Katika mbio za Msoga, viongozi mbalimbali wamehudhuria kufanya mazoezi akiwemo Rais Mstaafu wa awamu ya nne Mhe. Jakaya Kikwete na Mkewe Mama Salma, Mhe. Josephat Gwajima na Mwamposa kiongozi wa dini bila kusaau wasanii wa music wa kizazi kipya.
FANYA KWELI, USIBAKI NYUMA
MTU NI AFYA
#mtuniafya #wizarayaafya #projectclear #fanyakweli #usibakinyuma
Негізгі бет Yaliojiri Msoga Half Marathon, Mhe. Jakaya Kikwete na Mkewe Mama Salma walikuepo
Пікірлер