Kwa kweli hii habari nzuri sana,lla baada ya kumtaja Mama nimefika nduki.
@Bahandastar
Hiyo ni aibu kubwa kwa wenye range rover hahaha 🤣🤣🤣
@FaridiMohamed-dd4hr
Wengi kwenye comment naona wanaandika roho mbaya tu kama rahisi c mtengeneze za kwenu ckujui hunijui ila kaz nzur brother mungu akutangulie katika kazi yako
@medidaudi8335
Kwa USA 🇺🇸 si kweli hakun mamb kam hayo. Labda huko china 🇨🇳
@lvanyDaniel_pw7kk
Mungu abaraki kazi ya mikono yako
@bongoreview1738
Mawazo yangu ya kununua Range nimeairisha bora ninunue TESLA
@khalifasultan2677
Mzee Umevaa Tshet Hio Umeletewa Na Mzamini Nini Uvae Unavyotangaza Bajaji Huo Upinde😹😹
Пікірлер: 269