Kama ww unamkubali sidhani kama unanifikia tuyizele
@EdwinLucas-sk2cp
7 күн бұрын
Nakupenda
@ArineMeshak
6 күн бұрын
😊😊😊
@maylucson001
4 күн бұрын
Anajua sanaa
@etiennefwanga
9 күн бұрын
Kipara ongeza kuwa serous hiyi story nzuri sana❤
@aganzeroger
6 күн бұрын
Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 kipara
@JephithahMuthomi
9 күн бұрын
Kipara mwanangu nakukubali sana bro 🇰🇪🇰🇪tunakukubali
@user-ec6ow2cx7c
9 күн бұрын
Kipara episode 3 ikuche haraka tuasubiria kazi nzuri sanaaaa 🎉🎉
@HusseinMandary
9 күн бұрын
Story yako nzur san kipara wana man umetisha how you my friend
@user-uw6gg4de9x
9 күн бұрын
Hongera kipa kazi nzuri pongezi nyingi kwenu ila ni nini maana ya WHO I M I
@wilsonfbipolice911
9 күн бұрын
Mimi ni nani?
@user-uw6gg4de9x
9 күн бұрын
@@wilsonfbipolice911 🙏🙏🙏🙏
@wilsonfbipolice911
9 күн бұрын
@@user-uw6gg4de9x uwe na Amani ndani yako
@KIPARABRAND
9 күн бұрын
Mimi ni nani
@user-uw6gg4de9x
9 күн бұрын
@@KIPARABRAND sawa kipara ukija Arusha nitafute kaka uje Kwa morombo ule nyama ya mbuz
@SophiaSandra-pr4zg
9 күн бұрын
Kazi mzuri sana ❤
@jmualabo
9 күн бұрын
Bom trabalho..! Assistindo de Moçambique ( Mozambique)🇲🇿
@charleskoechkoech8241
9 күн бұрын
Watching live from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@geeboytz2634
9 күн бұрын
Kipala hii kaz nzury sana imalize vizuli
@user-zu8yr7mh4h
9 күн бұрын
Like kwajili ya kipara tafadhalini naomba kbx
@valuboy4335
9 күн бұрын
Kipara kauwa ❤❤❤❤🎉
@user-ke9kf8wd9z
9 күн бұрын
Ila sandra umeuwa🎉🎉🎉
@user-wl4uy7qv7u
9 күн бұрын
Leo mapema mie wa kumi na tatu Sina shido🤣🤣🤣👍 kipara ongera sana dear upo vizur mno
@user-wi4kr2zr7x
8 күн бұрын
😮😮😮😢kipaya mchukue huyo dada chiz ni noma sana
@mwanalimamwanlima198
8 күн бұрын
Good work Mr kipara mungu akuongezee kipaj inshallah
@FrankJohn-bi5dn
9 күн бұрын
WA Kwanza kutoka 🇰🇪🇰🇪 hata like jameni
@WILLY_SKY1
9 күн бұрын
Mtoto wa kiume likes za nini kaza
@aminakatana8721
7 күн бұрын
Jamani pia nawe waomba like mkenya mwenzangu tuiache hio
@sharifamohd3857
7 күн бұрын
@@WILLY_SKY1e hehehe akaze sio atashonwa🤣🤣🤣
@WILLY_SKY1
7 күн бұрын
@@sharifamohd3857 😂😂😂
@bonventureimbuga522
9 күн бұрын
Wa Kwanza Leo from Doha Qatar
@JacklineGodfrey-u1q
7 күн бұрын
Ila hii movie ninzur jaman mwanzo tu ni💥💥👌👌👌👌
@moiseszacariasmoisesmoises
6 күн бұрын
nampenda sana bi migomba sababu yupo sirias sana na kaziyake🎉
@ArafaAmirAmir-ci7ld
9 күн бұрын
😂😂Butua Butua Omaiii ❤❤
@user-gg5ed4wt2v
7 күн бұрын
Kipara nimefurahiswa sana kumbe siyo umbea2,big love bro
@RamaShaban-l9t
9 күн бұрын
Mimi ndo wapil
@user-vo7yb6wp1m
9 күн бұрын
Pungusha pombe kidogo 🎉🎉
@user-wi4kr2zr7x
8 күн бұрын
😢ivi hata mtaani kipala unatembe wewe staaa unavotembea na huyo mama aisee nimecheka :::tembea kistar🎉
@user-bi9pl4eu2o
9 күн бұрын
Kazi nzuri Sandra big up sana 🎉
@daina8464
9 күн бұрын
Kapara tunakukubali sana kutoka kenya🎉🎉 unajua jamen
@sofiakinyia2734
9 күн бұрын
Wa mwisho🎉🎉🎉❤❤❤
@user-iq3pe4sf2h
9 күн бұрын
Itapendezazaidi. Nawepia ujekua mupererezi🎉🎉
@JacklineGodfrey-u1q
7 күн бұрын
Cjui nimemzoea sana mwasi, hiv jaman Sandra ni Mwasi au
@johnngugi4797
9 күн бұрын
Waswahili walisema akili ni nywele ila hawakufafanua ni za sehemu kwa mwili 😂😂😂kipara hapa umeweza❤❤❤❤❤ sehemu ya tatu inje haraka juu imetukamba koo hatuezi nyamazia
@masikasalim5254
7 күн бұрын
Za makwapa I'm think halimaanisha hvyo 😂😂😂
@FlorenceZALUKE
9 күн бұрын
Wa 7 leo❤❤❤❤
@ImmaKerenge-iz2yb
8 күн бұрын
Mkemia apa from Tanga Tanzania Kipara kaz nzuri man tuko pamoja mwanzo mwisho
@SusanJulius-cu8xp4vx4m
7 күн бұрын
Sandra ni noma sana yaan acha tu🌹🌹🌹🌹🌹💐
@MzeeRaca
7 күн бұрын
Safi sana kipara kazi nzuri💯
@NoelaGustave
8 күн бұрын
Mmmmmh apo kwa da Sandra sas mm kashaninunuwa mda nampenda san ❤❤❤❤❤
Kila ever time na Mimi na marafiki machizi no congratulations 😂😂😂😂😂
@henryonduko7693
7 күн бұрын
😂😂😂
@aishaomar2287
9 күн бұрын
Kipara,Mr unfair😂😂😂...twaelekea wapi na hi who am i? Lets wait and see😊
@samyabahatialhiani401
9 күн бұрын
Bibi mgomba ananyuma yaupango 😁😁😁😁🇧🇮
@OmaryMwanah
9 күн бұрын
Kipara naicho kiengereza ety everyting ana mashizi usoni 😂😂😂😂😂
@MgeniKhamis-wq5lx
7 күн бұрын
who m'l... manake...mimi ninani?????kazi mzur sana amazing
@Maarifasnr-gu6dp
9 күн бұрын
Watoto wa elfu mbili mapema wameshawai ku'watch the show
@fatumajuma9388
9 күн бұрын
Sadra jmn😂😂😂 Next episode jmn isichelew,Oro ov oro much love from 🇰🇪🇰🇪😅😅😅😅
@mc-bii228
9 күн бұрын
😂😂😂😂😂 mm kingereza cha kipara t yan hoi🙌🏻
@emmanuelkihiyo9236
9 күн бұрын
Uyo dada kavaa mzula mzuri
@TalwaSuzana
7 күн бұрын
Waoooooo kipara 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉yako
@jumannemalungo5018
2 күн бұрын
Kazi nzuri kipara
@KhamisJuma-ni1vk
9 күн бұрын
Sandra Unamtesa Sana Kiparaa Siumwambie Weni Nani
@henryonduko7693
7 күн бұрын
L like this with full of creativity
@ElizabethLaurent-wq1lm
8 күн бұрын
😂😂😂mwanaume anastuliwa kwa ngumi,then mbio ndefu
@tajilimtoto5009
9 күн бұрын
Mmetisha kinyama
@ignatiousmaina9582
9 күн бұрын
Kwa kweli wabongo na kizungu mbingu na ardhi
@melomusictz1079
8 күн бұрын
Huyo demu wa kipara ndio Boss wa madawa ya kulevya huyo askari mpelelezi katumia njia hiyo ya kujifanya chizi kupata ukaribu kuwafuatilia Who am i Nimeguess tu sina majibu kamili utabiri tu tuendelee na movie huenda ikawa hvo Huenda
@user-zd2jo2ef1x
9 күн бұрын
Hujaachaga uongo wako😂😂😂😂
@samyabahatialhiani401
9 күн бұрын
😁😁😁😁😁🤣kipara umeolewa aibu
@KijibaMussa
9 күн бұрын
Kipara namkubali😅😅
@achilaleziki
7 күн бұрын
Mie bora nitizame sinema basii sitaki likes
@VailethYusi
8 күн бұрын
Kazi nzur kipala tuko pamoja
@bilahimwalia1452
8 күн бұрын
Kazi nzuri🎉
@DonMooSTUDIO_Express
9 күн бұрын
Kwawasanii wakike wote kutoka gang zote nampa tuzo SANDRA, nilianza kumuona akiwa na Jumajicho tangia pale sijawahi kumuona kafeli. KWA WANAUME nawapa tuzo #BUTUA, #CHIBU & #KIPARA hawa watu wanavipaji asilia sio vyakulazimisha.
Пікірлер: 193