Njoroge uli Lilia wembe gachagua na ruto wakakupatia!
@alitabattleangel9403
Жыл бұрын
Itabidi tumehamia tz
@iduabsura4959
Жыл бұрын
Maisha kwa hivi sasa ni magumu,ushuru inapo ongezwa hali ya maisha itazidi kudorora
@msa3957
Жыл бұрын
Bottom up economy for real
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
Yani kila atakae ingiaadarakani ni heri shetani alietoka kuliko shetani aliepo madarakani! Yani hawana haibu wala hofu ya MUNGU!!!!
@spectra.4840
Жыл бұрын
@Fatuma Mwalimu,.tafadhali tuwe watulivu kidogo,serikali lina deni kubwa sana ya kulipa na jambo la pili kiongozi aliyestaafu alitumia pesa za uma kufanya campaigns na kupora hela siyo haba.
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
@@spectra.4840 wakati alipokua anatafuta kura alihaidi kurekebisha kila kitu kwa siku 90, kweli hau uongo? Kwani alikua hajui na yeye alikua madarakani? Na vipi zile million 20 alizowapa wachungaji? Akili ni nywele kila mtu anazake
Пікірлер: 7