Tusizunguke sana ,Ngwea levol yake ni kubwa kwenye miziki kwa sasa bado ni top 5 of all times, hits zote mpk freestyle wee Ngwea ni balaa
@mwajamii
Жыл бұрын
Fid juz kati alikuja hpa na kusema 90% ya ngoma zke ni freestyle
@sultanmsoloni8635
Жыл бұрын
Na jisikia Raha Sana jinsi nilivyo star najulikana dunia nzima sio kwa watoto adi watu wazima si ushajua nazungumzia nini ukimwi ukimwi yoo a.k.a Mimi, Salute Ngwea
@jumazahoro3537
Жыл бұрын
Wakazi kajaribu kukataa unafki Yani mtu akifa kwa mfano huyo huyo ngwea wanampa ukubwa Sana hasa cku hizi ,county boy anajiita ngwea wa kizazi kipya, q the Don alisema hakuna rapa anaemfikia ngwea, fid q anasema ngwea alimfutisha lyrics za CNN ila hakuna mtu alowahi kuongea kabla ya ngwea kufa 7bu wanaamini hata nikimsifia kwakua hayupo hakuna Cha kunishusha,hatukatai alikua mkali ila tangu amekufa anapewa promo ambayo hakuwahi kupewa enzi yake kiasi anauona unafki wa wanadam, haya nayakaribisha matusi
@johnycavishe5207
Жыл бұрын
Nkwel awamzunguziagi goodzilaa Sana Ila alkuwa ypo njema sana Yan wakaz amezungumza ukwel woof big up Sana 💪
@andrewkitaly6003
Жыл бұрын
Wakaz kaongea kweli ila kilichopo kati yetu ni kuwa ngwea ni msanii pendwa ila nikk is more talented better than many hip hop figures
@phinaphina3201
Жыл бұрын
Kaka Ngwea. Nakuomba umsamehe mdogo wako Wakazi; ongea na Mungu huko amsamehe. Dogo ajui anachoongea. Ahsante kaka Ngwea.
@impeccablerito7922
Жыл бұрын
Kwa io unataka kusema Ngwea ndo mkali wa freestyle aliyeshushwa hapa bongo atotokea msanii mwingine wa kuvunja record yake mpaka kihama au ?? Na kama ivyo bas una mentality ya kishamba sana, kuna wasanii wa freestyle ata kama ngwea angekuwepo sasa hivi asingeweza kuguza level za hawa wasanii wa sasa ivi. Note..Hakuna mbabe wa dunia vpaji vinazidiana uwez kusema ngwea kipaji chake ndo kikubwa kulko watu wote hapa bongo..utakua bonge la STUPID
@phinaphina3201
Жыл бұрын
@@impeccablerito7922 I respect your arguments ndugu yangu. Umri wangu though hauwezi ni ruhusu kutukanana mtandaoni. Ngwea ni mbabe sana kwenye muziki wa Africa; hayo ni mawaidha yangu sio lazimu ukubaliane nayo. Labda kwako ni Wakazi; Amani kwako. Ila ALBERT MANGWEA ni OG.
@emmanuelbrassy4000
Жыл бұрын
Wakazi Staki Shari, you are really right.
@NaahDidy-if1fj
Жыл бұрын
Mnamuelewa... Ila mnajizima Data...tuongelee waliopo sio waliokufa...daima waliokufa wanasifiwagwa ata uongo
@mamba9541
Жыл бұрын
Leo ndio siku ya kwanza umeongea ukwel bravo @wakazi
@brunokimaro1053
Жыл бұрын
Ngwear mashine nyingine
@koalaness8921
Жыл бұрын
Ngwear kwanza ilibidi ajengewe sanamu .... iwe blueprint ya Rap music bongo ... kile kichwa kimefanya asilimia 40 ya mziki ila sio poa !
@khalidibero
Жыл бұрын
Asilimia 85 ya wabongo wanaosema ngwea ni mkali wa freestyle hawajawahi zisikia hata hizo freestyle ila wamesikia story tu. Labda kama kumuheshimisha marehemu.
@TamuzaKale
Жыл бұрын
Na ndicho alichokieleza hapo!
@johnycavishe5207
Жыл бұрын
Si ndo wanaitwaga mashabik mandaz hao
@sultanmsoloni8635
Жыл бұрын
Ngwea alikua mkali wa freestyle
@ibrahimkilete7132
Жыл бұрын
Uyu maku anapewa tu airtime lakini Hana mchango wowote kwenye mziki
@mafiaso_sakutula
Жыл бұрын
Yakale hayanuki broo
@nickyvanich6214
Жыл бұрын
Unatakiwa kuacha ushabiki kwanza ndiyo umuelewe wakazi. Mimi namuelewa ingawa si mshabiki wake!
@elibarikilukasimakala5534
Жыл бұрын
Bangi ikikukataa acha tu sio case 🤭
@jumannesaid7648
Жыл бұрын
Mi pia ni fan wa Nikki Mbishi but Nikki hamfikii Albert kwa Freestyle, Nikki hajawahi kuwa bora kuliko Albert kwenye mitindo huru
@impeccablerito7922
Жыл бұрын
Kwa io unataka kusema Ngwea ndo mkali wa freestyle aliyeshushwa hapa bongo atotokea msanii mwingine wa kuvunja record yake mpaka kihama au ?? Na kama ivyo bas una mentality ya kishamba sana, kuna wasanii wa freestyle ata kama ngwea angekuwepo sasa hivi asingeweza kugusa level za hawa wasanii wa sasa ivi. Note..Hakuna mbabe wa dunia vpaji vinazidiana uwez kusema ngwea kipaji chake ndo kikubwa kulko watu wote hapa bongo..utakua bonge la STUPID
@sosbrayantbenjamin9701
Жыл бұрын
Wakaz yùpo mbele ya muda sana ukiwa mkwel utaonekana mnafk
@nsumbaboy3549
Жыл бұрын
Ngwer ninoma sana
@unileverldsengineering9541
Жыл бұрын
Mbona wakazi hamna kitu KABISA
@ridhiwaniramadhani7418
Жыл бұрын
You good bro...!!
@user-km1th7fn4n
Жыл бұрын
Nop
@hamisabbas9739
Жыл бұрын
Hakuna mwngne anayeweza kufanya Zaid ya hii...Zaid ya p na me...Ngwea aka mm,.....aisee kile kichwa kiachen tu kipumzke ni nomaaaaa never ever.
@ibrahimzuberi1029
Жыл бұрын
Genios wakazi
@hassoboy4158
Жыл бұрын
Atangoma yake mmoja sijui mimi anawivu k uyu
@omarkapayer1412
Жыл бұрын
Mi mwenyewe siijui ajawahi heart huyu jamaa
@ricklandennis
Жыл бұрын
Mi naweza kusema hivi "Ngwear alikuwa na uwezo wa kufanya freestyle kwa levo kubwa na kuwa na uwezo wa kufanya hit songs" kitu ambacho uliowataja ww Wakazi wote hawana uwezo huo ndio maana hata nikki mbishi mzuri wa freestyle ila hana hits kawaida sana. Huo ndio utofauti wa ngwear km ulikuwa hujui ndio maana haishi kuimbwa
@mdachiog5211
Жыл бұрын
Natamani wakazi asome hiii
@chamballaally8767
Жыл бұрын
Daaah! Km ulikuwepo kwenye akili yangu ! Wengi wana uwezo wa freestyle llkn je unaweza kutoa hits songs ?Yy Wakazi anaweza freestyle na anazo nyimbo kibao Lkn hana hit song ata moja
@DaudijofreyMsipi-cq4hw
Жыл бұрын
We ni mjinga sana wek goma la ngwer na mnyumbu wenzko isikie
@hassoboy4158
Жыл бұрын
Kuma gwea level kubwa ww alikua an level uyu choko anakisalani
@farajaonyango7557
Жыл бұрын
Huyo wakazi ndo anahunafiki wa kifo mbona kipind zilla yupo hai halikua anampinga af sahv anasema ni mkali
@evodiusantony2115
Жыл бұрын
Si2meziona kazizake
@daudsteven1577
Жыл бұрын
we acha uboya ngwea atali kwaafya
@khalifamkakile2726
Жыл бұрын
Ukisimuliwa na watu(fasihi simulizi) kuhusu wakazi utaona anazingua ila ukimsikiliza Kwa masikio Yako utaona jamaa anaongea vitu makini sana na kuhusu mitindo huru Nikki mbishi ni bora sana tuache unafiki wa kifo na pia kuhusu top five yake ni mtizamo wake na ametoa hoja Zake na wasanii kawataja anaona wanastahili kuwa ndani ya hiyo top five ambao ukiangalia pia ametaja vichwa vya maana na mchango wa hivo vichwa unaonekana.. Endelea kusimamia misimamo Yako brother Kuna SoMo katika kufeli kwenye njia Yako na ni Bora kuliko kufaulu katika njia za watu wengine...
@hamzaqaacm38
Жыл бұрын
Ngwea kidume anahangaika tu
@floriansimwinga3037
Жыл бұрын
Wakazi hawa watu hawawezi kukuelewa kwasasa but naamini kuna siku watakuja kukuelewa tu
@Evabuko255
Жыл бұрын
Jamaa anaongea facts sana❤
@kennethbenjamin275
Жыл бұрын
Kama Akili ndg ngumu sn kmuelewa
@mdedsm5522
Жыл бұрын
Akuna kama kaobama ww wakazi bwege tu
@saluten5926
Жыл бұрын
Wakazi ni kuma
@husseinkitingi8186
Жыл бұрын
Uyu ndo wakwaza kumkdiss marehemu sijui anachuki gani na ngwea? Akumbuke ndo msanii pekee aliemfutisha verse fid q kwenye CNN na hakuna msanii mwingine aliemchalenj fid kwenye ngoma ya pamoja sasa kama unamkubali fid unamtoa vp ngwea?
@ThomasMusa-lg1lw
Жыл бұрын
Ngwea hamna kitu
@ernestkatyega5781
Жыл бұрын
Huyu wakazi ni mwanamxiki wa taarabu au mbona sijawahi skia ngoma zake Ila anakipaji Cha umbea na ushambenga sana
@johnycavishe5207
Жыл бұрын
Itakuwa ez yake bado ulkuwa ujazaliwa Kama umjui wakaz
@ernestkatyega5781
Жыл бұрын
@@johnycavishe5207 si yule anategemea pesa za baba yake alaf mziki hamna kitu alaf wewe ndio mwanamke wake
@johnycavishe5207
Жыл бұрын
We ndo Kama mwanamke unaropoka bila mipaka acha ushabik mandaz
@johnycavishe5207
Жыл бұрын
Kama unakt kaa kmyaa mjuba
@ernestkatyega5781
Жыл бұрын
@@johnycavishe5207 Mimi ni Kama wewe ni mwanamke
@blackerblacker-kl7tm
Жыл бұрын
Uyu kuma tu
@evodiusantony2115
Жыл бұрын
Uyujamaa nimnafki San
@stevenkayitare8955
Жыл бұрын
Zilla mkali sana
@afyandogo
Жыл бұрын
Wakazi yuko sahihi upande wa freestyle ngwair alikua mnyama lakini kuna wadau wanafanya freestyle zaidi yake akiwemo Nikki Mbishi
@khatibumtaki7425
Жыл бұрын
Wewe k ngwer sumu usimfananishe na mbwa wako
@nicksoncharles-kx3gr
Жыл бұрын
Niukwel Ngwea Hana ukal mbele ya Nikki mbishi ata kwenye freestyle Nikk kafanya Zaid ya Ngwea swal la kusema alkua anatoa freestyle kwenye ngoma sio kwel wasem Mwana alkua kichwa kwenye kukall mastr yke nakutoa kwenye ngoma alzo pewa Kufanya
@sultanmsoloni8635
Жыл бұрын
Ujui kitu ww
@goodneighbour2638
Жыл бұрын
hujui kitu kabisa utakuwa watoto wa juzi hawa
@ChiloChilole-sb9gb
Жыл бұрын
Kama baba alikua na akili nyingi ata mtoto uwe na akili kumzidi baba siku zote baba atabaki kua baba. Ngwair bana apewe heshima yake tu.
@impeccablerito7922
Жыл бұрын
Mentality ya mtu mjinga
@mickyiron308
Жыл бұрын
msimtie mtu dhambi ameshaenda mbele za haki !!
@ashuramuhammed3257
Жыл бұрын
Yani ww jamaa una mdess ngwea ahhh yule jamaa muache tu uko alipo ata spear yake hakuna # alikua anajua hakiake apewe#
@RojaMorris-po5ow
Жыл бұрын
tatizo wabongo mnasikiliza ili mjibu
@unileverldsengineering9541
Жыл бұрын
Hivi huyu wakazi katoa ngoma ipi ambayo ilibamba jamani,,,naona michuki tu kwa watu
@hollymore4904
Жыл бұрын
Huyu wakazi mpKa Sasa me bado simjui Ni Nan😂
@mohammedrashid7735
Жыл бұрын
Wewe humjui ngwea kama wanavyomjua Ay, fid q, fa na majani hebu jaribu kuwauliza hao.Sasa ngwea sio top five hebu tutajie top five bongo mpka ngwea asiwemo. Watu pekee wanaoweza kua juu ya ngwea ni Fa, profesa J na Fid q ukitoa hao hammna anaemtisha.
@alexmakande7980
Жыл бұрын
Magwear Hayupo kwenye Top 5 ya Greatest of all time kwenye Hip hop bongo? Huyu jamaa Ni Mpumbavu mwenye confidence
@michaelthobias9967
Жыл бұрын
Tofauti ya magwer na hawo wote nikwamba ngwea anaimba anarap ana full stail kiukweli marehemu alikuwa ana upeo ktk mziki albam Yake aka Mimi utafananisha na nani
@jamesmushi2552
Жыл бұрын
iyo Full stail
@saadatiyahyashabani-yg2xy
Жыл бұрын
Huyo Nikki mbishi ninani mnamhanyaga boya tu huyo
@jiweg-unit5408
Жыл бұрын
Nikki mbisha hapana tuseme ukweli Ngwea ni mkali kuliko nikki mbishi
@emmasonanjawe9042
Жыл бұрын
Huyu jamaa ubongo umeoza sijui kama anajielewa
@blackerblacker-kl7tm
Жыл бұрын
Sema muuni chuki nyingi sana
@frankwilliam144
Жыл бұрын
Alichokisema wakazi kina ukweli ndani yake. Wabongo tuache unafiki siyo nzuri. Nakumbukuka wakati Ngwea yupo alishaanza kushuka kimziki tena kwa speed kali. Sasa tokea afe media nyingi ndo zinamuita best mc and freestyler of all time while siyo kweli.
@gilberthpeter2450
Жыл бұрын
Ila ww jamaaaa unachuki sana
@King_Of_Everything
Жыл бұрын
👊👍🙏.
@mohamedhamad888
Жыл бұрын
Uyu jamaa akili amna asili ya ushoga anayo
@nelsonmasolwa8343
Жыл бұрын
huna akili wewe
@paulngimbudzi1478
Жыл бұрын
Oya wew acha kumaliza mafuta mdomoni hao wasaniii uliowataj wote walifanya ngom na ngwea na walfichwa na kupoteana ngwea ni loptop Ile mzee cio sikiliz kimwa kimwa sikiliza CNN hao wasaniii wako ulio wataj ule mziki wanaujua unavowaka.ndio man anapendwa wakaxi NI choko tuh
@jumazahoro3537
Жыл бұрын
Ni ukweli mtupu
@auleusmuyamba4208
Жыл бұрын
Wakaz nmemjua baada ya kumsema Roma....😂
@beatricesaitoti6125
Жыл бұрын
Kwamba Niki mbishi ni mkali kuliko ngwair haaaaa wapi ngwair alikuwa mnoma kuliko noma yenyewe
We huna akili,ngwea kichwa ni msanii anaweza ku free style na ana hits songs pia ni msanii anaeweza change style anaweza kuimba na anaweza ku rap
@jumannesaid7648
Жыл бұрын
Wakazi anaongea trash sana.. this is the last time kumsikiliza huyu jamaa, never again
@DastanTundu-wc4xh
Жыл бұрын
Wakazi fala tu
@robinisack8092
Жыл бұрын
Wote ulio wata wanajua kazi yake .kojoa ukalale mzee hatuna mda na wewe.
@gegomusic165
Жыл бұрын
Wakazi ni pumba ndo unaiongea, bt ngwea ana jiupdate maana hata leo hakuna anae mfkia
@conceptalabany7817
Жыл бұрын
Usahihi wakazi ngwea asinge weza kunfunika zila au niki watu wasi msifie mtu kisa hayupo ngwea alikuwa bado sana huo ndoukweri
@mahmoudmihanjamu669
Жыл бұрын
Mwamba labda anamzungumzia Mangwear wa Bonyokwa tusimlaumu
@elibarikilukasimakala5534
Жыл бұрын
😅😂😃
@siratz3323
Жыл бұрын
Tuongee yote ila huyo jamaa anatetea chuki ionekane ni mtazamo. Ngwea ni Ngewa
@mudathirdunia2771
Жыл бұрын
Fanya music wako acha kuchi
@chilwaramadhan6953
Жыл бұрын
Kwanza ww hujakaa kisanii,umekaa ki askari askari ndomana kila kitu too much know,unachunguza sanaaa acha hzo
@johnagak5305
Жыл бұрын
No offense but this guy is overriting himself but don't have a body of work to back it up.. can't make a full song and no fan base i think he should do radio because he is chatty patty 😅😅
Пікірлер: 108