Uchungu jaman natakiwa nishughulike nao ulizidi nilipofiwa ghafla na mdogo wangu fikra ikinijia popote mchozi unanishuka iwekwenyedaladala iwe njian iwekazni imenipelekea kuamin kwamba nikwanini tuhangaike na vitu viingi wakati dunian tunapita tu.
@bahatidanken9181
5 жыл бұрын
ivi nitapataje kitabu jmn
@phanuelpaul3785
5 жыл бұрын
Hisia kimsingi ndio inakusukuma au inayomsukuma mtu kufanya jambo la aina yoyote ile haijalishi zuri au baya kiufupi mie nataka kushughulia eneo la uchungu na hasira hasa uchungu hii ni hisia inayonitesa sana bro most of the time, #SeeYouAtTheTopToo
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Pole sana kwa kuondokewa na mdogo wako,zawadi kubwa unayoweza kumpa ni kupambana na maisha na kutimiza ndoto zako.See You At the Top
@joelnanauka
5 жыл бұрын
wasiliana na 0756094875 utakipata
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Poole na hongera kwa kujigundua ni wakati wa kufanyia kazi sasa.
@ndaskoimushi5518
5 жыл бұрын
Habari ndugu ni kweli ninasumbuliwa sana na hasira hasa kazini kutokana na asili ya watu ninaofanya nao kazi mimi ni mtu mweusi nafanya kazi na waasia hivyo kila kitu kibaya mimi ndiyo Dumpo kiasi ambacho nimejikuta kuwa mhanga na hisia ya tano kwamba kila watachojadili tukiwa kazini huwa nahisi wananiongea mimi kitu ambacho kinaniletea tatizo la kuwa na hasira sana naomba msaada wako
@subiraomar4771
5 жыл бұрын
Nauchungu sana na kuona ndugu zangu wanaishi maisha ya taabu wakat baba yangu aliacha mali wanafaidika watu wengine
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Pole sana Subira,ninaamini kama hautakata tamaa nawe utafanikiwa kwa kiwango cha juu pia siku moja
@jumamohamed7588
5 жыл бұрын
Good nimeanza kufatilia video zako nimegundua unagusa sana maisha yetu ya kila siku hongera kwa kutoa ulichonacho kutunufaisha
@azizamajuto928
2 жыл бұрын
Hisia Mbaya Zinaumiza Sana Napia Naitaji Kuondokana Nazo Kabisa Naomba Ushauri ,Zaidi
@khadijajuma7142
5 жыл бұрын
Daaahh Uchungu nahusika nao aisee!!!! Kila nikitaka kusahau inabidi nisijikumbushe mda mrefu ila siku zikijirudi yananivuruga mood yangu siku nzima aisee Daahh!!!!! Mungu nisaidie
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Pole sana Khadija,usikubali watu wengine watawale hisia zako,weka nguvu zako kutimiza malengo yako
@khadijajuma7142
5 жыл бұрын
@@joelnanauka Sawa kaka Ahsante,napambana nayo niendelee na malengo yangu
@lenardkabart9253
2 жыл бұрын
Kaka joel Nakushukulu Sana Kwa kuzidi kutuelimisha mungu azidi kukuongezea ufanisi Wa haya masomo Unayo tupatia Mungu akuzidishie uwezo na nguvu zaid Kwa kutuletea masomo mazur Ya kutuelimisha zaidi.. Kwenye somo hili. Mimi nimekumbwa Na point yako ya mwisho Ukwel inanitesa sana
@marywilliam2572
5 жыл бұрын
Mimi nasumbuliwa na uchungu wa mda mrefu pia Nina hasira sana yaani vitu hivi napata navyo shida sana kuna watu naona kama nimewasamehe lakini bado nimejitahidi nimeshindwa...... naomba nisaidie kaka yangu maana nimeshindwa hata kutimiza ndoto zangu naona maisha yangu yameharibika sana
@jenifaaloyce6910
5 жыл бұрын
Nakushukuru maana kilasiku umekuwa mkombozi wangu Mimi niliguswa sana na no1/2015 nilitulimiwa kilakitu nilichokuwanacho nikaanza maisha moja Mimi nawatoto lakini leoo tunafanana naaliye tudhulumu sioni tofauti
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Hongera sana kwa kupambana na kujikwamua,nakuombea mafanikio Zaidi katika maisha yako.See You At The Top
@edrickniwamanya439
5 жыл бұрын
Ahsante sana brother mm ninayo hisia ya kuhisi nakataliwa sipendwi alafu mara nyingi watu wanao nizunguka nikiwambia bwana mm naweza wanajibu ww bado ujui kitu
@ginajoel2959
Жыл бұрын
Amen,mimi uchungu yani nafika mahali najipiga mwili wangu na kulia uchungu uondoke,namba3 kuhisi sistahili na namba4.naomba unisaidie nimechoka na izi hali
@amoskona4677
5 жыл бұрын
Asante sana umeniongezea ujuzi kias flani kutokana na uelewa wangu hapa mimi nna tatizo lililosababisha Mimi nimeshindwa kuendelea kufait mambo yangu ila sijakata tamaa japo nimezidi kukutana namaneno yawatu wakukatisha tamaa sana moja ya watu hao akiwemo mtu mhim sana kwangu nikimaanisha baba yangu,lakini sijakata tamaa naujumbe wako umenigusa vilivyo kwaiyo nimependa elimu yako nimeiamin na nitahakikisha naitendea haki. Kwa jina naitwa:#amos juma"kutoka Arusha sombetin,tuko pamoja brother 👊
@mohdmoo9682
3 жыл бұрын
Dah nipo zanzibar nimepata tatizo kubwa Sana nipo katika hatua ya uchungu sana
@msengisimoni2087
5 жыл бұрын
hasira ni hisia iliyonitesa sana ila kwasasa Niko tofauti sina hasira tena
@KhamisMbaruk
10 күн бұрын
Thank too for this my brother God bless to yu (wonderful 🙏)
@fatumaahmmed6929
5 жыл бұрын
Shukurni sana allah akuzidishie uzidi kutu fundisha tusio yajua
@revocatusnyerenga2901
4 жыл бұрын
Una kipawa mungu kakiweka ndani yako una tu faidisha wengi
@jumamohamed7588
5 жыл бұрын
Pamoja unagusa maisha yetu ya kila siku usichoke tupo pamoja na wew
@hasijoh4805
3 жыл бұрын
Mungu akubaariki bro tangu nimeanza kukufatilia nimeona mwanga katika maisha yangu mwenyezi mungu akuongezee maarifa uzidi kuwaokoa wengine brother
@matollamuchacho648
5 жыл бұрын
MKOJANI wa pemba zanzibar .... Mwalimu mimi hizozote nnazo aina 5 ... Nashkuru sanaaaa kwaelimu yako ... Nimepata faida kutoka kwenye ilosomo ... Mungu akuweke miaka 100 / akupenguvu akili na afya njema uendelee na majukumu yako na elimu hii iendelee ....
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Nashukuru sana Matolla,tuendelee kujifunza Zaidi.Nakutakia mafanikio makubwa zaidi
@queenhenry890
5 жыл бұрын
kwa upande wangu hasira na kuhisi sistahili natakiwa kushughulika naza asante kwa ushauri
@sabatomjungu9727
5 жыл бұрын
Hapo kwenye hasira Ni pakushughulika Napo kabsa , Barikiwa zaidi mtumishi wa Mungu
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Amina sabato nashukuru sana
@rukiasalim2512
4 жыл бұрын
Ktk maisha yangu hujawahi hata sikimoja kuacha kunitia moyo kila ninapo sikiliza mafundisho yako god bless you my brother Mungu akutunze
@babalois7240
5 жыл бұрын
Thankx Sir #Nanauka.. ``Hakuna Tatizo lisilo na solution''
@azizamajuto928
2 жыл бұрын
Hisia Mbaya Zinaumiza Sana Asante Kaka Ubarikiwe Sana Uwenda Nikaweza Kushinda Hisia Hizi Mbaya
@sheillachisika2600
5 жыл бұрын
Barikiwa we kaka darasa lako Nila maana Sana kwa maisha yangu inanitoa hatua hadi nyingine
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Nafurahi kusikia hivyo
@mbwanaomary7537
5 жыл бұрын
Ahsante Broo Joel umekua chakula mioyo yetu kila siku Allah akujalie
@najmachami547
5 жыл бұрын
Asante kaka kwakunijenga leo inabid nishuhulike na uchungu pamoja na hasira
@arobogastmashamba8957
5 жыл бұрын
Asanteh sana bro kiukwel hasira na uchungu vilinipelekea kukosa kazi na ata mdada nliempenda....kwa hisia izi basi napaswa kubadilika na kushughulikanazo ili niweh wa thamani na hakika mimi ni wa thamani #JoelArthurNanauka #seeYouAtTheTop #GastWearShop #GWS
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Kabisa,anza kushughulikia leo
@jamesrichard4543
5 жыл бұрын
Nimeamka kwenye usingizi niliokuwa nimelala, asante mwalim wangu kwa kuniamsha. You will see me at the top.
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Pamoja sana James
@hafidhsaid9301
5 жыл бұрын
Umenibadilisha maisha yng brother mm nakufatilia Sana
@spodomwema9046
5 жыл бұрын
Thanks sana kaka Joel , me Naona kamavile mudamwingine hyo hisia ya Tano Nakuaga nayo
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Ukishagundua anza kuishughulikia mapema kabisa
@aminaally2029
5 жыл бұрын
Ahsante sana Mwenyezi Mungu akubariki Mie Hasira kwakweli inabidi nishughulike nayo
@godriancalisti8972
5 жыл бұрын
Be blessed brother
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Amen Amina,nashukuru kwa Baraka na nafurahi kuona kuwa umejigundua.Ni wakati wa kuanza kufanyia kazi sasa.
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Ameen
@mussasaimon2012
5 жыл бұрын
Nashukuru kaka .Mimi Jana tu nimetoka kufanya maamuzi ya asira
@hafidhsaid9301
5 жыл бұрын
😀 brother Joel unanifrahisha Sana wallah Allah akubarik kw kaz yko nzuri
@pendonyoni5364
5 жыл бұрын
Asante kaka uchungu na hasira vinanila sana
@edsonlaurencemwagamasasi9074
5 жыл бұрын
Nashukuru Sana Kaka Joel... Salamu zimefika... Mungu azidi kukusimamiaaaaaa
@buhomarutta230
3 жыл бұрын
Nakushukulu Sana doctor zote ninazo
@faustaraymond3303
5 жыл бұрын
Daaa!kweli kaka Joel yn hiyo namba 1na3 hasa ya tatu inaniathiri kiakili kbs
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Pole sana Fausta,ni muhimu uanze kuishughulikia mapema bila kuchelewa
@faustaraymond3303
5 жыл бұрын
@@joelnanauka asante sana kaka
@mwambauliohai5043
5 жыл бұрын
ahsante sana kwa kuniponya moyo wangu.
@douglasradley6698
5 жыл бұрын
kaka joel nanauka mimi tatizo ninayo ni hiyo ya 1 na 3 na 4 kwa sababu mimi nimekosa mama nikiwa na myaka 13 kutokana na hali ya maisha nimepitiya ndani inanionesha kama kufanikiwa kwangu ni vigumu ivyo basi naomba unisaidiye jinsi ya kufikia kwenye mafanikio yangu tena na nimewahii pata pesa nyingi ila nikazitumia vibaya najilaumu sana ivyo naitajii musaada kutoka kwenye ushauri wako
@watumnjangu8312
5 жыл бұрын
Please my friend I I always feel touched by all your points and I think I must get out of what I under go if I still follow and I must follow it. I appreciate please. With today number one has touched me mostly. May God bless you for work done.
@rahemahrahemah2719
5 жыл бұрын
Shukran Kaka Joel Allah akulinde cku zote uzidi kutuelewesha
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Nashukuru sana Rehemah
@rahemahrahemah2719
5 жыл бұрын
@@joelnanauka tuko p1 teacher wangu shukran
@johnluhwa8342
5 жыл бұрын
Asante kakaaa tunazidii kujifunzaa
@epifaniasawaki3315
5 жыл бұрын
Asante bro mm hasira dah ila kupitia hii video nitajizuia kbsaaa
ahsante saaana ubarikiwe, kwa upande wa hasira umeni jenga mno
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Pole sana naamini utaanza kuzighulikia
@ginajoel2959
Жыл бұрын
Jamani mimi machozi yanitoka tu,umeyagusa maisha ,namba 1,3 na 4 napitia
@isacklissu847
5 жыл бұрын
hasira kaka ,thankc kwa shule tamuu
@msleny6767
5 жыл бұрын
Wow!! Haya ni mambo husika sana na umenisaidia sana kuelewa umuhimu wa hisia zangu na madhara inacho ni sababishia katika maisha. Na hisia ninacho kiacha leo ni Uchungu Asante Joel kwa funzo haya👍👍 Read more friends (*AS THE MAN THINKETH*) BY JAMES ALLAN
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Pole kwa kukabiliana na uchungu na naamni kuanzia leo utaanza kushughulikia ili uwe huru moyoni mwako
@msleny6767
5 жыл бұрын
@@joelnanauka Asante sana Joel, najiamini na naamini nitaepukana na haya ili hali ya moyo wangu uwe huru. Huu funzo umenisaidia sana Thanks once again. Am greately humbled
@aishajuma712
5 жыл бұрын
Uchungu mim ninao kuna watu walinisema vibaya tangu mwaka 2011 tupo form for mpaka Leo nikiwaona au nikiwakumbuka tu nawachukia sana itabid nijitahid kuiondoa hii hali maana inafikia mpaka mda mwingine naongea pekeangu
@azizamajuto928
2 жыл бұрын
Hisia Hizo Mbaya Zimepeleka Kushindwa Mm Kujiamini Hadi Nikiwa Sawa Baadae Itokea Ktk Hali Ile Hali Ya Kujishangaa Leo Nimeshinda Bila Kkumia Au Maumivu Bas Kosa Linaanza Apo Mwisho Ndio Naumia San
@jonasbonne9372
4 жыл бұрын
Thanks very well teacher Joel continue 🌹
@mwajumamwishehe3423
5 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa somo mungu azidi kukupa afya njema uzidi kutuerimisha
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Ameen,nashukuru sana
@fatmamwiru7574
5 жыл бұрын
Hasira na Hisia ya uchungu hivi vtu vinanitesa sanaa lazma niviweke kwenye maombi kaka Nanauka.
@saidomari5909
5 жыл бұрын
Kweli kabsa Joel mm pia hasira sana jee nitafanyajee plz nijulishe ndugu yangu
@joseefaidabutu6467
5 жыл бұрын
Asante sana,mimi lazima nijshugulisshe na hasira na kuwazia
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Safi sanaa
@zhnnnsafisanamweshimiawata1312
5 жыл бұрын
shukrani kaka kwakutunoa ubongo
@edsonlaurencemwagamasasi9074
5 жыл бұрын
Darasa zuri Sana Kaka... jumatatu njema....na Ubarikiwe Sana...salamu from faculty of law Tumaini University Makumira# see you at the top
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Ahsante sana Edson,salamu kwa wadau wote walioko hapo makumira
@abuuharuna4278
5 жыл бұрын
yani Mimi ni muathilika wa vyote ulivyovizungumzia asante sana Joel nanauka
@alonto8159
5 жыл бұрын
asante sana kwa elimu yako nzuri kaka.God bless you.
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Ameen,nashukuru sana
@irakozemaissarah4325
5 жыл бұрын
ubarikiwe sana kaka tunazidi kujifunza
@heriethkambanyuma6835
5 жыл бұрын
ahxanteee San brother
@veronicajohn3510
3 жыл бұрын
Waoooooo this is very nice lesson
@abuuharuna4278
5 жыл бұрын
endelea kutufundisha na kutuhamasisha mungu atakuzidishia kwa unachokifanya
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Ameen nashukuru sanana
@abuuharuna4278
5 жыл бұрын
sawA
@leinalukosi2852
5 жыл бұрын
Hisia ya 1 na ya 2, Nashukuru kwa Somo zuri
@salwasalim5073
4 жыл бұрын
Nataka usaidizi naomba nifanyejee.mm napata pesa kila wiki mm ni muathirika kwa magic victim.family yko hawana kazi lkn wajijenga mm hawanitaki wanidharau plz nisaidieni nadharauliwa sana naumia sana
@malotakinana
5 жыл бұрын
i lyk bro. much respect 2 ya
@barikitvshow
5 жыл бұрын
Somo zuri xana thanks
@neemalino4220
5 жыл бұрын
Kweli kaka hisia yangu kubwa nakuwaga na hasira sana pale tu ninapo kutana na makwazo kazini
@frankforex2302
5 жыл бұрын
Ni mambo mengi sana binadamu angeweza kutimiza na kufanikiwa sana kama angeweza ku control hisia zake jambo ambalo alizuiliki ni kuepuka hali kuwa na hisia mimi binafsi naamini time always hill when it comes to emotion
@mwanamkasihabibu9915
5 жыл бұрын
kwel kabisa mm uchungu na hasira vnanikabil
@fadhildali3591
5 жыл бұрын
kwa asilimia 90 umenigusa saana ila nakuhaidi kaka kwaanzia Leo nabadirika! asante sana kaka
@rhinakiza
4 жыл бұрын
Wow this is great lesson❤
@misskwileka1956
5 жыл бұрын
Kaka hivi vitu ni kweli kabisa... Hasira na uchungu inabidi nivishughulikie
@faithkariri3213
5 жыл бұрын
Asante. Mafunzo mema.
@mosileselestine9169
5 жыл бұрын
nadhani hususani ya bitterness(uchungu) ambapo nakuwa dhaifu sana moyoni na madhara kuja hadi akilini kutokana na hisia hii
@worshipertv9968
5 жыл бұрын
Kaka mi nakushukuru sana kwa kunielimisha daima nitafata mafundisho yako ili niwemshindi
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Safi sana Elias,kila la kheri,nakutakia mafanikio Zaidi.
@shemsahafidh3234
5 жыл бұрын
Asante sanaaa
@hilarygodfrey5862
5 жыл бұрын
Nashukuru sana kaka
@hamislizaa1746
5 жыл бұрын
Hisia yakuona sisitahili ilinpelekea kufel mtihan wa kidato cha4 mwaka juzi ambapo hali yakimaisha ya nyumbn ilikuwa mbaya sana ikanpelekea kuwa nafukuzwa darasn kwakukosa schoolfees mwisho nikaja nikakubali kwamba sisitahil kusoma lakn japo nlipata div4 ya 28
@juliuskanyomoza8848
5 жыл бұрын
Thanks Joel for good lesson
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Karibu sana Julius,pamoja.Nashukuru sana kuendelea kujifunza kila siku.
@eliezermtokoma2057
5 жыл бұрын
asante kaka nimeelewa
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Pamoja sana,barikiwa
@joycelaizer4600
4 жыл бұрын
Joel asante Sana
@ukhtyhalimasubscribedismai6497
5 жыл бұрын
Nimeelewa hapo brother Allah bless you🙏
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Nashukuru kwa kuwa mufuatiliaji mzuri wa masomo
@ukhtyhalimasubscribedismai6497
5 жыл бұрын
Together brother thanks
@stellamzelu3338
4 жыл бұрын
Asante sana mwalimu
@elibarikibayo4047
5 жыл бұрын
Endelea kutufunza mzee babaaa mm Mwalimu lakini Kwako ni student tenaa
@dsquareakilimali7965
5 жыл бұрын
Hi ya 5 kwakweli ni moja ya hisia ziliyo niumiza 2016 saan
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Pole sana,naamini utaanza kuifanyia kazi kuanzia leo.
@jescamakyao9465
5 жыл бұрын
Mimi hizo hisia zote ulizotaja zimenilemea Sana na ngoja tu kifo kinichukue maana sina lolote chini ya jua.
@saidguyana8400
5 жыл бұрын
We jesca mbona umekata tamaa hivyo
@kassimkhamis9914
5 жыл бұрын
asnt san broo kikubw zaid ni pal ninaofikia had kukat tamaa dhid ya changamot za maish bt soon nakuta napat moyo pale nitazamap vedio zak God bless u professor Joel see u at the top but mr nina ombi kidogo tunahitaj historia yak if possible
@queenbhatari5171
5 жыл бұрын
At the moment i feel pain, iz zea i ruin ma self totally, which results to huge consequences 😭😒its pain , muuch wen i realize i am not deal with pains rather zeia deal with me to bad condition like this!
@safiaabubakar1120
5 жыл бұрын
Nimeishi na uchungu kwa miaka 18 kwa ukatili niliwowahi fanyiwa mwishoni mwa mwaka jana nimeanza kupata nafuu
@sidikatoi7748
4 жыл бұрын
Nitautoaje uchungu kaka
@alinotimalebo203
5 жыл бұрын
You are an amazing person, and I’m so proud of what you do! I have been watching several videos of your talk. I wish I could share some of your talk with my professors and classmates, but they don’t speak Swahili! I would recommend making some videos in English in order to expend your inspiring words!
@جزجزشكطا
5 жыл бұрын
mie niliwahi achwa na ujauzito wa miezi 8 alf bila huduma yoyote hii na jitahid ni sahau ila kila mara nyingi inanijia
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Pole sana kwa hiyo changamoto,tafuta kitabu changu cha NGUVU YA MWANAMKE nimeleeza kwa undani nnamna ya kupona kutoka kwenye maumivu ya kihisia,kimewasidia wengi sana
@ibrahimmtulia6393
4 жыл бұрын
Mm kwangu naona hasisa ni changamoto
@tungaraza7794
5 жыл бұрын
Hisia ya kuhisi watu wananisema vibaya huwa imenikaa sana hupelekea hata nishindwe kujiamini
@joelnanauka
5 жыл бұрын
Pole ila kuanzia leo usikubali ikupelekeshe
@mujibushekioda2668
5 жыл бұрын
uko sahihi kaka
@jescamakyao9465
5 жыл бұрын
Asante kaka
@vailetmapunda106
5 жыл бұрын
Mm nina tatizo la kutojiamin kaka na uchungu pia asxnte naenda kulifanyia kaz soon.
Пікірлер: 201