Asante sana Mhe. Waitara kiukweli umetuwakilisha vema wananchi. Sisi tunawategemea ninyi kwanza mkatae vitendo vinavyokwenda kinyume na maadili. Mkikaa kimya maana yake mnakubaliana na vitendo hivyo vya kutuharibia vijana. Tunakupongeza sana sana!!
@HamisAbdallah-cj2sc
5 ай бұрын
Tunataka wabunhe Kama hawa
@MudiMtundu
5 ай бұрын
Uko sahihi baba Asante kwajili yawatanzania wote
@faridaally-jp1gx
5 ай бұрын
Hongera baba kutetea mungu akulinde watoto wanaharibiwa sana
@HamisAbdallah-cj2sc
5 ай бұрын
Waziri anafanya mzaha amekaa kimya hali si nzuri
@PauloMiage-m1x
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Asante sana waaaaaah hapa Huyu nmemwelewa ata akiomba kura huyu apewe kabsa amkeni hivi tutawakubali
@Steven-y8h5g
4 ай бұрын
Hongera kwa kupinga ushoga Mungu akusaidie
@gosbertrwezahura3645
5 ай бұрын
Safi kabisa. Una uthubutu kuliko hata kiongozi wa nchi.
@mariamarywenslaus2938
5 ай бұрын
True point 😲😲😲😲😲
@KenedyMwakyimo-lf6jg
5 ай бұрын
🎉daàh nmependa xana hii Mungu akubariki
@abduljuma7807
5 ай бұрын
Hao mawaziri wote wanaonyamazia maovu kwenye wizara zao hatuwapi kura kuwatetea wazungu
@mutawillibard2544
5 ай бұрын
Point mkuu atuwezi kulea ujinga maana tukirea ujinga leo kesho hatutapata taifa imara
@dominickchristopher1669
5 ай бұрын
Tanzania inaitaji viongozi wa aina hii hongera mbunge mungu hakulinde uyo wazili no dalali wa wazungu
@muniraahmed624
5 ай бұрын
Jamaaa anajuaaa Allah akulinde ameongeaa ukwelii
@TwahaAliMtumbi
5 ай бұрын
Hongera Sana waitara
@yusufumahendeka2456
5 ай бұрын
Hongera sana sana Mungu azidi kukushika sana
@diamondjx
5 ай бұрын
Safi sana mbunge
@HadijaTatu
5 ай бұрын
Hakika hii ni vita ya ukombozi wa kifikra na wakuongoza vita hivi ni viongozi wanaojielewa kama ww mungu akuweke babab
@Paulopeter-nh4gl
5 ай бұрын
Hongera sana mjomba wangu kwa kutuwakilisha wananchi wa tarime na watanzania kwa ujumla
@IssaSaid-t2r
5 ай бұрын
Asante baba kwa kuongea kwa sauti ya juuu kabs kwa kwaniabaya ya watanzania.viongozi kama hawa ndio tunao wahitaji walio kunywa maji ya bendera ya taifa hii ni vita kama vita nyingine
@FunnyMastiff-hd3bb
4 ай бұрын
Asante sana
@nururashidy1447
5 ай бұрын
Asante mhe. Ujumbe umefika iv Rais wangu siaseme tu nae akemee ushongo na itungwe sheria kali kama Uganda
@AkswaZo
5 ай бұрын
Hongera kiongozi kwa kusimamia maadili hadharani
@piusdamian594
5 ай бұрын
Chief Mwita Mwita respect 💯
@salomemlagila5757
5 ай бұрын
Asante baba
@suzysam6002
5 ай бұрын
Mungu was mbinguni akubariki sana akukumbuke siku zote akakupe haja ya moyo wako
@fettyramadhan622
5 ай бұрын
Kweli
@Ibazuhamis
5 ай бұрын
Kweli kabisa
@saddiqsaddiq6880
5 ай бұрын
Muhishimiwa hongera ×100
@husseinkonz5192
5 ай бұрын
Sf waitara ww ndio umechana mkeka laivu hongera
@trendings1293
5 ай бұрын
Asante muheshimiwaaa
@SHARIFAMAKAMBA
5 ай бұрын
Big up
@eladiuspeter586
5 ай бұрын
Leo Umeongea point
@RaphaelJickson
5 ай бұрын
Daaa!!! Noma sana mambo ya nchi hi ACHA tyu
@HamisAbdallah-cj2sc
5 ай бұрын
Hongera Sana muishimiwa mwakiembe ameonhea lakini hapati ushirikiano hata kidogo tatizo misaada tatizo
@jogoomohamed2652
5 ай бұрын
Safi sana mh, safi sana mtu mwenye hofu ya MWENYEZI MUNGU,safi sana mhe unayejua duniani tunapita,safi sana mkuu mwenye utanzania kamili.MWENYEZI MUNGU atakulipa kwa kilio chako.
@rithaurassa
Ай бұрын
Tunawahutaji viongoz wengi kama hawa bungen.Hawa ndio viongoz Mungu amewateua kutetea T.z Mungu akubariki sn.
@sarahdeograthias9097
5 ай бұрын
Safi sana Mh God bless you
@irmgardsamia1827
5 ай бұрын
Saaafi sana
@PastorNdabilaJembelaYesu
3 ай бұрын
Hongera sana mwita
@Halphanmpagaze
5 ай бұрын
Safiii
@maendeleoleo2594
5 ай бұрын
Kuna wakati saa mbovu inasema ukweli😆😆
@paschalekagito3507
5 ай бұрын
Saa mbovu ipi sasa we fisi wewe fala
@MiriamAbdallah
5 ай бұрын
Ungekuwa unafuatilia bunge Kila siku usengemeita fisi, anaongea pumba sana huyu waitara
@Wairanyamobiletech
5 ай бұрын
@@MiriamAbdallahchadema bhana😊😊😊😊😊
@MiriamAbdallah
5 ай бұрын
@@Wairanyamobiletech 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kafanyeje tena 🤣🤣🤣🤣🤣
@ramadhanishabani807
4 ай бұрын
Hii ni saa mbovu kwakweli leo imejitahidi
@janechengula2833
5 ай бұрын
Mungu akubariki baba 💯
@Drjohnny-bf6bp
5 ай бұрын
Hongera sana🎉
@andrewmichaelmwakipole5054
5 ай бұрын
Aswaaaaa amazake amazangu Mungu akupe neema tunaitaji viongozi Kama awa
@DeoSeme-qe9qq
5 ай бұрын
Nakuombea kwa Mungu,akupe maisha marefu,Umetuwakilisha kiukweli
@GabrielSky64
5 ай бұрын
Heche is back. Safi Sana muheshimiwa
@tobiaspaul9203
5 ай бұрын
Usilingsnishe heche na ujinga
@maisarirajab4846
5 ай бұрын
Safi sana
@JayKurya
5 ай бұрын
Asante sana mbunge Waitara
@stellacosmacy4785
5 ай бұрын
Waitara Ahsantee sanaaa baba
@DaimonMwapelele
5 ай бұрын
Safi Sana haya mashetan yatoke na pesa zao na huyo raid alone kwendakwenda kwa hao mafilaun kuombaomba misaada
@nikodemmwahangila3334
5 ай бұрын
Hongera sana waitara tunataka wabunge kama huyu Tanzania
@RamadhaniHamisi-qt1sv
5 ай бұрын
Good mheshimiwa
@magogelameck1501
5 ай бұрын
Mungu akubariki@Waitara
@willymwaipaja6783
5 ай бұрын
Harakati za kuwainua wanawake wawe vichwa juu ya wanaume vinapofanikiwa, ndipo harakati za ushoga vinaanza na baadae haki za watoto kufanya watakavyo bila kupingwa na wazazi wao. yote haya yanapingana na Neno la Mungu ila yanakubaliwa na wazungu. Na wote ambao mungu wao ni vile waonavyo wazungu ndio ambao huendesha harakati hizi. Yaani hawa hawafai kabisa, ila kwa haki za wazungu wanafaa na ndio viongozi wa kutuendesha kwenye machukizo. Majanga na mabalaa na laana yatazidi kuongezeka kama matokeo ya kumchukiza Mungu kwa uasi dhidi ya neno lake kutokana na upotoka kwetu
@MuhibuMrope
5 ай бұрын
Mh mhata mbunge wangu ❤❤❤
@AinekishaNyakato
5 ай бұрын
Bora ndoa za mitara wanaume waoe wanawake 20 kuliko mwanangu wa kiume kulawitiwa au kuolea yaani mungu tusimamia hii vita wanawake inabidi tuandamane laa sivyo watoto wetu wa kiume wamo hatarin saaana
@husseinbachwa8372
5 ай бұрын
Ahsante saana kaka mwita
@AbdalahMsaga-wf6zl
5 ай бұрын
Waambie ukweli baba kwani mbona bili wap tuna toboa kwanini sisi tuna jirahidi? Tumwombe mama asituongoze ivo awe jasir
@fatmaally7252
5 ай бұрын
Yaaaani mungu akubariki baba yangu awo wanaowalawiti watoto wetu awafungwi wanaachiwa huru ndo mana hii hari inaendelea ingekuwa wanafungwa majsha jela aya mambo yasinge endelea yani kama nyie viongozi mnapenda haya mambo au mmeyakubarj yafanyike
@umlaith5202
3 ай бұрын
Huyo Waziri havai ,...
@paschalfausitine7108
5 ай бұрын
Leo wewe ,umeongea point Bora ,tule, mlenda na daga , kuliko watoto wetu, kuwa mashoga , ni usenge tyu
@MiriamAbdallah
5 ай бұрын
Kumbe kunavitu vya maana anasapot
@mr.yahzadochuno7914
5 ай бұрын
Jesus lord 💔😭
@MosesMollel-je2zq
5 ай бұрын
Kweli kabisa baba Sema ukweli kila siku ILi watu watoke kwenye ngiza ya wa koloni
@stellacosmacy4785
5 ай бұрын
Hongeraa wanatuletea ungaa wa ugali unaviashilia wanatuletea sheleeni kwa watoto wetu
@edwardmwambene3748
5 ай бұрын
💯💯💯🥰🔥🔥
@BahatiSamila
5 ай бұрын
Anakiri atafika mbaaali😊❤
@JoshuaMsamila-tk9df
5 ай бұрын
Ako kamama basi mungu ndo anajua
@faithfelistasmwinjomod3955
5 ай бұрын
👏👏
@karimkate1853
5 ай бұрын
Good mwita
@ArielNassari
5 ай бұрын
Xawaxawa baba
@rewardnjau7220
5 ай бұрын
vita vita mura hakuna vita ndogo
@tobiaspaul9203
5 ай бұрын
Kashikilia nini hicho
@mugirejoseph5329
4 ай бұрын
Asant kaka angu wabunge muwe hivyo safi
@ngusawales2039
5 ай бұрын
Limewakia kwenye GIA leo namba 3
@mwanas2
5 ай бұрын
😅😅
@MiriamAbdallah
5 ай бұрын
Limenifurahisha 😅😅😅😅😅😅 kumbe anakuwa vizuri ila ukupe wake tuu😅😅😅😅😅
@rashidmkoga3053
5 ай бұрын
Mwanaume Museven tu Africa
@DeusOgiro
2 ай бұрын
Jambo mbaya sana ushonga
@HassaniSemeni
5 ай бұрын
Mzee nakukubali hao wanao kubali ushogo waende huko uliko wakawe bwabwa wao
@RobartShello-qj4vr
5 ай бұрын
Hakuna kitu hapo nimakofiitu, utekelezaji sifuri kuanawatu wanaliamo ndo maana munapaza saut hazifiki
@AnuaryMadili
5 ай бұрын
Chief Waitara🎉
@jkaaya3639
5 ай бұрын
Safisana kaka huna tuwakilisha vema❤❤❤
@kamanyasogoye4855
5 ай бұрын
Safi sana Mbunge🎉🎉🎉🎉
@edwardmizambwa237
4 ай бұрын
Kama mkubwa kasema wakubwa ruksa ushoga ila niachieni watoto, na wote mmeona waziri atakua na nini la kusema? Mnamuonea.
@AbdalahMsaga-wf6zl
5 ай бұрын
Ongeeni namama kama anashabikia aruhusu na siraha ili boya akikuletea utefe unamuwasha
@verdianabanabi2205
5 ай бұрын
Hii wanatuletea mikosi na laana kwa vizazi vyetu. Ndiyo maana magu hakuhitaji wazungu. Lakini mpaka sasa wameingia na staili ya misaada kumbe wanasambaza ujinga.
@ReginaJoseph-cm3cx
5 ай бұрын
Mura leo umenifurahisha
@gazzomaster9462
5 ай бұрын
Hii imeendaaa kabisaaa
@StanyOfficiol-f6p
3 ай бұрын
Kwanini serikari isitunge sheria ya kufungwa? MTU yoyote anae jihusisha na ndoa moja au ushiga
@PaulinaSemindu-ob3de
5 ай бұрын
Ninachoumia mtt mdogo analawitiwa mlengwa anakamatwa anapelekwa police na anaachiwa huwaga naumia sana niliona mitandaon😭😭
@kubwalao4936
5 ай бұрын
Unajitambua sana mkuu, utakuwa rais soon
@davidkawesa3594
5 ай бұрын
Mngepinga kwa kugomea huwo mpango lakini mnaogopa posho zenu mnaona aibu mnahonga pesa
@BethiGody
5 ай бұрын
😂😂😂wakurya atutaki ujingaaa buana
@josephmwinuka3982
5 ай бұрын
Leo nimekuelewa kuhusu ushoga
@smartonlinetv5144
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂...... Mh waitara yaani umenifanya nianze kuwaza pale endapo umevaa shela unaolewa na kitambi hicho.......... hahahaha nimejikuta nacheka kama mazuri vile. Asante sana Mh waitara umetuwakilisha vema wananchi tuepuke kupewa pewa kwani hakuna kitu Cha bure
Tunashukuru baba tunaomba mtuteteee jamani daaa! watoto wanahalibiwa sanaa
@josephjulio6112
5 ай бұрын
Huyu mama gwajima ni vizuri wafuatiliwe mimi nahisi huyu atakua mwasi anaweza kula hela za wazungu
@HasanooTozzy
5 ай бұрын
HAKIKAAA
@ashuranda6934
5 ай бұрын
Watanzania amukeni jamani inci kwakweli taïfa inakwenda pabaya sana
@ROZITHOMAS-y4q
5 ай бұрын
Wabunge pigeni kelele hii ni vita ya dunia.
@SmilingCityMap-xb9md
5 ай бұрын
Taifa linazamishwa na wakuu mmekuwa mstali wa mbele kwa uchawa kwa wazungu mnatushangaza kweli tunalia mnacheka wengine hivi kweli watoto wetu wa kiume waolewe ni mzazi gani atalala usingizi atakula kwa amani
@barakakhamisi4022
5 ай бұрын
Hatammi amazake ama zagu
@MeshackMaika-of9lm
5 ай бұрын
Endelea na msimamo huo huo kamanda nakukubali sana🫡🫡
Пікірлер: 191