Tanzania Darsalam mzuri Sana kweli nakupenda sana kweli 💖💕💖
@FinalMotors
5 жыл бұрын
We jamaa uko vizur aiseeh sikujuaga big up sana
@welezilibero7650
5 жыл бұрын
Mm ninaishi PEMBA WILAYA YA CHAKE CHAKE KUNAENEO LINAITWA (CHANJAMJAWIRI) Asili ya neno chanjamjawiri kulikuwa na mtoto wa mtawala anaejulikana kwa jina la mkamandume ambae alitawala kijiji kinachoitwa pujini huyo mtu alikuwa anaitwa Njanjawiri. Njanjawiri alikuwa anatafutwa na watalii na alikuwa hapendi kuonana na wazungu sikumoja alikuwa anakimbia ili wale wazungu wasimuone kufika ktk eneo hili ambalo naishi ikawa wameshamkaribia Njanjawiri aliamua kupinda magoti yake kumumba mungu ardhi ipasuke aingie ili wale wazungu wasimuone kwa rehma za Allah ardhi ikapasuka na akaingia kulikuwa na mtoto mdogo ambae alimuona akawa ndio shahidi wa tukio na nguo yake ilibaki juu na ikawa ni mwanzo wa neno CHANJAMJAWIRI (YAANI CHANJAA LA NJANJAWIRI).....
@SKILLS360TV
5 жыл бұрын
Safi sana bro OK ila PITIA HAPA KUONA UBUNIFU WA MAPAMBO YA NDANI ili kuni kuni sapoti SUBSCRIBE channel hii bofya kapicha kushoto
@samweliabeli9756
5 жыл бұрын
Kaka kazi nzuri,zidi kutupa vitu vitamu kama ivi
@almortabaz_Tz
5 жыл бұрын
In vzur sana kama ukinipotia historian ya nyegezi
@azeezhunter5291
5 жыл бұрын
Nakufuatilia bro adi kwenye sport extra
@kilimariofficialhouse241
5 жыл бұрын
Nimeipata Hii Respect Bro 🙌🙌
@mohamedrashid6578
5 жыл бұрын
Huku kwetu nasikia kulikua na mzee anaitwa Mussa Hassan, baadae wakafupisha wakaita msasani
@rashidmaganga5251
5 жыл бұрын
Talented bro
@thiagojr4723
5 жыл бұрын
nakubali bro
@chingychingy2066
5 жыл бұрын
umetisha kaka
@kabilamalasy9964
5 жыл бұрын
Tunaomba story ya aliyeigiz picha ya yesu naamn utaitendea haki
@pauldaniel6409
5 жыл бұрын
Hiyo ipo search tu kwenye kazi za huyu utaipata
@abdallahjosephnfulaa4245
5 жыл бұрын
kabila malasy Mbona Tayar iyo kitambo tu kaka.. wewe itafute tu kwenye page yake utaikuta
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Kuna siku waliitowaga hiyo history ya aliyehekti picha ya yesu kidogo pia wakatowa wakasema hii picha harisi ya yesu wakasema walishangaa dunia Kwa kutowa picha halisi ya yesu
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Nilimpenda alijuwa hekti
@hatamimnimempendabulejaman1596
5 жыл бұрын
Nilisikiaga pia HISTORIA ya kariakoo hata Kwa mnyamani Kuna mzee yupo mzee mnyamani
@babafranco3366
5 жыл бұрын
uku kwetu kulikuwa na wafugaj wa bata na cku moja umeme ulikatika yule mnyaru akasema we bupe NPe taa ya bata, bas mpaka Leo ndo ikawa TABATA
@shomarymussa6970
5 жыл бұрын
Kitaani kwangu hapo na nimesomea buguruni shule ya msingi sema kwaiyo maana ya jina ilosijawahi sikia
Пікірлер: 33