Mwenyezi Mungu akujalie kazi njema na akuweke ktk watu wa peponi
@aishamohammed5544
Жыл бұрын
Allah akupe umry mrefu na akujalie mambo mema mpaka kaburini upate muangaza na akulinde maneno yako yamenitoa machozi
@halimamwachilimwachili5099
5 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, Allah awatangulie awape umri elmu mzidi kutuelimisha ln shaa Allah.
@kibibimwanamvuamohammadmoh9823
7 жыл бұрын
Allahu akbar Wallah maneno aliongea Mwaipopo yatupasa kuyazingatia Kwan umoja wetu ndio nguvu yetu tuache ubinafsi, tumeshindwa na makafiri kwa umoja wao
@othmanabdallah1948
7 жыл бұрын
Kibibi Mwanamvua Mohammad Mohammad Asaalam aleykum, upo sahihi kinachotukwamisha ni kukosa umoja mfano mzuri kwenye kutoa zakka huu ni moja wa mtihani mkubwa mno! hapa nyumbani kuna kanisa lilikuwa la bait ila Sasa wamejenga na sio kama una waumini wengi hapana sababu wanaumoja, ila kwetu imekuwa mtihani mkubwa hata Imani petro aliongea point pia, unakuta ndo chanzo cha kutosonga Mbele zakka ina nafasi kubwa mno kwenye dini yetu ndo maana wenzetu wanapija hatua sana, walleykum Asalaam warahmatullahi wabarakatuh
@nadyajuma4108
7 жыл бұрын
mwaipopo ulio sema ni kwel waislam sie hatuta ushirikiano wala umoja laiti tungekuwa na umoja basi Allaah angetuzidishia baraka ila tunapo elekea Allaah atunusuru na pia wazidishie mnae tupa somo Amiina
@muvobhekinyonga985
7 жыл бұрын
nadya juma Ameen
@Julia-gm1wh
5 жыл бұрын
Umoja wa kuleta vita ama mashetani nyinyi
@mobileshop818
8 жыл бұрын
mwaipopo Ma shaa Allah kwakujitoa katka ukristo Allah akujaalie kher.
@jumanamata6349
5 жыл бұрын
good
@khayriyamussa5680
5 жыл бұрын
Kher kwake.. In Shaa Allah..
@emmanuelyngabani2079
2 жыл бұрын
Uislamu Ni Uongo Na Hapa Ndio Ushahidi
@mwajabukaseke8710
2 жыл бұрын
@@emmanuelyngabani2079 jingaaa sana ww nyie din yenu inaletwa n binadamuu wenzetuu
@pungopungo411
Жыл бұрын
Ajitoe sana tu .nani angewezana nae huyo makanisani hakuna uchawi
@maduuikangira9864
Жыл бұрын
Hakuna mkristo yaani mwana wa mungu anayeweza kubishania Imani yake na wasio amini, sisi wakristo wa kweli tunajitambua Kama yesu alivyoulizwa na shetani ya kuwa ikiwa wewe ni mwana wa mungu geuza hili jiwe liwe mukate, lakini kwakuwa yesu alikuwa anajitambua kuwa ni mwana wa mungu hakuhangaika kugeuza like jiwe kuwa mkate. Hata sisi ni Wana wa mungu kwa kumwamini yesu alieye mwana wa mungu, Amina.
@rajabumrope8732
5 жыл бұрын
Subhanaallah MUNGU amekusamehe mwaipopo kuichoma Qur AN
@dottoadam5516
2 жыл бұрын
Mungu atusaid zotee
@khalidali1130
7 ай бұрын
Allah amlipe kila la kheir sheikh Mwaipopo kwa kuitangaza dini inshallah🙏
@abubakaromar4637
2 жыл бұрын
Mwaipopo Allah akulipe pepo kwa kutoka ukristo
@lightnesselirehema1464
2 жыл бұрын
Huyo kapotea njia!
@sakinamohd8101
5 жыл бұрын
Alhamdulilah mzaliwa wa zanzibr hakuna mkristo wahamizi ndowanatuharibia
@abdirahmanomarofficial3977
2 жыл бұрын
Jazakalah kheiran....for good words for good speech for good words for good story...and May Allah guide us all to the right path...
@allyhamza355
Жыл бұрын
Ll58
@ramadanissa2429
5 жыл бұрын
Najivunia kuzaliwa muislam na n namuomba Allah anifishe nikiwa muislam. Allah atawalip kher kw kaz njema mnayoifany. Inshaallah
@abordecapester9086
Жыл бұрын
Mungu kaweka dini mbili kwa ajili yaku poteza wabaya wasijuwe kwaku wapotosha waliyo hamini mana vitabu vyote ni vyamungu Nani kweli apingalo hilo basi yeye ana Pinga Mungu.
@amoury1481
Жыл бұрын
Mungu kaumba dini moja tu Uislamu,Hizi dini Nyingine ni matokea ya mwanadamu
@hassansalum8496
7 жыл бұрын
M/mungu anajua mh kumbe wenzetu upande was kushoto watembea na Quran Subhan'Allah
@mwanamisp0fu760
5 жыл бұрын
Subhana allah, Alhamdhulilah, Allah akbar, Mwaipoipo umewabainishia wakirsto kuwa dini ya haki ni uislam mola akulipe inshaalh
@omarkassim6761
5 жыл бұрын
Hakika mwenzi mungu humuokoa amtakae, hakika uislamu in dini ya haki anayepinga apinga kwa kiburi chake tuuu
@pungopungo411
Жыл бұрын
Yesu hana shida hata ukimkana yeye ana watu wengi tu. Ni wewe tu mwenyewe utaenda huku na huko yeye yuko palepale. Kila goti litapigwa mbele ya yesu believe me
@abuudhurkarnayn8833
6 жыл бұрын
hakika uisilamu nodini ya hakki Allahu ujaalie uislamu mbele
@amosichacha5675
5 жыл бұрын
MTEI TV Dini hizi hazitatupeleka mbinguni, Bali tutaenda mbinguni kutokana na mahusiano yetu mazuri na Mungu. Hakuna mbinguni mbili, mbingu ni moja peke yake. Na njia ya kuelekea huko no moja tu, Mimi ndimi njia kweli na hukumu mtu haji kwa Baba ila kwa njia yangu. Asema Yesu Kristo tuwe tunataka tuwe hatutaki ndvyo ilivyo.
@minaminaa1669
5 жыл бұрын
@@williamkavaya4794 wenye chuki na uislamu poleni
@rizikiali8173
5 жыл бұрын
walah umependeza kua muisilm mashaalah MUNGU akuzidishie
@ftimaramadan4748
2 жыл бұрын
amin ya Rabby
@user-cx3tp1lw7g
19 күн бұрын
Allah awape umuri
@amadeuskimey5521
5 жыл бұрын
alitoka katika ukristo kwa maana haku chaguliwa na mungu angelichaguliwa na mungu asingee rudi nyuma angechapa injili
@husseinmohamed5942
5 жыл бұрын
Kaiona haki coz ukristo sio dini na Kama unabisha nipe andiko kua ukristo ni dini
@santodelove4351
5 жыл бұрын
Mungu wenu mbaguzi kwahiyo anawachagua chagua
@ibunmtumbaya1281
5 жыл бұрын
Alhah Akbar uislam ndo habar ya mjini makafir hawAna jipyaaaaa
@asmaabdallah4055
5 жыл бұрын
Hawa wakristo kazi yao wanapenda ku fadhiliwa nawazungu ndio maana wanava uti na wana kuwa ovyo kama wazungu hawana haya kama mahaba wanipenda wazungu anawatumia kutimiza uchumi wao moto unawangoja kesho kiama
@armykyamba3982
2 жыл бұрын
@@asmaabdallah4055 unaujua uislamu lakn
@fatumaalisaid9816
2 жыл бұрын
Aki mwaipopo umenifanya machozi yakanidondoka, Allha akujaze kheri in sha Allah🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼😭😭😭
@omarympambije3221
5 жыл бұрын
kwakwel umat Islam tumejaariwa neema na Allah(s.w)
@labilowabiikongo9338
2 жыл бұрын
Swadakt
@Officialmasaikhan
6 жыл бұрын
Mwaipopo umeongea vzr Sana
@zenassylvester125
6 жыл бұрын
Ukimuona mtu kamuacha Yesu ujue uyo hana Roho mtakatifu
@alhadjmugisha5216
2 жыл бұрын
Hhhh anaroh yake 🤣🤣🤣🤣🤣
@naninana13346
2 жыл бұрын
Ata mimi nina nia ya kuwa mwislam ili nijuwe tu kila aina ya uchawi ni wakomeshe wanawo nisumbuwa, mana wislam wamejaliwa tu neema ya uchawi
@salehrashid-fx9rq
9 ай бұрын
Yesu ni nani?
@al_aminchannel3292
5 жыл бұрын
allahu Akbar walahi nabado watu wanachezea uislamu tu ishikeni uislamu kwa makini
@AishaAli-lk7gh
5 жыл бұрын
huyu ALLAH amembainisha alokuwa akifanya kwa ukristo sasa wengine wanajenga chuki kwa kusema kweli ukristo sio dini
@kasimothman6940
2 жыл бұрын
Mashaallah
@shaafiabdi8273
5 жыл бұрын
hadiith=kulu muskirin haraam "Chochote ki lewasho ni haramu" Miraa ni haramu
@maduuikangira9864
Жыл бұрын
Wewe huujui ukristo ulikuwa umeenda kusomea kupiga hera, lakini siku ukimjua yesu kristo Kama muumba wako na muumba wa ulimwengu utamwinua juu.
@saiditheone_tz576
2 жыл бұрын
Allahu Akbar, Allahumma sturu ummata Muhammad (S. A. W)
@joshuanoel4482
2 жыл бұрын
Yaani watu wazima kama watoto ndo maana siangaliagi midahalo ya waafrika bora hata marehemu Ahmed deedat
@medinacheronohildah7933
2 жыл бұрын
Yeah na zaik naik Yusuf esteem napenda mada zao juu SI kubishana n kupelekana sawasawa
Yaani ukiwa mkristo sawasawa na maiti. Kwanza kabisa ukipata andiko linalosema ukristo ni dini ya Mungu nipo tayali kubatizwa hata sasa hivi.. Yaani ktk kitabu chochote unachokijua wewe..!
@stallonesylvester1988
8 жыл бұрын
acaha matusi kaka,tangaza uislamu vyema. yesu ni nani?????
@ygyoung9686
6 жыл бұрын
marayn
@nestarnestar4520
5 жыл бұрын
kuma ww nyie ndio mizoga kabxa
@amosichacha5675
5 жыл бұрын
IBRAHIM ABDUL Dini hizi hazitusaidia chochote. Mahusiano yetu mazuri na Mungu ndyo yatakayotufanya tumuone Mungu. Mbingu ni moja tu wala hakuna mbingu ya pili. Njia ya kwenda huko ni moja wala hakuna njia nyingine. Mimi ndimi njia kweli na uzima mtu haji kwa Baba ila kwa njia yangu. Tuwe tunataka tuwe hatutaki ndivyo ilivyo!!
@derickluazi5528
5 жыл бұрын
Ibrahimu ww ujitambui ukitoa neno kwenye qurn linalokuonesha wapi ulipo haidiwa ufalume wa milele nitakuwa mwisilamu
@mudishabani1961
7 жыл бұрын
ukiwa mwiislamu wakweli unarahasa duniani na akhera.
@salehlofy4251
7 жыл бұрын
wakristo hata aje Yesu mwenyewe watampnga lakn wanakuja ona wakifika kwa Mungu
@salehrashid-fx9rq
9 ай бұрын
Watamuua 😅
@aishamzeehamissi6859
Жыл бұрын
ASALAM ALEIKUM PROFESA MAZINGE A MWAIPOPO ALLWAAA AWAPE UMRI MREFU KUTUELIMISHAA JAMIÌII NIKWELI WASHEKHE HAWAELIMISHI JAMI NAKUITOWQ MIHADHARA NIWAO WENYEWE TUU ILIMU WANAKAA NAZO MAJUMBANI
@sweetnanashow5611
2 жыл бұрын
Akati wenzenu wanatafuta uzima Nyie mnatafuta ujinga haaas
@ahmadamapande677
2 жыл бұрын
Daah Mungu awalipe Mashekh natamannijifunze hio kazi
@husseinchiaseeds2653
5 жыл бұрын
Mwaipopo Allah akuhifadhi
@ftimaramadan4748
2 жыл бұрын
amin ya Rabby
@makanikiamsanga906
6 жыл бұрын
HUYO MCHUNGAJI NI MNAFIKI. NI WA UONGO. KAMA AMEHAMA UKRISTO, KWA NINI BASI AMEVAA VAZI LA KICHUNGAJI, ILI AWAAMINISHE WATU KUWA YEYE NI MCHUNGAJI, NA ASIVAE VAZI LA KICHUNGAJI BASI. HUYO NI MCHUNGAJI WA UONGO NA MKRISTO WA UONGO. BIBLIA ILISHA ONYA MBELENI.
@amosichacha5675
5 жыл бұрын
Makanikia Msanga Mchungaji wa kondoo wa Mungu, aliyeitwa kuwa mchungaji hawezi kufanya haya. Yeyote yule anaweza akajiita kuwa ni mchungaji na asiwe mchungaji. Hawa waliojiita wenyewe ndiyo leo hii tunashuhudia wakifanya vituko.
@husseinmohamed5942
5 жыл бұрын
Anawakejeli wale mafala wanaojiita wakristo
@abdallajuma6262
5 жыл бұрын
hakika umeongea ukweli uislamu ndio dini sahihi mbele ya mungu
@irenemboka1401
2 жыл бұрын
Hapa unajidanganya ndugu sisi wote watoto wa Ibrahim kumbuka YESU CHRISTO ndo njia pekee ya MUNGU siasa haina mahali itatupekeka
@armykyamba3982
2 жыл бұрын
Na vip ktk uislamu kusoma uchawi wa kitabu (faraki)
@rajabuselemani3586
6 жыл бұрын
nakubali sana ukristo uchafu watu hawafanyi kazi eti pesa zawaumini zitafanya kazi duuu
@asmaabdallah4055
5 жыл бұрын
Mjinga kila kinato lewesha ni haramu kwa waislamu labda kwenu ni halali kwa maana nyinyi kazi yenu kulewa tu
@ibraimodinodino828
6 күн бұрын
Mashallah Mazinge
@anjelinawiliam5415
6 жыл бұрын
mungu awalehem maaana hamjui mlitendalo maaana lisilo wezekanakwamwanadam kwamungu yawezekana
@zairesoyosoyohabura7513
11 ай бұрын
So touching story sheikh mwaipopo ❤❤❤😊
@marwamasiku18
Жыл бұрын
Masha llah mungu atuafikishe halikua waislamu ameen
@aminariziki1677
6 жыл бұрын
Uislam ni dini ya haki na ya kweli mbele ya MwenyezMungu.
@bimumaulid1171
7 жыл бұрын
ukristo dini ya feeza hilo tunalitambua lkn makazi Yao fin nari jahanam motono
@rahmakhamis111
5 жыл бұрын
ndiyooo
@hassanshemawia4587
5 жыл бұрын
Imejipiga
@eladiuspeter586
5 жыл бұрын
bimu maulid wew kabla ya waarabu babu yako hakua na dini
@mbaroukmbarouk498
6 жыл бұрын
Nyinyi makafiri mujue kua huyo yesu munaemfuata hakuwahi kuingia kanisani wala hakua mkiristo mutachomwa moto nabii Issa (as)ataingia peponi na waislam
@festokivuyo7121
2 жыл бұрын
Kama mbinguni nikwenu bs hatutaingia lkn kama ni mbinguni ni kwa Mungu bs huna mamlaka huko
@novatusngoloma8080
2 жыл бұрын
Nonsense, fikiria mara mbili kabla ya kucoment
@lawrencechacha7863
Жыл бұрын
Huna tofauti na shetani,maana ungejua tabia ya mungu usingeropoka upuuzi.eleza uzuri wa dini yako na njia ya kumfikia mungu.
@chriscao9828
2 ай бұрын
Waislamu ni watu wamechanganyikiwa kama mtume wao wa kuzimu..
@joykhaphimpa4545
6 жыл бұрын
Kwakweli shetani ni mjinga sana coz anajua kufunga watu macho iliwaingie gizani wasijue ukweli
@zariamutesiwase2371
2 жыл бұрын
Najivunia kuzaliwa Mwislam
@user-kf5lh4jk3b
4 ай бұрын
Wakristo makafiri hawana dini wakifa kwa imani hiyo ni motoni
@evelyneongachi9486
6 жыл бұрын
Peter kumkata MTU maskio,,yesu akakiokota akairudisha,ambapo so kawaida kwa binadamu yeyote
@thomasnachenga795
5 жыл бұрын
ILO MOJA yesu kafanya maajabu MENGI kupita hayo....lakini bado HAWATAKI KUAMINI NI MUNGU. hehehe ata wao wanamjua
@samiramohamed98
5 жыл бұрын
Ss Tomas yes mungu kipind alipokua tumbon dunia ilikua yaendeshwa na nan
@samiramohamed98
5 жыл бұрын
Maryam angekufa kwa kifafa cha uzaz kwahy kusingekua na mungu??
@thobiasmsuya6145
8 жыл бұрын
uislamu ni dini ya khaki
@stallonesylvester1988
8 жыл бұрын
dhibitisha
@sahariabdul
7 жыл бұрын
tafuta video za imani petro na imani akili yako itafunguka na uache weu wa kubuluzwa na neno kristo
@goldmansun5859
6 жыл бұрын
haki iko WAPI?
@abdulyhamidy5081
5 жыл бұрын
Mwenzimung atkakusaidia ktk kufkisha dini y MW/mung
@johnmnonjela9809
6 жыл бұрын
umepata hasara ndugu kiroho
@bintichausa4744
5 жыл бұрын
😂😂😋😂😂😂
@JeromeAbu
Жыл бұрын
Kaji zuri cheikh wangu
@ishoboyyoung1507
2 жыл бұрын
Tusibaguane kwa dini na rangi kila mmoja afate anapoamini vibaya hivyo kuweni
@mariamsindano1953
Жыл бұрын
Mungu pekee ndio anajua, watu wamejaa makanisani na wanaponea huko
@gabrielisack7786
6 жыл бұрын
ukiijua kweli itakuweka huru,siku moja sauti ilisikika ikitoka mawinguni ikisema huyu ndiye mwanangu ninayependezwa naye hivyo msikilizeni yeye.
@brightonwashira5420
5 жыл бұрын
We mkristo kafiri nini
@dullyvidully7798
5 жыл бұрын
Tupe andiko sio unatupa porojo tu
@aishaomari1881
5 жыл бұрын
Mungu Hana mwana ila Ana mitume 25 na itabak hv
@jumajaffary9698
5 жыл бұрын
Yohana 5:37 Neno: Bibilia Takatifu (SNT) 37 Na Baba aliyenituma naye amenishuhudia. Hamjapata kamwe kuisikia sauti yake wala kuiona sura yake. Yesu kasema sauti ya Mungu hakuna aliesikia wakati wowote wala kuiona sura yake.
@ikabako2454
2 жыл бұрын
@@jumajaffary9698 umempiga vizuri sana kondoo huyo 🤣😂😅
@seifhabib5987
Жыл бұрын
Uislam hasa raha bana eee
@abordecapester9086
Жыл бұрын
Mimi na furahi kwamana wasio mjuwa Yehova au Allah wana changanikia Wawa poteze VIP waliyo mjuwa Mungu na mjuwa nyinyi nyote ukiamini kwahaki n'a kweli namatendo Yako yakawa yahaki basi utaenda peponi kwaiyo Ama na ku Rejea utakapo Helewa apingalo hilo na apinge ahamini na ahamini.
@abordecapester9086
Жыл бұрын
Ila ole wake atakae kataa kitabu kimojawapo yahivi vitabu akashidwa kuamini akasema Mimi siamini atakimoja ole Wake mana Siku ilekuu imewadia, indeleheni kuweka ubishi wa vitabu ili mpagani ahamini ewe Mwana wayakobo na Esmail nyote yeye aliye juu mkuu aliwahidi nyinyi nyote Muna shikana mikono kusimamishana kusiye atakaye anguka yule Alie andaliwa kuja wapotosha kipindi hichi kama maandiko yalivyo sema Mungu wenu amewaruusu zidini kuweka mahojiano.
@hanadialabed8635
7 жыл бұрын
Mungu awazidishie mashekh wetu umri na hikma na awajaze mioyo ya kueneza dini na mungu awajaalie mwisho mwema na kauli thabiti kwenye mauti yenu na waislam wote
@armykyamba3982
2 жыл бұрын
Sawa mungu gani awasaidie
@yusuphsimon8151
6 жыл бұрын
hahaaa waislam bhnaaa ubishi mwingi ukwel mnaujua
@tabasamtv6728
2 жыл бұрын
Wamekaa kbsaaa busy kubishana upuuzi.
@utakatifutv6246
2 жыл бұрын
BWANA YESU akusamehe hujui unachokiongea biblia haisomwi Kama vitabu vvyenu ili uielewe mpaka uongozwe na ROHO mt. Muhamadi sio roho maana ameshazikwa acheni ujinga mpokeeni YESU ambae alipokufa alifufuka nae hata Sasa yu hai
@bimkubwamohd145
2 жыл бұрын
Pumbavu mmoja
@chenzhenlee7633
5 жыл бұрын
Waislam ndio makafiri kama hawajasoma Qur'an yao
@isaacmafole2136
5 жыл бұрын
True
@rizikiali8173
5 жыл бұрын
mwenyezimungu akupe mazur
@abubakaromar4637
2 жыл бұрын
Allah walipe kheir kwa kazi yenu inshallah
@sophianolle4007
5 жыл бұрын
we mwaipopo umeongea utumbo tu hata cjakuelewa ni bora hata ungelala tu, maana huwezi kubadilisha imani yetu ya kikristo kwa mtindo huo na tambua kwamba mungu hana dini matendo yako ndyo yatakupeleka jehanamu au peponi kafili wewe
@vennypaul7362
5 жыл бұрын
maasha Allah masheikh wet Allah awape umri mref
@armykyamba3982
2 жыл бұрын
Jahilia ni Nini?
@felixgitonga6783
Жыл бұрын
Mazingi ni kafiri mukubwa wa motoni wapinga kristo
@fatumaramadhanmashaallahal9966
5 жыл бұрын
Kweli kabisa uislamu tunajiangusha ss wenyewe heri inshaallah
@greysonmheni5176
2 жыл бұрын
Njoo kwa Yesu,hatakuangusha
@ftimaramadan4748
2 жыл бұрын
kumbu nilikuepo kwa baba mazinge zamani 😀😀😀
@ftimaramadan4748
2 жыл бұрын
unatisha baba mazinge tupo pamoja sana
@kenzanzibartours1529
7 жыл бұрын
allla akuhifadhi na fitna mwaipopo
@hassanissa611
6 жыл бұрын
Yesu ni nabbii wa ALLAH ila nyiyi makarifi mnamfanya km MUNGU???😳😳😳😳😳 inallilah wainalillah rajiun🤑
@lightnesselirehema1464
2 жыл бұрын
Huyo Isa wenu ambaye hakufa siyo Yesu Christo. Yesu Kristo alikufa, akafufuka na akapaa mbinguni. Na yuko mbinguni na atakuja kuwahukumu walio hai na wafu.
@abcmnbb2610
2 жыл бұрын
Alhamdulillah kwakuwa muislam
@eunicebukokhe6805
2 жыл бұрын
Mazinge wacha kuaribu sigara hapa uarabuni sigara inaasha nyingine wa maanisha waarabu ni makafiri?
@omanbarka1588
2 жыл бұрын
Mazinge kapatikana
@felixgitonga6783
Жыл бұрын
Mwaipopo kafiri mukubwa motoni Sasa roho mtakatifu ni mwamendi kutafuta mwamendi kwa biblia ni Kama kutafuta guruwe kwa musikiti Soma waifilipi 2;1-16 wewe uyui jesu kristo wewe ni muongo
@dottoadam5516
2 жыл бұрын
Mungu msaidimwaipopo
@amosichacha5675
5 жыл бұрын
Maamuzi uliyoyachukua mwisho wake yana majuto kilio na kusaga meno. Kwa sasa unaweza usielewe ila utaelewa badae!!
@firo0ozdawah378
2 жыл бұрын
Hakuna mtume wa kizungu Sasa munatawaliwaje na wao ... Historia yote inarudi Kwa waarabu
@officialmatambi5550
6 жыл бұрын
Duh huyu mwaipopo kumbe anasumbuliwa na njaa tu, anaomba achangiwe na hela tena.
@goldmansun5859
6 жыл бұрын
sisi tunatoa coz tukimtolea Mungu wetu tunastaw,alah(pepo)atambarik nani?ndo mana kutwa utawakuta wamejazana kwa waganga na wasomanyota
@mariamwazir1125
5 жыл бұрын
Safi
@captenndunga9385
5 жыл бұрын
Bernad wee ni kafir hilo linajulikana
@dallaxngaona1345
5 жыл бұрын
Nani kakwambia shoga wewe
@dullyvidully7798
5 жыл бұрын
Hana shida na michango yenu makafiri wakubwa
@captenndunga9385
5 жыл бұрын
Ukristo ndo ufreemason wenyewe wanatufumbafumba tuu lakini ukweli ndo huo.. kama unabisha bisha kwa mapungufu yako...
@stevensosipita2851
2 жыл бұрын
Wee nawe umepotea kama huyo mwaipopo.poleni sana hamjui mlitendalo.
@khadijaalrawahy8069
5 жыл бұрын
mwaipopo mwenyez mungu atakulipa Akher inshallah
@brucemandara2708
5 жыл бұрын
Huwezi kumbadilisha mtu imani aliyo nayo kwa kuisema imani yake vibaya, tuendelee kuombea taifa letu AMANI, hawa si waislamu wa dini in\wezekana wameahidiwa kuboreshewa maisha na familia zao, wengine wanashangilia tu, bandera hufuata upepo mtazolewa na wapigaji wa fedha.kama umezaliwa ndani ya uislamu TULIA na kama umezaliwa ndani ya pia TULIA kama ulivyojikuta umezaliwa mwanaume au mwanamke, sote tumejikuta kwenye tawala za kiarabu au za wazungu watanzania tuache hizo tunahitaji kuishi.
@stevensosipita2851
2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu halipi mtu kwa kumuombea analipwa kwa matendo yake mema ila kwahuyo MWAIPOPO ni moto wa JEHANNAM
@stevensosipita2851
2 жыл бұрын
KWANZA HUYO MWAIPOPO LAANA YA MUNGU INAMTAFUNA WALA HAYUKO SAWA KAWEHUKA HANA JIPYA KILA SIKU UCHOCHEZI SIKUPENDAGI HATARI
@harrisonodiwa7248
2 жыл бұрын
Huyu Mwaipopo angelainishwa vizuri na Mwalimu Ndacha wa Kenya huyu kwanza ni wale wainjilisti wa jumapili wenye udanganyifu wa ishara za uwongo hana kitu huyu.
@medinacheronohildah7933
2 жыл бұрын
Ndacha huonyeshwa vumbi na Yusuf wambugu ad anaanza matusi
@polinikimondo9382
5 жыл бұрын
Huyu ni Muhuni kama wahuni wengine Mungu atamuhukum kwa wakati wake bahati mbaya yeye ataki na amewazuia wengine wasimjue Mungu
@banjatvofficial186
5 жыл бұрын
Miungu wa 3?
@hashimlali910
5 жыл бұрын
polini Kimondo jumando
@hoziaissai3768
2 жыл бұрын
muangalien mazinge had kofia Hana maj shingon ukweli wamzinge anatafuta ushabik nakwenda uislam had moyo wake umekuwa mgumu had kanzu kasahau ngoja ufundishwe kulogwa Sasa
@mkuuali9469
2 жыл бұрын
Mungu yuwasamehee hukimuomba msamahaa nahutubu
@alexandernyambo7739
Жыл бұрын
YESU ALIYE BWANA NA MUNGU MWENYE NGUVU HAFANYI KAZI KWA HILA BHANA... MIMI NI MCHUNGAJI TANGU MWAKA 1989 SIJAWAHI KUIONA MIPANGO KAMA HIYO IKIPANGWA NA KIONGOZI YEYOTE WA KIKRISTO... 😂😂😂HUO NI UONGO LIVE KABISA😂😂😂 MWAIPOPO ACHA UONGO WEWEEE HAKUNA INJILI YA YESU KWA HILA HIZO
@sudeysswai2862
7 жыл бұрын
kuliko uwe mkristo bora uwe fremason kwamana Wote motoni bora fremason utapiga pesa ila ukristo utakuwa unapigwa pesa msingi wa kweli nikuwa mwislam ustasalimika na moto wakiama
@marcelinenakafu7039
6 жыл бұрын
ukiona mtu akiacha ukristo na kwadaku waslam mkristo awesitusitika kwasababu yesu alisema sikuzamwisho kutakuwa mambokamaayo watu watajitenga na imaniyao mwaipopo iyoantiko hakuiyona?
@estherwamboi7683
Жыл бұрын
Haki kwa kweli wewe hukuwa Christian bali wewe ni Muslim tuu tokea kitambo maana hata kuongea kwako nakupinga sana maana hakuna mkiristo anae tangaza injili kwa hongo dunia yote hii sjai sikia mtu muongo katika maisha yangu kama huyu mwaipopo
@rizikiali8173
5 жыл бұрын
yakupendeza daima
@amadeuskimey5521
5 жыл бұрын
tafuta katika KZitem ......andikaa iviii....upi mungu wakweli Nakuru ndipo utapata habari za yesu love
@shabamuhidin634
2 жыл бұрын
nimeamngalia hakuna lolote,siku izi watu tunatumia akili ww,huezi kutupelka kama bendera,maandiko tunayosoma hatusikizi maoni ya wachungaji wewe,fungua macho
@josephmusagasa5566
2 жыл бұрын
Kumbe wewe ulikaririshwa kuwa ukristo si dini ya kweli na kwamba Yesu si Mungu na kumbe hukutumia akili zako na wala haukuwa ufunuo kutoka kwa Roho mtakatifu? Pole yako
@hadjimnimbo9348
2 жыл бұрын
Duh kwhyo ww unae roho mtakatifu kuliko yy sio akaw had alifundixha kazunguka maeneo meng wat tofaut aelewa kuliko ww unajjitia kutoelew we kam hutak bak na din yako
Пікірлер: 553