Mashaallah wallaah nafurahi sana sana allaah awajalie kher
@asiamwarabu7510
6 жыл бұрын
Mashaallah nusu nisahau kulike kwa kutizama na kufurah
@thaubannaftali1439
6 жыл бұрын
Asia Mwarabu M/Mungu akujaalie neema na thawabu nyingi kwa kupenda dhikri natafuta mchumba +2557125772
@miambayankeba1084
4 жыл бұрын
Asalam aleykum nafurahi saaana Nakumbuka saana kwetu kasongo Miaka mingi saana Raha saana dada 🤣🤣🤣🤣
@miambayankeba1084
4 жыл бұрын
Napenda kalbi saana
@user-cm4id5se9s
9 ай бұрын
Mashallah ❤❤
@Faridbuza
7 жыл бұрын
This brings back memories. Thanks for sharing this. Baraka-llah fikum
@MohamediMwantewe-ic4ur
Жыл бұрын
Mashallh
@user-qn7vp1co8o
5 ай бұрын
imenoga jaman et
@user-yo9bs8zd7s
6 ай бұрын
Mashaalwa❤❤❤
@maryamsinganomaryamsingano7938
7 жыл бұрын
masha allah mungu awadubalie zikri yenu na penda sana masha allah
@muhammadsheyba9443
7 жыл бұрын
Maryam Singano Maryam Singano Ni Muhammad Sheyba mpenzi wa Dhikri kutoka Mombasa Kenya. Tunaomba tupate taarifa ya Sherehe tukufu kama hizi ili nasi tuweze kushiriki katika vikao vitukufu kama hivyo. simu yangu +254721243864 ama +254732243864 Mombasa, Kenya
@zainabmohamed7614
7 жыл бұрын
+Muhammad Sheyba subhanallah
@zainabmohamed7614
7 жыл бұрын
+Muhammad Sheyba maashaallah
@abdulmamboya4561
5 жыл бұрын
@@zainabmohamed7614 alhamdulilah
@zainabusaid2222
5 жыл бұрын
mashaalah mungu awaongoze Sana naipenda
@chimenyamwatuwa7341
Жыл бұрын
Mashaalah
@mudhihiriswahaba3856
6 жыл бұрын
dhikri hii n nzur sana
@alexandreinacio8075
2 жыл бұрын
Masha Aallah 🤲🤲🤲🕋🌙🇲🇿
@yusuphkondo8929
6 жыл бұрын
Allah awalipe
@faridamaulidi747
5 жыл бұрын
Masha all napenda sana dhikri alhamndulilah
@kebbymody5606
4 жыл бұрын
Salimaleeeeee mashallah pepo yake mola awajazie
@mohamedkutwambi
3 жыл бұрын
Wangekuwepo Lipemba, Ayupo Majanga,Manyali,77 pasingetosha hapo
@allytandika3640
10 ай бұрын
Hii ndiyo radha ya qadiria
@user-xz8rm2jr2x
5 ай бұрын
Kama ujui kinachofanywa Happ usilete ujimga was maneno yako
@tuphujekumuhkunonyiile3739
6 жыл бұрын
MASHAALLHAA napenda zikri
@mariamujumanne9999
3 жыл бұрын
Masha Allah napenda Sana dhikri napenda dini yangu
@mayungamohamed4601
4 жыл бұрын
Duh!kuna kazi kwa kwel
@nyotawivine7001
7 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu awa jalie kila lakheri.
@jamilaashim1194
6 жыл бұрын
Nyota Wivine mashaallah
@sumahtanzania4991
5 жыл бұрын
Mashaallah naipenda din yang ya wisilamu
@gypsumdesigndecor7947
4 жыл бұрын
Sumah Tanzania nalia nakumbuka mbali asanaaaa
@SufianiFaraji-lh3cy
2 ай бұрын
Sahihi sana 5:21
@mbwanarajab7238
6 жыл бұрын
ABDALA...kasome zaid,elimu ni bahar
@ndollontalia6633
6 жыл бұрын
umetulea raha sana maana kila tukia angalia tunaonaga qaswidatu hapo sasa ndio patam .namuona shekh lukungwe hapo.
@allykombo2992
Жыл бұрын
mashallah
@abdallahsharif4345
7 жыл бұрын
hii sio dhikiri yenyewe alioiacha shegh Muhammad bin nassor(r.a)
@kingcobra9238
4 жыл бұрын
Hawa ni askaria na shekhe muhammed ni qadiria ila wote tunafata silsila kutoka kwa sayyid abdlqadir jailan qadisa allahu laazizi
@husseinmkanga8182
3 жыл бұрын
ni nn ??
@hussentango4991
6 жыл бұрын
MashaaAllah tabarakallah
@JustMe-ip9xn
3 жыл бұрын
مدد مدد القادري
@ibrahim-mahimbokivugo4870
7 жыл бұрын
Thanks for sharing! Jazakatullah Khairan!
@rahimaailoveyoujamilaupovi1593
6 жыл бұрын
Ibrahim-Mahimbo Kivugo rehema ramadhani napenda sana zikri masha Ahlla
@ramadhanibandali867
4 жыл бұрын
MASHA ALLAH..
@nyotawivine7001
7 жыл бұрын
nuru muhammad.
@hidayashaaban6172
7 жыл бұрын
mashaa Allah
@hamisiserenge8483
6 жыл бұрын
watu wa nyumba Lindi rutamba hanafi mbala napenda sana zikili
@nehemiamagaho1218
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@user-hr2it9gc1n
4 жыл бұрын
Mashaallah
@ahmedtajdeen7075
5 жыл бұрын
Swaibuuli hisharaaaaaaaaa
@fatumaramadhani182
4 жыл бұрын
Ahmed Tajdeen mashallah dhikr mzur
@sophianyangalio3796
4 жыл бұрын
Mashaallah ❤ ❤
@abdoulsalamanyabenda1594
6 жыл бұрын
naomba ALLAH awapokeleey dhikr yenu
@rizikimndeme5631
3 жыл бұрын
Allah awazidishie inshallah
@ussihaji3342
3 жыл бұрын
Mashaallah ♥️
@sittacharlesmaendeleo778
Жыл бұрын
Ujahili mkubwa huu
@rashidimwarabu1153
3 жыл бұрын
Mashallah
@saidnampele9593
3 жыл бұрын
Safi sana mungu anaombwa kwa lugha yoyote ile
@mudhihiriswahaba3856
6 жыл бұрын
mashaallah
@mohdali7612
5 жыл бұрын
NAMNA HADHA
@ahdahmed8383
5 жыл бұрын
Maashallah
@hawaabdala5454
4 жыл бұрын
Maashaallah 😍
@jumasungura7945
3 жыл бұрын
Tumtegemee Allah
@cosmoantonio5682
4 жыл бұрын
Mashallah 🙌🏾
@jakwetwet2488
5 жыл бұрын
What language is this? Salam from Indonesia.
@habibakhamis2545
4 жыл бұрын
Swahili,Africa Tanzania
@salimmkwama1342
2 жыл бұрын
swahili from tanzania
@user-jz8sj5us1h
2 жыл бұрын
Masha Allah
@mussajuma2261
2 жыл бұрын
Dthikri hivyo taam.
@yahyayahyaahmmad5196
4 жыл бұрын
Napenda sana
@nyotanjemazuhra6487
4 жыл бұрын
Dhikri zinapotea vijana hawapendi .
@prettyaysha7892
4 жыл бұрын
Kweli wallah umma wapotea na kizazi cha nyimbo za dunia
@seifkhalid2841
4 жыл бұрын
Mashallah zukuruh allah
@salaamsalum4947
3 жыл бұрын
Muziki wa kusubiria mpunga!!! hii ngonjela katika uislamu haikubaliki kabisa !!!!??
@zahorrashid5459
3 жыл бұрын
Hakika shekh wangu wanajisumbua tu.
@rajabulukwainnalillahwainn2279
3 жыл бұрын
@@zahorrashid5459 naomba dalili ya maneno yako Kama unasema kweli
@rajabulukwainnalillahwainn2279
3 жыл бұрын
Salaam salumu nani kakuambia kua huu ni mziki Kama una elimu ya Jambo acha kulisimamia tumekatazwa uliza wakufahamishe
@khalidbely5259
3 жыл бұрын
Washambaa mhahi weangu mana 😂😂
@aminajama8215
4 жыл бұрын
Maasha, Allah
@hasanatyyanda8567
3 жыл бұрын
Mashaallah 🙏🙏🙏🙏🙏
@zariakhalufani9882
4 жыл бұрын
Allah waja'aliye kila la khery wasamehe kilabay walotenda
@hassanraphaer2022
3 жыл бұрын
Mashaalwa
@navionakibwana2974
5 ай бұрын
Tumswalie mtumeee
@miambayankeba1084
4 жыл бұрын
Allahu akbaru
@NoorAli-vj4gn
3 жыл бұрын
Yasikitisha sana mijitu isokaa wakasoma dini hawa wapandisha mashetwani
@rizikimndeme5631
3 жыл бұрын
Usitukane uislam Noor Ali Baki na itikadi yako shekhe
@NoorAli-vj4gn
3 жыл бұрын
@@rizikimndeme5631 samahani huo si uislamu
@NoorAli-vj4gn
3 жыл бұрын
@@rizikimndeme5631 Hawa wanapandisha majini yao kisha mara wamwalike sheikh kikaoni .Hii ni shirki na wala usiinasibishe na uislamu
@fatmaasinali1235
5 жыл бұрын
Mashaaallahaa inatiarahaa sana
@mussasuleiman1666
3 жыл бұрын
h
@zahorrashid5459
3 жыл бұрын
Hahahaha lete mchele tule sasa.haraka haraka Allah awasamehe bure
@hassanraphaer2022
3 жыл бұрын
Hhh aanze kukusameh ww
@abrahamsnoopdog5929
3 жыл бұрын
Akusamehe wwe kwanza usie jua llote
@rajabulukwainnalillahwainn2279
3 жыл бұрын
Zahor Rashid lete hoja mezani mbona uleti hoja unaponda tu
@abdallahdataguy
7 жыл бұрын
Assalaam alaikum ndugu zangu waislamu. Hakutufundisha mtume wetu kipenzi Swalallahu alayhi wasallaam ibada hii. Haya ni mafundisho ya sheitwaan laanatullahi alayhi. Jiepusheni na kila ambalo mtume wetu hakutufundisha kulifanya kuwa ni ibada. Tusichukie bali tufate haki. Kuchukia hakutatunusuru na adhabu ya Allah. Tufungue mioyo yetu haki ipite. Huku kukohoa kohoa ni uzushi wenye kuuchafua uzuri wa uislamu ambao mtume wetu ameshatutahadharisha kabla ya kufa kwake ubaya wa uzushi.
@suleymandachi5596
7 жыл бұрын
Abdallah Ally ...Dhikiri sio ibaada ya shetwani,bali ni jazaa yamaedelezo ya Mtume Muhammad SAW,ambapo upepo miti na mawe viliunguruma kila alipokuwa akipita,hata bahari ulivuma, hii ilikuwa kwa utukufu Wa mwenyezi Mungu kwa kipenzi chake,ndio maana ma khalifa kama Abdul Kadri Jeilan walibeba muendelezo huu,na huwa wakimtukuza Allah SW na Mtume SAW,kwakutanua vifua vyao,na hili ni afya kwa mapafu ya mwenye kudhikiri,.Nakuombea dua Allah akujalie nawewe uwe mwenye kudhikiri InshAllah
@zainabmohamed7614
7 жыл бұрын
+Suleyman Dachi naam ..
@rahmamavura406
7 жыл бұрын
Abdallah Ally we umejisajisabilia pepo mpaka umlaani muislam mwenzio?kwalipi jema lako lilimfurahisha m.mungu mpaka ujue wenzio wamoton.?unamfata mtume gani sabb mt.muhammad mwenyewe hajamlaan mtu zaid ya iblis
@salaamclinicoftraditionalm3641
6 жыл бұрын
Nenda kasomeshwe Madrasa kwanza kisha urudi hapa
@muhamadswed4639
5 жыл бұрын
Abdallah Ally hujielewi wewe
@myshem5341
6 жыл бұрын
Tanzania rahaa jamani tunavitu vingi mno vyakujiliwaza sio uku omani
@zulfamohamed4549
4 жыл бұрын
😂😂😂😂oman akun
@saidnampele9593
3 жыл бұрын
Uko omani kumbe karibu tz
@mussasuleiman1666
3 жыл бұрын
Hi
@omarmkima7290
5 жыл бұрын
dhikri huwa na maana ikiwa watu wataeewa maana yake
@makamemufadhil627
6 жыл бұрын
Mumepata kitabu gani hayoo
@abdanjunjugala4770
3 жыл бұрын
Kharia
@abdanjunjugala4770
3 жыл бұрын
Khairia
@wazirihamisi6484
3 жыл бұрын
BIDAA huu ni uzushi ktk dini ya Allah nawala sio mafundisho ya mtume Mohammed
Пікірлер: 217