Usajili wa dirisha kubwa unaendelea kufanyika kwa timu mbalimbali, huku za Ligi Kuu Bara ndio zikitolewa macho kutokana na kuwa na mashabiki wengi, Simba, Yanga na Azam FC ndio zimekuwa gumzo.
Sospeter Bajana alikuwa anatajwa kutua Simba tangu msimu uliopita na baadae dili likayeyuka na kusalia Azam FC.
Bajana amesema mazungumzo kwa pande mbili yalienda vizuri, lakini aliamua kuchagua Azam kulingana na ushawishi, pia alikuwa na uhakika wa kucheza kikosi cha kwanza kwani tayari alikuwa amejitengenezea ufalme huko licha ya usajili wa mastaa wengi wa kigeni eneo analocheza.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
Негізгі бет Спорт Bajana aanika dili la kwenda Simba SC
Пікірлер