ANAETAKA WAZIRI MKUU MAJARIWA AWE RAIS 2025 -2030 GONGA LIKES KWA MAJARIWA
@athanacnicholauc3555
Жыл бұрын
Umeongea pointi mwamba, huyu jamaa anatakiwa ashike urahisi na ataupata
@FreeGod368
Жыл бұрын
huyu alitakiwa kuwa rais
@jambo3751
Жыл бұрын
Alitakiwa na nani? KATIBA? Yaani mazezeta mna shida😅 Halafu si ndio nyinyi mnaosema hamna haja ya katiba mpya!!! Sasa huyo mnaemtaka awe raisi atakuwa rais kupitia utaratibu upi!!! Pumbavu zenu..
@kazikazini1042
9 ай бұрын
Endeleeni kumchoresha
@JumaRashidi-qu6nv
Жыл бұрын
Hongera Sana muheshimiewa na nakuona uendelee hivyo hivyo,usipoe hata kidogo kwa maana ndio tunataka viongozi wa Aina yako,mungu akulinde baba Kasimu Majaliwa
@sophiaalexandersophia8610
Жыл бұрын
Kwa Mara yakwanza tangu afe magu Leo ndo namuona waziri yupo kazini kweri huu moto mngeufanya kila siku ingependeza sana tembelea baba na kwenye mahospitali na mahofsi baadhi ni shida
@geraldmakalala6091
Жыл бұрын
Leo waziri Mkuu umenifurahisha Sana, Huo moto muuwashe hata kwenye mfumuko wa bei
@abedomar5183
Жыл бұрын
RIP John Magufuli, daima tutakumbuka kwa uongozi wako
@stefanomwanzarubi6216
Жыл бұрын
Hadinimemkumbuka magufuli
@bubelesatanzanialogistics3948
Жыл бұрын
Mh kasimu majaliawa apongezwe na tumchague awee raisi kwa maswalia ya nguvu
@fadhilimanjeka3729
Жыл бұрын
Hawa watu hawajawah kuisha, hata wakat wake mambo yalikuwa haya haya, kikubwa hatuna wazalendo katika nchi yetu.
@mahmoudabdallah4533
Жыл бұрын
Duh
@antonychristian1369
Жыл бұрын
Huyo nae alikuw na madudu yake,,, Mambo haya yalikuwepo,, why alibana uwazi,, ripoti ya mkaguzi na mdhibit w hesabu za serkar ilitolewa baada ya yeye kufarki,,, tulion hasara kubwa haikuwah kutokea Huw mnanikera kumaanish jamaa aliyatenda mema sana
@azizahharoun1236
Жыл бұрын
That man has Magufuri's spirit in him 🥺🥺
@abdulatiftu9836
Жыл бұрын
Kabisa our next president
@johngerald4677
Жыл бұрын
Hamna Dada kuna watu wanapiga mabilion y hela n hawaguswi uyo anaonewa kw sababu n papa Mdogo sana
@maujanjatv24h41
Жыл бұрын
Nyokooo
@ramadhanisanze3631
Жыл бұрын
Rais alibaki tz ambaye anaweza
@evarimdecoration4256
Жыл бұрын
Tunakupenda sana watanzania asilimia 99 sijui unaelewa! Mungu akulunde sana tunakuombea piga kazi RIP JPM WETU!
@juliusdonard933
Жыл бұрын
Upigaj mdogo sanaa huo,wadogo mnwakamataa wez wakubwa mnawaacha
@ramadhanhemedi1554
Жыл бұрын
Uko sahihi muheshimiwa hongera
@aishaamwalimu2887
Жыл бұрын
Mungu Akulinde Baba🙏.
@pirminmatumizi5464
Жыл бұрын
Nashindwa kuelewa, yaani mpaka PM aje kugundua madudu; ... RC, DC, DED, PCCB, n.k. wapo tuu! Wajibisha wote utakuta hao hao ndiyo hushinikiza na kuwa-corrupt watumishi wao wa chini.
@sk-wj9or
Жыл бұрын
Ndio maana nimeona comrade Majaliwa hakufika mbali. Labda tutasikia wengine wamewajibishwa of which they should be. Asipo fanya hivyo nitamuona wa Ajabu. Nazidi kudhibitisha moyoni kwanini kwa miaka yote hii tangu uhuru kwanini mkoa ulio toa uhuru haiendelei. Wazawa tuna kazi kubwa ya kujiuliza na kuwa wakweli katika mioyo yetu
@ruthsawida8507
Жыл бұрын
Watu tunalala na njaa huku alafu mpuuzi mmoja tuu kajenga Banda la milioni kumi na Moja injinia huyo ni noma na nusu kwakweli
@theresiamwandara7990
Жыл бұрын
Mheshimiwa Kasim Majaliwa tunaomba urudishe utendaji wako km zamani, tunajua ni ngumu kufanya Kazi ukamzidi mama yako Samia atajua unataka kumpindua ila watanzania wengi tulikuelewa kipindi Cha uwaziri wako na Magufuli.Safi sana waziri
@Really-football
Жыл бұрын
mkuu piga bangili wote walioshiriki huo ujenzi maana wanasababisha serikali ikope pesa nyingi bila sababu.Mwisho wa siku nchi iwe kama sri-lanka
@richardchijana9665
Жыл бұрын
Toka mzee leo nimeona anae fanana nae piga kazi waziri mkuu
@vincentauxerbius7554
Жыл бұрын
Yaan kama nauona uraisi 2025 mikononi mwako mzee....yaan kama umepatwa na furaha kama mm jinsi anavyohoji like hapa twende sawa na mkuu wetu💪💪💪👍👍👍
@hamismabula9934
Жыл бұрын
Majaliwa ungekuwa Rais tu!
@emmanuelaloyce932
Жыл бұрын
Afu wanatufanya hadi tunabanwa kwa tozo 🤕🤕🤕.majaliwa rais mtarajiwa ,mungu mlete huyu ,anatufaa wa tanzania
@yusuphkassimu227
Жыл бұрын
Unadhani ccm itampa huyo nafasi ndani ya chama kugombea urais..
@margarethsolomon9823
Жыл бұрын
CCM wanahitaji poyoyo ili wapate kulamba asali. Huyu Majaliwa hawawezi kumpa na ujue wote aliyekuwa na sauti ya kusikilizwa mzee Mkapa walimtanguliza ahera. Leo hii hakuna wa kusimamia hilo. Walamba ASALI wanaojiita wao ndio wenye CCM wapo. Angalia Humphrey Polepole yuko wapi.
@mohamedkigwehe3561
Жыл бұрын
Asante kiongezi wangu waziri mkuu mngu akulinde katika kazi yako mtetezi wa malizetu uliye baki ww ndo jicho la matumain yetu ya kesho
@salmaathuman9156
Жыл бұрын
😂😂nchi Ina vimbwanga hii umasikini hautakwisha 🤣
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
ni ndio maana miaka nende miaka rudi taifa halina mabadiliko ya makubwa ya kimsingi kimaendeleo , matatizo ni hayo hayo kila mwaka na raisi yupo , makamo wake yupo , mawaziri wapo
@kabwelasutiviraka4765
Жыл бұрын
Mingepitisha sheria ya kunyonga wezi hao hawana hata aibu
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
@@kabwelasutiviraka4765 kaka utaitwa dikteta kwa hilo , watu hayo ndio maisha yao kuiba serekalini tuu
@venancengunda3879
Жыл бұрын
Pumbavu Sana asee nchii hii inaitaji ukatilii watu wanakula hela zetu tyu jmn kweliii asee ngoja niwe kiongozi asee wataniita dictator tyuu
@egonemmanuelkudaba4945
Жыл бұрын
Tunahitaji uzalendo
@laurenciakamata
9 ай бұрын
Maamuzi maziri waziri Mungu akutie nguvu kazi iendelee
@rachellaiza7779
Жыл бұрын
Nikimuonaga waziri mkuu napata moyo sana Mungu akutunze
@imaninjau9135
Жыл бұрын
Safi sana waziri . Endelea hivyohivyo usipoe.
@jamesjeremiah9416
Жыл бұрын
Nmependa Hii...Asante Baba Endeleza Moto .. Mungu Akulinde. na Charamila Kagera..Moto unaonekana
@jumambarale699
Жыл бұрын
Engineer anaharisha apoo....
@jitabojilala6162
Жыл бұрын
Tukiwaambia mama hajui hesabu mnatubishia ,huwezi kuongoza jahazi bila kuwahold watu,Leo hii mama yetu akifika anapongeza watu wanajipigia pesa tu ,wananchi wanakamuliwa tozo ,Mungu simama na Taifa lako ,mama yamkini ana nia njema lakini hawa watendaji wanamhujumu
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
elimu na ufahamu ni muhimu kuweza kuongoza tiafa na mama enu hana hata kimoja. kila kitu aandikiwe na watumishi wake akipanda jukwaani asome
@mudihb1820
Жыл бұрын
Acha usenge elimu mamako anayo acha kudharau wazazi wa wengine. Msh. Samia ana diploma na kasomea chuo kikuu cha manchester babako hajafika hata dodoma punda we. Mxxx
@whatisthetruth.8793
Жыл бұрын
acha matusi weee , bibi yenu hana elimu , na hajui chochote , diploma haina mpango wowote , cheti tuu hata kichaa anaweza pata , nipo na diploma na nilichukiua kwa miezi mitatu tuu , labda diploma ni elimu kubwa kwenu Zanzibar tuu
@wazirmlogi7532
Жыл бұрын
@@mudihb1820 we kishoga unamtetea samia ili iweje?kuma la mama ako we choko mkubwa kuma vaba mkundu kunuka weeeee!!samia kasoma nin mbwa mwenzako tu yule na wote mnafirwa mikunduni had midomon msenge weeee!!Vitu vimepanda bei kila kitu hadi mama ako mzaz aliyekuzalia kupitia mkundu wake naye analalamika kupanda bei kwa vitu alafu unamtetea samia c ndio?we sio bure itakuwa unatombwa na mbwa wa samia
@sk-wj9or
Жыл бұрын
Funga pumbavu hao. Kisha wana Tabora tunalalamika hakuna marndeleo Majungu tu ndio sifa yatu. Hata huyo mkuu wa wilaya na watendaji mkurugenzi tupilia ndani .SUKUMA NDANI ARUDISHWE TBR
@jacksonngusi4122
Жыл бұрын
Zidi sana katika uchunguzi upigaji mwingi mno tz wachache mliobaki saidia inchi isizame
@vumilialeonardi109
Жыл бұрын
Fanya Kazi mh, Waziri wetu mkuu
@queenlizzyplatnumz4942
Жыл бұрын
The only leader we have remained with😥😥😥 Mungu akubariki
@gapablessgadison6863
Жыл бұрын
MH MAJALIWA 💪🏼 🇹🇿,,Tumbua Tumbua tu
@bonywahab9565
Жыл бұрын
Mmmh... mlikua mnawachekea saana watu... baada ya JPM kufa, sasa mnaona wanachokifanya....
@maryamaliy8509
Жыл бұрын
Kwani wakati wa magufuli walikua hawafanyi
@telaamtauta2227
Жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulinde mkuu tokea afe magufuli wizi ndio umezaliwa.upyaa halafu. Viongozi waliokuwa bora wanaosilmamia vizuri mambo yaserikali ndio huko juu anawatumbua iliwrzi waibetu
@michaelmaziku991
Жыл бұрын
Mi sihitaji hata kukupongeza mh kwa hatua hii uliyoichukua.maan ht ninyi huko mnaupiga mwingi ten hadi unamwagikia naona km umewaonea ungeanza na mapapa ndio urudi kwa dagaa hawo wamechukua hela ya kulipia ada watoto wao tu maan shule ndio zimefunguliwa
@lovesallu5292
Жыл бұрын
Siku moja Mungu akuinuee uwe Raisi wa hili taifa
@jacksonngusi4122
Жыл бұрын
Majaliwa wafaa mno fanya kazi
@ummyjoel4308
Жыл бұрын
Hongera sana wazir mkuu
@kambamazig02024
Жыл бұрын
Here is the future of Tanzania, corruption and public funds misuses is becoming rampant again. Kudos Majaliwa. We are in it for a very big surprise, the hyaenas are back!
@neemakerefu4876
Жыл бұрын
Waziri Mkuu wangu. Shikamoo. Kumbuka na nukuuu kwa mama yetu Samia alisema kila mtu atakula urefu wa kamba yake. Hao mabwana ujenzi wameamua kula urefu wa kamba nazawengine
@edisonpeter3894
Жыл бұрын
JPM tutakukumbuka daima aiseeee
@erickwilliam6610
Жыл бұрын
Ila ukweli huna nguvu kwa sasa lazima utulie tu aliyeko juu hawezi kujusaidia
@margarethsolomon9823
Жыл бұрын
Mhuuuuuuuuuuuu! Comments nyingi watu wanapenda msimamo wa Waziri Mkuu, lkn Bahati mbaya sana yupo katikati ya walamba asali, hawawezi kumuwazia hata siku moja kwenye Urais. Walamba ASALI wataka mtu lege lege ili wasikose debe za ASALI. Pole sana wa Tanzania. Mungu alimwondoa jemedari Simba wa Yuda, aliyebatizwa kwa jina la DIKITETA.
@erickwilliam6610
Жыл бұрын
Unaweza mkuu
@floraleonard9095
Жыл бұрын
Mdomo nyamaza!!, Mungu tunaomba kibali kutoka kwako utupatie viongozi sahihi kama hawa.
@jamessimbaire3016
Жыл бұрын
Kweli kazi iendelee kasimu majaliwaa
@japhetdaudmaneno8440
Жыл бұрын
Waziri nchi ilikuwa imepoaa Sana tokea chuma kiingie kutu- yaan "JPM mzalendo",pia ulianza kuonyesha kazi huko Mwanza kwenye meli,wakorea walipotaka kusepa🤔😩
@saidgoryo999
Жыл бұрын
Duuuh hesabu kali hzo😄😄😄
@kavoomshana7289
Жыл бұрын
Ahsante mh,sawa sawa kabisa Peleka ndan Watoe pesa zetuu
@bahatiamnon7579
Жыл бұрын
Hongera sana kiongozi kwa ufuatiliaji huo mungu akulinde
@emmanuelerasti2405
Жыл бұрын
Bebaaaa
@sarahsimon8060
Жыл бұрын
Huyu ndo anatakiwa kuwa raisi wetu Tanzania ana uchungu na pesa za wananchi wengine wanafoji vyeo
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Wewe ndiyo ulifaa kuwa Rais ndugu majaliwa
@wakalimediatz
Жыл бұрын
Mungu akuweke Mh. Waziri mkuu
@hosea7919
Жыл бұрын
Hongera waziri mkuu kwa kazi nzuri sio kila kitu asimamie Rais
@chinjochwayaa7250
Жыл бұрын
Hii safi wengine wanaporojo tu chuki basi
@mrndundugurushi9782
Жыл бұрын
Mheshimiwa majaliwa yupo vizuri Siku zote mfumo umebadilika ndio maana hatumsikii huyu ni roho ya Magufuli aiseee tunakuombea sanaaa muheshimiwaa piga kaziii
@sherryeverest2522
Жыл бұрын
Nimekumiss Magu wetu pesa zetu zinaliwa na wanaojiona wajanja wakati sis hata mlo mmoja tu unatusumbua
@madukaj.j.6999
Жыл бұрын
Yaani hawa Sukuma ndani,😭😭😭😭😭😭 tukimkumbuka Burudoza Tuacheni tu.
@jerelkhondwani7165
Жыл бұрын
Watanzania haya ni maigizo tuu. Watu wanapiga mamilioni mbona hawasemi, huu ni unafiki tuu, siungi mkono upumbavu kama huu, watuambie wanaoiba mamilioni wamechukua hatua gani???
@diamondgeyser7987
Жыл бұрын
Big up PM
@benancejohn1198
Жыл бұрын
Huyu Engineer alikuwa back bencher darasani 😂😂😂
@theuniversetv2870
Жыл бұрын
Watakaompa kura huyu jamaa akisimamishwa 2025 like hapa
@fadhilidini1181
Жыл бұрын
mwamba wa uma tunakutegemea
@jacksonmkuye7739
Жыл бұрын
Ao ndio wanatuvunja moyo ata kukatwa tozo
@suleamberforreal7401
Жыл бұрын
The real replacement of JPM 😥
@crisndembwele4016
Жыл бұрын
Daah MUNGU anaona Tozo tutozwe sisi arafu watu wanapiga pesa kirahisi namna hii😥😥😥Inauma arafu tukiongea mnasema sisi sio wachumi kweli kwenye kiband km hiki million 11... Hata 9 wamepiga hapo ni million 3 au 4.
@aishahamisi5854
Жыл бұрын
Mungu akubark
@menovicmushy1032
Жыл бұрын
Usichoke MKUU wananchi tuna macho,hata kama hatuna pa kusemea
@shebbythespyro5393
Жыл бұрын
Dah kibanda million 11 eti huko 1 wa cement inatoa tofali 25 hamna ni tofali 35 hadi 40 hao waizi jamani nipeni mm kazi 2jenge taifa nitafanya budget hili tujenge taifa ye2
@benjaminkiteleke8458
Жыл бұрын
Majengo ya serikali ni tofali 22 hadi 25 mwisho
@medsonulendo4221
Жыл бұрын
Waziri mkuu mh kasimu majaliwa mungu akutie nguvu tunaitaji na Tanzania ya kesho
@jumahassan273
Жыл бұрын
Mh mnayaona ayo ya ujenzi ila yenu ya tozo za simu na kodi za luku kila mwezi ila muizi akibiwa na muiz mwenzie ukasirika
@maikobernado-4514
Жыл бұрын
Uyumwamba nihatali pigazazi baba,🙏🙏🙏
@malachcomedy4788
Жыл бұрын
Huyu ndo Rais ajae naiona Tanzania yangu
@erickwilliam6610
Жыл бұрын
Pole baba
@aminaomary5567
Жыл бұрын
Mhe.Waziri Mkuu ongera sana,hicho kibanda wamekula fedha hapo,ela hizo nyingi sana sio kwa kibanda hicho.
@juliusjoseph4889
Жыл бұрын
Majaliwa ndio mtu sahihi kwa nchi yetu ya Tanzania
@maryjoseph6973
Жыл бұрын
Waziri mkuu wanatutania hao hakuna hicho ,Sheria ichukue mkondo wake
@rukiyyarukiyya6317
Жыл бұрын
Wafungwe
@johngerald4677
Жыл бұрын
Waacheni watu wanapiga mabilion mnawajua na humuwasemi mtu kapiga kidogo povu linawatoka
@alonhappy9906
Жыл бұрын
Honqera wazii mkuu wetu
@idyjumanne9796
Жыл бұрын
Tozo zetu hizo watu wanakula Kwa urahisi Bora ziondolewe zte
@ahmadiomari6913
Жыл бұрын
Asanteeeeeeeeeee We sambaani tunakuita taaateeeeee Baba lao Endeleza ukali sisi bila ukali hatuendi tunakula pesa had mwisho
@richardnganya2311
Жыл бұрын
Nchi hii ni shida kubwa kwenye utumishi !! Sasa hapo hadi PM aseme !? Wengine wapo wapi??
@ezekielmatondane714
Жыл бұрын
Kazi ienderee
@florakweyunga4490
Жыл бұрын
Haaaah,Wazir wetu tunakupenda saana.lakini bana....MACHOZI yetu Kwa JPM Mpaka Sasa HAYAKAUKI.Eee Mungu mlinde Wazir wetu,MAJALIWA.
@directoridd5893
Жыл бұрын
Mweshimiwa good tabora ni wezi kila sector fuatilia vizuri
@mathewmathayo212
Жыл бұрын
Hicho kibanda chenye gharama ya millioni kumi na moja ingekuwa enzi ya jpm kilikuwa kinaondoka na mkuu wa mkoa hiyo ni lazima angetumbuliwa ninavyomjua yule mzee tena jana hiyohiyo saa mbili usiku
@fraviansweetbert2703
Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Kila kher
@hidnakirungi3381
Жыл бұрын
Yaaan zunguka wazir wetu mtihan sana wengi wapgaj PTA kra kata ukague!
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Tumbua tu baba mijizi imejaa sana kila sekta
@sultansallah8772
Жыл бұрын
Ivi kuna fund bongo anajenga mfumo matofal 25
@mr.azalia4751
Жыл бұрын
safiiiiiii Waziri
@donaldelias6689
Жыл бұрын
Sio kwel laki 6 boma zima haitoshi.mbona hampgiii hesabu za fundi?
@fredyemmanuel4303
Жыл бұрын
Kalio la choo arobaini fanya laki duu kweli amewamulia
@papaamasauti1973
Жыл бұрын
Engineer katupiga
@johnsolo6709
Жыл бұрын
Piga Kasi baba tupo nyuma ako me/majaliwa ulifaa kuwa rais wa inchi hii mungu akutangulie kwa ufatiliaji walk mzuri ulio tukuka atujui atima ya miradi na rasilimali za taifa toka jpm atutoke uwajibikaji kwa Sasa umekuwa mwiba.
@mwanajumamohammed6327
Жыл бұрын
😅😅😅😅kazi kweli kweli
@hidnakirungi3381
Жыл бұрын
Yaaan maajaba sana ii inch wapgaj hawana huluma kabsa na walala hoi
@mariamobedy9898
Жыл бұрын
Daaaa kwa mtindo huu hatutaika kabisaaa
@waluohopaulo2116
Жыл бұрын
Rais analala
@athanacnicholauc3555
Жыл бұрын
Umeona eeeh😂😂😂
@vumilialeonardi109
Жыл бұрын
Tunakuaminia mh, waziri mkuu
@fakiikibakola1300
Жыл бұрын
Msaidie mma samia maana yule mma ajui kitu wanampga tu
Пікірлер: 320