Mara nyingi kunao upande wa pili wa maisha ya wasanii ambao mashabiki wao huwa hawautambui. Lofty Matambo alipata fursa ya kuzungumza na watu waliotangamana na marehemu Joseph Olita muigizaji wa filamu ya rise and fall of Idd Amin aliyeaga dunia jana na taswira inayojitokeza ni kwamba mazao ya filamu hiyo yalikuwa chini yakilinganishwa na umaarufu aliokuwa nao
Watch KTN Live www.ktnkenya.tv...
Follow us on / ktnkenya
Like us on / ktnkenya
Негізгі бет Wasanii wengi nchini waishia kuishi maisha ya uchochole kutokana na kutojua thamani yao
Пікірлер