Asante kwa somo zuri mchungaji neema ya bwana iwe nawe
@fkirumba1463
2 ай бұрын
Barikiwa sana pasta Mbaga
@eliudbeyanga8575
2 ай бұрын
Nakubali sana mahubiri tv
@user-dk3xi4pz7o
2 ай бұрын
Barikiwa sana pasta mbaga. Mimi ni Irene kutoka Saudi. Arabia. Nataka. Kutoa. Sadaka yangu. Akaute ya Banki.
@Vanillah-lg3pn
2 ай бұрын
Tumia mpesa global
@hopistgraphics8326
2 ай бұрын
ya kale ilipita sasa tuna Yesu tunaishi kwa neema yake mambo ya zaka haina maana katika neema ya uchumi sio lazima utoe ili ufanikiwe katika uchumu just understand the principles of business you'll flourish... toa chenye unataka lakini sio 10% hadi unaweza toa 50% eccording to your will... matoleo iliachwa kwa wanao fanya sacrifices but as a christian Yesu diye sacrifice yetu..... but support the work of God... we're not in slaverly any more Jesus paid all....
@magigesabai8674
2 ай бұрын
leta ushahidi wa mandiko kutoka kwa Biblia
@saimonijonas1471
Ай бұрын
Unajua watu hawajui nini maana ya neno Neema.Ndomaana Leo jjnamafindisho potofu hata kusema hakuna dhambi Dhambi ni mawazo ya mtu vile atakavyolitazama jambo alilolitenda hata kama mtu atafanya tendo lakujamiana namtu asiye mke au mume wake wanasema hilo jambo si dhambi. Tuwe makini sana nafaundisho yanalenga kuwafurahisha watu badala kumleta Mungu ndani ya mioyo ya watu.
@saimonijonas1471
Ай бұрын
Unajua watu hawajui nini maana ya neno Neema.Ndomaana Leo kunamafundisho potofu hata kusema hakuna dhambi, Dhambi ni mawazo ya mtu vile atakavyolitazama jambo alilolitenda hata kama mtu atafanya tendo lakujamiana namtu asiye mke au mume wake wanasema hilo jambo si dhambi. Tuwe makini sana nafaundisho yanalenga kuwafurahisha watu badala kumleta Mungu ndani ya mioyo ya watu.
@MakwiriMabula
2 ай бұрын
pr Mimi kipindi nimeolewa mwanaume aninizuia kujifunikashuka lake akadaikwamba nijifunike shuka nililotokanalo kwetu, swali mimi nitakuhusije shuka langu?
@Thyme938
2 ай бұрын
Ya Leo, ni chungu lakini lazima niimeze hata kama ni kwa maji, iingie TU! Maana imapita mlemle.
@elienew3788
2 ай бұрын
😂😂❤❤
@AzAz-sy6zp
Ай бұрын
Amen ubarikiwe san mtumishi
@sylviesaidi5740
2 ай бұрын
Asanta sn pastor ila unisaidiye na maombi
@MeshckJackob
Ай бұрын
Pasta unatuharibia wauza vyombo😂😂😂
@neemamwanjala
2 ай бұрын
Sijaelewa
@allworldstrendshere1378
2 ай бұрын
Hujaelewa Nini Neema
@user-cr1nk1zc5s
2 ай бұрын
@@allworldstrendshere1378Eti jamani kuna kitu cha kumfanya Neema asielewe hapo
@josephinesanita4904
2 ай бұрын
Na kwamfano uko mbali na unahitaji kutoa zaka na sadaka ukitumia mzazi kuna shida ama inaruhusiwa, plz mnisaidie
@adelinaamosi9437
2 ай бұрын
Toa hapo ulipo kama kanisa lipo sio lazima liwe kanisa lako
@user-xz9qz5sp3w
2 ай бұрын
Toa eneo ulilopo maan ndo ardhi unapotafutia riziki,mama mtumie pesa yake binafsi nae atatoa zaka kwny pesa uliompatia ya matumiz
@Vanillah-lg3pn
2 ай бұрын
@@user-xz9qz5sp3wna kama hakuna kanisa kwenye huko
@fkirumba1463
2 ай бұрын
Hapo kwenye kukopa pasta.. Daah hii pia ni mtazamo.wengine tunaamini hakuna kupiga hatua mpaka mkopo
@olphanyamweya3154
2 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@olphanyamweya3154
2 ай бұрын
Asante YESU nimembalikiwa nikiwa Saudi Arabia ,pia naomba MUNGU anielekeze Kwa Yale matabau nakumbalika kutoka sadaka zangu🙏🙏🙏
Пікірлер: 30