Tusiishie kucoment na kulike tu.. Tufungue pochi tununue kazi zake, mwana anastahili kulipwa... twendeni na #tumpeunjumpungawake
@sameeradam9133
4 жыл бұрын
Kweli Mzee Wa kazz...
@mugadimon3563
4 жыл бұрын
SURE MWAMBA MIMI NI MDAU MZURI NA KAZI ZAKE NINAYO MOJA YA SAMMAGOAL NASUBIRI IJAYO NINUNUE .NA NAENJOY SANA KUONA SESSION YAKE IMEPATA WATAZAMAJI WENGI KULIKO WASANII AMBAO WAPO MAINSTREAM
@oldskuladimuzabongo8873
4 жыл бұрын
Hakika
@kalimazegeli9339
4 жыл бұрын
Mimi nahitaji album yake
@felixrumisha5132
4 жыл бұрын
@@kalimazegeli9339 mchek insta au youtube page yake kuna maelekezo
@abelbest4984
4 жыл бұрын
Kama umesikia "BOSS MKUU MAMAKE" Gonga like kwa dongo hili
@qadinacci
4 жыл бұрын
DAH HA HA HA
@Jack-bx6go
4 жыл бұрын
Nilicheka sana😂😂😂
@bamztvonline9905
4 жыл бұрын
😂
@LeeUfudu
4 жыл бұрын
Shout out from são Paulo Brasil
@bittersweet1683
7 ай бұрын
Subliminal shots in hip hop
@Georgevasco-ld8be
5 ай бұрын
Naomben like 5 tyu zinanitosha mana nimekuja itazama 2024
@kibibson
4 жыл бұрын
ukitaka ujue maana ya BEST MC mfuatilie huyu jamaa, he is Gifted and Talented Rapper. Tz hakuna kichwa kama huyu msela ukimsikiliza wkt anachana lazima utokwe na goosebumps. ZOHAN
@coachkente1001
2 жыл бұрын
There's a bigger difference between talent and gift this is GIFT not talent
@tikonjoka5090
4 жыл бұрын
2na itaji mwendelezo iwe ngoma
@dallerbwoyniglo8675
4 жыл бұрын
Nahisi wasichokijua juu ya huyu jamaa ana sauti ya mamraka anaafaa madaraka
@dottodavid1935
4 жыл бұрын
Anasikika sana redioni BOSS MKUU MAMA AKE 🙌🏼🙌🏼
@kastorymalila1109
4 жыл бұрын
We msenge mbona noma sana!!, na lazima wakukimbie mwaka huu, sasa tunasublia albam ya welcome to GAMBOSHI
@wakudatamjanja
4 жыл бұрын
Sijawahii kuwa wa kwanza kwa comment ndo leo kweli ni balaa 👍👍👍
@mo_zillaa5428
4 жыл бұрын
Nimesoma koment za watu hapa nimelike kibao lakini nikaona sijatenda haki kutokomenti. Kichwa ya unju ni ma terabyte aisee, hatar mnoo. 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@migstranger8142
4 жыл бұрын
Nikki mbishi muacheni niko speechless huyu jamaa ni hatari 🔥🔥
@officer1208
4 жыл бұрын
Daah huyu jamaa
@noelphilipo7994
4 жыл бұрын
Nakubali mnyama simba amakamanda nkimbishi
@abdullahhamed2197
4 жыл бұрын
Kumbuka kila kiumbe ameshushwa na future yake 🔑
@vinrocky8614
4 жыл бұрын
Anasikika sana redio boss mkuu mama yake
@abdullahhamed2197
4 жыл бұрын
Kumekucha Na makucha yake kumbuka kila kiumbe ameshushwa na future yake
@nurdin.mndeme3447
4 жыл бұрын
@@vinrocky8614 future ni ya kila mmoja wake ' akili iwe yako uelewe :)
@musamgulila577
4 жыл бұрын
Hiki kichwa hatar sana
@angelomakaveli2790
4 жыл бұрын
Anasikika sana redioni Boss mkuu mama yake 🔥🔥🔥🔥🔥Qmmke unju ni kisanga
@abelbest4984
4 жыл бұрын
Umeckia iyo boss mkumamake
@mosamossile9113
4 жыл бұрын
Sister wew ni hip hop nakubar Sanaa one lv hapa Chuma juu ya chuma
@hkmeme5437
4 жыл бұрын
Diamond kwenye wasafi radio
@Bomayee007
4 жыл бұрын
Amini kwamba
@divamrembo8788
4 жыл бұрын
Anasikika sana redioni bosi MKUU MAMAAKE. ahaha #savage
@fanleck2922
4 жыл бұрын
Hakuna kuoneana huruma, Biashara ni ubepari
@youngmillar4110
4 жыл бұрын
Unju ndo icon ya hiphop bongo!! BOSS MKUU MAMAKE🔥🔥🔥
@francissikazwe8330
4 жыл бұрын
Upeo wenu mdogo is not is easy to convince me 💥💣💣💥💥💥
@aaronjohn9518
4 жыл бұрын
Kuna melody flani tamu kwenye rap yako unayo na rappers wengi hawana, pia kichwa cha uandishi mzuri na maneno catch ya ku make headlines mtu akisikia 🔥🔥🔥big up Nikki mbishi
@brahmsbabaa6411
4 жыл бұрын
Usanii ni talent Sio kusoma kamusi This dude is talented 💯
@yaedlifemedia3203
4 жыл бұрын
sasa uyu mchiz mnamfananisha na p uyu mchiz ni level nyingine
@anthonymgogo2651
3 жыл бұрын
Wasioelewa wababisha
@salehlule7745
4 жыл бұрын
Lafudhi tamu mpaka wanauliza umekaa pemba👊
@maselashassankubanda99
4 жыл бұрын
We gotta admit,,Nikki mbishi is the Realest in the Game🙆 he's so intellectual that some can't even digest his lyrics 😁😁you gotta have a certain level of knowledge understand him
@selemanathuman6767
Жыл бұрын
Nomaaaaaa Kaka ludiwe BC ata Kwa beat nyine br
@saidbogoyo1484
4 жыл бұрын
Huyu ndo king wa hip hop kwangu
@abdulmohd6880
4 жыл бұрын
Hhh after fid q mm nd anafata yy
@timothmwakakusyu4563
4 жыл бұрын
Niki ndo best MC haina ubishi, fid zamani sio sasa
@desmondplanets3550
4 жыл бұрын
Amin broh
@mosamossile9113
4 жыл бұрын
Brother Unju Mimi mdogo wako nanyosha mikono juu, Wakilsha Tz kwq Upande wangu Tz hip hop ni wew wengine Kerere nyingi Sanaa hawawezi Kupita Kwenye Line zako, From Cape Town South Africa
@mosessabugo3630
4 жыл бұрын
eeeeeeeeh bhana kumbuka kila kiumbe ameshushwa na future yake tusifatiliane
@maneshipaycash4729
4 жыл бұрын
u killer it bro fire chawa nawaficha kwenye kwapa la suzi
@izvibez6823
4 жыл бұрын
Upeo wenu mdogo it's not easy to convince me🎯
@chidytalent5104
4 жыл бұрын
Miaka Tisa sasa namsikiliza Nikki he never disappointment me
@nelsonmasolwa8343
4 жыл бұрын
Disappoint not disappointment
@Sokomoko13
4 жыл бұрын
LALA CHINI ONYESHA PESA PUMBAVUU😁😁😁
@hilmaxengineering4922
4 жыл бұрын
Wapenzi watazamaji wanataka beef na player , mpenzi mtazamaji ni Wakazi📌📌😀😆
@kayitareksteven1543
3 жыл бұрын
Kabisa Nikki kaua kAbisa kuliko wote marehemu zizi angekuwepo ndo angewez kumusimamisha
@bonifacemeela5247
4 жыл бұрын
Kama unajua unajua tu unju bhana "//Muumba tutakase aliyetufumba tumshangaze/"
@nassorgaramatatu8342
4 жыл бұрын
Daaaaaaah!!!!speechless zohan mtu mbaya sana
@leonardkahaya9006
4 жыл бұрын
km uliwai kusikia nikki mbishi anamashabik diehard mm n mmoja wao🔥
@exaverymnyanyi9051
4 жыл бұрын
Unajua braza mung yupo utapepea sana
@kibrajizzo3340
4 жыл бұрын
Cjawhi kwama kukubali kazi zako mkuu🙌🙌🙌 wakuache na ligi zao za mbuzi
@sosterntulian491
4 жыл бұрын
Itabidi nikukubali tuu kilazima haina jinsi ..wee msenge ninoma 🔥🔥🔥
@officer1208
4 жыл бұрын
Hahhahah kmamke nmecheka kisengeeeee hii Comment yako..Unju ni katiliii🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@tonnygraphy7757
4 жыл бұрын
Boss mkuu mkumamake
@thehoodmedia5332
4 жыл бұрын
Mzee wa kuleta inzii kmk wasikucompare na watoto
@sethmunisi8069
2 жыл бұрын
Dr unjuu,,,,, chawa nawaingiza chaka kwenye kwapa la suzi
@wazi7719
4 жыл бұрын
EL chaPOMBE killer... Jembe zaidi ya John😅 Like zake ziwe hapa #Unju💪
WANENE TV HII INSTRUMENTAL MTUWEKEE MTANDAONI FOR FREE ...NAITAKA
@alextanzania
Ай бұрын
Waombe tena aisee
@sofieldkalima6841
4 жыл бұрын
Chawa nawaingiza Chaka kwenye kwapa la Suzy Mbishi Nikki Baba Malcolm Dr unju We ni bonge la ndonga km la mfala moses
@josephselemani8971
4 жыл бұрын
anasikika sana redioni boss mkuu mama ake @unju
@abdulmohd6880
4 жыл бұрын
Anackika sn redioni boss mkuu mamaake😂 mfikishieni izi info yule beki 3 yan dada wakazi kuwa Unju akiamuwa kubishana atabishana na Uno na kw nje ya tamaduni n Farid kubanda c yy wla P..
@philippeter198
4 жыл бұрын
Anasikika sana redioni boss mkuu mama ake
@timothmwakakusyu4563
4 жыл бұрын
My best MC unjuuuuu, unajua sana bro mpaka umepitiliza
@sanjeydatt6494
4 жыл бұрын
Sijawah kusujudia presenter
@inocentmbowe4160
2 жыл бұрын
Mpeni Nikki mbishi crown yake ya Hip hop jamaa hana mpinzani 💪🙌🙌
@tonianosoprano117
4 жыл бұрын
Unju,🔥🙆♂️👐 umetisha Bro
@rajabmwanansoga8430
4 жыл бұрын
Nishasikiliza kama mara 100 hivi......dah!hii noma sana
@steamnature
4 жыл бұрын
Unju anatumia jina JOHN kuunda mstari 2:05 "JEMBE zaidi ya JOHN DEERE pia niko strong CENA fear" JEMBE zaidi ya JOHN = Hapa kacheza na jina la John P. Magufuli anayefahamika pia kama "Jembe" JEMBE zaidi ya JOHN DEERE = "John Deere" ni kampuni ya Marekani inayouza pembejeo za kilimo yakiwemo majembe "... pia niko strong CENA (sina) fear" = Hapa kacheza na jina JOHN CENA, mwanamieleka wa kulipwa kutokea Marekani. Nikki anahusisha sehemu hii ya mstari na uwezo wa "ubavu" wa John Cena. Tafsiri ya mstari: Nikki anajigamba kuwa yeye ni mwenye misimamo, yuko imara, ana nguvu, na hana woga. #Unju
@hashimabdallah8523
4 жыл бұрын
✊
@faucynkrctian6607
4 жыл бұрын
Apo Magufuli hausiki Ni hiyo kampuni ya Matrekta ya John Deere na John cena tuu
@faucynkrctian6607
4 жыл бұрын
Mwamba anajua mambo mengi
@winfridamsumule5084
4 жыл бұрын
@@faucynkrctian6607 Anahusika
@desekepi
4 жыл бұрын
@@faucynkrctian6607 sanaa haijawahi kukamilika na kila tafsiri inaweza kuja 😅
@stansynelson2640
4 жыл бұрын
Tamuuu mnooo hii kuliko zoteee
@charleschanai601
4 жыл бұрын
Nmerudia zaidi ya mara 5...Unjuuuuuuuuuuuuuuu
@thelastsay7435
4 жыл бұрын
Ngoja nikifika home nimskilize Nikki Mbishi(Nikki Zohan)..., 😃😃
@bakari_njobela371
4 жыл бұрын
Hata mimi nmesubiri nmalize kazi nisikilize vzuri a see😂😂
@amonijajila1218
4 жыл бұрын
Mbish wao rafuz tam paka wanauliza umekaa pemba
@mariemkanya1478
4 жыл бұрын
hahaha...hua nashangaa sana wanaojifananisha na huyu mwamba...hii ndio icon ya real hip hop iliobaki tz...hakuna kama huyu watamuelewa tu one day....
@Officalnaph
4 жыл бұрын
BOSI MKUU MAMA YAKE......BOSI MKUMA MAMA YAKE
@jamalally3735
4 жыл бұрын
The G.O.A.T Nikki mbishi a.k.a UNJU
@Rimoynicky
4 жыл бұрын
BOSS MKUUMAMAKE..
@jamerude3753
2 жыл бұрын
Wabongo ndo akili zinaishia hapo
@denismaige1833
4 жыл бұрын
mbishiii
@almatrashid1812
4 жыл бұрын
Huyu mwamba anajua sanaa
@Kobe_254
Жыл бұрын
Hizi ni zile ngoma kumi nakubali tokea Bongo!!! Hapa Diamond hayuko… mpo number moja…, ya wale mc mafala I mean, real legends from Bongo Flava
@obagoabhiathan3565
3 жыл бұрын
Anasikiliza sana redioni Boss mkuu mama ake😂
@asiachaula6133
4 жыл бұрын
wana hip hop hiz ndio test tunazoziitaji, sio ukubabake wao
@joegitonga9821
4 жыл бұрын
This dude never dissapoint.
@francissikazwe8330
4 жыл бұрын
For sure
@officer1208
4 жыл бұрын
For sure mzee
@nsungaedwin3464
4 жыл бұрын
Unajua sana wewe kiumbe. Ushauri, usi entertain biff
@tonyspencer1928
4 жыл бұрын
Muumba tutakase Alie tufunga tumshangaze ka Ni ibilisi muasi tumkanyage tumpe kazi
@jeremiahmabula4837
4 жыл бұрын
Anasisikika Sana radioni Boss mkuu Mamaake
@nwntz
4 жыл бұрын
Hii sasa imeeleweka!!mia
@agustinoezekiel367
4 жыл бұрын
Kwenye maisha wapo watu wanaopenda kulambwa ndo wakupe dili.mm na mwanangu Nikki hatuna nidhamu ya uoga na kuishi tunaishi.uongo Babu!!
@Bomayee007
4 жыл бұрын
Am settled nik meditate life ya ghetto sometime nakuwa menthol au klepto kama nyashishky
@sabongetz4676
4 жыл бұрын
Mm ni moja yashabiki kumi bora huyu jamaa anajua adi anaboa
@hkmeme5437
4 жыл бұрын
Yani hao kumi Niko hapo ndani
@gabrielwilliam2340
2 жыл бұрын
Best Tanzania Mcee Unjuuuuu
@patrickdonald336
4 жыл бұрын
Afu anakuja p anasema to me you will be the next after. Unju bin upupu
Пікірлер: 640