Yaani ww uliyekosoa hiyo kauli mbiu yao naunga mkono, mm kwanza niwe mfano, halafu ndo ww
@GodfreyMwamaso
3 күн бұрын
Hakuna kitu hapo CCM ni wajanja sana na Takukuru hawana mamlaka yoyote ya kuwawajubisha viongozi wa CCM
@abrahamnyagawa1304
3 күн бұрын
Takukuru hapo naona kama hamko serious,mnacheza na akili za watu wazima,haipendezi.mimi sijawafurahia kabisa.mnachekacheka tu,be serious with that people.
@estachengula3902
10 сағат бұрын
Viongozi wetu wengi wanakula mishahara yetu ya walipa Kodi Bure hawatusaidii wananchi wa Tanzania
Пікірлер: 7