Ohoo, Kila nikisikiliza lazima niingie ibada katika Roho maana ipo nguvu katika huu wimbo. Asante Yesu🙏
@einhardndomba6838
2 жыл бұрын
Anastahili maaana ni Yeye aliyetkuka, Mwenyenzi ni Yeye,Mwenye nguvu zote ni Yeye aliyetuka ni Yeye!!! Hakika afananishi!!
@estermbaga1574
Жыл бұрын
Nikisikiliza huu wimbo najikuta nazidi kumsogelea MUNGU Zaid kwa ukaribj
@YasintaMrema-q2k
8 ай бұрын
❤❤❤
@richardallybenderabendera345
2 жыл бұрын
Machozi hutirirka kila ninapo usikia wimbo huu. huu niwimbo waajabu sana kwangu.
@martherraymond6752
2 жыл бұрын
Hiiii nyimbo inanipa kuabudu katika roho hata ninapo imba najiona uwepo wa Mungu barikiwa sana dada anna na waimbaji wote
@angelakibassa8990
Жыл бұрын
Anna ana ibada ndan yake sana, she loves God. Nlipata tab sana alivyoondoka saiv nshazoea, SEMA n pengo Kwa kweli
@happyisaack5951
Жыл бұрын
@@angelakibassa8990kwani alienda wapi Anna jamani?
@oliverkapama4683
2 жыл бұрын
Anna barikiwa Sana,Wimbo unanibariki Sana,unanipa Raha sanaaw
@robertmunyua1784
Жыл бұрын
Oooh Hallelujah,,,Mungu Haufananishwii
@lupianangwavi9327
2 жыл бұрын
Haufananishwi wewe🙌
@martharaymond6310
2 жыл бұрын
Hiii nyimbo inanibariki mno aninafanya niabudu kwa roho na kweli...nawapenda mass choir
@sarahathman7514
2 жыл бұрын
Mungu akutunze yaani ukiimba huwa ninashindwa kuuelezea uwezo maana huwa ninajiona niko dunia nyingine
@anndemasalan2428
2 жыл бұрын
Am blessed through this worship
@MwashaHashimu-dt2vd
10 ай бұрын
Barikiwa sana Anna kwa wimbo huo unauwepo sana
@consolatanjesh1840
2 жыл бұрын
Cant get enough of this beautiful worship.
@leilahmohamed2225
2 жыл бұрын
Barikiweni mass choir ...Nawapenda
@doraellyshayo5666
Жыл бұрын
Amen wimbo umeniingiza kwenye ibada
@lilianshao4827
2 ай бұрын
❤
@DeboraJackson-nv6vq
8 ай бұрын
Hakika Mungu unapatikana ndani ya mwabuduo harisi
@AnaniaJohn-bq6uc
4 ай бұрын
Baba acha nikuabudu nyakati zote.
@annemalesi576
2 жыл бұрын
Spiritually connected..
@veronicajaphet1622
Жыл бұрын
Ameni
@elizabethpetro4139
Жыл бұрын
Nikisikiza huku wimbo na jikuta na bubujikwa love you Anna kev
@filomenamashina5935
2 жыл бұрын
Nakuabudu Bwana katika anga la Uweza wako
@deborabakari3241
Жыл бұрын
Nabarikiwa sana jaman, mbarikiwe sana waimbaji
@IreneSalum
4 ай бұрын
Anna ubarikiwe napend ukiabudu
@janethhamza8316
2 жыл бұрын
Haleluya nimewamiss waimbaji
@SkolaMsuya-bk8hq
Жыл бұрын
Mungu asante
@LucyHaibhai-rg9hu
Жыл бұрын
Amen Amen 💖🙏
@ruthmpemba7598
2 жыл бұрын
Amen ubarikiwe sana dada anna wimbo mzur
@faithijegwa3592
2 жыл бұрын
Amen amen
@magidalenawiliam5698
Жыл бұрын
Thank you Jesus
@nurunyarusi9766
2 жыл бұрын
Amen.hafananishwi Mungu wetu
@FrankKombe-jt1ks
Жыл бұрын
Mungu awabariki
@veilamoshi9302
2 жыл бұрын
Mungu na azidi kuwabariki
@sarahkimaro75
2 жыл бұрын
Haufananishwi,haulinginashwi BWANA
@rainardleonard8045
2 жыл бұрын
Napenda Efatha
@mis_blazers_outfit99
2 жыл бұрын
Thank you for this song
@protaskindauji985
2 жыл бұрын
Glory glory to God
@deborajoseph395
2 жыл бұрын
Barikiwa dear love
@deborajoseph395
2 жыл бұрын
Ooh God,haulinganishwi wewe!
@deborajoseph395
2 жыл бұрын
Only you God
@lukhubeni8726
Жыл бұрын
Naloli, Ameen🙏
@anthonymisana8750
2 жыл бұрын
Mavazi ya kuzimu kanisani wanakwaya wakivaa suluali ibaada za kuzimu katika ibada kanisani
@nurumwita9034
Жыл бұрын
Yaaah mavazi Sio mazuri ila hawajui na ata ukiwaambia hawakuelewi
@esthermelkiard386
Жыл бұрын
Vipi kama hamjapendezwa mkanyamaza
@siamaagripina
Жыл бұрын
Mungu akusamehe maana hujui unachoongea.
@nurumwita9034
Жыл бұрын
@@siamaagripina acha kubisha kwani huoni hayo Sio mavazi ya kwenda nayo kanisani ata nyumbani tu mwanamke anatakiwa ajisitiri na Sio mpaka mchungaji aseme muda mwingine muulize ROHO MTAKATIFU wewe mwenyewe
@glorytoGod639
Жыл бұрын
Ndio efatha angalieni namna ya kuachana na suruali ,hivi like andiko la mavazi ya mwanaum asivae Mwanamke nyinyi hamlioni?
Пікірлер: 68