Uko sawa mtumishi Mungu akubariki. Askofu Mwasibila
@JamesOdadaNdati-d7o
20 сағат бұрын
nakusikitikia sana wewe uko mtupu huyajui maandiko kitu kama haukijui kaa kimya kwanza inaonekana MAANDIKO umeyadandia pole sana
@metaoyugi6530
3 күн бұрын
Nimelia sana bundles zangu nilizotumia kuskiza mjinga kama huyu,ulaniwe
@deohank5995
Ай бұрын
Amina, Mungu ameamua ujihubiri na kujifunua kwako yeye mwenyewe kwa NENO lake ubarikiwe. Namtukuza Mungu kwa kuwa wewe ni mwanafunzi bora utafutae UKWELI.
@Selemlaki132
Ай бұрын
Mungu haabudu tunao abudu ni sisi wanadamu na tunamuabudu yeye Mungu wetu wa mbinguni
@stephanobenard7439
Ай бұрын
yan omba Mungu akufunulie siri ya sabato utafurahi sana
@user-dz2si2we9x
11 күн бұрын
Asante kwa uelewa wako lakini wasabato ni watu kama wengine kama unavyojua wakristo isipokua wao wanakutana juma mosi kwa maelekezo ya Mungu.
@ernestbensonmwamengo1642
Ай бұрын
Kabamia neno ila kakosa roho mtakatifu
@ZabronJonathan-b5s
18 күн бұрын
Heri mwanadamu afanyaye haya lsaya 56:1--4
@JaredOndieki-dy5cr
17 күн бұрын
Sabato ni jumamosi
@robertokeyo2877
Күн бұрын
We mbona unapinga maandiko Mungu aliaandika
@ngugimundia6306
Ай бұрын
Yaani huyu ndie mchungaji mwenye utoto zaidi sijawai ona eti mungu alipumzika mungu alijiabudu...kwa hio mungu alisema msitamani mke wa jirani kwa huvyo nae mungu alijizuia kutamani mke wa jirani?...acha upuzi mungu akitoa amri ifwatwe alivyosema sikuuliza kama yeye kafanya alivyosema...mungu si mwanadamu!
@douglasnyakundi1208
Ай бұрын
Wewe hujui kile unasemaje,unasomea vizuri,unaeza mambo yako
@user-dx7pp9ie2i
Ай бұрын
Karibu Kanisa la Wasabato ujifunze zaidi.
@FridayMwassa
Ай бұрын
Msema kweli ni biblia siyo wachungaji wako
@elishampoki8751
Ай бұрын
Amina Bishop
@barakamwasumbi1646
2 ай бұрын
Mm sijakuelewa , SIKU ya Saba ni amri za MUNGU siyoo ndacha , ko kama utaki usabato ni wew
@daudimichael7338
Ай бұрын
Huwezi kuelewa kama hutaki kuelewa
@nicodemuswidambe5132
Ай бұрын
Hamna usabato bwana
@nicodemuswidambe5132
Ай бұрын
Sahihi kabisa ndo maana hakuna msalaba popote si kaburini wala kanisani kwao. Kristo si sehemu yao.
@bravesilubonde4350
Ай бұрын
Ndugu msalaba ulikuwepo hata kabla ya Yesu unapaswa kutambua hilo , msalaba ni nembo ya kirumi ambayo leo imeendelezwa kwenye kanisa la kirumi yaan RC , japo huweza kutumika pia kihalali kwa kuwakilisha kafara ya kristo
@FabiJohn-vx9jl
Ай бұрын
Soma vizuri biblia kumbuka kuna juma pili nane tu toka mwanzo hadi ufunuo nitafute nikuelekeze kila juma pili na kilichocho fanyika
@user-ez2og4gi9o
19 күн бұрын
Dah kiongozi kipofu mno
@ZabronJonathan-b5s
18 күн бұрын
Toa andiko kama unalo kwenye biblia linaloonyeesha mitume na Yesu walikwenda kusaliau kumwabudu Mungu siku ya juma pili. Mungu alisema watu wafanye kazi siku sita
@JaredOndieki-dy5cr
17 күн бұрын
Sama vitabu mzee danieli 7 25
@FabiJohn-vx9jl
Ай бұрын
Pole sana Ezekiel 20:12 marko 2 :27-28 luka 4:16-17 acha kudanganya watu jifunze maandiko vizuri ukizingatia hakika utapata maarifa na unatumia sana nguvu bila kuhusu kushika sabato yesu anasema nini juu ya mathayo 5:17
@user-lz7ms2ij7q
Ай бұрын
Isaya 66:23 Na itakuwa, mwezi mpya hata mwezi mpya, na sabato hata sabato, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu, asema BWANA.
@dennispeter2010
Ай бұрын
Kalale ukue Mzee! Umechemka sana huju maandiko kabisa!
@user-it7ih1it3m
Ай бұрын
Usijifiche kwa chaka jitokeze na hayo maandiko😂😂😂
@alexkilyenyi5763
Ай бұрын
Hili somo linahitaji utulivu mnoo..... lakini kwa kiasi kikubwa umetumia uelewa binafsi.......
@gwakisamwakatage4656
Ай бұрын
Pole sana kwa kumkufuru Roho Mtakatifu.
@FridayMwassa
Ай бұрын
Inaonyesha waalimu wako wamekudanganya ktk mengi ila hujui
@DAVIDMAGHANGA
29 күн бұрын
Aminaaaaaa
@deckmayunga6555
22 күн бұрын
Waraka kwa Waebrania 4:8_9 ni agano jipya,inaitaja sabato
@JosephMpangala-wd5mp
Ай бұрын
Kama wasabato siyo wakristo inakuweje Yesu awe Bwana wasabato? Marko:2:27,28.
@ernestbensonmwamengo1642
Ай бұрын
Anatafuta KIKI, Hana NENO. Ndacha siyo saizi yake.
@user-wm9hr7fx9l
22 күн бұрын
Huyu jamaa kilaza kweli kabisa MUNGU aabudu? Na MUNGU anaabudu kwa nani akili matope. Yaani jichanganye tu maana maaandiko hujui
@sullyjoseph1041
26 күн бұрын
Hebu tutajie amri za Mungu
@CollinsOnyango-ep8kk
Ай бұрын
Naomba mungu atusame kwa sababu tunakataa sabato yake ata wale ambao tunaita wachungaji
@clewis520
27 күн бұрын
Jumamosi kwa mujibu ya kiswahili ni siku ya kwanza ya wiki ko jumapili ni siku ya pili.
@ckmanga48
24 күн бұрын
Jumamosi ni siku ya saba katika juma (wiki) ya siku saba yenye asili ya kiyahudi-kikristo. Iko kati ya siku za Ijumaa na Jumapili. Katika kawaida ya utamaduni wa magharibi Jumamosi imekuwa siku ya kuanza wikendi ikiwa ni siku ambako wafanyakazi wengi hupunzika au hufanya kazi nusu siku tu. 😢Katika Israeli Jumamosi huheshimiwa kama Sabato ya kibiblia. Wikendi ya Israel inaanza siku ya Ijumaa na kuendelea Jumamosi.Jumamosi kuwa siku ya kwanza baada ya Ijumaa, Jumapili kama siku ya pili, Jumatatu kama siku ya tatu n.k.. Tabia hii katika Kiswahili ni ya pekee hasa kwa sababu Kiarabu ambacho ni lugha ya Korani takatifu na lugha ya kimataifa ya Waislamu kinatumia jina la Kiyahudi na kuiita siku ya سبت (sabat) yaani Sabato. Lugha nyingi za nchi za Kiislamu zafuata kawaida ya Kiarabu na kuiita vilevile "Sabato" kwa mfano Kiindonesia (Sabtu) au Kiajemi (Farsi) (شنبه - shanbe, kutoka "shabat"). Katika lugha kadhaa za Ulaya jina la siku hutunza kumbukumbu ya mungu aliyeabudiwa zamani za dini ya Kiroma kama vile Kiholanzi "Zaterdag" au Kiingereza "Saturday" (yote: siku ya Saturnus). Lakini lugha zaidi za Ulaya hutumia pia jina la Sabato kwa namna mbalimbali kwa mfano Kifaransa "samedi" (kutoka Kilatini sambati dies - siku ya Sabato), Kihispania "Sábado", Kirusi Суббота (subbota - Sabato)😢
@OtienoKoyi
27 күн бұрын
Samahani kaka, Dacha hawaipigia debe wasabato, ila anapigia, na atazidi kupigia debe amri ya mungu ya nne, sabato.
@ZabronJonathan-b5s
18 күн бұрын
Utuambie na Yesu mwenyewe alikuwa anaenda kusali na kuabudu siku gani?
@sindabahabwoyaanacret660
Ай бұрын
Kweli vilaza ni wengi katika haya maisha ya kikristo
@FridayMwassa
Ай бұрын
Na vilaza wengi wanaamini majini ni mazuri
@richardselaka1621
27 күн бұрын
Sabato ni amri miogoni mwa amri kumi za Mungu
@mussamashauri
Ай бұрын
Bila shaka wewe ni askofu wa shetani pole sana mwazilishi wa sabato ni mungu pumbafu wewe
@FridayMwassa
Ай бұрын
Kwa matusi haya ndiyo umedhihilisha usabato wako
@emmanuelpeter6742
Ай бұрын
Mcha mungu hatukani,omba mungu akusamee
@emmanuelpeter6742
Ай бұрын
Wasabato pia wanashindwa kutofautisha kati ya Mungu na Yesu, maandiko yanasema kuwa ufalme wa Mungu ni huu kumua Baba na aliye mtuma. Kama unaamini Yesu ndio Yehova na sio mwana Bado sana ,omba mungu akufunulie maandiko uelewe.
@barbiechemmy2137
Ай бұрын
Unajiona ulivo wa ajabu 😂 unatukana nini?
@PaulDeus-jh7jn
Ай бұрын
Unapita jujuu sana mtumishi, muombe sana Mungu akuongoze uujue ukweli. Nikweli kabisa siku yoyote unaweza fanya ibada ndo maana huwaga ndani ya wiki kuna siku ya maombi mnakutana hata saa 10 jioni ila asubuhi mlikuwa katika mihangaiko ya mambo mengine. Lakini siku ya saba ni siku maalumu tu ya kuabudu ndo maana huwaga tunaacha shughuri za mihangaiko na utafutaji. Hii ni kwa sababu ndivyo ilivyo agizwa kwamba watu wasifanye kazi siku hiyo.
@user-xf3lv5xp1i
Ай бұрын
Mungu ana abudiwa siku yoyote ili mladi umwabudu katika roho na kweli, kushika sabato sio tiketi ya kumuona Mungu Bali ni kuishi maisha matakatifu katika maisha Yako kumpa maisha Yako Yesu yaani kuokoka.
@sindabahabwoyaanacret660
Ай бұрын
Omba Mungu usifie katika hio Imani
@FridayMwassa
Ай бұрын
Afie kwenye imani gani,acheni kupotosha maandiko, Yesu ndiyo njia ya kweli,bila Yesu hakuna wokovu,dini yako haitakusaidia chochote zaidi ya kuwa mbishi na roho mbaya
@sindabahabwoyaanacret660
Ай бұрын
Imani ya kumfuata kristo ndio njia pekee ya haki kama bado hujaifuta ifuate kizitii amir kumi za Mungu na sabato yake
@royalpriestsmusic5685
Ай бұрын
Sabato ipo kwa mujibu wa biblia na ni siku ambayo Mungu kaitenga kwa ajili yake Sabato ni amri kama zile 9 zingine Ibada ni kila siku ila ipo siku moja Mungu kaitenga
@WilliamHiza
Ай бұрын
Asante Baba watakuelewa tu
@ernestbensonmwamengo1642
Ай бұрын
Ndacha humwezi, siyo saizi yako, MHUBIRI YESU Marko 2:27-28 YESU NDIYE BWANA WA SABATO. NENO DINI NO NJIA NA YESU NDIYE NJIA NA UZIMA. HUSOMI MAFUNGU. HAYO NI MAWAZO YAKO. SOMA NENO ISHI KWA MENO. IMESALIA RAHA YA SABATO KWA WATU WA MUNGU. waebrania 4:9-11 .
@sullyjoseph1041
26 күн бұрын
Hueleweki wala hujui biblia
@user-fk9dy6ng4f
Ай бұрын
Unajitahidi kutuonyesha usivyojielewa ila unajihubiri utaelewa tu
@user-ct1qp3th5f
Ай бұрын
Dah! Shetani ana mawakala wengi sana, mlio na akili ya kupambanua mambo,amkeni, kumekucha.
@NicodemusMutua-pf8kp
Ай бұрын
Wanaitwa adventist maana yake wafuasi wa yesu yaani wakristo. Lakini kutana na msabato ufanye mjadala ndio uthibitishe unachosema juu uko kado sana na maandiko
@michaellumumba1779
19 күн бұрын
MUNGU halazimishi mtu kutii amri zake. Anasema mkinipenda mtazishika amri zangu
@user-jl5un4wf3u
Ай бұрын
Wasabato nidini ya Mayahudi isiyomkubali kiristo baali wale waliojiengua ilekarne ya 18iliyoanzishwa na akinawiliam mira S.D.A ndiyowakiristo wanaokubali Yesu kurudi mara yapili lskinipasipo kujuanao hujiitawasabato wakati dini hiyo yaMayahudi hawasomi hata enjili hao husomatoratitu na bibiriayao ina torati tu haina aganojipya huweziluwa mkiristo bila enjiliwala humutajiYesu
@user-wm9hr7fx9l
22 күн бұрын
Pole sana maana ulilishwa matango poli
@DeusRamadhan
Ай бұрын
Sabato ni amri na kama ukikataa amri hii ujue ya kuwa wewe ni mpagani haswa
@feadamagessa889
Ай бұрын
Wewe usipotoshe watu kama papa ,Sasa wewe unaabudu Kwa Mungu yup 😅😢😊😊😊
@ckmanga48
Ай бұрын
Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafiti; nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo. 2 Timotheo 4:3-4😮😮😊
@jamesimanwel5089
16 күн бұрын
😂😂😂 wewe unachekesha kweli Yesu mwenyew ni Bwana wa Sabato.
@martinkamwaro1561
Ай бұрын
Jaribu kumtongoza mkewe uone. Hawa ni mbwa wakali aliosema paulo
@jaredjeffney9496
Ай бұрын
Ata nashangaa huyu mchungaji...lengo lake ni kupigana na neno la Mungu.
@DavidChacha-yz4qh
23 күн бұрын
Wewe kila andiko lafaa kwa mafundisho ww una ushetani mwingi wanao kisikiriza utawaloga hata fundisho lako halieleweki
@MaximilianMatambari
Ай бұрын
Acha kupotosha watu mungu hajasema ikumbuke jumapili
@emmanuelpeter6742
Ай бұрын
Aliposema wakumbuke sabato alikuwa anawaambia waisrael sio watanzania Soma Kutoka 31:16
@magrethmosha4272
Ай бұрын
wanangu wapendwa mbona mnasikia hasira kwenye hilii? mKristo wa kweli huwa hakasiriki bure.
@tumainjulius2311
Ай бұрын
Bwana na akukemee
@daudimichael7338
Ай бұрын
Mbona hakuwakemea ninyi kwa kumtuhumu Yesu kuvunja Sabato mkamuua? Si maana yake mlimkataa Yesu, mtakuwaje wakristo Kristo mwenyewe mlimkataa mkamuua?
@raymondngajagu66
Ай бұрын
Mimi naona wewe unajifunza kwa walioanguka bada ujifunze kwa walioshinda Marko 2:27-28 kama ww sio binadamu haikuhusu wala bwana wake ambaye ndie Yesu kristo hakuhusu pia@@daudimichael7338
@tumainjulius2311
Ай бұрын
@@daudimichael7338Bwana akusaidie sana umfahamu uachane na Mpinga Kristo(UPAPA) na Sabato yake ya bandia Jumapili. @@Imeandikwa mcheni Mungu na kumtukuza kwa maana saa ya hukumu yake imefika msujudieni yeye aliyefanya mbingu na nchi bahari na chemchemi za maji.,,Hebrew 4:9.
@sergiusnjiru2361
Ай бұрын
Asanteni nyote ninalo swali .nigeomba nielezewe kinagaubaga kwamba manzo wa siku ni upon na mwisho wa suku ni upi tuwache mambo ya wasungu .nielezeni .
@barakamwasumbi1646
Ай бұрын
@@sergiusnjiru2361 kiukwel SIKU nikitu Cha muhimu sANA , SIKU ya Saba JUMAMOSI, aliiandika kwakidole CHAKE mwenyewe,na akaibariki, LKN Daniel 7:25 ATAAZIMU KUBADILI SHELIA, akaweka JUMAPILI costantino , ko MUNGU aliiweka JUMAMOSI na costantino akaiweka JUMAPILI, ndomaana wakijitetea wanajichanganya, BWANA WA sabato ni YESU, LKN bwana WA JUMAPILI ni NIMLODI
@user-jl5un4wf3u
22 күн бұрын
Eti musalaba ulikuwepo hatakablaya yesu sawa huomsalaba wa tolati ulikuwa wakunyongea.wahalifu kwamilanadesturi zatolati lakini ule wakusulubishwa Yesu kamamhalifu alinyongwa na alifariki? je alikuwa muhalifu? hushangai hatamitume kwanini walinyongwa nakuuwawa nasasa ni ni marehemunao wanasbiri ufufuo waMungu.😊
@fredrickgitonga1972
Ай бұрын
Maana ya njina wakristo ni wale wanaomfuata yesu kristo, nao wamejengwa chini ya msingi wa mitime na manabii naye kristo yesu ndiye njiwe kuu, alafu sabbato ni siku ya kufanya ibada, tofauti na siku zingine ambaso Kila mtu ufanyia maombi kwake ama mahali popote, ila Sabbato ni siku ya kufanya ibada pekeake, so wwe mtumishi soma maandiko vyema
@JohnNchimbi-i8t
Ай бұрын
Wapi imeandikwa sabato ni siku ya kufanya ibada?
@RenatusMakan-x2z
Ай бұрын
Mtumish sabato sio din bali sabato ni siku ya kuabud
@user-it7ih1it3m
Ай бұрын
@@RenatusMakan-x2z sabato sio siku ya kuabudu
@emmanuelpeter6742
Ай бұрын
Maana ya Sabato sio Siku ya kuabudu, ni siku ya kupumzika
@user-it7ih1it3m
Ай бұрын
@@emmanuelpeter6742 wanaojiita wasabato huwa nashindwa kuwatofautisha na waislamu wao wameshika mapokeo ya kimwili ya musa na sio mapokeo ya kiroho
@EvgLeonidas
Ай бұрын
We Mzee bila shaka unakunywa gongo
@harundouglas1633
Ай бұрын
Kabisaaa
@malimahila9450
26 күн бұрын
Kiongizi kipofu hawezu kufafanua maanduko
@user-ep1pi5pw3k
2 ай бұрын
Nb
@jeanefelix70
Ай бұрын
Ata mbingu mpya na inchi mpya Sabato itakuwepo kwa maana ni amri ya Mungu ya milele.
@ChanceBariziraVital-cv5jx
Ай бұрын
Inamaana hataaujui hatailojina la ukristo niwananiwalilo litoakwetu,polesana wewe na vipofu wasioelewa maandiko
@MwalindeJackson
Ай бұрын
Mzee wehujaelewatu njoo nikujuze zaidi soma ebrania 4--9 soma 1saya 66 --23 acha ushamba wa maandiko bos
@danielmarwa5122
Ай бұрын
Soma matendo ya mitume 16.13 Paulo alifanya nini huko kwa wamataifa si kwa wayahudi.
@ZabronJonathan-b5s
18 күн бұрын
Wewe kibaraka wa shetani mbona umeshindwa kuwambia watu siku ambayo Mungu alisema wamwabudu.
@jamesonyango2653
Ай бұрын
Askofu soma isaha 66_23
@MrMwangosi
Ай бұрын
Hata asiyejua Kusoma hawezi Kuitafsiri Biblia Kama hivi. Ni Afadhali Ungekaa Kimya uwafundishe Waumini Kanisani Kwako, KULIKO KUJIAIBISHA MTANDAONI.
@RamadhanMgoloz
Ай бұрын
Hueleweki mtumish fundisha vizuri watu wakuelewe kwaiyo ni siku ipi hasa Kati ya jumamos au jumapili
@samwelpaul2439
Ай бұрын
Wewe ndoo huelewi!! Siku sio sababu,, siku yoyote mtu anaweza kuabudu, na sio j.mos kuwa siku maarumu kwa ibaada, sabato ilikuwa ni siku ya kupumzika,, na sio maarumu kwa ibada
@user-qo2xd3hb8l
Ай бұрын
Wewe na Ndacha hamna tofauti wewe umeshika Jina kristo Ndacha ameshika siku Sabato
@penuelelhazina7860
Ай бұрын
Umejikaz kuudanganya watu ambao hawasomi maandiko
@royalpriestsmusic5685
Ай бұрын
Kuipinga sabato huwezi kwa kutumia biblia labda kwa kutumia hadithi na maneno ya kuongeza
@DANIELSHAURI-lo8wb
Ай бұрын
Wapi ilipo amri ya ibada ya juma pili MBN haujaizungumzia?
@nyanchokarebecca9001
Ай бұрын
Wewe ni mchungaji wa kweli????
@user-fj5dy9hh5v
Ай бұрын
Wasabato hawajui maana ya agano ila wanang'ang'ania siku (sabato) Hata hawamwelewi yesu
@innocentfortunatus725
Ай бұрын
Kuna MWISHO wa ubishi, uzuri mimi na wewe tunapita ata Yesu kirsto alikuwa msabato. MWISHO WA UBISHI upo
@ernestbensonmwamengo1642
Ай бұрын
Uelewa wako mdogo hata ukitembea kote utashuhudiwa kuwa wasabato ndiyo waijuayo kweli. Wayahudi hawana siku, maelezo yako ya awali umesema siku zote ni sawa na sasa unasema sabato ni siku ya wayahudi? You contradict yourself. Jumapili ni siku ya jua. Sunday, soma vitabu. Ndacha ni MHUBIRI wa kimataifa aliyevuviwa na ROHO mtakatifu. Hako baridi kama wewe. Wewe njoo ufanye mdahalo na Mimi, si ndacha. Hana muda wa kichezea.b
@user-qk9iz5lt8q
Ай бұрын
KWA HIYO MUMEAMUA KULIMANA WENYEWE KWA WENYEWE NA KOMENT ZA MATUSI YA KISHETANI ,AMA KWELI SIKU ZA MWISHO DALILI ZAKE ZINAHIHIRIKA
@ernestbensonmwamengo1642
Ай бұрын
HUYO muhubiri anapotosha maandiko. Hata katekisimo ya wakatoloki inakiri kuwa sabato ni jumamosi ndiyo siku ya kuabudu Mungu, pia korana . Bike vile wayahudi wapo Hadi Leo. Je, wote walimkataa YESU? Jibu ni hapana . Mitume wake wote na wauumini wa Karne ya kwanza walikuwa wakiabidu MUNGU katika siku ya SABATO. Matendo 16:13-17
@DANIELSHAURI-lo8wb
Ай бұрын
Usitumie nguvu zako kufasiri maandiko kama utakavyo wewe hebu angalia Isaya 66:23 Nakuombea kwa MUNGU afungue macho yako ya kiroho usiwe kiongozi kipofu Angalia marko7:7 Yakobo2:10-11
@mussamashauri
Ай бұрын
Endelea kuabudu constan mrumi nyoko ww
@RenatusMakan-x2z
Ай бұрын
Mungu akusamehe askof kwan hata yesu nae aliabud siku ya sabato kama hujui soma biblia vzur
@lillianebwire4897
Ай бұрын
Aliponya alifanya kazi kuonyesha Mungu amejitokeza naye ndiye mwenye Sabato, Yesu akiwa nasi hatupo chini ya Sheria Ili kupata ufalme wa mbinguni.
@JameM-l1u
Ай бұрын
Kama yesu ndiye mwenye sabato kwanini watu wasifuate cha Yesu Sasa?
@josephinemutua6183
Ай бұрын
Prayer Prayer is needed for you, because what you read you don't understand.
@fredrickgitonga1972
Ай бұрын
Je Sunday worshipas niwa kristo
@lillianebwire4897
Ай бұрын
We worship Day and Night. Not days.
@SALUMKINONGA
Ай бұрын
Mbona.mnapingana.wenyewe
@stevenwilliam2704
Ай бұрын
ukitaka kujua ukweli zaidi wa huyu jamaa angalia, mahubiri tv, orion tv, na hope channel tanzania
@nyarondiajames4999
Ай бұрын
Swali kwako? Ni hamri ya Mungu au yako au ya Ndacha.Nenda kafunzwe kuwa askofu si kitu ,jambo muhimu helewe maandiko bwana. Kwa mjibu wa maandiko wewe ni kibofu kiroho
@user-ec3uk7br2z
Ай бұрын
Upo sawa
@aloycelucas1823
Ай бұрын
Acha comedy lakni pia uendelee kusema, Ukatoliki sio ukristo, Uluteri sio ukristo, Uanglicana sio ukristo, Ulokole sio ukristo, au tuseme Upentecoste sio ukristo, halafu umalizie kwa kusema Usabato sio ukristo. Maana yangu ni kwamba kwanini ubague usabato ilihali kila dhehebu lina jina la kwanza, yani katoliki, protestant, anglican, othodox, Pentecostal, na sabato yote ni makanisa ya kikristo,Amen
@raymondngajagu66
Ай бұрын
Hawatakuelewa hao walizoea kupokea makontena ya mafuta ya upako
@ernestbensonmwamengo1642
Ай бұрын
Haelewi hata anachosema
@ernestbensonmwamengo1642
Ай бұрын
Ka wasabato hawajaandikwa kwenye maandiko eti ndiyo kupinga kuwa siyo WAKRISTO. JE, KKKT ni wakriato? WA MORAVIAN, WAANGLIVAN, WA ETG ATG JEHOVAH WITNESS hawa wote siyo wakristo? Na kama ni wakristo wameandikwa katika neno.? Uhalali wa kuitwa wakristo kimaandiko ni upi?
@geoffreykibogora1819
Ай бұрын
Wasabato Ni Wasabato Tu. Na Wakristo Ni Wakristo Tu.
@VedastJohn
Ай бұрын
Wewe mbona sikwelewi wewe unasali siku ipi unaponda sabato siku ipi yakuabudu?
@JeanClaudeHABONIMANA-zm8mh
Ай бұрын
Art 13:44
@samoskiyalo6095
Ай бұрын
Umefundisha vizuli juu ya sabato umekesea sana juu ta utatu utatu ni mathayo 28:18.yaani Baba mwana na Roho mtakatifu ,pia ni umoja wa uumbaji natufanye mtu
@ShedrackRukomba
Ай бұрын
Waafrika sisi ni matapishi ya wazungu tafteni ela acha kupotosha vizazi hakuna din
@user-df1wz5xu2i
Ай бұрын
Umetumwa nini
@ernestbensonmwamengo1642
Ай бұрын
Hajui maandiko huyo, hata maana ya madhehebu ya kikristo hayajuwi.
@royalpriestsmusic5685
Ай бұрын
Na sabato niya wanadamu wote sio kwa wa Israel
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
Ай бұрын
Yom shabbat 👉Siku ya Pumziko/starehe
@fahadfaraj6474
Ай бұрын
Tulopata kuishi Israel ilikua ikifika Yom shabbat kila kitu kinasimama kuanzia ijumaa jioni mpaka jmosi jioni
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
Ай бұрын
@@fahadfaraj6474 Ufahamu ni uzima kwa aliye nao
@fahadfaraj6474
Ай бұрын
@@Mahershalalhashbazi-kf6xi nmesoma pale 4 yrs Haifa mpaka izo kibutz nshaenda sana nlichogundua watu wengi hawana maarifa sahihi juu ya wale mabwana ndo maana Hua napenda kuwaskiliza watu wa huku nakuona wanaukweli gani juu ya uhalisia
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
Ай бұрын
@@fahadfaraj6474 Mihemko ya Imani plus brain wash inafanya watu wasijuwe wanachoabudu kwa kupapasa au wasijuwe wanachokiabudu
@fahadfaraj6474
Ай бұрын
@@Mahershalalhashbazi-kf6xiwakati nko Haifa nlikua na jamaa mmoja wakikenya ye ni mkristo mpaka tunaondoka pale alibadili completely mtazamo wake juu ya wale jamaa maana huko Africa alikuta wanavyowona wale mabwana na wale wanavyowaona wakristo na dini nyingine ni vitu viwili tofauti
@DitramMsemwa
Ай бұрын
Mchungaji yupo sahihi msabato sio mkiristo dini yao ni yakiyahudi wayahudi wanapumzika jumamosi agano jipya wanalikataa hawa wakwetu wametoka wapi?
@bravesilubonde4350
Ай бұрын
Kumbuka wokovu unapatikana kwa wayahudi hata yesu ambaye ndiye chanzo cha ukristo alikuwa myahudi
@ernestbensonmwamengo1642
Ай бұрын
😂😂😂😂😂 siyo mchungaji HUYO.
@ernestbensonmwamengo1642
Ай бұрын
Anatafuta kiki. Ndacha siyo DARAJA lake 🔥🔥🔥
@stephanobenard7439
Ай бұрын
mzee umechemka uyo mwalimu wako wa Biblia akufundishe upya
Пікірлер: 218