safi sana wabunge wetu ,sasa mkiwa kule bungne muache kelele,mkubaliane vitu vyenye mantick kwa pamoja asnte
@amandamapunda6201
6 жыл бұрын
mmmmh hongeraaa sana bunge letu tukufu, inaonyesha amani tuliyonayo na furaha nafurahi kuwa Mtanzania, Mungu ibariki Tanzania, Africa
@abellabv
6 жыл бұрын
Hongera sana. Mmependeza sana Waheshimiwa wetu. Mungu Awabariki sana.
@EK-kp2np
6 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania👏🏻👏🏻👏🏻, nimependa, tushikane kama super glue!
@suzanmaswatu3814
6 жыл бұрын
Mmetisha wabunge wa nchi yangu
@michaelmusyoka1951
6 жыл бұрын
Lo! wabunge wakitanzania staying young.its a good thing badala ya mzozo
@elizabethmwandu9899
6 жыл бұрын
Hongereni wabunge wetu hakika mmependeza sana
@evelynmon6491
6 жыл бұрын
Raha jipe mwenyewe babu wee siku moja moja sio mbaya kujiachia kidogo sio kila siku uheshimiwa tunauweka kando kidogo hongereni sana
@sembosayenda7182
6 жыл бұрын
Nimewapenda sana mmeonyesha utanzania
@adobelameckmhagama2393
6 жыл бұрын
waooooo nimewaona had walimu wangu hapo mh.mwalongo
@betinamahenge3387
6 жыл бұрын
Wabunge wetu
@sifasanga7866
6 жыл бұрын
safi sana
@fantsonmpango7742
6 жыл бұрын
Aloshiba hamjui mwenye njaa
@jamesngundateresia2600
6 жыл бұрын
Mimependa sana wapenzi wangu
@josephgaitan989
6 жыл бұрын
Saf sanaaa
@jamesngundateresia2600
6 жыл бұрын
Mambo ni moto
@SuperKibwana
6 жыл бұрын
imetulia sana hii kitu. na hasa huo wimbo wa Tanzania.
@sembosayenda7182
6 жыл бұрын
Bonge LA nyimbo
@sarahgaula2220
6 жыл бұрын
Mmependeza
@ladybilionaire379
6 жыл бұрын
Mmh ilinoga saana iysee
@mugemainyas5241
6 жыл бұрын
Kiongozi anayeimba ni nani .ana sauti nzuri
@musamasika3630
6 жыл бұрын
mmejitahidii jamani
@mrttitus6781
6 жыл бұрын
mbona simuoni Msukuma😂😂😂
@mosesmangasin8416
6 жыл бұрын
umoja ni nguvu
@dominicmakungu3958
6 жыл бұрын
nawapongeza
@sembosayenda7182
6 жыл бұрын
Si wapatii picha kule kwenye magari wakiyakuta yametolewa upepo hahahaa mbona bajaj zitageuka kuwa vogue
@teddymeela2791
6 жыл бұрын
Mara 1x2 sio mby tena kwa jambo muhmu
@michaelmusyoka1951
6 жыл бұрын
Lakini solo nguo kukubana nayo jameni
@bibianamapunda8123
6 жыл бұрын
.
@mnzavachris5423
6 жыл бұрын
kamata bdo mbunge.????
@collincarlos7433
6 жыл бұрын
Mnzava Chris yes vit maalum GEITA
@peterjames8171
6 жыл бұрын
hizo kiki za kumfurahisha mzee maana hiyo haina bajeti
@missmalindikenya6204
6 жыл бұрын
H0ngera
@NajmahassanMunezero
6 жыл бұрын
Iyo ni Shibe
@mwikamwika4851
6 жыл бұрын
Huna adabu
@simonhanno8193
6 жыл бұрын
Sio shibe tu, bali ulevi wa nafasi walizo nazo, mambo mangapi wameonesha kufeli halafu leo mtu unawapongeza eti wamependeza, wameshindwa kufanya kazi zao za msingi wanataka kushindana na wasanii !!?.
@daudinassary3578
6 жыл бұрын
safi sana wabunge wetu ,sasa mkiwa kule bungne muache kelele,mkubaliane vitu vyenye mantick kwa pamoja asnte
Пікірлер: 38