AMEN NAFURAHI KUPATA MAFUNDISHO HAYA NAOMBA NIOMBEWE NIOKOKE MAANA SIJAOLOKA,
@emmanuellamushagalusa9744
8 ай бұрын
Mungu akubariki na atujalie neema tuelewe haya maneno na tuyashike maagizo ya Mungu ,Na zaidi ya yote tuishi ndani ya utakaso 🙏🙏🙏
@ericamkwena7736
4 ай бұрын
Amina
@sentestivinchoir4001
8 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji,mimi hapa marekani nina kufwatiliya miya kwa miya.neno unalo lihubiri lina nitiya nguvu.ila kuna sehemu ambayo umetwambiya kama unapo lihubiri neno la Mungu uwa unatumiya simu,tena umesema huna aja ya kununuwa biblia kumbuka kwamba izo bibilia za kwenye simu ipo siku zitafutwa.niafazali kuambiya watu wawe na vitabu aina ya bibilia ndani ya nyumba zao.asanteni sana mutumishi wa Mungu
@user-sz6qc5fh3q
5 ай бұрын
Amen baba Mungu atusaidie tutengeneze njia zetu
@user-sz6qc5fh3q
5 ай бұрын
Amina baba Mungu atupe kutengeneza
@meshackjoel4715
7 ай бұрын
Shaloom Aleichem, Nimekuelewa Mungu atusaidie kuingia katika mbingu zake
@mercyjulius003
9 күн бұрын
Barikiwa saaana ulindwe na DAMU YA YESU
@mercyjulius003
9 күн бұрын
Asante kwa ufafanuI wa Hilo vazi
@guerinokibiki4314
Ай бұрын
Ameni, Barikiwa sana!
@hidayangoda4724
4 ай бұрын
Amen Rabi nami kwa imani nashika pindo la taliti yako leo🙏🙏
@mwinabiijoshua8870
15 күн бұрын
Baba nimebarikiwa Sana na masomo Yako hongera
@monicawagunda7751
Ай бұрын
Aminaaaaaa 🙌
@upendosahala8663
6 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi, naomba maombi kwa ajili ya ayfa yangu iiimarike nina maumivu ya mgongo Bwana yesu anifungue na Kila kifungo kiniachie nikutumikie kwa uaminifu
@japhetmasai9954
5 ай бұрын
Thanks so much and God bless you amen 🙏
@ferixsikota3898
6 ай бұрын
Thank you so much for beautiful message
@MachoziRebeka-ln1qs
6 ай бұрын
Amen amen amen
@zebedayokatamaduni9676
6 ай бұрын
Hii Elimu ni ya kweli kabisa
@user-zd2kg6cc8g
3 ай бұрын
Mungu akubariki Rabih
@juliethsanga6151
7 ай бұрын
Rabby Bwana Yesu asifiwe naomba saa Rabby Tuombee mimi na mume wangu kisukari kipone na kidonda kikauke katika jina kuu laYesu. Rabby Mtumishi wawa Mungu Abisolom niko kibaha na mume wangu Apolo India hospital
@beatricenangale5439
4 ай бұрын
Wenye kisukari vyenye vidonda miguuni tumetangaziwa wawasiliane na Hospital ya kariuki kuna tiba itatolewa
@MethodAlphan
3 ай бұрын
Amen
@FREDRICKMWALUPEMBE
3 ай бұрын
Ujumbe mzuri nimebarikiwa
@user-io1tp6nz8m
16 күн бұрын
Aminaaaaa ❤❤❤❤❤
@okokaashery6286
7 ай бұрын
Amen Mtumishi,Kwa mafunuo ya Hekima ya Kimbingu,Nimebarikiwa sana sana
@MethodAlphan
3 ай бұрын
Mungu akuinue🙏
@MachoziRebeka-ln1qs
6 ай бұрын
Baba endelea kutufungua ability mungu akubariki
@AlexKampate-od2km
8 ай бұрын
Shalom!! Nina shida ya kumwona Rabbi,nifanyeje kuweza kumwona.Naomba Namba zake za simu,na Kanisa Lake like wapi?
@user-ts5ce9ps7q
7 ай бұрын
Shalom maipenfa israel. Naiombea baraka
@user-gh1hh1gr5p
5 ай бұрын
Aksate Sana mtumishi wa mungu
@erickdamiankakuru
7 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏 kubwa najisikia kupokea muujiza wangu
@AmosJeremiah-dj2jm
8 ай бұрын
Ameen barikiwa pastor
@akothchristine4752
6 ай бұрын
Amiina
@lawmarcusmwakagenda355
8 ай бұрын
Naiona neema ya Mungu juu yangu kupata nafasi ya kusikia Neno la uzima hili
@lasonmushani5765
4 ай бұрын
Good evening Rabi I tell you your message is beyond powerful. But I want to bring request to you please may you repeat same message use English so that many people understand this message. For example I am living in Zambia many Zambian they don't understand Swahili. I personally speak Swahili because I stayed in Tanzania three years but the lest of Zambian they don't. On behalf of Zambian I plead with you find any means so that other none Swahili speaking countries may get this powerful message. Rev. Lason Mushani Zambia
@Gaynor1234
7 ай бұрын
Amen, Amen.
@user-ez7lk3it5s
8 ай бұрын
Amina.baba
@user-vd1ik2gn2j
8 ай бұрын
Amina mtumishi
@johnnguttu9516
8 ай бұрын
AMEN, AMEN. Asante Kwa kutuombea Rabbi na Kwa kutufundisha maana ya Tallit. Barikiwa Sana Mtumishi wa MUNGU
@IdahNambelasiwala-qs3su
8 ай бұрын
Amen 🙏🙏
@AlexKampate-od2km
8 ай бұрын
Shalom!! Naomba namba ya simu ya Rabbi naumwa nahitaji maombi,piano Kanisa like wapi?
@user-ts5ce9ps7q
7 ай бұрын
Shalom Israel
@bernadetteshukuru9154
8 ай бұрын
Amen amen amen ameneeeeeee
@livebeyond8213
8 ай бұрын
Nabarikiwa sana baba kwa mafundisho haya! 🙏🙏🙏
@salahsadi3908
8 ай бұрын
Amina sana mtumishi
@lindakapongo8421
8 ай бұрын
asante nimekuèlewa mnoooooooo
@RusiLumona
8 ай бұрын
Amen 🙏
@JaneKalisya-uv3iv
7 ай бұрын
Ameen 😢
@clementinemukosa8307
7 ай бұрын
Nitakuonaje kusudi nami nilishike lile talit? Pia nashukuru kwa ujumbe wa neno la MUNGU
@charlesmnuo3292
8 ай бұрын
Mungu yupamoja nawe bishop
@baldwinkachenje2057
8 ай бұрын
Go deeper Man of God, nimebarikiwa saana
@BerthaEzekiel-ss2dq
8 ай бұрын
Amina mtu wa YEHOVA
@bahomehussein8289
8 ай бұрын
NASHUKURU KWA MAFUNDISHO YA NENO LA UZIMA NIMEFURAHI SANA TENA SANA NIPATE KUYASIKIA YA JUMAPILI 3/12/2023
@jacobmahona187
8 ай бұрын
Nimekupata Vizuri kutoka kakola kahama, na nyakagwe
@zebedayokatamaduni9676
6 ай бұрын
Tunampata mwalimu kahama
@Chrizabizzy1
7 ай бұрын
Mahubiri mnayo sema yataendelea mbona hamweki jamani watu tunafatilia neno la Mungu na tuna kiu nalo.🥹🥹🥹
@BerthaEzekiel-ss2dq
8 ай бұрын
iiiiiiihii amén Mamani kuokoka raha
@CaptainLufumbe
8 ай бұрын
AMINA KUBWA SANA
@dennismbote4771
8 ай бұрын
Kofia hiyo inamaana gani??,mana kwa Bwana wetu Yesu Kristo sikuiona hiyo kofia.Naomba ufafanuzi mtumishi
@johnnguttu9516
7 ай бұрын
Hiyo kofia Wayahudi wote wanavaa vikimaanisha ipo siku wataingia katika Vita vya mwisho vya vya MWENYEZI MUNGU. (Ufunuo 16:16) fuatilia Mafundisho mengi hapo KZitem utapata jibu lake... Hasa sikiliza mahubiri ya rabbi tofauti tofauti juu ya siku za mwisho utapata majibu ya hiyo kofia
@chrisogonivulstan414
7 ай бұрын
Kila unachovaa ww Yesu alivaa
@CKASS-mi9xc
7 ай бұрын
Musifatane nabo aba. Ni batu ya ba cabbale juif. IKO secte mubaya
@Chrizabizzy1
7 ай бұрын
Yesu yup wa kwenye video?
@zebedayokatamaduni9676
6 ай бұрын
Alimuona Yesu wa kwenye video yule siyo Yesu lile ni igizo
@helenatarimo3643
8 ай бұрын
Barikiwa mtu wa Mungu Mungu kwa ujumbe mkuu namna hii.na atuongezee imani
@beatricehenry6776
8 ай бұрын
Talit umenipa mafunuo haya matakatifu Barikiwa Mtumishi
@kathyndwash9103
8 ай бұрын
Mafundisho mema lakni nguo iliyo ndani Ina pyramid 😢 maanake noni
@mercyadisa9030
3 ай бұрын
Hiyo ni bendera ya Israeli
@DieudonneMAHANGO-ws3do
2 ай бұрын
Hata wewe pia una vidole tano kwa kila mkono
@ttv9049
8 ай бұрын
Ameni
@user-sz6qc5fh3q
5 ай бұрын
Amina baba Mungu atupe kutengeneza
@HildaPaul-hm4jk
3 ай бұрын
Amen
@MargaretMwangende-rg8xr
4 ай бұрын
Kweli ni complicated lakini Roho Mtakatifu atatuelrwesha
Пікірлер: 78