Steve mweusi ni mkali kweli. Nimemufwata kutoka kongo drc
@musorebonheur1933
Ай бұрын
Bro Steven we ni mkali big up
@musyokipaul3767
Жыл бұрын
Watching from kenya 😀😀😀😀hii njia inatoka
@mkalanzaka6631
Жыл бұрын
Hajira unakaa wife material, much love from Kenya....🙏🙏🙏🙏🙏
@complex7582
Жыл бұрын
Huyo dada mzuri,baada ya kumuoa mnamchezea
@Chidyboy77
Жыл бұрын
Kazi ni nzr na dad Hajira alivyokaza kwa mumewe
@MomokayNameela
10 күн бұрын
Nakukubar sana stevu
@andallaathman3856
Жыл бұрын
Kusema kweli hajra watutia mjaribuni Mtoto WA kike hata imekua sio comedy tena unavyo vaa Mtoto WA kisilam alafu mzuri mashaa llah
@maherzain615
Жыл бұрын
Hata sioni ucomedy wwte kwa huyu dem
@nenomhiche
Жыл бұрын
Toka mbeya kyela tunawafwatilia hajra kazeni but twawaombea
@ManMankidot
Жыл бұрын
@@maherzain615 ,Wacha wivu wewe
@Churchofecclesia
Жыл бұрын
Umerogwa kweli ww akili yako inawaza zinaa tu kwan ubaya uko wap alivovaa
@andallaathman3856
Жыл бұрын
@@Churchofecclesia ww ni muislam ama nijina coz kma ni muislam na madrsa umesoma BC kadai Ada yako hujui dini hata ni aibu ushamuona hajranvyo vaa nguo imemtoa body yote hata kwenye comment zote wanaume wanamramani huyo katika uislam kaisha zini
@kalusetv4476
Жыл бұрын
Wakina dada jifunzen kitu kwa huyu dada usione comment nyingi watu wanasema wanampenda kiukwel mnaovaa nusu uch mnatukera Sana naukiona mtu anakutaka jua anataka kukuchezea tu Ila wife material nikama hajira hatumii uzuri wake kukaakaa uchi au kutega wanaume hongera dada nitaumia siku nikiona umebadilika
@FrolaMoses
6 ай бұрын
Ukitoka kwahuyu anae faa kua mke unaenda kwa mvaa uchi
@manp.....7694
2 ай бұрын
Sure
@yahyahamad1802
Жыл бұрын
hajra nakupenda sana unavojistiri mavazi ya Heshima. na mtandio.wako.mashallah
@andallaathman3856
Жыл бұрын
Mavazi ya heshima hyo kwani Una makengexa ama umexoea watu uchi
@selemanmohamed6151
Жыл бұрын
Leo Mb zangu zimeenda kwa Halali kabisa
@mohammedkhamis1113
Жыл бұрын
Jamani hakuna m baya duniani wanawake wote wazuri tatizo tabia tu!! 😀
@justinmaombi6044
Жыл бұрын
Steve wewe ni finale 🤣🤣 nakupendaga saana kweli, unanivunjaga mbavu saana
@SadickKanyika-fz3sf
Жыл бұрын
Steve hatarii sana anavunja mbavu
@linustobodi6883
Жыл бұрын
Nimegangamana kumbe ilo treni😅😅😂😂😂
@user-ts4zn1sx7h
2 ай бұрын
Hongereni sana kwakaz yenu
@sampachino5184
Жыл бұрын
Huyu dada nampenda jamani ❤❤
@bitangaabwe3441
Жыл бұрын
Hajra nakupenda sana mtoto wakike
@GabrielVicent-nn6pm
Жыл бұрын
Daaa icho kidont ❤❤ nimemuelewa.
@gloirefaranga3952
10 ай бұрын
Hauta mampenda sana hiyooo nawafuata toko kidongo drc nipe naona yake
@YusufAli-nj1xm
Жыл бұрын
Jamani kuuliza si ujinga kujisajili ni shilingi ngapi nataka
@balakakilagwa6826
Жыл бұрын
Hongera sana kwa kazi nzuri
@Burundianhustler
Жыл бұрын
I'm here following you 👌💚
@user-pc9kr2no7p
6 ай бұрын
Stive noma😊
@georgenjeri8547
Жыл бұрын
Nimevutiwa sana na ujuzi wa huyu binti kuhusu swala la mahaba kiasi kwamba umeuteka moyo wangu.Naomba namba ya simu kama labda pengine hauta-mind
Пікірлер: 110