Kwa kauli za wavuvi wanawalinda samaki na kuwauwa kwa njaa BINAADAMU na WANANCHI wao.
@feisalally8912
5 жыл бұрын
Kwanini Maafisa uvuvi msiige mfano mzuri wa TBS?! TBS wao huwezi sikia malalamiko kwa watu wa mwisho kwasababu wanadhibiti ubora kwa muagizaji! Sasa nyinyi Maafisa Uvuvi Mnawaacha wafanya biashara wakubwa wanaingiza nyavu msizozitaka nchini halafu mnakuja kuwakamata wavuvi wadogo wadogo na kuwachomea nyavu zao. Hii haiingii akilini!
@feisalally8912
5 жыл бұрын
Cha kushangaza anayewapa wafanyabishara kibali cha kuingiza nyavu hizo ndiye ndiye huyo huyo anaeandaa doria za kuwakamata wavuvi baada kuzinunua madukani!
@feisalally8912
5 жыл бұрын
Maafisa uvuvi hawafanyi kazi yao vyema na badala yake wanawanyanyasa tu wavuvi. Mvuvi mdogo sana wa uono ananunua nyavu dukani, ili aje kuvulia, akija kuvulia maafisa uvuvi mnasema hazifai na mnapiga moto. Sasa kama nyavu hazifai kwanini dukani zinapatikana?!
Пікірлер: 5