Mm mume wangu nilimwambia sitaweza kuwa mama (kuzaa ) sababu dokta alinihakikishia kutokana na ugonjwa wa moyo lkn mume wangu alinioa hivyo hivyo na alhamdullillah mungu ametupa watoto3 hai na 6 marehemu zipo njia nyingi za show love
@ts_hawah
8 ай бұрын
MashaAllah😍
@AnethEdward-nf6sc
8 ай бұрын
Amen
@user-jx3ry5xh7j
8 ай бұрын
Waoo hii inasisimua zaidi sifa kwa mungu na pongezi nyingi kwa shemu wetu
@user-ih3mt8ly8i
7 ай бұрын
Ila ma Dr wengine wanakatisha tamaa 😢mii nliambia aziwez ingia ata spem za chuma ila naiman lililo andikwa litakuwa!inshallah.
@TheNdaki
7 ай бұрын
@@user-ih3mt8ly8iDuh! Alisema ayo manebo Dokta!?
@vero57
9 ай бұрын
This is true love, wanaume kama huyo kaka wako wachache sanaa!! Mungu awasomamie muendelee kuwa pamoja siku zotee
@rizikia6765
9 ай бұрын
Mashallh mungu awepe maisha marafu kwenye safari yenyu ya ndoa
@philemonmagesa5548
9 ай бұрын
Hayo yakumfanyia mwanamke sio shida, kinachotokea kuaminiana mpaka kuoana ni wachache unaweza ukajitoboa mifuko alafu mwanamke ambaye unamfanyia hvyo mwisho anakuacha kwenye Mataa anaolewa na mtu ambaye hata hakuwahi kumfanyia chochote tena anadai kuwa ndo amempenda ndo maana sikuizi wanaume walishashtuka hawatumii nguvu nyingi bila malengo useme Hawa wameona nyota zao zimekuta zinaendana sio jambo la kawaida muda wote huo mmoja wapo asimgeuke mwenzake akachukua njia nyingne
@rerisamba
9 ай бұрын
Hongera dada coz wako wengine wanakula mizawadi ya watu na mwisho wa siku wana funga ndoa na wengine
@racheldavid6431
9 ай бұрын
Jaman jaman huu muujiza unipitie na mim aki 🤲...Mungu awasimamie awaepushe na kila baya
@henrygwalema1860
9 ай бұрын
Huo siyo muujiza, sisi wanaume huwa tunapenda sana, tatizo ni virungu imekuwa lengo kuu la mahusiano kwa mwanamke ndo vinatuchosha
@racheldavid6431
9 ай бұрын
@@henrygwalema1860 sa si umeona mwenzio alikuw anampa zawad 😊
@peacennko2003
29 күн бұрын
Amen
@annastaziakilangi4552
9 ай бұрын
Hongera mamdogo, ukoo wa maneno Mungu awabariki🙏
@sirbussongo4490
7 ай бұрын
Vijana wengi huwa wanania sana na mabinti ila mabinti hujakubadilika mbeleni , hongera kijana mwenzangu wa kwako hakubadilika aliendelea kubaki ma wewe na kuthamini nia yako na upendo wako.
@eliasjames148
8 ай бұрын
Mimi nakuja kumuoa mke wang toka nmefahamiana nae 2015 nmekuja kuoa 2023... Kawaida sana
@leaherasto929
9 ай бұрын
True love UPENDO WAKWELI
@tunudimandogreek9683
9 ай бұрын
That's so sweet and lovely
@pascalinaerasto9501
9 ай бұрын
Katika kumi kwa mmoja na mmoja mwenyewe ndio huyu
@sporastica7174
9 ай бұрын
Wasukuma na maanisha wanawake wapewe maua yao jaman kiukwel wanaongoza kwa kupata wanaume wa maisha kiukwel wamebarikiwa pmoja na ushamba mnaosema Ila they're blessed
@veronicamathias241
9 ай бұрын
Exactly
@scholasticalaurent1542
9 ай бұрын
Makofi kwetu wasukuma jamani❤❤😂
@neemasita8113
9 ай бұрын
Kabisa kabisa
@lucykibela-et8tp
9 ай бұрын
Ni wachapa kazi,hawana makuu
@shanishani-qv3bc
9 ай бұрын
Ushamba wao hawauoni 🤣🤣🤣
@leahsamwel1931
9 ай бұрын
Hii sasa ndo love story...achana na zile zetu za how are you feeling today
Walikuwa wanazini wewe unahadithia namna walivyokuw wanamuasi mungu,hizi dini zingine hizi,badala wamuombe mungu msamaha kwa mungu,wewe unafurahia uovu ulio pita
@user-eh3ji1lu7j
9 ай бұрын
Kwani hapo ninyumba yaibada au
@drsubira9844
8 ай бұрын
Kwani wamefunga ndoa bila kutubu? na tunatubu kwa Mungu pekee aliye mtakatifu sasa ww ulitaka waanze kutubu ukumbini
@genevivermambo4000
9 ай бұрын
❤️❤️
@Madi_Classic
9 ай бұрын
Makini
@daimavlog
9 ай бұрын
Nani anakata vitunguu jamani ☺️☺️☺️
@user-sr2fd1xp3e
9 ай бұрын
😂
@agneswabalinga7497
9 ай бұрын
💞🔥🔥🥰
@sarahgaula2220
9 ай бұрын
Alitabiri ama ni Ile Tu wanawake wakiwa na mahusiano wanaanza kuitana mke na mume?
@franciskavyega280
9 ай бұрын
Huyu apa
@Funky547
8 ай бұрын
Jamani msaada wa huo wimbo kaimba nani?
@MahajiOmari-zz1go
8 ай бұрын
jina la nyimbo plz
@user-bw8ur2sj5d
9 ай бұрын
Big hi
@jumamaulid9462
9 ай бұрын
Je, kutoroka shule nako ni mapenzi ya kweli kwa wazazi?
Tuko ila kitu ni msimamo na kutulia na mmoja kujua Nini mtu unataka na unapo taka kufika wànaume siku hizi tumeamua kutulia hakuna haja ya kuangaika na kuruka ruka kule na huku mmoja ndio mpango,na naamini siku zote ukimwomba Mungu atakupa mwenye msimamo na mwenye future ya maisha sio kuchezeana,Mungu asimame nasi kweli cause hii maisha bila ya Mungu uwezi pata mwenye real love i believe in God sababu anatenda kea mwenye nia ya kweli vijana tujitambuwe tuu starehee tuache tujuwe kuna maisha ya ndoa yenye furaha kama ukitulia
@magdalenajoel4539
9 ай бұрын
Anybody tuanze story yetu
@Dreidamaa
9 ай бұрын
I'm here
@jescajulius8023
9 ай бұрын
Niliyefukuzwa Chuo kwa ajil yake alifariki nmeumia sana
@gundajr2883
9 ай бұрын
😢dah pole sana
@jescajulius8023
9 ай бұрын
Asante San nmepokea
@almanalitoyngmula8079
9 ай бұрын
Statistically she will do him bad at somepoint . . .
@leticiaibrahim5459
6 ай бұрын
Sawa mtabiri usiyeweza hata kujua kesho unaamka huna hata mia🤣
@kanyoki
8 ай бұрын
😂😂😂 heri yeye Mi nlifukuzwa shule kisa huyo dada na mwaka huu ameolewa na jamaa mwingine😢😅 Wanawake bana
@charlesgeorge2855
9 ай бұрын
Mwamba kama mgumu hiv lkn kakomaa
@maryathanasio8348
9 ай бұрын
😂😂😂😂
@gracesamwel3632
8 ай бұрын
0ll
@edwardkongo410
9 ай бұрын
Niupumbavu kwelikweli kutoroka shule na kufukuzwa kisa mapenzi niujinga sugu
Пікірлер: 183