Joel nanauka vitu unavyotupa Ni zaidi ya almasi na dhahabu ,vitu ambavyo vinatutajirisha akili zetu,afya zetu,saikolojia zetu na mafanikio yetu.Allah(s.w)akupe nguvu na uhai na mafanikio ya kudumu katika maisha yako
@yssaid4193
2 ай бұрын
Brother Joel Nanauka kwa kweli umenisaidia kiasi kwamba nilitimiza ndoto zangu na kufika Canada 🇨🇦ambazo nilikaribia kukata tamaa wakati natafuta hii safar mungu akuongeze na akufikishe pale unapopakusudia
@ramadhanmkenda5918
Ай бұрын
Mwalim WA muda wote stay blessed kk
@BenjaminRajabu-xk7mc
Ай бұрын
Kaka habari zasubuhi mm nakushukuru sana
@jichofoundationtv6893
2 ай бұрын
Tunashukuru sana kwa mafundisho yako mzuri. Lkni sauti ipo Chin sana
@brackskinyozi3280
2 ай бұрын
Nashukur...br.. Joel.. toka nianze kukusikiliza targets zangu zinaenda..sawa..... nashukur sana ...na kama nilivo kwambia very soon nitapta vitabu vyako.... barikiwa sana Joel mungu azidi kumupa ufahamu zaidi...🙏
@user-xt5vs7cm2k
Ай бұрын
Kak balikiwa san aseee one love
@bina2557
2 ай бұрын
Kaka Joel Nanauka asante sana kwa kutukumbusha mimi nilianza sema sikuwa msimamiz mkuu wa mradi wangu niliempa asimamie aliniangusha saiv nmeanza kuweka akiba nataka huu mwaka ukiisha niwe nmefikia kiwango flan cha fedha na ntapiga hatua kwenye sehem flan ya kuanza nmefungua. Account ya money marketing hivyo nusu ya mshahara wangu naielekeza huko asante sana na haya maarifa nmeyatoa kwako December ntakuwa dar nitahakikisha napata vitabu
@goldiegranted5501
2 ай бұрын
Kuna softcopy unaweza ukatumiwa 😊
@bonymujama7332
2 ай бұрын
Thank you brother Joel and your technical team. Mafundisho mazuri sana ambayo yanabadirisha maisha ya watu wengi. Ila nina ombi kuhusu background sound. Kwa video hii, your voice ni kama ilikuwa low, ila mimi nimeona kwamba ni suala la background sound/music ambayo sauti yake iko juu kuliko you the speaker's voice. I prefer listening in a total calmness rather than with background music. Kama background music ikiwemo, isiwe high sana... Asante sana
@PANGACHUMVIFRONT-OFFFICE
Ай бұрын
you`re amazing broo big up
@nestorytweve-vh7qk
2 ай бұрын
..Binafsi nimefurahishwa sana na elimu ambayo unaitoa maana una msaada mkubwa sana kwenye maisha ya watu wengi .zaidi nishukuru sana maana baada ya kulipia kitabu PDF nilikuwa nawaza ulivyo bize ivo utanitumia lini au saa ngapi n.k ...lakini cha ajabu ndani ya dakika 2 tuu nimeipata soft copy yangu....ISHINDE TABIA YA KUGAIRISHA MAMBO(NGUVU YA KUANZA). ..nimefurahi sana sio kigodo👏🤣🤣 mungu akufanyie wepesi wa mambo maana kazi ni kubwa ya kumweelimisha mtu hadi akabadilishe maisha yake..thanks
@victoriavictoria8481
2 ай бұрын
Nashukuru Mungu alinitoa ktk mahusiano mabovu, Sasa hivi naweza fanya kazi kwa ajili yakujijenga kimaisha
@eldahussein1249
Ай бұрын
Uliwezaje kutoka,maana mahusiano mabovu yanaweza kukufanya ukashindwa kupiga hatua za kimaisha na kimaendeleo
@godfreygerase8713
2 ай бұрын
Naaam mwalim kuanza kunaitaji maamzi ya ziada make namm nimelazimika kuanza kabla ata sijafikisha kiwango ambacho nilikua sijakipanga!! Na nilipoanza anza kukusikiliza wewe ikabidi nianze. Wenzangu nawashauli usisubilie ambacho hakijakutaarifi apo ulop unaweza kuanza japo sio raisi anza utakuja kushangaa unafanya makubwa zaidi. Asante sana mwalim joel mungu akubaliki❤🙏
@HatibuJumaa
Ай бұрын
Kaka habari nilikuwa nashauri wakati unatengeneza video zako jaribu kupunguza mziki wa background kwasababu unapelekea wengine kutokukusikia unazungumza nini
@beatricemwita4380
2 ай бұрын
Kaka Joel Leo sauti haipo vizuri ipo chini sana, napata shida kukusikiliza ila nimepata kitu kikubwa sana
@goldiegranted5501
2 ай бұрын
Somo safi kabsah 😂 🔥🔥🔥🔥,,,, yani kwenye suala la kughairisha mambo nilikuwa kinara nadhani🙌🙌,,,hii kanuni imenisaidia sana🏆,,,shukran mno
@user-ru6ct4rh3t
2 ай бұрын
Asante Mungu Kwa kunipa huyu kaka🙏🙏
@AthanasioDungumaro-rj4bc
2 ай бұрын
Joel Nanauka you are a good teacher how I can get your book for studying.
@SurprisedBike-lu2uf
2 ай бұрын
Asante sana uzidishiwe maarifa zaid na zaidi
@josephtesha872
2 ай бұрын
Kwl nimejifunza
@ndirukanyamweru6054
2 ай бұрын
Asante sana Kwa darasa lako Zuri sana.Lakini Leo recording ya sauti haikuwa sawia kabisa kama nilivyokuzoea.Mafundi wa sauti waboreshe zaidi
Пікірлер: 42