Mungu akubariki Zoravo kwa hekima na unyenyekevu ulionao. Imeandikwa, Hekima hukaa na wanyenyekevu (Mit 11:2); na Mungu atazidi kukupa neema kwa huduma yako (1 Pet 5:5). Ubarikiwe sana na kuzidi
@mwlamaninnko.25
9 ай бұрын
Zoravo uko vizuri sana katika majibu yako , so wise and humble...More blessings!
@christinewomanoffaith5479
9 ай бұрын
Nimekupenda bureee Japo sio fans wako sn Ila Mungu akutunze sana Damu ya Yesu ikunike sn mtumishi
@loycenicolao7488
3 ай бұрын
Natamani wanangu nao siku Moja wawe vijana wanaomtumikia Mungu kama hawa. Songeni mbele na Wala msiangalie tabia za kidunia. Bwana atawapandisha zaidi mlipo
@jeniphermwani1867
8 ай бұрын
Hongera zoravo nimefurahi kusikia kuwa umeacha digrii kwajili ya wito nakutia moyo wewe sio wa kwanza na hicho kitakulipa angali ,mwimbaji wa nyimbo za kidunia Kofi olomide alikuwa na digrii mbili lakini hakuajiliwa alidili na kipaji chake na sasa ni mtu mkuu.
@obedisiarangiriki8142
9 ай бұрын
Amen
@christinewomanoffaith5479
9 ай бұрын
Mungu ana watu Amejiinulia kizazi kingine kabisaa,waabudio halisi... Wale waliojua Wana kipawa na wakatumia vby,wakamuacha aliyewapa kipawa imebaki story Sahivi tuna kizazi kingine kabisaa
Пікірлер: 7