Walipanga wengine ila bi harusi mtarajiwa alikiwa hajui
@sumaboy8105
Wabongo bwana sasa kupiga goti wacheni kuiga jaman culture za wazungu ushamba mtupu
@VickKulekana-si1ib
Wanayo kwel kumbe raha sana nimemkumbuka Kuna rafiki yangu alisema kwenye harusi ya pacha yake alimpenda Mc alimuombea na yeye aolewe na kwel siku hile hile ya pacha wake ndo na yeye alimpataga mumewe alipendwa akatumwa shemej yake
@basilisamsaka8469
Ila vijana acheni kupiga magoti Kwa wachumba ama Kwa mabiharusi wenu mnajiaibisha na kuishusha thamni ya mwanaume
@ramadhankanoun3007
Ilipagwa hiyo bi harusi kaonekana akimuita bwana Emmanuel
@VickKulekana-si1ib
Bwana harusi mzungu kanikumbusha mzungu wangu
@maggieandrew995
Pete inavishwa siku ya kutoa mahari waoongo Hawa
@farajangandu9111
Harusi tunayoo hatunaaa?!😅 ❤
@user-oc5fe9vx1p
Usikute apo taarifa zilifika home mtarajiwa alikuwa hajui
Пікірлер: 43