Jeneza lililobeba mwili wa aliyekuwa mwimbaji wa kundi la Zabron Singers, Marco Joseph, likitolewa ndani kwa ajili ya kuagwa na wananchi nyumbani kwao Kahama mkoani Shinyanga, kabla ya maziko yatakayofanyika leo Agosti 25,2024.
Joseph alifariki dunia usiku wa Agosti 21, 2024 wakati akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa moyo katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) jijini Dar es Salaam.
#zabronsingers
Негізгі бет WATOTO WA MARCOS WAWALIZA WATU WALIPOIMBA WIMBO HUU MBELE YA JENEZA LA BABA YAO
Пікірлер: 95