Hongera Mh. Waziri kivuli utumishi na maadili wa ACT wazalendo zanzibar
@AbassAly-w2j
2 сағат бұрын
Viongozi wa ACT WAZALENDO Allah awape subra ili kuleta umoja zanzibar
@SuolFat
3 сағат бұрын
Znz kuna siasa za chuki na ubaguzi mno
@harithmohd6318
2 сағат бұрын
Asalam alayk polen sana walimu ila ndg msomaji usiseme shule sema skuli maan zanzibar ndio kisemo chetu shule tuwaachie tanganyika uko hapo ndio mujue kuwa ccm ni chama cha kiharamu zanzibar kwnza
@RamadhaniMussa-xs5uk
2 сағат бұрын
Ukiona wanatenda hayo wameishiwa
@ahmedalbalooshi8518
Сағат бұрын
Sikilizeni vizuri hao walioathirika.Wote wanatokea mkoa wa Kaskazini.Kuna msemo kuwa ziko mbinu za kuwagawa wananchi wa Pemba baina ya Kusini na Kaskazini kwa sababu za KISIASA.Utaona harakati za kimaendeleo sana zinaelekezwa Kusini kuliko Kasakazini.
@TahirAli-i9o
Сағат бұрын
Hawa ccm sisi wapizani wanatuona kama watoto wa kambo kwenye nchii hatuna haki wafanye wao tu
@TahirAli-i9o
Сағат бұрын
Jamani hawa ccm wakoje wanata watu wote wawe ccm hii haipo na wala haitokuwepo
Пікірлер: 12