Baraza la Maimamu na wahubiri nchini CIPK linatarajiwa kutoa msimamo wake kuhusu shinikizo la kutaka miraa na muguka kupigwa marufuku kisiwani mombasa. Baadhi ya viongozi wamelalama kuwa matumizi ya muguka yanachangia utovu wa usalama na kuathiri sekta ya elimu huku vijana wakishindwa na majukumu yao ya kijamii.
Негізгі бет Wahubiri watoa msimamo wao kuhusu marufuku ya muguka Mombasa
Пікірлер: 233