Poleni sana ndugu zangu,machozi ya wenye haki hayapotei bure ,mwenyezi mungu atawafuta machozi wenu
@yapukahassan
10 ай бұрын
Hii nchi si ya amani bali ni kisiwa cha uvumilivu . Mm hushangaa sana kupoteza muda wa kusherehekea nchi kupata uhuru . Uhuru upi huku kunawakoloni weusi
@Spirtualperson
10 ай бұрын
Kabisa ndugu yangu
@WinnieBenard-x5c
10 ай бұрын
Hapa nakubali binafsi nilimshangaa sana mama kumchagua yule Amos Makala kazi hajui yul
@josephwilliammnyune5464
10 ай бұрын
Poleni sana wananchi. Imefika wakati muelewe kuwa kuna wananchi na wenyenchi. Li nchi kubwa kama hili, kuna haja ya kuboleana majumba? Hao wenye eneo, kwa nini wanasubiri watu wajenge, ndipo wakabomoe?
@leokamil6284
10 ай бұрын
Walisema wakimaliza Mikoa mingine watafuta kwingine. Wamasai wamelia tukaona ni sawa kwao sasa tunalia Nchi nzima 😢
@marrypius576
10 ай бұрын
@@leokamil6284si bora hao wamasai wamejengewa nyumb kuliko hao
@EliaNdagamsu-n3d
10 ай бұрын
Umenifurahisha mwamba kumbe Kuna mwananchi na mwenye nchi daaaaaa ila ni kweli hivi mwana chato alienda wap
@Carolina-sm5zt
10 ай бұрын
Mwana Chato aliumaliza mwendo huko hakuna haya mambo
@ChoroTesla
10 ай бұрын
nasikia hao jamaa eneo sio lao na walisbaoewa chao na notice ila wabishi
@saidiathuman-og6bc
10 ай бұрын
Mnaangaaika bure2 apoyangiiliauku yanatokea kule hamna kitu apo haki ilikua enz za j,p,m. Poleni saaaana
@mwananganzi
10 ай бұрын
Poleni san Mungu atawafanyia wepesi
@laylayl5166
10 ай бұрын
Mmmmhhhhhhh dunia simama nishuke mungu watetee hawa ndugu zetu yaani hapo inaonesha waziii huyu MTU anahonga napesa kila upande kuwadhulum hao wanyonge wa mungu wallahi watu wamekosa hofu yamungu
@dn.n4983
10 ай бұрын
Hali mbaya jamsni hii inaweza nje yakata hii wafanya cinema kwa kweli tanzania hafikia hapa mimi hawa wananchi wana subria kweli wangeanda keko wangetokea mauji kweli kila moja anaongea uchungu mno ukisikiliza jnalilia kwa kweli selikali wapatia viwanja wajengee hii laana unweza kufunji nyuma mtu bila uruma
@jumarajab2754
9 ай бұрын
Inasikitisja Nakuomba Mh Rais Samia tunakupenda kwa kazi unajifanya lakini viongo,I wako hao wanakupaka matope iki wanan hi waki julie tufanyie kazi iki lijulikane muhusika ya jambo hili katumwa na nani Ahsante Mii moenda Amani
@ambelembogela7254
9 ай бұрын
Poleni sana mlio bomolewa na nyumba Mungu yupo atawafa yia njia
@AgnesNgunguru
9 ай бұрын
Duh Tanzania viongozi Mungu awape hekima katika dhamana waliyopewa.
@sonnyr1899
10 ай бұрын
Chezeya apo Magufuli angekuwepo kama wangenyeya kwenye po ya kitoto.😢😢😢 Yule Baba kwa kweli alijitahidi kupiganiya haki za watu wa chini
@liannsambu7264
10 ай бұрын
Yani acha tu
@salimmalaka256
10 ай бұрын
HAKI GANI WAKATI YEYE NDIE ALIE WAVUNJIA WATU MAJUMBA KIMARA?? AU HUJUWI???
@kaliskaguzkalis4424
10 ай бұрын
Haki gani aliyekuwa nayo
@nimrodsigulu6249
10 ай бұрын
Sasa Magufuli angekuwpo angefanya nini?
@sonnyr1899
10 ай бұрын
@@nimrodsigulu6249 Tafuta kumbukumbu hata kwenye KZitem utaona alivyokuwa anawafanya watu wa dhulma
@alfinmbilinyi5985
10 ай бұрын
Aa nanyie mmekuwa wapole mno mna ogopa pistol?Duu Mzee mkwawa alipambana na wajerumani kwa mikuki na mishale akashinda vita nyie mnaogopa pistol?Duu mnaniangusha mnashindwa kupambana na hayo majambazi duu! Mkuu wa mkoa kazi nzuri wasaidie hao wanyonge raia wa mama Samia mungu atakubariki sana sweka ndani Kila aliehusika kufanya unyama huo ndani ya Tanzania.
@matiankomola2391
10 ай бұрын
Hatukuelewi Baba, Unasema Mnaogopa Pistol, Kweli? Mtu asiye na silaha hapaswi kuogopa Piston!
@ziadasalimu1730
10 ай бұрын
@@matiankomola2391ni lazima waogope pisto wao hawana siraha,ila wangeamuwa kufanya vurugu ingeleta madhara zaidi
@ibrahimuKidevu
10 ай бұрын
Ujasiri sio kucomment KZitem
@saloomidd1084
10 ай бұрын
Jamaa yuko sahihi uoga ukizidi pia ni tatizo,nenda kwa wakurya tarime na pistol yako kama utawatisha watakuua na pistol yako@@matiankomola2391
@robertlinuma6051
10 ай бұрын
Kuna faida gan ya kuita mtu mheshimiwa .wakat hawana wanachofanya ..ndo maana nchi za kiarabu watu wanalipuana kwa upuuz kama huu
@salaita2829
10 ай бұрын
Wanaoita watu mheshimiwa wanakuwaga na nidhamu za uoga tuu
@hassangasaba4565
10 ай бұрын
Huo ndio ukweli
@AlexKweka-j6p
10 ай бұрын
Et,,,
@TrustElbashil
10 ай бұрын
CCM mbele kwa mbele iyooooo inawakomesha
@BeullahBujah-lk3sx
9 ай бұрын
Mungu awatie nguvu ndugu zetu haki itapatikana ..
@loveahmed7892
10 ай бұрын
Hawo wafutwe kazi mwenyekiti mapolis hata mkuu wa wilaa wasimamishwe kazi hawafai
@EdithaMgoha-jy7ev
9 ай бұрын
Pole sana na inauma atuna mkuu wa mkoa Dar majibu sio nao wanamaj🎉majoe wamefata majambazi?
@faidamasegenghe1253
10 ай бұрын
Poleni sana watu wanatumia pesa zao kwa lana
@GladyMussa-mh6vf
10 ай бұрын
Ao wasenge sana wanatishiaje wananchi kisenge wanachafua chama cha mapinduzi viongoxi wa mkoa na wilaya kama mmeshindwa tuambieee
@RajabuBojo-j2l
10 ай бұрын
Tanzania ni nchi yenye amani ila wananchi wake hatuna amani pumbavu
@bonifaceferdinand566
10 ай бұрын
Haki gani inapatikana kwa bunduki,Kama sio ubabe
@mfirimassawe9023
10 ай бұрын
Serekal hii inamdhalilisha raise wetu,mamana kwenye haki hakhakupo😊
@Ngowievance
10 ай бұрын
Wao ni wa Mungu watabakia maana sivyo tunavyotakiwa kuishi watanzania
@mohamedkisenga6654
10 ай бұрын
Hakuna zuluma tuu
@felixkamkala3303
9 ай бұрын
Mungu awatangulie aisee
@HamisMghuna-fj3vz
10 ай бұрын
Serkali ya wanyonge haya bomoa,bomoa,usiku au n Gaza au, Ukraine, mjipange,wa Tanganyika hatujielewi Tatizo shule,et unapigwa mwigi, mtajijeijei sana wa Tanganyika,
@leokamil6284
10 ай бұрын
Wananyanyaswa huku wanawasifia wanaobariki wanyanyasike ati bado wanasifia .Ni Tanzania tu ndio watu wanasifia kuonewa 😅.
@abdallakhamisi7488
10 ай бұрын
Kaka usijizime data uongozi uliopita nyumba zilivunjwa na mzee Pombe akasema halipi na yeyote anaetaka kumfanya kitu chochote amfanye hii nchi haithamini mnyonge ila mnyonge anathaminiwa wakati wa kura tu😢😢
@MaliamMasudi-wd5cb
9 ай бұрын
@@abdallakhamisi7488 kuwa na akili pombe alivunja bondeni
@SukaDmGuy
10 ай бұрын
RIP MAGUFULI
@marthageorge5043
10 ай бұрын
😢😢😢😢
@salimmalaka256
10 ай бұрын
MAGU NDIE ALIE WAVUNJIA WATU MAJUMBA KIMARA AU HUJUWI???
@Ambwene
10 ай бұрын
@@salimmalaka256Huyu mama mpumbavu hajui kuongoza nchi
@saidmabanga388
9 ай бұрын
@@salimmalaka256magu qlikuwa saii cc tulilipwa tangu 1997
@mandelamandela3150
9 ай бұрын
@@salimmalaka256Wewe ni Mshabiki wa Rais Samia huna ukweli wowote unalopoka hujuwi lolote, Magufuri alitenda haki hakumuonea mtu yoyote.
@ramadhanjuma610
9 ай бұрын
Allahu akbar huu ndo uwisilamu nipo tyr kufa kwajili ya umma Allahu akbar funguka mama
@nataemsuya
9 ай бұрын
Masikini, Tanzania km huna network, huna pesa, hauna ndugu ambae yuko wizara ya mambo ya ndani, huna pesa. Basi jitahidi kuhama /ondoka kabebe boksi Ulaya na Marekani.Hamna haki duniani ukiwa hauna pesa. Haki iko mbinguni.
@ntezealoyce7043
9 ай бұрын
Her mungu watuwangu wanahangamia kwa kukosa mahalifa,poleni sana mungu yuu pamoja nanyi,
@omarynamkape-cg8qx
10 ай бұрын
Poleni sana watu wa majoe
@myunaniniahmad6463
9 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭tunaumizwa watanzania😭😭😭😭😭😭hii ndo serikali kwa ujumla 😭😭😭😭amakweli kazi ya mungu haina makosa. Magufuli alitia watu adabu. Yani watu wanaonyesha ni jinsigani wanaidharau serikali iliyopa madarakani. Mpaka maaskari wanatamka kabisa wazi kwamba mama afanyi chocho hatakama mkishitaki.😭😭😭😭😭kumbukeni kunakusimama mbele ya (الله ) mwenyezimungu, kumbukeni moto wa الله unazungumza kumwambia الله kama kunaziada niongezee mola wangu. Na ingekua tunaifikiria kesho na uzito wake tusingezulumu hata sindano ya mtu.😭😭😭😭😭
@ernestsinje-ng8hm
9 ай бұрын
Huyo Muddy ana Rushwaaa kiongozi maneno meeengi....
@MiriamAziz-z5t
10 ай бұрын
Polisi na kiongozi wao OCD wanajua MCHEZO WOTE....wamehongwa na anaejiita mwenye kiwanja.
@sifasanga7866
9 ай бұрын
Daaaaah Poleni sana
@DelightfulPenguin-wk4kv
9 ай бұрын
Poleni wenzetu mitihani hio ila msichoke kuomba mola ndo muamuzi na yeye pia yuaona haki iko wapi na pia waombeeni viongozi wenu wawe wenye kuwasikiliza poleni sana
@aliyageorge6794
9 ай бұрын
Duh! Poleni....
@emmanuelsitayo1977
9 ай бұрын
Nchi hii kwa Mtindo huu imefikia pabaya. Mwenyekiti wa mtaa anahusika Moja kwa Moja.
@chemli23
10 ай бұрын
Nyie mmekua wapole sana ilibidi serikali ije iseme wana nchi basi inatosha.
@DaudiSaid-bj7dh
10 ай бұрын
Serikali hovyo sana . Haya mbambo hatukuyaona kipindi cha magufuli.
@ziadasalimu1730
10 ай бұрын
Mmmm! Makufuri angekuwepo uwongozi wote ungekuwa Hawana kazi Tena wangepigwa na VIBAO na MATEKE juu, mlaze mahari pema peponi jembe letu lemeondoka
@DaudiSaid-bj7dh
10 ай бұрын
@@ziadasalimu1730 yes of course, aliwaambia mwenyewe nchi hii anaifahamu vizuri na alipokuwa akiyatumbua haya majambazi watu walilalamika na kumpa majina ya ajabu ajabu sasa tupambane tu na haya majambazi tuliowekewa. Enzi hizo misha yalikuwa magumu pia ila amani mtaani ilitawala na tuliheshimiana katika nyanja zote. Saa hii amani iko wapi panya road ndo hao hujageuka majambazi yakutishia watu na bastola ndo hayo. Maofisini heshima hakuna tena kazi zinafanywa kwa hiari. Mwiba wakijudunga huo.
@salimmalaka256
10 ай бұрын
MAGUFULI MSHENZI TU YEYE NDIE ALIE WAVUNJIA WATU MAJUMBA KIMARA HANA LOLOTE.
@DaudiSaid-bj7dh
10 ай бұрын
@@salimmalaka256 hakuwa fala unavyochukulia alibomoa kwa kufuata sheria na sio usiku wa manene na bastola. Uliskia nani anatishia watu na bastola au uliona panya road wapi?? Ni wewe unaongea au ndo wale wale tu. Ngoja sasa mbutuliwe vizuri na msiongee nyani nyie. Saa hii kila ukienda kwenye sekta za serikali mtu anakujibu anavyotaka na huna lakusema au wewe unaishi pori gani wewe tuelezee vizuri.
@saloomidd1084
10 ай бұрын
@@salimmalaka256Aliwavunjia kwa kufuata sheria,je hapo sheria imefuatwa ndugu?mtu binafsi anavunja nyumba za watu na anajigamba serikali iko mfukoni mwake na hamuogopi hata huyo Raisi wenu,je enzi ya Magu angeweza kufanya huu ujinga?
@salumissa2266
10 ай бұрын
Hivi ipo seemu walivunjiwa nyumba wamepata haki yao ipo hiyo seemu kweli
@edistarickmarandu8597
9 ай бұрын
Poleni sana
@habisnasalum-nz4zo
9 ай бұрын
Mm sitakuja kuchagua kiongozi yoyote tanzania hii labda magufuri arudi ila kwa kuonewa kunyanyaswa hapana yule baba alikua akitupenda nauli vyakula kupanda bei kwakua viongozi wanapesa sisi maskini tusile tuumie viongozi wote watanzania watakufa midomo wazi na hawatafika kwa mungu samua anawafuraisha wazanzibari tu
@yohanalikwawa1171
9 ай бұрын
Nchi hii ya hovyo sana, viongozi wetu wa juu hawana uchungu na hii nchi wanajali matumbo yao na familia zao.
@Vitusseleman
9 ай бұрын
Inauma sana
@LeonardNdenjela
9 ай бұрын
Hii nchi n ngumu sana viongozi wetu hawatusaidii
@aloycesamba998
10 ай бұрын
Hii nchi ni ngumu sana,hapa Ni kumlilia tu mungu atunusuru
@ngoshawaboma6180
9 ай бұрын
iyo ndo sirikalii ya ccm sasa endeleen kuimba mapambiooo
@mangulimanguli3974
10 ай бұрын
Sema Chalamila anastahili sifa co yule makala
@jackbillionaire
10 ай бұрын
Polen kwa kweli, kamata Hao wote weka ndani na wamlipe huyo mama
@jennifersongani2734
10 ай бұрын
Ifike wakati watanzania tuwe na umoja tukemee hayq mambo ya bomoabomoa kumbuka leo kwa mwenzio na kesho kwako
@saloomidd1084
10 ай бұрын
Hili ndio tatizo hatuna umoja yaani mtu mmoja anaogopwa kwa vile ana bunduki
@RamaSimbila
9 ай бұрын
Magufuri alisema tutamkumbuka kwa mazuri saiv pisto kawaida2 mtaani mtu saiv anakwambia unanijua mm ni nan kwakweli jaman mitaa ni yamoto sana
@HappinessRobert-k6z
9 ай бұрын
Pole mungu atakusimamia
@CalistusTitus-s5o
9 ай бұрын
Baada ya Magufuli kufa, ni shutuma kwa kwenda mbele
@deusdebitkowa9657
10 ай бұрын
Inasikitisha sana. Tusubiri matokeo na tusiyashangae.
@NaomiMhoza
9 ай бұрын
❤asante kwakuiona
@IbrahimSuleyman-j8n
9 ай бұрын
Je mama Hana makali??
@gemmamwajombe3169
9 ай бұрын
Kweli daima namkumbuka Maghufuli mbona ushenzi huu ulikuwa haupo leo vipi ?
@jonakajigili6991
10 ай бұрын
Hao watu wanaongea Kwa hekima sana.,.
@rambostalon2888
10 ай бұрын
😢chozi la wanyonge
@rehemasumuley-yv3wh
9 ай бұрын
Poleni
@josephjulio6112
10 ай бұрын
😂 selikali ya CCM nusu Yao ni waasi na majambazi ni vile watanzania hatutaki kuona damu zikimwagika siku kukichatuka mtakosa pa kujificha
@Spirtualperson
10 ай бұрын
Hakuna cha ccm wa chadema kila muafrica anajiwaxia nafsi yake ni vile hujapata mamlaka
@AyubuKikoti-gu5mb
9 ай бұрын
Daaaa jaman
@HamisiGama-x6w
10 ай бұрын
Poleni palestina duu
@coastermahenge8910
9 ай бұрын
Magufuli tutakuenza maisha yawatanzania yanapotea
@romanamassawe814
9 ай бұрын
Na yeye yupo jehanamu kwa kutuvunjia nyumba zetu kimara
@daudimaniseli759
10 ай бұрын
AISEEE...pole I Sana....NIWAMBIE kitu WATANZANIA kunasi...... ?????
@FredNgakala
8 ай бұрын
Mwenye kiti kazidi sana
@stewartdyamvunye-wz6rn
10 ай бұрын
Kwa kweli watanzania tuna shida kubwa. Kesi, dhuluma, wizi, uonevu, ufisadi nk.vipo wazi hii leo, halafu inakuwepo serikali ya kuchukua muda mrefu kusikiliza wananchi, mara itafuata kauli toka serikalini: unda tume, unda kamati, tuko kwenye mchakato tunachunguza, tuunde kongamano la kuangalia haya mambo kwa busara! Ndo hayo MAGU alikuwa hayataki, na kwa kweli, enzi yake MAGU tukaiona amani! Leo serikali ikasema tugeuze msimamo, tuwe na mpya, yaani ya MAGU hayafai! Na sasa msimamo mpya unatuliza. Nchi nzima hii leo utasikia vilio! Tunalia nini sasa wakati sie wenyewe ndo mtindo mpya tulochagua kufuata? Aliyeweka msimamo huo kwa niaba yetu ni mkuu wa nchi. Yaani rais. Halafu wananchi walalamikaji unakuta mara nyingi wanajichanganya, eti rais hana habari na mateso ya wananchi ila watendaji wake ndo wanamharibia! Sivyo, rais anayajua vizuri kwani watendaji wake wakiungana na mafisadi, wanafuata msimamo aliouweka yeye! Kifupi wanatekeleza "wajibu" wao kwa rais! Sasa Chalamila ni nani wa kwenda kinyume na matakwa ya bosi wake? Nilitamani sana nisikie kauli kali na mara moja ya Chalamila dhidi ya unyanyasaji huu wa wanyonge, clipp haijaonyesha. Poleni sana ndgu zangu.
@salimmalaka256
10 ай бұрын
USITU SIFIE YULE MAITI ALIE VUNJA MAJUMBA YA MASKINI KIMARA NA KUWATUPA NJE KAMA MBWA.
@saidmabanga388
9 ай бұрын
@@salimmalaka256una unalo jua ss kimara tulilimwa mwaka 1996 na tukapewa viwanja mbwenii na salasala serikalii ikajq ikavunja nusu na kuondoka wazee wetu waliuza yqle maeneo na kukimbilia mbezii maramba magu alipo kuja kuvunja alikuwa saiii cuz cc tulisha lipws tangu 97
@salimmalaka256
9 ай бұрын
@@saidmabanga388 LAKINI KAWAVUNJIA NA KUWATUPA NJEE MIMI NAONA SIO SAWA NI USHENZI KABISA.
@EliudMalipili-zc1kw
9 ай бұрын
😮
@SmilingCityMap-xb9md
9 ай бұрын
Duniani tunaandika histolia Tu wrote ni malehem hakuna alieweka mkataba wa kuishi milele hapa punguzeni kibuli Kwa kuwakashfu waliotangulia lhimmalaka256
@AlexAlex-kf1eg
10 ай бұрын
Mungu yupo atahukumu kwa haki kwakila alietenda hili
@jackezekia6068
9 ай бұрын
Ndyo muache kuvamia viwanja vyawatu matokeo yake ndyo hapo kumlaumu raisi mara kumsumbua mungu wakat mungu mwenyewe yupo bize kupanga riziki za mwakani ,,
@eliudkazoba5170
8 ай бұрын
Hivi kweli hii ni Tanzania ya Watanzania? Mungu tusaidie.
@sylverbutamanya8588
9 ай бұрын
We remember you Magu
@VIJANAGROUPPANGANI
9 ай бұрын
Sio sawa kuwavunjia wananchi usiku
@abdallahseleman5390
10 ай бұрын
R.I.P MAGU
@salimmalaka256
10 ай бұрын
KWANI ALIEWAVUNJIA MAJUMBA WATU KIMARA SI HUYO HYO MAGU?? AU HUJUWI??
@melxkb3840
10 ай бұрын
Na ndio aliyeweka hawa viongozi vibaka wenyeviti n.k. kwa msuli jinsi alivyopenda. Haya yote aRIP nayo
@mandelamandela3150
9 ай бұрын
@@melxkb3840Viongozi wote ni wa Mama Samia hayupo kionngozi hata mmoja wa Magufuri unajidanganya mwenyewe.
@Popadick-o4f
9 ай бұрын
Duuuuh binadamu wamegeuka mafuriko!!!haya sio maisha lakini malipo ni hapahapa!!hiki kilio cha wengi machozi yao yatapanguswa na Mungu
@mbeguclassic3387
10 ай бұрын
I 😂😂😂 Hapa bado kama huna hela kwa sasa pita kule nchi imerudi kwenye mfumo wake wakawaida sasa 😂😂 tukae kwakutulia majibu yakija hapo utasikia hamieni burund😢😢
@Markazabuuhanifa
10 ай бұрын
CHALAMILA MKOA HUO UTAUWEZA BABAAAA JIJI HILO
@conradolomi9580
10 ай бұрын
Mliambiwa mhamie Burundi,hamkusikia...mjionee kwa macho yenu.
@leokamil6284
10 ай бұрын
😅😅😅alafu hawa Wanawake ndi wa kwanza kuimba tutaisoma namba
@wanguwangu34
9 ай бұрын
Dada uko sahihi sana
@Zainabkhamis-d2s
9 ай бұрын
Kiukweli Tanzania kuhusu jeshi la polisi ni mtihani kwakweli wa wakukute barabarani wakutoe makosa uwape pesa bax ndo wanoliweza
@JaffariBuyogera
9 ай бұрын
Tanzania Latina owe Kali Kwani jee mahaka inajua adhari ya matokeo kama haya. Mheshimiwa lazima uwe mkali
@profs.a5412
10 ай бұрын
Hii nchi hiiii, sijui kama sheria zipo kweli. Labda sheria zinazo fanya kazi kwa masikini
@ChristerShao
10 ай бұрын
Charamila mungu akutie nguvu za kutosha mivutano ni mingi mungu akuongoze.
@hidayaswai3119
9 ай бұрын
Duuuh nchi yetu jamaniiii. Mungu ingilia kati jamani. Nchi hii imekuaje. Wanadamu kama wanyama. Watanzania where are we going tamaa ya mali. Km umeshinda basi polepole na wenzio. Hii dunia jmn polepole hatuishi milele Amani yetu ni ipi jamani.
@nassercurtis9579
10 ай бұрын
Hapa ndio wanyonge watakapomkumbuka Magufuli maana hao waliofanya huo unyama cha kwanza wangesikia kile kicheko chake cha ukali ihiiiiiii akiliza tu ungesikia watafutwe waote na wakamatwe, na ndio hao mpaka leo magufuli amefariki bado wanamchafua maana wanaona kama walicheleweshwa kwenye udhulumu wao.
@salimmalaka256
10 ай бұрын
NA WALE MAGU ALIOWAVUNJIA MAJUMBA YAO KIMARA SIO WANYONGE?? WACHA UJINGA WEWE.
@Ambwene
10 ай бұрын
HII SERIKALI YA KIPUMBAVU SAAANA MAMAMAE YAANI WANANCHI TUMEZIDI UPOLE
@salimmalaka256
10 ай бұрын
WEWE SI UNASHANGILIA GAZA MAZIONIST KUWABOMOLEA NA KUWAUWA RAIA WASIOKUWA NA HATIA IMEKUWAJE TENA.
@salimmalaka256
10 ай бұрын
WEWE SI UNASHANGILIA GAZA MAZIONIST KUWABOMOLEA NA KUWAUWA RAIA WASIOKUWA NA HATIA IMEKUWAJE TENA.
@Ambwene
10 ай бұрын
@@salimmalaka256sasa wewe mbwa kwani hii Gaza 😅 acha Gaza wamanuliwe tuu mbwa wa kiarabu wale hawana faida ya kuishi 😅😅😅😅
@salimmalaka256
10 ай бұрын
@@Ambwene KUMA LA MAMAKO WEWE KWANI UMEWAUMBA WEWE NYANI WEWE AU WAMEKUFIRA HAWAKUKUPA PESA UTAKUFA KWA CHUKI NA HUSDA KIBARAKA WA WAZUNGU WEWE.
@mandelamandela3150
9 ай бұрын
@@salimmalaka256Halafu unamshabikia Samia wewe huna akiri kichwa chako kimejaa Matusi kumbe watu wa aina yako ndiyo wa Samia.
@ramadhaningamba1778
10 ай бұрын
Tz amna viongozi kuna mambo yaovyoo kweli
@LucyJoseph-pb4um
9 ай бұрын
Poleni sisi Arusha wangekuwa chapa na pistol zao tuliwahishusha vioo vya catapila chuga
@victorjames3730
10 ай бұрын
Kuna Ile mwananchi anapelekewa summons ya kwenda mahakamani hataki kupokea hiyo summons akizani kwamba kesi haiwezi kusikilizwa bila uwepo wake, baadae anakutana maamuzi ya mahakama anaanza kulia kwamba hakupata nafasi ya kusikiliza na matokeo yake ndio hayo hapo
@tkashatz
10 ай бұрын
Ko we unaona ni sahii
@clarencesichila9497
10 ай бұрын
Uelewa wako ni mdogo watu wameumja wew unaona sawa
@magembekisabo9632
10 ай бұрын
Ushaona mahakama inaagiza nyumba ibomolewe usiku?
@RajabuBojo-j2l
10 ай бұрын
Watanzania sisi tuaamueni jmn yani mnaanza na mwenye kiti tuta alaf mwingne mjumbe tuta mmoja mmoja shida yetu uoga kumamake
@abdulkheri7322
10 ай бұрын
Nyumba 30 kuvunjwa adi ziishe hivi serikali haina taarifa kwel😢
@leokamil6284
10 ай бұрын
Mpunga ndugu
@mariamdullazy8166
10 ай бұрын
Inauma jaman kujenga kulivyokuwa kugumu si japo wangepewa muda wa kujipanga basi inauma sana
@josephwilliammnyune5464
10 ай бұрын
@@mariamdullazy8166 Wala hakuna sababu ya kuwasumbua. Serikali ingempa mwenye eneo, eneo lingine. Kama angeng'ang'ania hapohapo, basi angepaswa awalipe majengo yao. Haiwezikani watu wanajenga mpaka wanamaliza mwenye eneo hana habari.
@sylvesterchisenga3707
10 ай бұрын
Tuko bize kuandaa chipukizi CCM hayo mtajua wenyewe
@wanguwangu34
9 ай бұрын
Hivi Tanzania bado kuna mambo yanafanyika hivi, hatali sana, Mungu atusaidie sana.
@HusseinHamza-k3o
9 ай бұрын
Mkuu wa mkoa mkuu wa mkoa mkuu wa mkoa!!!
@AsmaMoudy
10 ай бұрын
Huyo nyambuya 2024 akae pembeni hatufaiiiiiiiiii
@musamwanji4389
10 ай бұрын
Daaaaa Magu uko wapi?
@rabsonchisumo6640
10 ай бұрын
Hahaha kazi iendelee
@TrustElbashil
10 ай бұрын
Kumbe mlijua Sasa Nini mnalalama
@gemmamwajombe3169
9 ай бұрын
Mama samia uko wapi wanyonge wanaumia mbona wakubwa na matajiri wamestarehe cc sana na maskini wanateseka sana
Пікірлер: 605