Adam, uko na busara sana, na uelewa mpana sana, interview yako ni somo kubwa sana. Mungu akubariki
@rockyvlogs2214
4 жыл бұрын
I never new we had this Champ until today, I was among people who misunderstood Marehem ruge baada ya kupata tu mfano hapo nimeelewa asee Thanks buddy for gifting us this dude here #legend #Bigmind and Big heart
@bbaccabb9445
4 жыл бұрын
Nimekubali bro mwelewe kujua mapungufu yako na ujuwe ya mwenzie kisha mnasemehana,nzuri sana hiyo kisha yai kinyamwezi
@isshaclassic195
4 жыл бұрын
Nimekuelewa sana ADAM JUMA (AJ) big up sana kwako..
@ARUSHA_NAILS
4 жыл бұрын
Nimejikuta tu nikonasikiliza nasikiliza eeeh nakuja kushituka Kumbe sielewi kitu duuh jamaa katukomeshaaa😂😂😂
@kdloon2030
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@fedamalela4299
4 жыл бұрын
Katika watayalishaji video ninaowaelewa uyu jamaa asante sana kwa kujua kujieleza big up sana kaka
@latriciah01augustino67
4 жыл бұрын
Yai lingi sana leo😃😃Sie wa st kayumba sijui tutaambia nini watu leo😃😃😃 mzee baba anatema yai si kitoto
@abbyjma7355
4 жыл бұрын
Huyu jamaa namwelewa sana yan sana anakitu kikubwa sanaaaa
@Bensonfrank25
4 жыл бұрын
I'm pretty sure that Adam Juma is the only video director who can speak proper English in Tanzania.
@beatsbywesternshaa1023
4 жыл бұрын
Tru
@hamicnacho7894
4 жыл бұрын
Kweli hiyo
@wemakalamu3538
4 жыл бұрын
Facts indeed
@TamuzaKale
Жыл бұрын
Lucas Swahili, Ivan, Niclass na wengine wengi tu wanajua Kiingereza vema kabisa. NISHER ndio balaa!
@yudatadeshayo4434
4 жыл бұрын
Aise jamaa anatema yai la grade A,leo nimeona umuhimu wa lile school bus lilikuwa lina ni pick
Mmmm leo wazaramo tutakoma maana iyo ngeli mpaka nasinzia 😄😄😄😄
@marinamooh4055
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣umejuwa kunichekesha
@Nderemi786
4 жыл бұрын
Tuache sie😂😂😂😂😂😂
@sureiyamussa3865
4 жыл бұрын
Nakwambia nya mtumbo anatukomoa uyo hatar
@almasially6509
4 жыл бұрын
Kuhusu #MOND inaanzia dakika ya 17....!
@fundiallyboxtz5274
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂...daaaaahh
@binsururu
4 жыл бұрын
Dah yan ww km mchaw😂🤣😂🤣
@bakamuubakamuu1556
4 жыл бұрын
Interview ya kitanzania lkn kiingereza kingi wangine atusoma tumeishia darasa la pili
@kdloon2030
4 жыл бұрын
😂😂😂
@raismtarajiwa
4 жыл бұрын
Grown up talk. Kudos mate
@kijanahodari2080
4 жыл бұрын
Watanzania poleni kw kupitwa na uingereza hiyo ndio sababu Dai na kiba wameamua kutafuta mbegu Kenya ili watoto wao wateme mayai grade A sababu wakenya wengi hawaezi kubali watoto wao wasome bongo,that's my perspective
@constantineclement8990
4 жыл бұрын
Kijana Hodari Hao watoto unaosema wa mayai gredi A inawezekana wasiwe ama wasifanikiwe kama baba zao ! Kingine asilimia kubwa ya watanzania wanasikia kingereza ila hawakitumii katika mawasiliano ya kila siku
@hajjiomary2383
2 жыл бұрын
Kuna watt wakibongo wanatema na awajaenda kokote
@beatsbywesternshaa1023
4 жыл бұрын
Adam juma is an international product
@aminaabdallah3644
4 жыл бұрын
A J smart guy 😘😘
@mrisho_hassan_
4 жыл бұрын
LEGENDARY!!!
@avimuhammad7584
3 жыл бұрын
I realize it's quite off topic but do anybody know a good site to stream new tv shows online ?
@francismsami2169
4 жыл бұрын
Sky leo umewezwa maswali machache adam anaongea Sanaa😆😆
@oyay2821
3 жыл бұрын
Huyu ana undugu na Prof Assad former CAG?
@gtunewaves2867
4 жыл бұрын
daah aseee appreciate sana
@salumshakespeare
4 жыл бұрын
U talk good!!! It's 🔥🔥🔥
@yusufmohamed8874
3 жыл бұрын
Baadhi ya watanzania walioko huko nyumbani wana madoido kweli kweli... Lol!... Sisi wenyewe tupo nje ila kiswahili ni kipao mbele chetu.... Mpaka nachukia kiingereza pamoja nakiongea vizuri kushinda AJ.
@sharifavitoga6690
3 жыл бұрын
Hujui hata background yake ndio mana waongea tu🤣🤣🤣
@robinkalimwenjuma1658
4 жыл бұрын
GENIUS
@MsDarkrabbit
4 жыл бұрын
Nasikiliza huku nimeshika dikshonari ila patupu
@findinglela
4 жыл бұрын
Polepole. Itaingia tu
@faridmayanja3608
4 жыл бұрын
thats ma boy,adam juma.
@kdloon2030
4 жыл бұрын
😂😂😂
@susanruo8087
4 жыл бұрын
Watanzania wazarendo kama vile wanapotezwa potezwa 😂😂😂
@josephswai2374
2 жыл бұрын
Tulie kiswahili achana na story kamj T I D
@swalehmohammed2763
4 жыл бұрын
Daah huyu mmarekani ananifurahisha saaana
@petroprenge8716
4 жыл бұрын
Legend
@rockyvlogs2214
4 жыл бұрын
Too educative
@allylibaku5233
4 жыл бұрын
Yes
@muniraahmed624
4 жыл бұрын
Influence🌹
@shareefkamtande4692
4 жыл бұрын
Munira Ahmed hivi hauchokagi kukomenti?
@allahisone6386
4 жыл бұрын
@shareef muelew ndo choice yake
@jeshiichazz9915
3 жыл бұрын
Jamaa anazingua na kingeleza chake uchwala
@TheAlesry
4 жыл бұрын
Bro Sky mlete darrasa kwenye hiki kipindi
@kdloon2030
4 жыл бұрын
Nahisi AJ,anaongea kama mimi nitapokua mkubwa
@haulejohn2661
4 жыл бұрын
You bro program gani unatumia kuandaa video graphics za intro ya video??
@breezy9398
4 жыл бұрын
8:12 taa zmewashwa
@joefredrick3110
4 жыл бұрын
Really!!!...ndo hicho tu umeona!?..
@joefredrick3110
4 жыл бұрын
Be positive bro
@breezy9398
4 жыл бұрын
Kufa bac
@jumasosho9963
4 жыл бұрын
Hahahah unazingatia balaaaaa
@iddhassan8835
4 жыл бұрын
Nikama nilimuona kene movie ya #BONGOHOODZPICHAZ AMA NAMFANANISHA
@godluckyeugen4191
4 жыл бұрын
Idd Hassan ndoto za kitaa
@ibrahimaziz7158
4 жыл бұрын
Ongea kiswahili ww tumbo subiri wakuhoji bbc international ndio uongeer utumbo
@jeshiichazz9915
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@myself4128
4 жыл бұрын
Sasa interview za kiswanglish😂😂😂😂😂 Tushakuwa kama wakenya sasa,si uongee tu lugha moja tujue moja???
@jacksonnkallah6482
4 жыл бұрын
🐐
@abdulkatunzi181
4 жыл бұрын
Hatar
@asinathasinath5090
4 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏
@Mzayanine
4 жыл бұрын
Nimehesabu kaongea and mia nane
@hamicnacho7894
4 жыл бұрын
Vichwa viwili vimekutana leo
@raymondvibes86
4 жыл бұрын
Yooh ifeel this guy😂
@silverman6930
4 жыл бұрын
Ongea swahili ... 🇬🇧🇬🇧🇬🇧😂😂😂
@steveouko7537
4 жыл бұрын
Kwani ni waswahili tuu wanafaa kusikiza hii interview
@silverman6930
4 жыл бұрын
Steve Ouko I’m speaking on majority you idiot
@ahmedkhalid1210
4 жыл бұрын
Hyo ni mtoto wa Profesa bwana hakuna cha ajabu hapo familia bora hizo.
@bbaccabb9445
4 жыл бұрын
Ahmed Khalid hahahah,na siyo bora familia
@selemanimkupe1225
4 жыл бұрын
Professa Juma wa chuo kikuuu cha Musilm University of Morogoro
@malaikaangel1968
4 жыл бұрын
ananikumbushia madevu wa cheka tu alisha wai kusema kuhusu kuchapa mayai
@usanifumaandishi7519
4 жыл бұрын
Dah sijaambulia kitu, najilaumu mwenyewe lakini kukimbia umande
Пікірлер: 88