishakufa tutmkumbuka kama maghu
@jessegodson8575
Жыл бұрын
Hata wafanyaje MUNGU atakataa kufa kwa lissu maana siku yake haijafika ndio maana risasi zimemshindwa kumuua
@nassonsimwanza1437
Жыл бұрын
Lisu hongera kwa ufafanuzi mzuri.Tuwaongeje Ccm na Serkalikuu.
@youngsachafurniture5482
Жыл бұрын
Awana mpya watakuja bwabwaja tuuu
@luckygmdegela8477
Жыл бұрын
lisu leo umeongea vema,,,kikawaida ,lisu mimi huwa simkubali coz alikuwa ana discourage sana movenment za maendeleo za HAYATI MAGUFULI , because am so positive leo nimeona , vile umenipa nilicho kuwa nakitafuta maana,mimi naipenda sana nchi yangu na ndio maana nilimpenda sana magufuli , hivyo kiufupi RAISI wa sasa TANZANIA , ni vema aangalie taifa hili linahitaji nin na si yeye anahitaji nni hatuwezi tukawa watumwa katika taifa letu wenyewe , miaka yake ni michache kiutawala ila taifa hili lipo na umri mrefu sana na wanufaika ni kizazi cha sasa na cha badae hivyo ,ni dhahiri ubinafsi na kuto jali rasilimali za nchi ni kutalipoteza taifa hili .
@vedastamalekela8711
Жыл бұрын
Ivi nikweli wabunge kwenye mkataba huo hakuna vipengele ambayo mliviona avina tija Kwa wananchi mkavikosoa kweli jamani🙏
@Fabianfideltz
Жыл бұрын
Tanzania Haina bonge mamuzi anayo rais 😢😢😢😢
@eradiusdezideri
Жыл бұрын
Nyinyi mnatusaidia watu wa chini maana wanaoteseka ni WA Hali chini
@shadrackjuliuskaboya5239
Жыл бұрын
*nilishtuka sana pale nilipoona lile jengo kubwa la Dubai kuonyesha bendera yetu pamoja na mama nilijua tuu Kuna namna hapo sio kawaida kwass watu tuliosomea cyuba tunaelewa ukitaka kula na kipofu usimguse*
@clementkaswaga769
Жыл бұрын
😅😅😅😅sawa watu wa Cuba
@aishafrancis7714
Жыл бұрын
Huyu ni mrokaji ila mengi anayajua hata kifo cha magufuli nilianza kumsikia yeye akisema viongozi waseme ukweli raisi yuko wapi wakakaa kimyaa gafla ametangazwa amekufa raisi daah 😢😢😢😢😢😢😢
@user-bs2nr7gz5p
Жыл бұрын
Nayeye aliyetaka kumuua anamjua pia maana alimiminiwa risasi kushinda tembo
@zumbeshauri8114
Жыл бұрын
Hahahaa leo kamsifu magufuli?😊
@shahadaushindi7745
Жыл бұрын
Mropokaji ni wewe, ambaye magufuri alikuwa Mungu wako. Lisu hawezi kueleweka kwa mataahira anaeleweka kwa wazalendo
@angellomarcel5677
Жыл бұрын
Au Atakuwa alihusika kifo chake..?😅😅😅
@youngsachafurniture5482
Жыл бұрын
Sasa ww unafanana nae au ww chocolate tuuu
@chomasongidion6047
Жыл бұрын
Kwa sasa bola mungu awauwe viongozi wote hakiyamungu wafe mungu pokea dua hii,ili waje wapya wazarendo, Amin imeisha hiyo
@muyajuma6278
Жыл бұрын
Namuomba Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema muumba mbingu na ardhi na vyote vilivyomo akupe maisha marefu mheshimiwa Tundu Antipasi Lissu ili uendeelee kuwaelimisha wa Tanzania wengi mpaka watakaposema Sasa hawa viongozi wanatuchezea Sasa liwalo na liwe 😭😭😭😭😭😭
@jonaswamamajonah2687
Жыл бұрын
Qqqqqqq
@kamanapomo7029
Жыл бұрын
Wew nahisi hauna akili na Kama unazo bas zipo sehem ya hajakubwa waulize wanao jua vita watakuhadithia, huyo mnae muona kua mkombozi aliku ulaya kwa muda gani? na kwann karudi na huko alihifadhiwa na nani? na kwann yupo hapa kwa sasa! Kilichomkimbiza mwanzoni ni nini?, huo mkataba mnao upigia kelele nani alie kutafsirieni katka woote hao wanao kupotosheni au mmewahi kuambiwa kua ni kifungu kipi chenye utata! acheni kucheza mchezo wa kujiua
@abdulhakimsaleh6899
Жыл бұрын
Mungu amuwe
@gibsonjosephat6352
Жыл бұрын
Wafanyabiashara wetu wanaumizwa kwa kubambikiziwa kodi. Leo wanabinafsisha Bandari kwa kisingizio eti inaendeshwa kwa hasara wakati wahuni wezi wanaachiwa wanaiba Mali za maskini badala ya kusimamia uendeshaji kwa kuwaondoa wezi na kufanya ufuatiliaji na kuweka teknolojia.
@youngsachafurniture5482
Жыл бұрын
Yan kifupi tunaenda kuzika hii nchi aiseee
@user-gw6yc2hw7h
Жыл бұрын
Jamani nasikitika sana kuwa na wabunge kama hawa
@hashimchaoga9566
Жыл бұрын
Hii inaweza ika affect uchaguzi ujao kama maoni ya wananchi yatadharauliwa. Wapinzani watapata pointi muhimu kujipatia kura .na hao wanaoshangilia sasa hivi kupoteza viti vyao
@AminialiAli-vv4yk
Жыл бұрын
Tz hii ccm ipate kura kumi tuuu itaongoza nchi
@SinemaZaChina
Жыл бұрын
Kuna watu uwaambii kitu kuhusu ccm bado watu awajapewa vitenge na jezi za Bure 😂😂😂
@belovedflorence4109
Жыл бұрын
Kura zetu hazihesabiwi, ni mazingaombwe.
@GEOPHINELUGWISHACHARLES-fs5gn
Жыл бұрын
Neno la John ndugai IPO siku nci itapigwa mnada
@hamicpina1151
Жыл бұрын
Samia ukimlza bandari naomba uukodishe na mkoa wa kigoma mana watanganyika si wametupora vingpi uza kila k2 hko adi vichogo wakatae muungano
@digostjafety6070
Жыл бұрын
Mungu yupo juu sana ,,ndo maana alikulinda walishindwa kuua
@dennischarles8524
Жыл бұрын
Creativity at the highest level
@mariamsaid6166
Жыл бұрын
Mungu akulinde na mabaya yote, maana kutusemea wanyonge si kazi ndogo maadui lazima wawepo
@user-yq2ov9rx7k
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@restkalemile5274
Жыл бұрын
Huyu mama hana chake 2025, asitegemee kuchaguliwa.... 😭😭 Hana uchungu na hii nchi
@salomewandya7257
Жыл бұрын
Kabisaaa
@user-ce5zf4oz6l
Жыл бұрын
Hii ndio shida yakua nakiongozi ambaye hajachaguliwa nawananchi,hawezi kua nauchungu nanchi hii,hawezi kuitetea hii nchi,maisha yamekua magumu sana,bado viongozi wanafanya vitu vyahovyo,yaani hata msukuma tuliyemwamini,???,kweli wamehongwa pesa nyingi,wazirudishe tu,wabunge vilaza kabisa,kweli pesa ilimuua Yesu,daaa niaibu sana,bora kuongozwa namaroboti kuliko hawa watu,roboti linajua boksi hili nimetoa hapa niweke pale,lakini banadam anasaini takataka kama hiyo kweli????Mungu asimame tu.
@Punda284
Жыл бұрын
Mungu ameona mtumishi,Sasa atafanya kabla ya 2025 Mungu ni mkweli zaidi inatosha.
@kamanapomo7029
Жыл бұрын
Jaribuni muone
@kamanapomo7029
Жыл бұрын
Subutu! Jaribuni muone
@danielalmas6595
Жыл бұрын
A man of the other ranks bigup
@mbwanaomary7537
Жыл бұрын
Mtanikumbuka kwa mazuri na sio mabaya! Big up Mh lissu kwa kuendelea kuwafungua akili watz
@salomewandya7257
Жыл бұрын
RIP Magu
@eliudjamess4231
Жыл бұрын
Huyu mama nchi imemshinda aachie tu hakujifunza chochote kwamtangulizi wake ni jinsi gani nch inatakiwa iendeshwe in short anakurupuka
@mimiraia2531
Жыл бұрын
madubwasha fulani yalienda pale yakauze nchi
@ElishaDuka
Жыл бұрын
Samia ni adui wa taifa hili hususan bara ametuuza 😢
@athumani543
Жыл бұрын
NI CHUKI NA WAARABU TU AKA WAISLAAN TULIONA HATA OIC NA MAHAKAMA YA KADHI MLIVIMBA MASHAVU SANA TU ILA MIKATABA YA MEMORANDUM OF UNDERSTANDING MIDOMO YENU KIMYAA KWELI NI WAPENDA HAKI AU MNAIENZI BETTER CHANCE YA BABA WA TAIFA
@helenkahema2636
Жыл бұрын
Ndiyo maana Mungu ni alikuacha uishi Mungu tusaidie Tanzania
@barakaburiba
Жыл бұрын
Kwel Mungu alijua umuhimu wake
@hamismohamed3541
Жыл бұрын
Nchi ya kimalaya sana hii kweli kuishi Tanzania sio kaz ndogo
@khadijajacobo627
Жыл бұрын
Mungu pigania nchi yetu isamehe Tz, ibariki Tz
@juliuskitaluka1206
Жыл бұрын
Nafikiri inabidi tuache mzaha katika Jambo hili
@user-hk8tu5tg6v
Жыл бұрын
Lisi tunakuelewa sana watanzania tunalia sana mbuge ndio kimbilio letu ila wamelongwa
@demageraconstantine6823
Жыл бұрын
Àaaà
@hashimchaoga9566
Жыл бұрын
Asemayo ni kweli kabisa kuna vipengere vya ovyo sana viko wazi lakini watu wanavipindisha au kujifanya hawavioni. Na haijulikani kama ni uwekezaji ukodishaji au ubia.
@Baba-nm4qz
Жыл бұрын
Ebu taja kipengere cha hovyo
@onesmojustice2348
Жыл бұрын
@@Baba-nm4qzhujamsikia lisu hapo ? Amekuambia onyesha sehemu inayoonyesha kuwa tutapata ata mia kwenye huo mkataba onyesha😂😂😂
@denismvula300
Жыл бұрын
@2348 mwamba anavunga hajasikia
@husseinmusa5697
Жыл бұрын
Tundu lisu.muongo.sana
@salehkhamis9994
Жыл бұрын
Mimi sipotezi muda wangu nikalisikiliza hili lissu ni shoga2 linasapotu mapenzi ya jinsia moja
@yannicksakisa7830
Жыл бұрын
unajuwa hii nchi inapoelekea inaelekea kubaya sana kwasababu marehemu magufuri aliyapinga kabisa haya lakini baada ya kufa tu imekuwa nifuraha kwao leo hii alienacho ndio yuko juu ambae hana anateseka poleni sana watanzani kwani huu ndio mwanzo picha bado harijaanza
@perisiverympwenku139
Жыл бұрын
Bandari ya daresalaam haina ushindani na inapoteza wateja kila siku sgr haitakuwa na faida pasipo kuwekeza banndarin kwa kuvutia meli kubwa za mizigo kutumia bandari ya dsm...mkataba ukiwa ni mzuri haina shida 50/50 .
@otianasanga9106
Жыл бұрын
MUNGU alikunusuru alikuwa namaksudi yake utaishi sana asantee kwatuelewesha na kuwafungua masikio hao wengine mengi mnawasaidia
@mlyabopenghosha5965
Жыл бұрын
Sema ukweli mzee kwakweli tumeuzwa.
@clementiddi5708
Жыл бұрын
Ulikuwa huelewi mpaka leo?
@LaurentZacharia
Жыл бұрын
Hongera kwa kusema ukweli
@abdallavictory6723
Жыл бұрын
Ninachojua wamewawahi kwenye kuongeza mapato' lazima utatukana sana na kutumia nguvu kubwa, kuakikisha nchi na Uongozi mambo yao hayafanikiwi,
@adamrajabunkungu5222
Жыл бұрын
Aise nchi yetu ndio hivyo tena,tutamkumbuka mwenda zake, mungu inusuru nchi yetu itoke kwenye hili dimbwi
@aminasaid1655
Жыл бұрын
Hakika
@danielbernad9063
Жыл бұрын
P
@mossyfimbo3577
Жыл бұрын
Tutamkumbuka? si ndio tunamkumbuka
@PENTESTING122
Жыл бұрын
hakuna cha Mungu kuinusuru kikubwa watupe mijegeja tuseme nao tu za kichwa tu,tumechoka kwa kwel mambo gani haya
@pastor_benjie
Жыл бұрын
Nilichoelewa mimi kwa ujumla ni kuwa serikali imeamua kuziuza bandari zetu ili tupate maendeleo makubwa. Kwaiyo maendeleo tutapata lakini bandari sio zetu Mfano. Una eneo lako kubwa sana umejenga nyumba moja tu na umechoka kukaa eneo kubwa nyumba moja . Hivyo unaamua kuuza maeneo mengine kwa watu ili mazingira unayoishi yawe na maendeleo. Hivyo wakinunua eneo lako maendeleo yatatokea lakini Yale maeneo uliyouza sio yako Tena. Amebaki Mungu Tu Tz yetu
@juliusmtoi651
Жыл бұрын
Du no hatari
@alicempuya5238
Жыл бұрын
Mungu alikunusuru, alikuwa na makusudi na wewe na aendelee kukupa maisha marefu
@denisshimela169
Жыл бұрын
Duh ndooo faida ya kuwa na wanasiasa wasomii wewe nijembe sana
@clinton3168
Жыл бұрын
BAS TU TANZANIA 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Samia POPOTE ULIPO MUNGU ANAKUONA
@japhethcharles5791
Жыл бұрын
Hahahahaaaaaaaah
@kamalofanuel8120
Жыл бұрын
Wazanzibari wametukalia....watanganyika sisi ni mbumbumbu.....Rais muislam....waziri mkuu muislam.... Mshauri wa rais ni kikwete Muislam...wanaopewa bandari waislamu....Hata marais waliovuruga nchi hii ni wale waislam
@josephngassa7073
Жыл бұрын
Komaeni wataramu wa Sheria kuelimisha wananchi mbumbu kuikomboa nchi isiuzwe badari zake usalama utakuwa mdogo kiulinzi wa mipaka yake
@costardeogratias7784
Жыл бұрын
Raisi wangu ni marehem magufuli
@mariamsaid6166
Жыл бұрын
Inamaana nchi yetu imeuzwa pamoja na sisi wenyewe
@murattywamuratty9778
Жыл бұрын
Ndio ushauzwa tyr hela si ushapata na unajua ulipo uzwa
@magorymara5515
Жыл бұрын
Dada siasa si kitu ambacho kinaweza kukupa kile unachotaka wewe tangu lini ukasikia binadam kauzwa na akabaki hapo hapo kinachofanyika hapo ni siasa za kukitaka kiti cha uraias
@shilashango4040
Жыл бұрын
Mi naona kweli tushachukuliwa tyr sijui kala gapi huyu Mama
@user-nv3my7ky9r
Жыл бұрын
Sioni uzuri wowote wa mkataba huu we mama utatuaacha kwenye maisha magumu sana hii haijawahi kutokea tangu Tanzania iumbwe nyie mnakula vizr siye hata panado tutakoswa mungu awaonyeshe njia iliyonzuri Amina.
@edsondaud9764
Жыл бұрын
Upo vzr kamanda tusaidie tuikomboe nch yetu
@clementiddi5708
Жыл бұрын
Hasaidii chochote think carefully
@mimiraia2531
Жыл бұрын
WATU WA PWANI WASHENZI SANA
@tanzcanmediatv4473
Жыл бұрын
Kumbe walisha sign toka 2022 kumbe mange alikuwa sahihi kwamba wanatuzuga tu walishasign
@jerybrown
Жыл бұрын
Poipigania nchi yetu leo watoto wetu watakuwa watumwa sana
@josephmkinga9509
Жыл бұрын
Ukweli mtupu mungu akubaliki Lissu
@joshuasamson9618
Жыл бұрын
😂😂😂😂 Aizaa Hana Akili Au Amehongwaa pesa
@husseinkonz5192
Жыл бұрын
Lisu naanza kusogea upande wako hakika
@ezekielsabiyumva8048
Жыл бұрын
Lisu kichwa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@JoseZebedayo-ds2tk
Жыл бұрын
Duh kweli Kuna haja ya kufanya mabadiliko maana,serikali iliyopo inaendesha nchi kimazoea sasa wamejisahau
@zobakazizi7637
Жыл бұрын
Kama kweli matarajio ni kupata trilioni zote hizo. Basi ni bora kukopa kununua hivyo vifaa vinavyoshusha containers 4 kwa wakati mmoja. Maana kisingizio ni ufanisi. Serikali inunue hivyo vifaa.
@LumolaSteven
Жыл бұрын
Logic
@kelvinernest7295
Жыл бұрын
Kwan serekal inashindwa aje kununuaa ivy vifaa
@hanskidd2290
Жыл бұрын
Ushasiniwa
@FarajiSengo
Жыл бұрын
Mhmhmh
@ikulunimahalipatakatifu7642
Жыл бұрын
Angepewa mzungu tungekaaa kimyaaa ..tuanze na migodi ya wazungu na mikataba ya wazungu
@didowamchops9229
Жыл бұрын
Mama wa hovyo sana huyu simpendi, cjui kwann hajauza kwao
@naomihamisi1502
Жыл бұрын
Bora ww mm Ndio namchukia kupita maelezo
@user-hi1gd3il9h
Жыл бұрын
Tunawaelewa Asa kwann musifanye kwavitendo tukiendelea kuongea ivi wanaona kama tunaimba chukueni majukumu tupo pamoja na tupo nyuma yenu
@hamzaswaibu9470
Жыл бұрын
Twambieni na mikataba ya kanisa iliyoingia na serikali ktk ma hospital yetu
@kaguripenina63
Жыл бұрын
Mwakahuuu kazi mnayo viongozi.
@ngugimundia6306
Жыл бұрын
Watanzania amkeni mtetee rasili mali zenu.....wakenya huo mpango umetushangaza....mh tundu lisu anahitaji nguvu za raia watanzania kupangua mikataba ya hovyo...karibuni 🇰🇪...
@user-ti6yq7bq1d
Жыл бұрын
Mungu akulinde tundu lissu tunakuitaji sana
@laurentraphael5470
Жыл бұрын
Tumepata Rais bomu kuwahi kutokea tangu dunia iubwe. Ajiuzulu tu maana umelifedhehesha taifa la tanganyika.
@obedwilliam5906
Жыл бұрын
Ndo tatizo la kuwa na wabunge wa ndiooooo mhuuuuu Asante tundu lisi
@salehkhamis9994
Жыл бұрын
Sasa hao wabunge mnao wategemea kupinga si amewafukuza magufuli na nyinyi mlikuwa mnashangiria Sasa mnaona madhara yake
@ananiamkasu8847
Жыл бұрын
HAKUNA WATU WAJINGA DUNIANI KUZIDI WATANZANIA.
@yohanasemeka6882
Жыл бұрын
Tulinyimwa Elimu Tu
@fredymushy9674
Жыл бұрын
Ccm
@charlesmush8162
Жыл бұрын
Mtanikumbuka kwa mengi na sio mabaya. Tufanye yote lakin tusiwe Kama kongo, becouse no politics
@lovenessmushendwa1230
Жыл бұрын
Yan mm naona hadi aibu kuwaambia watu mm ni MTANZANIA ,TOKEA MAGUFULI ATUTOKE
@robertelly3392
Жыл бұрын
Ujue nini ndungu zanguni wa haarabu wamefikiria mbali maana dunia saiv inapiga vita matumizi ya mafuta ukiangalia ndio wazalishaji wakubwa ndio maana imejanjaruka kuja kujifanya kuweza kwetu ili matumizi ya mafuta ya kipgwa stop 🚫❌ wao hato yumba kiuchumi let's be kin wa Tanzania
@eradiusdezideri
Жыл бұрын
Mzee tundu twambie Ili tuelewe
@abdulhakimsaleh6899
Жыл бұрын
Wewe saiv ungekuwepo hapa mbona hukuja kusema hayo maneno mbele ya makufuli kariko kuhusu chote chote kweli mumezowea udikteta, leo kwakua mzanzibar ndio rais
@yedidyamunyangeyo9433
Жыл бұрын
Siyo bandari tu pia air space yetu ndege zakimataifa zikitumia anga letu waarabu watakusanya pesa
@stephencharles4391
Жыл бұрын
Haya ndo madhara yakuwa na bunge la chama kimoja, maghufuli alifanya vizuri lakini hapa kuwatoa wapinzani bungeni kwakuunda vikwazo vidogo vidogo ccm itawale nchi hadi bunge haya ndo madhara yake. Mama unatuuza, yanayosemwa kama nikweli ndivyo yalivyo machozi yetu yatakurudia
@charlesgasper-wo9hc
Жыл бұрын
Tuusitishe wenyewe si nchi yetu wenyekufanyahivyo wapo.
@elvisoscar9912
Жыл бұрын
adi watanzania wakuelewe Ni ngumu Sana Apo wao wanafikilia kula msosi😂😂
Пікірлер: 817