Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule amewaasa Wazazi na Walezi kuwa sehemu ya kuwalinda Watoto, na sio kuwa sehemu ya ukatili kwani Serikali haitafumbia macho,hivyo kila mmoja ahakikishe anaishi kwenye kauli mbiu ya Mkoa wa Dodoma inayosema “Nyumbani kwangu hakuna ukatili “.
#dodomatukotayarikujiandikisha
#Dodomafahariyawatanzania
#keroyakowajibuwangu
Негізгі бет WAZAZI NA WALEZI WAASWA KUWA SEHEMU YA KUWALINDA WATOTO NA SIYO KUWA SEHEMU YA UKATILI
Пікірлер