Muimbaji wa Nyimbo za Injili hapa Nyumbani Tanzania Mtumishi wa Mungu @zoravo Jana akizungumza na waandishi wa habari ametangaza rasmi ujio wa Ibada kubwa ya kusifu na kuabudu ambayo ameipa jina la BEYOND.
@zoravo amesema katika Ibada hiyo amejipanga kufanya Live Recording. Kwenye hiyo Ibada ataambatana na watumishi kutoka SoutAfrica kama @khayamthethwa na @takie_ndou na wengine wa hapa nyumbani Tanzania.
Ibada hiyo itafanyika tarehe 27 mwezi wa 9 Mwaka huu pale CCC Upanga kwa kiingilio cha shillingi elfu kumi 10k, Unaweza pata tiketi Kupitia Nilipe App sasa.
Usipange kukosa 🔥🔥
Негізгі бет ZORAVO AVUNJA UKIMYA/KUFANYA LIVE RECORDING MPYA “BEYOND 2024” D’salaam.
No video
Пікірлер: 1