Hivi wewe hili neno Mashaallah unajuwa maana yake? kwa mujibu wa neno ulitumia huyo babau anajijengea kibanda motoni mbee ya Allah maana hilo neno uliotumia linaishia na Allah aliekharamisha miziki na ulevi sasa wewe unazidi kumuombea maangamizo
@mohammedalnabahan.4127
4 жыл бұрын
Acha kumsifu uyu mzee kwa kutumia jina la allah
@officialzu3772
4 жыл бұрын
Maftah Mussa na juma juma acheni nogwa nyie kwani hakuna binadam aliyekamilika au ndio mnajifanya Mnajuwa Sana kukosiwa watu loooo kwedraaaaa huku nyoooo kujitia hashuo ovyoooo😏😏😏
@mohammedalnabahan.4127
4 жыл бұрын
@@officialzu3772 Kama tuna hashuo utakuja kututoa siku ya uwanja wa hukumu kwani nina uhakika asilimia mia moja tutaonana na tutaonyeshwa majibizano yetu, ila ww dada nahisi umpungufu wa imani ya kumuamini ALLAH na MTUME wake, tunajua kua hakuna mkamilifu ila kukumbushana kupo, ila ww endelea sisi kutuita wajinga lakini hatutoacha kukemea uwovu wa miziki kwani ni HARAMU kwa ushahidi wa QUR AN na hadithi za MTUME MUHAMMAD.
@adijaniyonkuru9731
4 жыл бұрын
Babu uko vizuri Mungu awazidishie 🙏❤
@antoinea.katembo5326
4 жыл бұрын
Adija Niyonkuru mtabwa wa ukweli
@adijaniyonkuru9731
4 жыл бұрын
@@antoinea.katembo5326 kabisa ❤ Antoine
@maftahmusa9513
4 жыл бұрын
Hivi we adija mbona unaroho mbaya kiasi hicho unamuona mwenzio kadidimia kwenye shimo la moto kwa msingi wa imani yako na yake halafu bado unamuomba mungu amzidishie baada ya kuomba mungu amnusuru na jahanam we vp?
@mutalemwagabriel2277
4 жыл бұрын
Babu wa taifa huyu kabisa 😂😂 😂😂 😂🙌 🙌😂 😂
@ab3ab313
4 жыл бұрын
babuuuuuuu
@maftahmusa9513
4 жыл бұрын
Kwa mujibu wa misingi ya imani yake kweli ni babau wa taifa la mashetani
@andreashayo6266
4 жыл бұрын
Kama umeona sauti ya babu yake diamond inafanana na zahela gonga like hapa
@askkongl6821
4 жыл бұрын
Andrea Shayo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@anthonymartial5554
4 жыл бұрын
Et zahera😂😂😂 sema lkn ndy watu wa ujiji ndy lafudhi yao.
@amanimollel7086
4 жыл бұрын
Umemuonae
@simbamsumeno6363
4 жыл бұрын
Kama umesikia bibi kasema daimoni weka like hapa twende
@tsumasokoa8556
4 жыл бұрын
Acha ushari ww huyo c rika lako
@Nickojunior
4 жыл бұрын
Amen 🙏 Jambo kubwa kukumbuka nyumbani
@officialnyongo2645
4 жыл бұрын
Nitamshirikisha babu diamond katika ngoma yangu babu super star tayar
@narrybrown5173
4 жыл бұрын
Babu janja inaonekana simba naee💪💪💪💪👍👍
@omarionkindaile9011
4 жыл бұрын
Babu anaongea kama zahera kama umeskia hiyo saut gonga like apa
@dianafyondi9048
4 жыл бұрын
Omarion Kindaile Congo moja. Wakimbizi
@dshinerdshiner2914
4 жыл бұрын
😁😁😁 jinga kwel ww
@anuaryally6177
4 жыл бұрын
Ndio wale wale wakimbizi kitambo
@yaumirakateni9927
4 жыл бұрын
Kulu nafsi dhaaika2lmauty, Endeleeni2
@aishwaryaaishu5083
4 жыл бұрын
Yaumi Rakateni kabisa
@halfaniland3850
4 жыл бұрын
Waislamu wa zama hizi hatari sana kama siyo Muslimus
@nahalevitalis3004
4 жыл бұрын
Nyie waislam mnatafuta nin huku si muangalie qaswida
@bongomsasa2496
4 жыл бұрын
nafsi yako naona imekamilika
@halfaniland3850
4 жыл бұрын
@@nahalevitalis3004 Yohana 8:44)
@hassanissa4792
4 жыл бұрын
Babu we Haya tu , aendelee mkachomwe moto wote
@polloz77
4 жыл бұрын
Babu na bibi wajomba wamechangamka vizuri sana
@Noah-se3ni
4 жыл бұрын
Kigoma hakutoki bwege, Babu umehongeya vizuri sana babu mjaja sana ongera kwako babu,na na ongera sana kwa Diamond platnumz happy 10 years music industry
Mtangazaji leo hujazingua 😅😅😅❤️❤️❤️❤️🤗💘💘💘kma interview ya dula makabila ama Dullah ulimchukulia poa maana ni msela mwenzio ww usela nje ya kazi ss twataka maswali ya kiheshima na kistaarabu kama ya leo big up ma bro keep on 🔥🔥🔥
@muksinchingonikaya2584
4 жыл бұрын
Witney Rachma duuuh
@ndaganoanastazia2658
4 жыл бұрын
Kumbe maman dangote katokea ujiji....nimekubali maman hapatoke boi huko kwa waswahili wa kgm... 🔥🔥🔥wanao kuchamba hawajui vizuri kwamba unanajieshimu tu...
@misheckmrk4140
4 жыл бұрын
nimefulai sana mond kwenda nyumbani kgm jitaidi bro uache kumbukumbu kigoma City ndonyumbani kwetu
@christmhema9500
4 жыл бұрын
Kama umetambua babu msomi wa biology weka like hapa.... 😁😁
@Majambo_Duniani_Tv
4 жыл бұрын
Christ Mhema haswaaa katoa jibu la kisomi sio la kubahatisha..
@othmanhaji1832
4 жыл бұрын
Onesheni kuumwa kwa matendo mabaya na dhambi anazofanya Mjukuu wenu, pamoja na mazuri aliyonayo. Muombeeni kwa Mungu wenu amuongoze aachane na kuimba na dhambi anazozisababisha kwa kazi zake hizi. Sote tuna wajibu wa kumuomba Allah, atuongoze katika haki na atusamehe makosa yetu. HATUJAFA, HATUJAUMBIKA
@rosemaryshine3008
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣 kama umesikia CWB weka like
@zabibunduwimana4612
4 жыл бұрын
😂😂😂
@luhanyamipawantobi6888
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂tumbafu wewe utaniuwaaaaaa
@jaziraally6949
4 жыл бұрын
😂😂
@magdalenamwailubi9644
4 жыл бұрын
@@jaziraally6949 😂😂😂😂
@nurdinimndeme2912
4 жыл бұрын
hawa sasa ndo wana WCB wenyewe - wengine tunadandia dandia makampuni ya watu .
@deborahrehema5819
4 жыл бұрын
Babu kiswahili cha wacongomani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ladymashaallahilikeuaadvis997
4 жыл бұрын
Babu uko vizuri MASHA ALLAH
@anuaryally6177
4 жыл бұрын
Diamond kwa baba rwanda kagame family kwa mama congo kimaisha tanzania
@magymagy2156
4 жыл бұрын
😂😂😂😂👁
@abdulabass5808
4 жыл бұрын
Nilichogundua watu wa kigoma wanazungumza kiswahili kwa ufasaha sana tena ssafi kabbisa,
@thamiyuucute7098
4 жыл бұрын
Kabisaaa
@azzamahamdu7039
4 жыл бұрын
Ni kwel
@ruiamleo6866
4 жыл бұрын
Mashallah family inaraha mashallah
@salumkatula4824
4 жыл бұрын
Familia ikiwa na msanii basi inaweza kubadili hata uchamungu bila yakua makini
@celestesanitoussene823
4 жыл бұрын
Kama umesikia babu kasema cw gonga like
@priscadickson59
4 жыл бұрын
kama umesikia talent kutoka kwa babu weka like apa twende sawaa
@amanimollel7086
4 жыл бұрын
Nimependa mzee haogopi maiki
@zabibunduwimana4612
4 жыл бұрын
Babu yuko vizuri sana anajuw kujiheleza
@worldwide9207
4 жыл бұрын
Bibi Anamua kumwita dayimoni aw
@othmanmasoud695
4 жыл бұрын
Namuona mwailwa hapo karibu na babu wa Diamond
@akibarahamadi5058
4 жыл бұрын
baba lao mung azid kukubarik
@salimsalum7728
4 жыл бұрын
Babuuuuuuu wa kigomaa
@mohammedalnabahan.4127
4 жыл бұрын
Innalillah wainna illaih rajiun, msiba huu jamani, akhera kuna mambo jamani.
@uwimanauwimana7303
4 жыл бұрын
napaona nyumbani hapo 🤛🏽😂
@nahyialetomia9284
4 жыл бұрын
Babu young
@saidisengo6502
4 жыл бұрын
Babuuuuuu
@erickchitumbi1308
4 жыл бұрын
Babu mzaa chema.wajukuu wote wamewakilishwa na diamond.
@mariamumussa3055
4 жыл бұрын
Nimependa kiswahili chao wanaongea kiswahili safi
@funfamily9209
4 жыл бұрын
Sasa apo kwa mama yake but apo siyo kwawo twoneshe kwawo na mzazi wa baba yake njo pia
@shivamyaakrammuhammad9906
4 жыл бұрын
Wcb naomba ipewe zaidi ya heshima naombeni
@uwingeneyeshadia7697
4 жыл бұрын
Shivam Ya Akram Muhammad wapewe heshma kwa sababu wanafundisha maadili ya dini ao?
@salmachuma2226
4 жыл бұрын
Mashalaah
@habibasallah8139
4 жыл бұрын
Babu umesema vizuri sana
@hassanmzee4422
4 жыл бұрын
Babu kama umeona kafanana na mwinyi zahera gonga like zenu
@thuvakonde2584
4 жыл бұрын
Pole sana Babu wa simba kwa msiba
@maryammct3967
4 жыл бұрын
Mashallah babu
@BuraK-bk9iw
4 жыл бұрын
Mo town sanya .. unajua sana kutangaza asee 🙌🙌🙌🙌🙌
@zuwenaamani3328
4 жыл бұрын
Babu nimwalimu mstafu lazima ajieleze vizuri , kanifunndisha kitongoni shule ya msingi
@esperancenathali
4 жыл бұрын
Jamani hadi raha watu wa kigoma hawana maneno mengi kama watu wa Dar es lam
@selemanimsahani3919
4 жыл бұрын
Kila nikizskilza story za Kuusu daimond chozi waga linadondoka kwa mbali kama unaamini hicho acha like yako hap
@salimkhamis3638
4 жыл бұрын
Unatakiwa utokwe na machozi kumuonea huruma Diamond kwa anachokifanya sasa maana sio katika mambo anayoyapenda Muumba!
@salimkhamis3638
4 жыл бұрын
@Greyson Mdee Nini?
@hassaniyassin1686
4 жыл бұрын
Ujiji huku kwa waswahili....babu mswahil piaaaa
@yahyamatemanga7831
4 жыл бұрын
Dunia ya sasa watoto huwa wanalipa kisas ukimkataa mtoto nae atakukataa mkubwa tujitaid kuwatunza watoto wetu il tuspate aibu wakifanikiwa
@edwardmkwelele
4 жыл бұрын
Watoto ni mali ya mama hata ukiwatunzaje kwao mama ni mbele kuliko baba huo ndio ukweli kama unabisha hata wewe katika familia yako angalia hilo utakiona. mama ndio namba moja kwao baba ni namba mbili Kuna bondi kubwa sana kati ya mama na mtoto kuliko baba facts hata ukimtunzaje mtoto na mbaya zaidi akiwa wa kiume wa kike kudogoooo afadhali
@fortunataangelo5575
4 жыл бұрын
Kabisa kati ya wanaume wote waliocoments ukweli nawe ni mmoja wao,, , usisubiri uje useme baba ni baba, timiza wajibu, , huwezi chuma maembe kwenye katani ,, utavuna ulicho panda,
@selungwieryka449
4 жыл бұрын
Kwani baba diamond kabila gani ? Mbona mwanae kwao ni umamani tu kwa baba vip?
@Wastara001
4 жыл бұрын
Yaani kila mwanafamilia anaunga mkono uchafu unaofanywa na Nasib Abdul!!SubhanaAllah..tena tumwombee azidi kufanya uchafu huu...tumche Allah
@kenallday1115
4 жыл бұрын
Wacha kuhukumu wewe si Mungu
@Wastara001
4 жыл бұрын
@@kenallday1115 sijahukumu, hapana hukumu niliyoitoa ila ni dhahiri kuwa anayofanya Nasib hayakubaliki kwenye dini; kuzaa watoto nje ya ndoa, kuvaa herini, kuvaa mkufu, kuimba. Kwa taarifa yako pengine huenda ikawa dini yako ni tofauti na yangu.
@sofiaasukuku8238
4 жыл бұрын
Babu wa taifa uyo
@hajjiqasim5977
4 жыл бұрын
Dah raha sana
@fababindawood8363
4 жыл бұрын
Km umegundugu babu anajielewa xana ngonga like 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@lilatito2816
4 жыл бұрын
Sawa kumbe kigoma kwa mama tuonyesheni kwa baba ndio kwao
@hassaniyassin1686
4 жыл бұрын
Dar
@stevemwakisimba5986
4 жыл бұрын
Nawewe onesha kwa baba yako!! Vp mbona mnapenda kumpangia maisha utadhani mmemsaidia kutoka?mama yake kamsaidia kutoka kimaisha baba kaja baada ya jina kua kubwa acha ubwabwa wewe!!!
@lexchumajr6732
4 жыл бұрын
Burundi/Rwanda
@joleenmasha
4 жыл бұрын
Steve mwakisimba hapo kweli umeongea kabisa mama ahangaike na mtoto peke yake auze mpaka kanga zake na baba yuko jamani wa baba waangalieni watoto wenu kwa sababu hujui kesho atakuwa nani
@hassansalum5362
4 жыл бұрын
Baba ni baba tuu akusaidie asikusaidie atabaki kua baba ako na anatakiwa umshughulikiee
@jumakitam1867
4 жыл бұрын
Nani kamskia bb akisema mm ndo bb yk daimoni baada ya daimond
@manaoman9436
4 жыл бұрын
Na Ujiji waswahili kweli kweli
@roseberryhamoud6542
4 жыл бұрын
Si kweli, huyo si baba mzazi.
@majotv3405
4 жыл бұрын
Kama umemsikia Babu anasema kijana huyu hatari
@mohammedalnabahan.4127
4 жыл бұрын
Kofia kubwa uyu kijana lakini kichwa kitupu waallah
@thamiyuucute7098
4 жыл бұрын
Familiya yote ya diamond iko hot..naiko pouwaaaa..happy imetawal
@robatibriyson2870
3 жыл бұрын
simbakigomababarao
@sindayboniface1131
4 жыл бұрын
Kigoma moja
@prosperndelwa4560
4 жыл бұрын
Nakubarii, , home kwanza
@uwingeneyeshadia7697
4 жыл бұрын
Unajidai unamjuku star wakati inaonekana maisha yako ni yachini u star unakusaidia nn ao mwanao wakumza ambae ni mama yake inaonekana hawajali wazazi wake km diamond anavo mjali dunia tunapita
@nicolaascloete7682
4 жыл бұрын
Ulipenda afanane je? Tulia dawa ikuingie
@binasaabdul4661
4 жыл бұрын
Hongera babu
@Cherriechina
4 жыл бұрын
Bibi pambee🤗😍👌😅
@kennedymwangala8385
4 жыл бұрын
Wape big up
@aminajuma2981
4 жыл бұрын
Babu babo kijana 🙏❤
@fredrickdidas7318
4 жыл бұрын
mmmh wewe
@Nickojunior
4 жыл бұрын
CWB😂😂 babu
@eliapelia7347
4 жыл бұрын
Iman yak0 ndi0 silaha yak0 h0ngera babu kwakupata mjukuu jembee
@adijaniyonkuru9731
4 жыл бұрын
😍🙏
@jacksongerard3336
2 жыл бұрын
Duuu mama diamond kumbe ni mmanyema
@sekeyifabian9517
4 жыл бұрын
Wazee busara sana
@sarahhamisi2070
4 жыл бұрын
mond wetu" anayo, akili hata asiposhauriwa Mungu kambarik
@kamaakamaa1795
4 жыл бұрын
nice one
@hadijaabdallah5477
4 жыл бұрын
Wamanyema oyeeeeee wa naenjoy kweli apo oyoooooo
@manyotaskipper5765
4 жыл бұрын
Mzee Omary Bongoo wa BURUNDI BARA BARA YA 12 mburundi mzee omary bongoo
@Bigboy-nx3nc
4 жыл бұрын
Manyota Skipper nenda Kigoma nusu saa tu.
@pambasr2345
4 жыл бұрын
Kinoma kiswahili kimenyooka
@allymabie5741
4 жыл бұрын
Mjomba Ali koha ndani ya kwawa rd kwa mzee zuberi bukuku
@usenirashidi2488
4 жыл бұрын
Simba nihatari
@raiswawagoma9487
4 жыл бұрын
Nili tegemea Mtamuusia amkumbuke Allah aachane kabisa nahayo kumbe ndio baado mnataka aendelee kuwachezasha uchi mabinti zawatu Aendelee kuwahimiza watu kula tungi nimemuona ndugu mwailwa sifa akiomba daimond azidi kukaza afike mbali Basi hio mbali iwe niyenye faida dunia na akhera kaka mwailwa Ikiwa nimbali yadunia tu hamjamtendea haki kijana wenu Akhera nikugum saana mimi nawakumbusha tu
@sakayonsakihunga3496
4 жыл бұрын
Maneno ya maskini bwana hayana mvuto
@harunayussuf6866
4 жыл бұрын
Home sweat home One love home land😍😍😍😍
@nyawitatheboss3449
4 жыл бұрын
Tuuliiiiaa ivoo ivooo N mim nishakuonaaa
@nesterkjofficial1735
4 жыл бұрын
Ganga una tisha
@maftahmusa9513
4 жыл бұрын
Kweli kigoma imekwisha kimaadili ya dini sehmu iliokuwa kitowa wataalamu wa dini ya KISLAM katika kila fani leo kunatoka wataalamu wa SHETANI familia nzima inna lilahi wainna ilayhi rajiuun Kigma msiba msiba 😭😭😭😭😭😭😭
@alfredmsambaa1443
4 жыл бұрын
Uksikia roho mbay nd hiyo xax kwhy ulitak ndg zake wamkatae dah yan binadam
@maftahmusa9513
4 жыл бұрын
@@alfredmsambaa1443 we usiwe mpuuzi ilipasa wawo wasikitike na kumuombea Allah amtoe huko katika ushetani na kumuogoza sio kuunga mkono na kumuombea aendelee huko aliko.
@alfredmsambaa1443
4 жыл бұрын
@@maftahmusa9513 w fara nn kwhy unajiona w msafi xan kw mungu
@mbbakiri2756
4 жыл бұрын
Babu wa taifa
@atanasjisonge2538
4 жыл бұрын
Sawa huko kwao na Mama yake na Diamond kwa Baba yake ni wapi?
@nshonabdll9363
4 жыл бұрын
Jmn mke yupo vizuri ataki kumuacha mume atqibiwa
@mishibabu8946
4 жыл бұрын
Hahaa
@antybabybintrashid2333
4 жыл бұрын
Abiria achunga mzigo wake
@halidihemed1006
4 жыл бұрын
Nani arie sikia mtoto wa Dada binadamu wabaya😂😂😂😂
@lizzenock9123
4 жыл бұрын
Kamaanisha mtoto wa dada ake
@amanichanga3448
4 жыл бұрын
'Binaadamu', ilitoa taswira ya yeye kufika hapo
@bongotv6384
4 жыл бұрын
kwa upande wa marehem aliefariki
@nshonabdll9363
4 жыл бұрын
Kigoma akukaliki majumbani Kuna waka moto akina mbirura kz kukalia majungu tuu simaaaa simbaaa a
Пікірлер: 282