Injinia safi sana lakini huku bongo hawazingatii wabunifu
@nsajimwasege68
9 ай бұрын
Aisee kazi nzuri sana,serikali inasaidiaje wabunifu kama hawa ili bidhaa zao zziboreshwe na ziingie sokoni?
@RamadhaniBOmary-zq9bk
3 ай бұрын
Kamela zenu haziko sawa
@barrynzeyimana6270
4 жыл бұрын
Hawa watunzwe African are smart
@fredysiwale5413
2 жыл бұрын
Natamani nyerere angekuwepo ili awasaidie hawa wabunifu maraisi wa sasa wanaona bora kununua nje kuliko kuunda wenyewe
@alexvenas2699
2 жыл бұрын
Kabisa
@elisantennko8222
4 жыл бұрын
Kazi ya pili ukiondoa Nyumbu JWTZ kibaha. Tumuunge mkono mbunifu wetu arndelee na maboresho
@coltbraden7033
3 жыл бұрын
You all probably dont care but does anybody know of a tool to get back into an Instagram account?? I was dumb forgot my login password. I would appreciate any help you can give me.
@ramadhanimussa3961
2 жыл бұрын
hongera blow kwa kuthubutu
@RamadhaniBOmary-zq9bk
3 ай бұрын
Ulikuwa wapi wakati nalia lia namapenzi ulikuwa wapi
@aarona.midende1789
6 ай бұрын
Toeni mawasiliano tununue bidhaa zenu (trekta)
@elisantennko8222
4 жыл бұрын
Good stsrt
@kibasamohamedi8029
4 жыл бұрын
Safi kijana
@wistonkasike4540
Жыл бұрын
Nitapataje shule?
@lawrenciamkolwe796
2 жыл бұрын
Kaka Naomba tuungane
@abdallahlugendo3221
2 жыл бұрын
Kumbe wapo wabunifu wetu tukiwaweka pamoja nchi itaendelea na kkuza uchumi wa nchi
Пікірлер: 20