Weeeweeeeeee nakupenda bure kaka mwenyez mungu akupe maisha marefu daaaa.
@mariasshilla4528
4 жыл бұрын
Wanaofurahia twenty kurudi kwenye gemu gonga like hapa Tumuombee asirudi nyuma tena Jaman nimefurahi kupitiliza
@daimually4865
4 жыл бұрын
Kilichomrudisha nyuma unakijuwa sema nae vzr mungu atamsaidia tuuu
@muselemramadhani4631
4 жыл бұрын
Hunifikiii mimi hap
@danieltuya3089
4 жыл бұрын
Miamia
@marymhando6572
3 жыл бұрын
Hongera San kk
@godriverantony4854
3 жыл бұрын
Ameni nmefurahi Zaid Kama we my dear
@damianisamike8421
4 жыл бұрын
Utanifanya nianze kufuatilia tena bongo fleva maana tangu upumzike nilipumuzika nami nakupenda bure jaman
@degwaboy8128
4 жыл бұрын
Ww Kama mm nilistop kufuatlua bongo fleva nimeanza Tena kwa ajili yake
@damianisamike8421
4 жыл бұрын
@@degwaboy8128 😂👍👍
@damianisamike8421
4 жыл бұрын
@@degwaboy8128 😂😂😂
@mariasshilla4528
4 жыл бұрын
Nashukuruu kama umerudi kwenye gem kaka ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@leoniabeda2711
4 жыл бұрын
Wapiiiii twenty jamaniii pigeni kelele kwa twenty ake wewe👏👏
@mariasshilla4528
4 жыл бұрын
I love you 20% nakuelewaga Sana kaka nakuombea ufike mbali
@زيتونتنزانيا
4 жыл бұрын
Kwani siamefaliki huyu au hii nilini
@christopherjohn4697
4 жыл бұрын
kiukweli yupovizurixan
@jamesngumbuke7206
4 жыл бұрын
@@زيتونتنزانيا mimi mwenyewe nashangaa au mzukaa
@زيتونتنزانيا
4 жыл бұрын
@@jamesngumbuke7206 waandishi TZ kuzusha ndio ishu
@vanillaakimana9388
4 жыл бұрын
@@زيتونتنزانيا ndo nimeshanga😓😓
@rizwanally1457
4 жыл бұрын
Una tungo zenye mvuto Rudi kwenye game bado una nafasi kubwa bro!
@halimaabdulla771
4 жыл бұрын
Amina kwa bwana mungu amlinde amtie nguvu naujasiri Baba Magufuli mungu akupe maisha marefu upiganie nchiyako Raisi wawa nyonge . Unaetetea haki za wananchi wako Barikiwa baba,
@NarciasA
4 жыл бұрын
We mkali, mwana mziki pekee ninayempenda, nafurahi sana kukuona tena na kuona performance Yako. Kipaji chako kikubwa sana. Unajua kwanini nakupenda ? Unaimba maisha, na nyimbo zako zina maana kubwa. Love u so much.
@MountTanzaniazionministry
Жыл бұрын
Brother wewe ni mkali zaidi yao nimefray hatali
@sylivestermwasile4203
4 жыл бұрын
Huyu jamaa very talented wazee
@ismailyusuph740
4 жыл бұрын
Yaani huu wimbo ni namba 1 katika nyimbo zote zilizoimbwa...!
@akshaydavid159
4 жыл бұрын
Msanii niliyekuwa namkubali zaidi hapa TZ
@julihanjosephyjs6361
4 жыл бұрын
Miniko Omani nasikiliza uku na sisimka mwili mzima
@getrudamoshi2169
3 жыл бұрын
Twente pasent unasauti.nzuri natamani umwimbia MUNGU pekee.
@getrudamoshi2169
3 жыл бұрын
Twente pasent unasauti.nzuri natamani umwimbia MUNGU pekee.
@idihinchu4643
4 жыл бұрын
Wanajuwa kuimba kwamatazamo wngu mm namukubali sana
@rosemartin2984
3 жыл бұрын
Yani natamani nijue at wapi unaishi nije kuwa nakusalimia Kila itwapo asubuhi make kwajonsi navo kukubali daah inaniuma Sana kuona u kimy Sana
@teddyaugust4555
4 жыл бұрын
Nakuelewa sana 20 percent mungu akujalie maisha marefu
@lisakishosha2235
4 жыл бұрын
Big up br
@omarnurdin4461
4 жыл бұрын
katika wasani ninao wapenda apa tanzania huyu 20 namba moja.saruti kaka wote sehemumoja kaka ww fundi
@taslimanyange2850
4 жыл бұрын
Nyimbo zake ni nzuri nakumbuka nilikuwaa nikienda shamba navuna huku nasikiliza zake
@ShukuruOmari-oz2ef
28 күн бұрын
Good bro
@EPICrides008
4 жыл бұрын
More love to 20% from kenya🇰🇪
@hawamussa9604
Жыл бұрын
Uyu nikichwa
@shikuassi4876
3 жыл бұрын
Nakuelewa sana 20 rudi nyimbo zako unackiliza hata ukiwa na bamkwe no matusi one love man.
@hshsh3302
4 жыл бұрын
Wasanii wote wakibongo mm namkubalisa hugo kaka love you
@jamilmwinge3695
4 жыл бұрын
Umeua show kizazi ssna big up.💥💥💥
@mgwenojr391
4 жыл бұрын
Unajua sana brother! Welocme welcome back brother 20 we miss.u so much bro
@psago794
4 жыл бұрын
Aisee huyu jamaa ni zaidi ya wasanii wa leo mungu nakuomba umnyanyuwe
Napenda sana kazi zako brother kaza urud kweny game
@brownstar4949
3 жыл бұрын
Oner love brother
@mariasshilla4528
4 жыл бұрын
Hujawahi niangusha kaka
@sophiakatogoro2234
4 жыл бұрын
Oyooòooooooo
@fatumallove9552
4 жыл бұрын
Mashallah
@RibinByamungu
3 ай бұрын
Vraiment vizuri sana
@salmaomary979
4 жыл бұрын
Namkubali sana uyu jamaa
@nahimanainnocent5598
3 жыл бұрын
Nakubali 20pacent
@emanuelpeter3308
3 жыл бұрын
20% uko good sana tu
@عباسعباس-ش9ه4ت
3 жыл бұрын
Twenty ongera sana mdogo wetu nyimbo zako nzuri sana
@baimarrajahbuayan6237
3 жыл бұрын
Jaman nitumie huu wimbo Mashallah mtamu big up 20%
@sophiekambi7752
4 жыл бұрын
20 wewe 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@decity1378
4 жыл бұрын
Pamoja sana 20 leta mabadiriko
@Rahmajohn-ix3lh
Жыл бұрын
Hongera
@geradykibalilo9667
3 жыл бұрын
Umetisha20.makini. Mno. Songi. lometuliya
@cizacimanadelachance
9 ай бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉
@elinsamoshi3213
Жыл бұрын
Nawapenda
@allymbuki1742
4 жыл бұрын
Eti nipo kwa ajili ya magu..duh kwa mungu ukaseme hvyohvyo
@luckysonmathias1587
3 жыл бұрын
Mungu amuongoze
@jumannebaraka7654
4 жыл бұрын
Sawa boss
@ahmadrajab2450
4 жыл бұрын
Siku zote bro upo juu
@alisabyozani9796
3 жыл бұрын
Nakuku bali sana kaka tewenty 20
@mwaliembwambo9443
4 жыл бұрын
Mbona Sana tu pamoja kak
@michelkalulumiaofficiel6599
2 жыл бұрын
Vraiment super
@estermwakatundu3028
Жыл бұрын
Twenty twenty ❤️❤️❤️❤️
@robbsonmosha7557
4 жыл бұрын
Mnavyo sema rud kwenye game rudi then nothng yaan support itakuwa ndogo wabongo bn
@shedrackmbilinyi
3 жыл бұрын
yupo vizuri
@mebakaribakari7827
3 жыл бұрын
Yani napenda sana nyimbo zako ajab
@winfridaemmanuel1146
4 жыл бұрын
Wow nakukubari Sana kaka usirudi nyuma tetea hisia zangu kuhusu mziki wako
@ericknchimbi7120
4 жыл бұрын
Hanaweza
@kemalswaleh9527
4 жыл бұрын
20%😚😚😚😍😍😍🇰🇪
@ramadhanmwamwa6910
4 жыл бұрын
Sana mzee baba kamwe uhukuwai kushindwa
@sudyawadhi975
4 жыл бұрын
SALUTE NAKUKUBALI SANA 20
@hamisimatola2772
3 жыл бұрын
good broo
@omarymaliwa1092
3 жыл бұрын
Unajua sana twent ww noma
@kulwahemedi1110
Жыл бұрын
Respect for you bro goog job
@semenntungi8771
3 жыл бұрын
Iko sawa
@zolilagome9614
3 жыл бұрын
Fundi wa bongo fleva tz namba moja 20%
@sautiyawatanzaniakibamba3824
3 жыл бұрын
Bado yuko bank kubwa ya kipaji respect.
@Hassan-ot1mc
3 жыл бұрын
Hilo chozi duh kubwa sana
@jamilaabdallah5078
4 жыл бұрын
Uko vizuri kk
@mgwenojr391
4 жыл бұрын
Nakuelewaga saana 20
@bimulokagera622
4 жыл бұрын
20 sio mwanamziki Bali ni msanii ambaye hata Bibi kizee anafurahia kusikia mziki wa msanii huyu, Kama Achinua Achebe, Chimamanda Ngozi Adichie, Plo Lumumba na wengine wengi kazi zao hata miaka 40 ijayo wataisikiliza sana
@nyemondagalla608
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@ayshachondo9090
3 жыл бұрын
Nakukubali sana 20%
@fatumaadamu7078
4 жыл бұрын
Jmniiii twenty anabiti za kipekee
@hamidahamisi
Жыл бұрын
DH STAR
@frankkibiki8846
3 жыл бұрын
Uko vizur pambana stivnii
@baimarrajahbuayan6237
4 жыл бұрын
Daaaa, nakukubal had naumwa 20% Piga.kazz brooo
@nyemondagalla608
4 жыл бұрын
Huwa Napenda sana mashairi ya 20% ni u jumbe 100%.
@joshuakalimpic6302
3 жыл бұрын
Dah! Tunajua laiti mbaya na mzuri wapinzani wapate sifuri huu wimbo Aise Kama unanitia machozi hivi
@adamtanakhel8185
4 жыл бұрын
Mungu anakuinua wewe Kama artist wetu bora
@emerusengeelysee8306
2 жыл бұрын
Wao kabix
@roychiwanga3730
4 жыл бұрын
Nimefurahi sana kukuona tena mdogo wangu Mungu yu pamoja nawe
@johnshayododoma2575
4 жыл бұрын
Nakubali kaka
@kudramzee4638
4 жыл бұрын
Furaha iko wapi twenty
@jackilinram1083
4 жыл бұрын
Love you 20%
@noorsharon6102
4 жыл бұрын
Karibu tena 20%, nkupendaje # baba neema
@estarwille8272
4 жыл бұрын
Mungu akujaalie uzidi kupaaa
@ibrahimsalim3997
4 жыл бұрын
20/c unatisha
@ShaibuRAlly
4 жыл бұрын
Good good
@agustinorichadi9019
4 жыл бұрын
Tweiti anaweza
@stephenlameck9477
4 жыл бұрын
Bado unauwezo mkubwa sauti nzuri... Kenny Rodgers wa Bongo
@aliciamujuni1178
4 жыл бұрын
20% anaweza bhana
@benardpius6934
4 жыл бұрын
We noma
@jamspili9606
4 жыл бұрын
20 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@aimerancekizaalfani3076
3 жыл бұрын
Baba lao 20% asili mia chache sana naku kubali sana bro support zangu nazituma kwako pamoja sana tunaweza ✌️✌️💪💪💪💪
@harunimfaume6280
4 жыл бұрын
Solola biyeee sarut kwa magufuri safi imeisha iyooo
@moshimgaza5642
4 жыл бұрын
Big up
@halimachumachao5653
3 жыл бұрын
Mungu akujaalie 20 urudi kwenye hali ya kimaisha km mwanzo
@zagadsegeja3456
4 жыл бұрын
Oi
@chrisjacob4057
4 жыл бұрын
Tunaeamini huyu jamaa ni kichwa achia like yako
@user-ub3sx8ke4t
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤nic
@muhammafayubungolyo5070
4 жыл бұрын
Good
@idrissatuppa3997
4 жыл бұрын
Wampe Shavu 20% Fundi.
@franklyoba2222
2 жыл бұрын
Tunaomba kamanda utuwekee huo wimbo audio au video nasio video ya live kunaradha unaikatisha
Пікірлер: 251