Vraiment je suis très chaleureux d'avoir encore une nouvelle chanson de 20 Twenty pancenti shabani na imy s nyimboza wewe siyo musani wa kuropokaropa Ila nyimbo zako zinamalengo bro mwanaume ni wenye kujigamba courage mon pote je suis congolais
@ABDALLAHKASSIMKILOLA-yc6ds
Ай бұрын
Ndugu yangu wewe mm unanichanganya sana wewe ndio pekee katika muziki yaan furaha iko wapi daaaaa❤❤❤❤❤
@Philipo-vw5he
Жыл бұрын
kila kitu ni mipango ya mungu kwaiyo mungu akipenda inshaalla atamjalia tu atarudi tu kwenye heshima yake
@janjarama449
Ай бұрын
kzitem.info/news/bejne/0p6L0qp8op91qGk
@christinajames4197
3 жыл бұрын
........hakika unaishi mioyoni mwetu 20 paaa, you are verry unique 🤔
@busegamediatanzania
3 жыл бұрын
Kufanikiwa "Unahitaji tuu hasira"..... That's Bigg Thing from my brother 20%
@selfaakinyi2986
3 жыл бұрын
Wow, 20 percent we still remember you, come back to the game, much love from Kenya.
@barakastantonmwakyoma1003
2 жыл бұрын
20 percent mm bado nipo na ww nakukubali sana
@gloireirenge8035
3 жыл бұрын
Jamaa yangu 20 wewe ni bingwa sana tanzania nzima tuna kukubali la siyo kama haujuwe music wewe bado bamba il love you my brother ♥️😘😘😘😘✊✊✊✊
@ElizaGilbart
2 ай бұрын
20 bado music
@shukuranikibona5893
3 жыл бұрын
Mwenye Hekima na Heshima zake katika jamii!!! You're the best and brilliance and teacher in the societies!!!
@emanuelmsaki1372
2 жыл бұрын
Nakubali sana nyimbo zako rudi
@wallesmdoe9164
Жыл бұрын
Ptv naombeni saport yenu nawapenda sana muimbaj
@godfreysabay8037
3 жыл бұрын
God bless you Mr 20% coz Msadili ya sanaa ya kibongo inaanzarudishwa na weye,, you are welcome brother
@saramm7081
3 жыл бұрын
Mama neema kweli mzee wangu hadi leo anaangalia. Allah akuzidishie kaka
@halfaniland3850
3 жыл бұрын
Halafu nyie hamna akiri. Amzidishie ni sasa laan?
@masongaofficial
3 жыл бұрын
Black Angel kzitem.info/news/bejne/06iczmysbqqAhIY
@nabilsuleimanhaji2437
3 жыл бұрын
Allah hataki mziki
@guystiger2203
9 ай бұрын
I like this one ☝️
@aishasalum7936
3 жыл бұрын
Tuliyolizwaga na nyimbo ya mama. Neema tuujuuuwaanee😭😭💪
@esterwilla1951
3 жыл бұрын
Mimi
@praygodkimaro4552
3 жыл бұрын
Dah mm nilijuaga ilikuwa serious kumbe ilikuwa nyimbo tu dah iliniliza 😥
@diegocosta3638
3 жыл бұрын
Fanya kazi sana 20% ni brand kubwa kaka sura mpya miguu yazamani natamani aje afanye ngoma kali abambe kisawasawa
@edwardouma1630
3 жыл бұрын
20% nimashine bado tunamuhenzi Hadi leo anaelemisha jamii na kufundisha jamii sii kama wanao imbaimba matuai adi wanatitia kinyaa by Fosill mtanzania from Nairobi Kenya💪👊
@vincentsyahava7931
2 жыл бұрын
20% LE Musicien qui a touché nos cœurs ! Big up salut depuis Kinshasa Bro ! Mama Neema 🥰🥰
@AthumaniMussa-tx3gk
Жыл бұрын
O I
@JumaSaid-s9t
2 ай бұрын
😮
@edwardouma1630
3 жыл бұрын
20% twakuitaji rudi kwenye game mtuwangu tumemisi sana nyimbo zako za hekma na busara kwa jamii by Fosill mtz from Nairobi Kenya 💪👊
@kasulutv2534
3 жыл бұрын
💖💖bgerp bro penda sana kama unampenda 20% gonga like hapo
@jidsonmisonia7639
2 жыл бұрын
Twamupenda sana
@rehemadaudi4390
3 жыл бұрын
Kaka nampenda anaomba vizuri anaringa vizuri. Uko juuuuuuuiii mwaaa
@kintongeboy
Жыл бұрын
Jambo kaka mimi naisi Congo Lubumbashi sasa namutafuta twenty pacent
@kavunjaporiaimable5112
3 жыл бұрын
Ninahitaji kwenye interview ule Dada ambae amecheza na 20% kwenye igizo furaha iko wapi aliezaa neema alafu akafariki mke wa twenty ndani igizo furaha iko wapi. Nawakubali mno❤️❤️
@angelhashimu6401
3 жыл бұрын
Nikweli twenty wekiboko bado unajianimi sana ila umekwisha
@mosesngosi4138
Ай бұрын
Asili mile, %chache sana, sindano inashona Makoti, twenty paaaa, one love brother
@shadrickkatangwa8291
2 жыл бұрын
that song mama nema it's touch me a lots 20% keep it up
@faridamfinanga53
3 жыл бұрын
Tupo ambayo bado tunamkubali 20parcent so,pambana Kaka.
@ayoubkikoti6344
3 жыл бұрын
Kunasafari zingine kweli kaka hazihitaji nauli ni hasira yako tu inakufikisha safari,,,nimeikubali sana,
@nsuriitv2468
3 жыл бұрын
Tunakumbuka sana kazi zako kaka, Mama Neema
@masongaofficial
3 жыл бұрын
Black Angel kzitem.info/news/bejne/06iczmysbqqAhIY
@agneswily1942
3 жыл бұрын
💘❤
@filibetmpiluka3459
Жыл бұрын
@@ayoubkikoti6344 l
@veronicakamba4628
3 жыл бұрын
Me mwenyewe nakukubali sana rudi hezi zako
@DirectortristanKevin_POKOTTV
3 жыл бұрын
Kalii Sanaa mkuu I like the artist
@kissymkulu5245
3 жыл бұрын
Wewee ni Kioo cha jamii bhaana hauna nyimbo mbaya. Nyimbo zako hazichuji na hazitachuja big up.
@hidamustapher565
3 жыл бұрын
Sana mwamba
@bigmachineschannelkenya7408
3 жыл бұрын
This man is very wise he has motivated me in a unique way be bless
@ericbadesire9172
Жыл бұрын
🤝
@MwinyiSalim-d4j
8 ай бұрын
Chawa wenzangu yamanisha nn sielewi mimi
@iranyibuka8807
2 жыл бұрын
Na mimi pia sijawai kusahau you're still legend
@amirmwezemba6778
3 жыл бұрын
Mxhakaji na mkubali xna pili ana confidence ya kujibu Nice Brother 20p,
@jafarimachinga6575
3 жыл бұрын
Anachokixema 20% yupo sahihi aisee amaizing sana
@JosephPeter-z4c
4 ай бұрын
Hakubariki maunanane,maulana,mwenyezi mungu 20%,kipawa chako na nyimbo tamu.... money money nk
@akenomesh9244
Жыл бұрын
20% nikiwa mdogo sana, napenda ngoma zooote aliingia moyoni........ onelovefrom254
@mathayonyerera3144
3 жыл бұрын
Never forget you twenty per one love, NAFICHA NINAYOYAONA
@AlifaSuleiman
2 ай бұрын
Dah mwamba umenikumbusha chuma hicho❤
@oscarmgeradinukauangaze1130
3 жыл бұрын
Aiseeeee naona uko poa zaidi jitahidi2 mungu yuko na wewe tuko pamoja sana
@shukurulove5431
3 жыл бұрын
Parcent aaaah nakukubali sana akuna asiye mjuwa tz nzima
@aloycemadoshi2770
3 жыл бұрын
Mr 20% mm nakukubali sana kwa nyimbo zako zenye maadili ya hali ya juu sana God be blessed
@alghamsalim3952
3 жыл бұрын
Nakupenda sana 20 percent
@ZakharaJuma
2 ай бұрын
20% tunakusubiri bro sijakukatia Tamaa Allah akufanyie wepesi uje tena
@victoriamwaipopo3282
3 жыл бұрын
Hakuna msanii nnaempenda kama twenty jaman akitoka twenty kiba ao watu mm aise nawapenda sana sana
@MosesnaftarGidio
2 күн бұрын
Nakubali sana nyimbo zako Fanya mamb bwana
@jajakajaniri5813
2 жыл бұрын
Namupendasan tweti🇧🇮🇧🇮🙏🙏❤️❤️
@stevenlulangasy3554
3 жыл бұрын
Wewe ni msanii mwenye maono ya watanzania na nyimbo zako zimeenda moja kwa moja kwa watanzania na uliyoimba yapo kweli
@JaliwaAdamu-wy4zi
2 ай бұрын
Nakubali nyimbo. Na move yako unatoa nyingine lin
@martinmhendi1753
2 жыл бұрын
Mm i like 20 per kwa majibu yake mazuri hasa kwa waandishi wa habari maana wengi Huwa hawaulizi maswali naona kama wengi wambea na wachonganishi na 20 knows how to deal with them
@noahngogo4334
3 жыл бұрын
Cha kale ni dhahabu. Kwa mahojiano hayo wewe ni mwanamziki wa kuumbwa na Mungu. Tumekukumbuka mwalimu wetu.
@ndishamfaume461
Жыл бұрын
❤ nakupenda sn kk pambana
@Ulasi_Jr
3 жыл бұрын
Kweli kaka one love mm binafsi nyimbo zako bado naishi nazo ww ni 👉🔥🔥🔥
@theresiateddimboya1079
2 жыл бұрын
Mi mwenyewe nakukubali sana sina wakukufananisha
@Jimy7John
Ай бұрын
Uko vyema Man,Watu wanasema Bongo flavor,wakati vionjo vya mataifa mengine, Tanzania wanamziki ni wachache sana.
@norbertcplyian5138
3 жыл бұрын
Welcome back bro we miss you rudi ufukuze matusii kwel
@janviermumbere6822
2 жыл бұрын
Mimi ni mkongomani toka drc ninafurai sana vile 20 percent anavyo jibu. Ninapenda sana mziki wake
@rosettematenga635
3 жыл бұрын
Nikweli sisi mpaka leo nyimbo zakotunazirudilia mara yote.
@ab3ab313
3 жыл бұрын
20 🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️
@JadosiHafashimana-th5po
2 ай бұрын
Blo bigup sana
@jeanmariebisimwa7496
2 жыл бұрын
Kwl ile mshikaji wangu mimi ni jean marie bisimwa ciku apa Kinshasa tuko pamoja 5 zidi ya tano
@pilierfazilikamoti2966
2 жыл бұрын
Nakubali saana movie za Twenty
@GisèleSergeMotopamba-r1k
Жыл бұрын
20% mwalim mkubwa sanaa❤❤✌️
@abdallahjuma7516
3 жыл бұрын
Big up kaka 20 sana unajiamin mnoo huna papala lakin bado upo na ukiamua kurudi kwenye game ni maamuzi yako yaan maneno yako yananifurahisha sana
@GilbertmassaweMassawe
8 ай бұрын
Nakupenda sana broo nakukumbuka sana hasa song yako ya mam nema mungu akurunde
@BlessingsJosephMsofe
Ай бұрын
Bora hata umemjibu shoti kati maana wamezodi kuchunguza ya watu👍👍👍👍
@Raphaelkamulete
7 ай бұрын
Wa stani wazamani walipitiya mu maisha mbaya ndiyo alakini walianza imba bya Mana. Namupenda 20%
@petromaganga779
2 жыл бұрын
Karibu utazame kazi zangu.na Mungu akubariki
@raykas9976
3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa 20 percent kuna watu umeingia mioyoni mwao na mm mmoja wao.
@gladnessterry8430
3 жыл бұрын
Kaka kikweli unaimba vizuri mno
@UwitonzePromese
7 ай бұрын
20% nakupenda Sana baba Rudi maana tusha ku miss Tuna miss nyimbo zako
@mamyhajra6893
3 жыл бұрын
I love so much 20% nyimbo zake zinaelimisha sana ila zinahuzunisha piaaaa daah big up broooohh👍👍
@mamyhajra6893
3 жыл бұрын
Asanteni nyote mlo like comment yangu much love for you guys
@mbachoclassic7818
3 жыл бұрын
Tamaa mbaya waeleze kaka✅
@mbavuhassan9873
3 жыл бұрын
Waziri ,Je unafaham kilichomkwamisha na pia unajua kama wanaokupandisha ndio watakaokushusha na kama hao waliompandisha walimwambia afanye jambo ambalo liko nje ya uwezo wake na labda walimpa nafasi 2 akiweza wanampandisha zaid na akishindwa wanampolomosha na ndo wameshampolomosha.
@JemaKanyenze
2 ай бұрын
Nakupendaga sana nyímbo zako unajua Rudi kweny gem
@fainesKigahe
9 ай бұрын
Sio siri kwa alie kufatilia hawezia acha kusikiliza nyimbo zako bro Mungu akujalie urudi bwana tuna kumisss sana .
@ramadhanimkude5744
2 жыл бұрын
Jamaa Nimekuelewa sana,linaakili sana.
@delphinvivier5278
Жыл бұрын
Yuko wapi mama na mkumbuka sana🙏
@kallykisato3199
3 жыл бұрын
kabsa kk uje kutuondolea matusi kwenye radio zetu na tv,kupitia wew hata watukanaji wanaeza badilisha mashairi
@jeremiemukovi3817
2 жыл бұрын
Uko juu sana
@twahirikitwana9842
3 жыл бұрын
Just speak in swahili bhana though we ni 20% ila mi nakkubali 💯% tangia kipindi hiko nakupata nikiwa 254💪🏾💪🏾
@johnjonas7701
3 жыл бұрын
Katika hao watu unao ishi nao nam nimo,kiukweli kaka m nakuelewa sana broo,nachoamini kwenye mziki nikwamba,unapotoa nyimbo inabidi utulie kuangalia soko la huo wimbo,na pia kukaa kimya sio ajabu,tatizo hao mashabiki uchwala wanataka uangalie mziki tu bila kufanya kitu kingine jambo ambalo si kweli,m najua upo na unajua unachokofana kaka mungu akubariki
@jamesmwitawa5439
3 жыл бұрын
inafuraishz
@tatumatata2428
6 ай бұрын
Huyu ni bonge la msanii ❤
@grace2757
2 жыл бұрын
Kweli baba Washezi aiseee wambie
@isayajoram2434
3 жыл бұрын
Umechelewa brother tatizo lako ulilala sana umekumbuka shuka kumekucha
@ramadhanmngoji1523
2 жыл бұрын
Nakubali kazi zako 20
@Danielkashatila2024
3 жыл бұрын
Nimefurahi sana kumuona kwa kweli 20% karibu kazini
@PamelaJonas-dh6lg
11 ай бұрын
Aki kweli upo moyoni mwangu 20❤❤❤❤
@jumasalum2677
3 жыл бұрын
Maneno ya kuishiwa
@CharleKisila
11 ай бұрын
Meilleur artiste
@mst1studio270
3 жыл бұрын
Duuuuuuh! Yaani nimekukubari! Umejibu majibu vizuuuuri hadi mwanahabari asiejitambua amebaki kinywa wazi. Yaani umejibu kama Yesu alivyokua anawajibu mafalisayo. 20% yaani wewe Baba laooo. No one like you. Nakupendaaaaaaa
@mauriceirahinyuza9945
Жыл бұрын
Love u Sana twenty from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🤣😂 urakundwa cane gose
@mkntoujours3025
3 ай бұрын
Iyo ni kweli atuja wai acha nyimbo zako mpaka sasa tunaishi nazo natoka congo
@AzoryMuhangazo
2 ай бұрын
Hakika 20 moyon mwangu Bado unaishi ludi Tena katika gem tunakutegemea sana👏👏👏
@shevadizzoshevadizzo8458
3 жыл бұрын
True twenty pear your very airst good
@jeanclaude2575
3 жыл бұрын
Na mimi 20% umeingia mu roho yangu kabisa.na ivi nyimbo zako natembea nazooo.big up sana
@bongowere1594
3 жыл бұрын
Umepaniki mondi baba lao
@shadytv1227
3 жыл бұрын
One love bro we miss you
@SalomeSemsi-tm6zs
11 ай бұрын
Nakumbuka.nyimbo zako mpka leo nasikiliza
@ahmadmlima8155
2 жыл бұрын
Uwezo wako wa fikra na majibu ya haraka .nisawa,na hekima ya uwezo wa nyota.......ila Kuna kitu kimejificha kwako Rudi kivingine utafika katika Malengo uliokusudiwa.katika kutoa kwa watu yalio kusudiwa
Movie namba 1 ninayo ipenda Yan cjawah kuichoka ni Alie igiza Kama Yesu na ya pili ni ya 20 percent kiukweli izi movie cjawai kuzichoka uwa haipiti week bila kuangalia big up Sana mnyamwezi kiukweli wwe ni zaidi ya msanii,
@mossesezekiel7862
3 жыл бұрын
Pamojaa sana role modal wangu katika bongofreva!!!!
@ابوفوادهطجخمخ
3 жыл бұрын
Mimi pia nakukubali sana kitambo sana unaimba vizuri nyimbo zako aziwezi kisahaulika
@ericbadesire9172
Жыл бұрын
Eeeeeh ! 20% cunga Tamaa Mbaya. Potelea mbali na mambo ya WCB utapelekwa Freemason. Ebu tazama Vidole vya Mondi na shingo lake.
@worldfunnyvideos6147
3 жыл бұрын
Nakupenda 20% john kotorit kutoka kenya
@hassanmustafa8474
3 жыл бұрын
Hata mm nakubali sana
@monicaalphayo6746
3 жыл бұрын
Isha Baba Lao.. see you with 20 per cent..!! Big up broo from Jan💪
Пікірлер: 713