Mungu akubariki sana sana Askofu wetu mkuu na kamati yako Kwa maono haya makubwa kwa ya kanisa na taifa letu
@mwanyongamama4407
2 жыл бұрын
Atukuzwe Yehova Anajibu kuliko tuombavyo na tuwazavyo mmmmm Unapendeza Yehova Mwema Unashuka Mwenyewe kutetemesha falme zinoweza kutetemesha ili Ufalme Wako Utawale na Kummiliki Iam Proud of the best things Isee In my Church and my Nation Tanzania.I Praise God for my Bishop Dr Mtokambali Amempa nafasi Yehova Ili Ajitukuze na Anajitukuza Yehova Haleluya Kwa Bwana
@ndeshukurwakaaya4385
2 жыл бұрын
Hakika MUNGU anaweza tukimpa nafasi katika nyumba yake anapoishi nasi wakati wote tunapomkaribisha. NGUVU YA AJABU NGANI YAKE. 🙏
@user-wr8yy2ft2v
Жыл бұрын
Mungu akubaliki asikofu akuongezee balaka tele
@amonmathias6893
2 жыл бұрын
Mungu akubariki askofu wetu kwamaono makubwa
@amenmushi5945
2 жыл бұрын
Tahadhari msiingize kanisa kwenye siasa ,Tumshirikishe mambo yote R/MT
Пікірлер: 7