Dudubaya Mzuka Mwingi Mwenyezi Mungu anaweza na akujalie maishani kakangu. Tunakuaminia
@Brunotarimo10
Ай бұрын
Kutoka Gikombaa Nairobi bro na kukubali Sana unaongea ukweli. Mungu akujalie avya njema
@melch3097
Ай бұрын
Welldone bro, hakuna kuchoka. Pambana mpaka mwisho
@jumaasungwi6574
Ай бұрын
The dudu
@user-xi4dq3kb3m
Ай бұрын
Mapafu ya mbwaaaa😂😂
@DamianUlaya
Ай бұрын
Konki nakukabar sana we auna unafik mzee upo poa sana mawazo yako Mapana sana sis Vijana tunachakujifunza mana u uchawa unaliua taifa
@mocua2910
Ай бұрын
Pua kama ngumi
@ismailmshana2828
Ай бұрын
Mwambie chidi benzi na yeye afungue tv yake Kama anaweza
@atanasjisonge2538
20 күн бұрын
Konk pia fanya uowe
@manrichchahe6620
Ай бұрын
MambaZ💪🏿
@tigejuma9865
Ай бұрын
Sumbika mzizi hallow beib....Ngoma Kali xnaa😅
@YusufuAbas
Ай бұрын
Mamba,ngumi jiwe,konki master😂majina magumu.
@user-sh6ch6ex1h
Ай бұрын
OIL CHAFU
@emmanuelmayunga1518
Ай бұрын
Dadu nakukubal sana ila kuna umri unapaswa kukaa kimya tu sasa unataka usikike kwa ngoma gani au kwa kipi,mbona kina sugu,solo thang, Ay ,Afande Daz nundaz na wengine hawapigi kelele why wew...jitafakali bro kuna sehem unakwama
@Laizer3
Ай бұрын
ACHA UJINGA MBONA WAKINA JAY Z WANAIMBA HADI LEO NA NI WAZEE
@cdeleo9336
Ай бұрын
Umesema ukweli kabisa hakujipanga mapema
@DamianUlaya
Ай бұрын
Konki anafanya kitu anachokijua
@user-do2id6pp4g
Ай бұрын
Uwe muelewa sio anapiga kelele huyu ni mwanaharakati anaongea mda wote coz anapigania haki za wengine
Пікірлер: 19