MUNGU wa Ibrahim naomba niweze kupata uelewa mnzuri ndani la hili Somo. Na umbariki mtumishi wako mmbaga
@Ab-el8ir
5 ай бұрын
Leo namleta kwako Bwana, Mungu muweza wa yote mtoto wangu wa mwisho mlinde na umkinge na mipango yote ya mwovu shetani zaidi umlinde katika ukuaji wake akue vyema!! Amina!!!
@jonaskaminsa1810
5 ай бұрын
Mke wangu anaumwa Sana anaitwa Maria Kililimbi naomba kumuombea na watoto wote
@MussaAdballa
5 ай бұрын
Mchugaji natamani kuonana nawwe 6:00
@janebonareri8749
5 ай бұрын
pastor am going through tough times,i have so many debts and i believe God will enable me pay all and be free, Pray for me,while i fast and pray earnestly,am tired,i feel like giving up.
@laridistrict4710
5 ай бұрын
nashukuru sana bwana ameleta hili neno kwa wakatI NILIKUWA KWA KILE UMEZUNGUMZIA ...NAOMBA NEEM KUPITA SALAMA
@AndrewRichard-i4i
4 ай бұрын
Barikiwa Mchungaji Mungu anakutumia endelea kunyenyekea chini ya mkono wa Bwana ulio hodari...pia Bwana anitendee na kunijibu...
@vinniebaraka132
3 ай бұрын
Mtumishi nimekuwa nikifuatilia mafunzo yako, lakini Leo nimeguzwa sana. Mungu akubariki sana Kwa kazi nzuri na uzidi kutuelimisha mapenzi yake mwenyezi Mungu.
@faustermtavangu8212
5 ай бұрын
ASANTE MUNGU Kupitia Mchungaji wetu tumeinuliwa viwango vya Imani.Naomba umuombee Binti yangu ajifungue salama na kwa wakati sahihi mipango yote ya shetani ishindwe kwa jina la YESU Amina
@BugandoPostal
18 күн бұрын
Nakuomba Mungu wangu niongezee imani jibu maombi yangu Mungu
@ElizabethKaseza
3 ай бұрын
Pastor Mmbaga, ubarikiwe sana kwa mafundisho na maombi unayotupatia. Mungu wetu Mwema atukuzwe milele.
@StephanBogwa
3 ай бұрын
Naomba mungu anisaidie nimarize mkopowangu wabodaboda na pia nimarize nyumba yangu
@saphinacuthbet1343
Ай бұрын
Amina .Barikiwa Mchungaji.Mungu anitendee na mimi kwa jina la Yesu Amina
@RezaSuplies
2 ай бұрын
Mwenyezi mungu akubariki sana mchungaji,mahubiri yako,kila napoyasikiliza,hunibariki sana,maana imani yangu huniongezea mie,ubarikiwe sana mchungaji.
@MARYNAGUJustin
5 ай бұрын
Shaloom naitwa merynagu jastn mshana Niko Oman nafanyakazi napitia changamoto ndogondogo tu ila kinacho nichanganya nakosa amani kiasi ambacho natamani Hadi kulia
@YohanaJames-e2j
2 ай бұрын
Mungu atusaidie nifikie kusudi aliloliwekea maishani pia nilijue kwa kina
@faustermtavangu8212
4 ай бұрын
Asante Kwa kujibu maombi yangu kweli Mungu mwema
@suzanne-p9s
3 ай бұрын
Pastor, ubarikiwe na BWANA. Asante kwa hili somo, umeniokoa, na hofu, mashaka, na wasi wasi, nitaongeza nguvu ktk maombi, nitaukaza uso wangu kwa BWANA. Nahitaji haya masomo, uliotoa mwezi huo wa 5. Masomo ya jum tano
@davidkilajaga8842
4 ай бұрын
Amen hallelujah
@BugandoPostal
18 күн бұрын
Linda kazi yangu narudisha maneno magumu yote niliyonenewa ili nisifaulu kazini na nyumbani pia manuizi mabaya ndoto mbaya nazirudisha kwao nitetee Yesu samehe dhambi zangu nipe inyenyekevu ondoa kiburi Amina
@benaharuna-bo1sf
5 ай бұрын
Axant mung kw amani ya moy ninaposikia neno lako amen
@MARIE-iy4bx
5 ай бұрын
🤲🙏EE MWENYEZI MUNGU NAOMBA UJUMBE HUU UKAFANYE MUUJIZA KWA MAISHA YANGU KAZINI..🙇♀️🙇♀️
@upendomaduhungalula6641
5 ай бұрын
Ahsante Pr Kwa somo hili,Ahsante Kwa ombi limenigusa moja Kwa moja. Nina amini Bwana atanitendea, Naamini ATATENDA kwa Mume wangu,Kwa Wanangu.
@AgnessMrutu
5 ай бұрын
Haleluyaaa Pr, Mungu M/Mungu akuinue ufikie viwango vya juu mno wewe na familia yako, akuzidishie ulinzi
@inyourarea1886
5 ай бұрын
Mungu akubariki Mchungaji wetu ninaomba unihombeye kwa changamoto ambayo nimepitiya
@EucabethOyagi
5 ай бұрын
Kwa kweli somo hili ni zuri limenigusa moyo wangu.
@rizikimakupe-tw2sj
5 ай бұрын
Mungu akubariki akupe maisha marefu uzidikitu fundisha njia za mungu ameen🎉🎉🎉
@etoabwe3451
5 ай бұрын
Mch.Mungu akubariki sana tena sana sababu umefika mahali nilipotaka kutekwa na huyo mshindani wetu ,nashukuru sana kwa mafundisho yako Mungu akupe maisha marefu na mafundisho mengine mengi
@christinamafuru4784
5 ай бұрын
Mchungaji Mungu akubariki na fanilia yako naomba uniombee Mungu anibariki nipate mtoto
@RuthIsaya
2 ай бұрын
Ubarikiwe sana sana kwa masomo mazuri
@NaomOngeri-i8q
5 ай бұрын
Asante mchungaji ubalikiwe mungu akuongeze malaria tangu nigundue hii channel Niko na Amani rohoni
@MargaretNakhone
Ай бұрын
Mchungaji naomba uniombee mtoto wangu kwa ability ya ugonjwa wa sick cell ambayo imemusumbua tangu akiwa miezi saba hadi sai ako 17yrs. Sasa hivi qko hospitalini ,ameongezwa dam mara mini sana. Nko Saudi
@Mo-kei-rah
5 ай бұрын
God Help me to hold on my faith even when tempetions come to me, Give me strength to have faith and overcome. Amen
@feadamagessa889
5 ай бұрын
Mungu naomba aniimarishe katika imani
@margaretwanjiru9096
5 ай бұрын
Nashukuru nimebarikiwa sana na MUNGU azindi kukutumia pastor
@noellabibe6520
4 ай бұрын
Nashukuru sana kwa somo hili, natamani kuongeya na wewe baba mchungaji lakini sijuwi nifanye je ili niku pate please
@PeterCharles-yc7tn
5 ай бұрын
Mchungaj nmekata tamaa ya maisha ndoa yangu inamigogoro isio isha nimeomba maombi mengi lakin hamna kitu na mme wangu amehama kabisa ndani naomba ushaur wako chungaji
@ngikandilanha605
5 ай бұрын
Mchunaji Mungu akubariki kwa ujumbe unaotupatia
@MARYNAGUJustin
5 ай бұрын
Nimerudi Tena nimemjua wapi nilikokosea cose ckfanya maombi nilipopata ukosefu wa amani ila cjachelewa naanza sasa mungu nisamehe pale nilipo puuza god help me Asante sana kwa neno zuri
@stellamosota26
5 ай бұрын
Mungu akubariki pastor umenijenga kiroho
@FloraMalembeka
5 ай бұрын
Mchungaji naomba uniombee mume wangu aniruhusu kuavudu katika kanisa la wasabato ,pia nae aamini mi flora
@chachamargaret2221
5 ай бұрын
Hello pastor, how do we know that, this is temptation or test?
@kangwambassa6690
5 ай бұрын
i needed this so bad
@AnthoniaMwiru
5 ай бұрын
Mchungaji naomba uniombee katika mahusiano yangu yaweze kufika mbali pia uombee Familia yangu iweze kua na upendo na mshikamano
@GerardHamisi
5 ай бұрын
Mungu ponya wa2wako amen
@louisekichochi-ye7fi
5 ай бұрын
Past naomba unisaidie kwa maombi na sumbuliwa na magonja na omba namba yako yawasapu
@pendomartin1809
5 ай бұрын
Amina
@DoricaAmos-b2b
5 ай бұрын
Naomba mchungaji niombee Nina changamoto ya mme wangu kua na vimada wengi
@elienew3788
5 ай бұрын
🎉Mchungaji tuuombee kwa famili yetu changamoto tofauti tofauti kamavile ndoa pia.kutofaulu kimasomo napia kutofaulu kimapato
@MilkaMbogo-kb8lq
5 ай бұрын
Mchungaji napita katika pepeto mafundisho Yako yamegusa yote ninayo pita naomba uniombee
@ngikandilanha605
5 ай бұрын
Mchungaji umwombee kijana wangu nimvuta bangi ni mlevi ni mwizi pia nisaidie kwa maombi
@BugandoPostal
18 күн бұрын
Nawaleta watoto wangu uwaombee wawe vichwa na mkia wakujue wewe na wazazi na kanisa lako
@LevinaRutashongerwa
3 ай бұрын
Majaribu ni kitu cha kawaida sana kwa mwanadamu
@denniswanjara7144
5 ай бұрын
Naomba e-mail address yako PASTOR AKHSANTE
@Elizabeth-u5k1k
5 ай бұрын
Nafuraiya mafunzo mazuri ila pastor naomba msahada wako mm naona sina mawazo lakini kichwa kinawanga kila siku naomba usaindizi wako
Пікірлер: 57