Yammi siyo mtoto wa Zanzibar jamani msimpachike tu ni mtoto wa Mwanza huyooo.
@helenfoidy7206
Жыл бұрын
Nakupenda sana yammi hasa ukiimba wimbo wa namchukia.naweza nizimie nakupenda sana
@lovenessaron2669
Жыл бұрын
Yammi 😍🔥🔥
@AdeTeacherRadio
Жыл бұрын
Yammy nampenda bure
@alfredkasololo5242
Жыл бұрын
Unaimba vizuri sana, Yammi. Ila muziki yako haina soko Kinshasa (Congo) sababu ya lugha swahili. Uko ni lingala hasa. Ila unaweza kuingiza muziki wako kwetu Kivu na Katanga.
@asiamdachi9385
10 ай бұрын
Bado kadogo mungu aibariki kazi ya mikono yake
@DJ_fortyninerKE
Жыл бұрын
Me naomba kumkaribisha sokoni 😆😆😆
@mwezzireen17
Жыл бұрын
Yammy changamka mamii
@awatifalghanim1106
Ай бұрын
😂😂😂😂 Sasa kishachangamka kwani hukumuona.????
@tonygee5680
Жыл бұрын
Presenter very very poor starts na mablunder eti mzanzibari absolutely rubbish 😂
@awatifalghanim1106
Ай бұрын
Huyu mtoto wa Mwanza. Siyo kutoka Zanzibar kabisa kabisa. Sasa 😂😂😂😂 katuonesha vituko vya Mwanza.
Пікірлер: 11